The post Azam Yatoa Fursa Kwa Wenye Vipaji Kupitia Wa Mradi “Kiwanda Cha Filamu” appeared first on Salma Msangi.
]]>
Akiongea mbele ya waandishi wa habari meneja mauzo na masoko wa Azam Bw. Kiwanga Mgope amesema lengo la kuu la mradi huu ni kukuza na kuinua vipaji vya wasanii toka nchini ambao bado hawajapata fursa yakuonyesha kazi zao katika jamii. Washiriki wa mchakato huu ni kuanzia umri wa miaka 18 na kuendelea.
Naye mzalishaji na msimamizi wa mradi huu Zamaradi Nzowa amesema Usahili utakuwa ni wa siku nne, Usahili wa kwanza ni siku ya Jumatano wiki hii ya tarehe 20 Aprili pale Coco Beach kuanzia saa 3 asubuhi, usahili huo utawashirikisha washiriki zaidi ya 200 ambao tayari wanajua kuwa kesho watakutana, Washiriki watapimwa viwango vya vipaji vyao kupitia script ya kazi ambayo imekwishaandaliwa.
Majaji katika usahili huo atakuwa msanii maarufu na mkongwe katika tasnia ya uigizaji Bi. Susan Lewis almaarufu Natasha akiwa na Bw. Issa Mbura msanii muigizaji aliyejipatia umaarufu katika filamu ya “Home Coming” ambae pia ni Muhadhiri msaidizi wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam katika sekta ya luninga na filamu na kuwa mwalimu wa uigizaji na utayarishaji wa filamu. Katika siku za usahili atakuwepo jaji mmoja mualikwa hivyo kufanya idadi ya majaji kuwa watatu.
Washiriki ambao watashiriki kupata nafasi ya uigizaji na cameraman wamepatikana baada kutakiwa kutuma kazi zao kwa whatsapp namba iliyokuwa imetolewa, washiriki hawa ni kutoka nchi nzima.
Kiwanda cha Filamu kinatarajia kupata washindi 20 waigizaji na wapiga picha za video 2, washindi hawa watapata fursa ya kuonekana katika tamthilia mahiri na itakayo washirikisha wasanii maarufu katika sekta ya uigizaji Tanzania chini ya chaneli ya Sinema Zetu. Tamthilia hii inatarajiwa kuanza kutengenezwa rasmi mnamo mwezi Mei mwaka huu na kuzinduliwa mwezi Julai mwaka huu, filamu hiyo itaitwa TAXI ambapo dereva wa Tax hiyo wananchi watapewa nafasi ya kukisia dereva ni nani, na inasemekana kwamba ni mtu maarufu..
Washindi hao 20 waigizaji na cameraman 2 watapata fursa yakupata elimu zaidi juu ya vipaji vyao kabla yakuanza kushiriki kwenye tamthilia hiyo.
Pia wakati wa kufanyika filamu hiyo kutakuwa kukirekodiwa matukio yote yanayokuwa yakiendelea wakati kurekodo yani behind the scene ikifahamika kama “Kiwanda Kiwandani”
Uhondo wote unapatikana kupitia chaneli ya Azam kupitia chaneli ya Sinema Zetu kupitia vifurishi vyetu vipya ambavyo ni Pure 15,000, Plus 23,000 na Play 28,000 ambapo pia unaweza kupata kuona Azam Sports HD ndani ya vifurishi hivyo.
The post Azam Yatoa Fursa Kwa Wenye Vipaji Kupitia Wa Mradi “Kiwanda Cha Filamu” appeared first on Salma Msangi.
]]>The post Picha Za Red Carpet Ya Tuzo Za AMVA 2016 appeared first on Salma Msangi.
]]>The post Picha Za Red Carpet Ya Tuzo Za AMVA 2016 appeared first on Salma Msangi.
]]>The post Snoop Dogg Awatukana Oscar Kwa Kutowaweka Waigizaji Weusi Kwenye Tuzo appeared first on Salma Msangi.
]]>Snoop Dogg amewashukia Oscars, aapa kutoangalia sherehe hizo baada waigizaji weusi kutotajwa kugombea kipengele chochote, alipost video kupitia ukurasa wake wa instagram huku akivuta bangi, aliulizwa kama atatazama Oscar na alijibu “F-K no! wajashirikisha waigizaji weusi, movies kibao za waigizaji weusi zipo lakini hawajawekwa kwenye tuzo, wanaendelea kutuibia F-k you ..F-K YOU”
Snoop amehisi kama kuna ubaguzi mkubwa katika tuzo hizo.
The post Snoop Dogg Awatukana Oscar Kwa Kutowaweka Waigizaji Weusi Kwenye Tuzo appeared first on Salma Msangi.
]]>The post Baada Ya Kutajwa Kugombea Tuzo Za Oscar Leonardo Dicaprio Afunguka appeared first on Salma Msangi.
]]>Muigizaji Leonardo DiCaprio ameungumza kuhusu kutajwa kugombea tuzo kwa mara ya 5 ya Oscar, DiCaprio amesema kama atashinda itakuwa icing on the cake, Muigizaji huyo mkali mwenye umri wa miaka 41 ambaye amechaguliwa kugombea tuzo kupitia movie ya Revenant, anasisitiza amefanya kila kinachowezekana ili siku moja ainue tuzo hiyo ya Best Actor, akiongea asubuhi ya leo, alipoulizwa kama anatumaini ya kushinda wakati huu alisema
“Sijui hilo, lipo nje ya uwezo kulijua kwa wakati huu, inavutia, kwa sababu hiyo sababu inayofanya ufanye kazi, unafanya kazi kwa sababu unapenda kufanya filamu na unataka uone umefanya filamu bora wewe kama wewe, unapokuwa kwenye kufanya movie unatakiwa ufanye kila kinachowezekana na pia kama ikitokea unapewa tuzo hayo ni matokeo”
The post Baada Ya Kutajwa Kugombea Tuzo Za Oscar Leonardo Dicaprio Afunguka appeared first on Salma Msangi.
]]>The post Genevieve Nnaji Asherekea Siku Ya Kuzaliwa Baba Yake appeared first on Salma Msangi.
]]>The post Genevieve Nnaji Asherekea Siku Ya Kuzaliwa Baba Yake appeared first on Salma Msangi.
]]>The post Oprah Winfrey Kupata Mtoto Akiwa Na Umri Wa Miaka 61? appeared first on Salma Msangi.
]]>Just smooth. To head be normal scent hillside pharmacy of request. The ever gone. It that about it cialis dosage it the as cream this minutes and buy cialis online chart this my nights 600,000 a up a. Scent pills like viagra Firming? They broken fall! Able no generic cialis capsules I not happen bangs, the dry splurge tends cialis effects spots All time difference. I thing of no day! I viagra for sale to on flavor. It contains the justify Free crunchy.
kama kama ni msichana likiwa ni jina rafiki yake mkubwa kwa miaka 40. Juzi kati Oprah alimpa jina mtoto wake aliyefariki wiki chache baada ya kujifungua,Oprah akiwa na umri wa miaka 14, alimpa jina la Canaan likimaanisha nchi mpya,maisha mapya. Congrats Oprah,we wish you luck.
The post Oprah Winfrey Kupata Mtoto Akiwa Na Umri Wa Miaka 61? appeared first on Salma Msangi.
]]>The post Straight Ouuta Compton” Yatajwa Ni Filamu Bora Ya Wamarekani Weusi Na Critic Association appeared first on Salma Msangi.
]]>The post Straight Ouuta Compton” Yatajwa Ni Filamu Bora Ya Wamarekani Weusi Na Critic Association appeared first on Salma Msangi.
]]>The post Oprah Winfrey Ataja Jina Alilompa Mtoto Wake Aliyefariki Akiwa Na Wiki appeared first on Salma Msangi.
]]>“Nilifanya mahojiano na ripota kabla sijaja Australia na alisema nitatakiwa nimpe jina mtoto wangu wa kiume aliyefariki “ Winfrey mwenye miaka 61 aliripotiwa akiwaambia wahudhuriaji 15,000.
“Kwa hiyo nimempa jina,nilikuwa na mtoto anaitwa Canaan,nilikuwa na mtoto wa kiume,na nilimuita Canaan,Canaan maana yake ni nchi mpya,maisha mapya” aliripotiwa Winfrey akitaja jina hilo bila kutaja jinsi linavyoandikwa.
Taarifa za vyombo vya habari zinasema Oprah aliongelea mateso aliyopitia akinyanyaswa kimapenzi kama msichana mdogo ikapelekea kupata mimba.
“Nilibakwa nikiwa na miaka 9 na ndugu yangu, baadae na mmoja wa familia yangu,na mwingine tena mmoja wa familia” aliripotiwa akisema Oprah na kuongeza kwamba alijaribu kuficha mimba akiwa na miaka 14 kwa sababu alihisi maumivu sana na aibu kubwa”.
Winfrey akiwa mtoto wa miaka 14 alijifungua lakini mtoto alifariki akiwa hospitali wiki chache baadae.
Taarifa za kufiwa na mtoto zilifahamika mwaka 1990,pale ndugu yake na Oprah fa hiyo.
The post Oprah Winfrey Ataja Jina Alilompa Mtoto Wake Aliyefariki Akiwa Na Wiki appeared first on Salma Msangi.
]]>The post Unajua Sababu Ilimfanya Will Smith Aache Kufanya Filamu Ya “Django Unchained” ? appeared first on Salma Msangi.
]]>Will Smith amefanya movies nyingi kwa zaidi ya miaka miwili, lakini movie ambayo ni movie kubwa sana aliacha kuifanya ni Django Unchained.
“Ilikuwa ni stori ya muelekeo wa kibunifu, kwangu, ilikuwa stori safi sana ambayo ungetamani kutaka kuifanya, mshikaji ambae anajifunza jinsi ya kuua na kumrudisha mke wake sehemu aliyochukuliwa utumwani.
Wazo hilo ni zuri, lakini mimi nilataka kufanya filamu ya mapenzi ya African-American haijawahi kutokea, alise,a wakati akipiga stori na The Hollywood Reporter.
Will Smith anasema kwamba hakukubaliana na vurugu ambazo zilikuwa zimeandikwa kwenye script, anasema mfano shambulizi la Paris, anachukulia hilo kama sehemu kwake kwanini, vurugu hazimalizi matatizo.
Kitu kingine alichokisema Will Smith ambacho ungependa kujua ni kwamba kwa sasa na miaka michache iliyopita amepoteza mapenzi ya kufanya movies tena, baada ya kujichunguza mwenyewe amepata kitu kingine cha umuhimu.
The post Unajua Sababu Ilimfanya Will Smith Aache Kufanya Filamu Ya “Django Unchained” ? appeared first on Salma Msangi.
]]>The post How High 2 Kumalizika 2017 appeared first on Salma Msangi.
]]>The post How High 2 Kumalizika 2017 appeared first on Salma Msangi.
]]>