Akili the brain aja na NAKUOGOPA
Angalia picha nikiwa natengeaza kipindi cha xpress na akili the brain kwenye studio yake mpya iliopo ilala mta wa arusha. Amerudi na kitu chake kipya NAOGOPA.
Jana ndio ilikua siku ya kuupumzisha mwili wa marehemu Susan Goldie Harvey katika nyumba yake ya milele. Mazishi hayo ambayo yalikua ya kifamilia zaidi yalifanyika sehemu inaitwa Vaults and Gardens Cenetery huko Ikoyi Lagos. Na haya ndio maneno ya mwisho ya Mume wa Goldie Andrew Harvey’s kwa mke wake ”… Read More →
Msanii Rachel anaetamva na wilmbo wake wa nashukuru umerejea, upepo na pilipili alofanya na bi Patrishia akiwa katika oficce za Magic Fm alipokuja kwa ajili ya kutambulisha wimbo wake mpya wa pilipili alofanya na bi patrishia. Pamoja na mambo mengine aliponda wasanii wanaodhani kujichubua ndio urembo na kwamba huko ni… Read More →
Usikose kutazama mahojiano yangu na na 20% ijumaa hii jatika kipindi cha MusicXpress ya ChannelTen saa mbili kamili usiku. Alikua hana pa kutokea 20% akifunguka kuhusu ugomvi wake na Man water pamoja na mengine mengi Kitendea kazi Mosses Massenga aka Fundiiii, Producer na Editor wa kipindi.
Kupitia ukurasa wake wa BBM Bob Junior amewashukuru friends zake pamoja na fans wake wote kwa dua zao kwani amefika salama Bob yupo nchini humo kwa ziara ya kimuziki ambayo itamchukua kama miezi miwili hadi mitatu katika nchi za Finland, Italy, Germany, Denmark, Sweden, Norway, Swiss, Holand na sehemu nyingine… Read More →