
TMZ inaripoti kwama producer Ramon Owen, amefungua mashtaka dhidi ya Lil Wayne kwa kutomlipa producer huyo jina analofahamika sana ni REO, REO amemshtaki repa huyo kutoka New Orleans kwa kutomlipa baada ya kutengeneza wimbo wa Lil Wayne wa 2012 uliohit sana wa “Mirror” ambao amemshirikisha Bruno Mars. Katika shtaka lake hilo,
online pharmacy @ online cialis @ pharmacy in canada @ viagra online @ online pharmacy with doctor consultation @ canada pharmacy online reviews @ how to get viagra @ canadian pharmacy review @ canadian pharmacy meds review
REO amesema kwamba aliahidiwa kupewa sehemu ya mafanikio wa wimbo huo na pia alituma maelezo kutoka Young Money/Cash Money Records yakisema kwamba alitakiwa apewe angalau dola 91,000. Ngoma ya “Mirror” ilikuwa kwenye albamu ya Lil Wayne ya
viagrapharmacy onlinehttp://cialis24pharmacy-online.com/http://cialis24pharmacy-online.com/viagra24pharmacy-canadaviagra24onlinepharmacy
The Carter IV ya mwaka 2011 ambayo iliuza copies milioni 3 duniani kote.
