
Ndoa ya msanii wa muziki wa kizazi kipya miondoko ya Takeu H.Baba na Mkewe Flora Mvungi Ambaye yeye ni mCheza Movie imezaa matunda baada ya wawili hap kujaaliwa mtoto wa kike aliyezaliwa katika hospitali ya Maria Stops iliyopo marneo ya mwenge na kumpa jina la Tanzanite
Tazama picha ya mtoto
Tanzanite mtoto wa H.baba
