
Kushoto Lara Katika Tangazo Na Justine Kulia Akiwa na Mumewe Kabla Ya Kuachana Mwanamitindo ambaye amefanya Tangazo la Calvin Klein aliloshirikiana na mwanamuziki Justin Bieber Ameachwa Na mume Wake Mara baada ya picha za tangazo hilo kutoka Mwanamitindo huyo mkubwa kabisa duniani Lara Stone, mwenye umri wa miaka 31,aliondoka katika nyumba aliokuwa anaishi na mume wake huyo Muingereza Mchekeshaji David Williams Juma nne March 3rd akiwa na mtoto wake wa miaka miwili pamoja na mbwa wao Wanandoa Hao Wamedumu kwa miaka mitano, na sasa imeripotiwa kuwa matatizo yao yameanza mara baada ya picha za tangazo hilo la Calvin Klein alilofanya na mwanamuziki Bieber ambazo picha hizo zipo baadhi ambazo zinaonyesha sehemu kubwa ya mwili wa wanamitindo hao wakiwa watupuuuu huku ni za utupu huku Justin akiinekana kumshika shemu yake ya kifua Rafiki Wa Karibu Na mwanamitindo huyo amesema, David alishazoea matangazo mengi tu ya mkewe ya utupu lakini hili na mwanamuziki Justin ni kama lililovuka mipaka ukizingatia zaidi kuwa Justine alimuomba mtoko mwanamitindo Lara wakati wa kufanya Tangazo bila kujua kuwa ni mke wa
mtu Baada ya Kutofautina sana juu ya tangazo hilo na matatizo mengine ambayo wanandoa hao hawakua nayo kabla ya kufanyika kwa tangazo hilo, Lara alichoshwa na aliamua kuondoka katika nyumba aliyokuwa anaishi na mume wake After… Na Rafiki Huyo Amethibitisha kuwa Ndoa Hiyo Imekwisha
