It’s THEIR time.

Day Two late Post: Kimbiakimbia Kaa Mbali Nao Day Three: Kaka na Dada
KWA mara ya kwanza tangu lilipoibuka sakata la watu maarufu kujihusisha ama na utumiaji au usafirishaji wa dawa za kulevya, jina la mwanamuziki anayeaminika kuwa na ukwasi mkubwa kwa sasa hapa nchini, Nasseeb Abdulmaliki, maarufu zaidi kwa jina la Diamond, limeanza kutajwa kuwa ni miongoni mwa vigogo wa ‘unga.’ Tayari… Read More →
ile video iliyokuwa imesubiriwa kwa hamu sana ya Yahaya ya Lady Jay Dee Inatarajia kuzinduliwa Kesho Ijumaa Tarehe 16, katika kiota cha burudani cha nyumbani lounge morocco jijni dar. Jay dee ameandika kupitia Blog yake kuwa : ‘Hivi sasa iko tayari, tumeona si vibaya tukaifanyia kiji party kidogo cha utambulisho… Read More →
Hivi karibuni kupitia mtandao wake wa Face Book Mwanamuziki mkubwa Tanzania mwanadada Lady Jay Dee ametupia picha alizopiga na mwanamuziki Mashuhuri na mkongwe Afrika na Dunia Self Keita kutoka mali Lady Jay Dee aliandika ya kwamaba amekutana na mwanamuziki huyo huko Nairobi Nchini Kenya katika Hotel Ya Southern Sun wakati… Read More →
Leo katika kipindi cha Afrika Kabisa Cha Magic Fm katika mahojiano yake na mimi Joniko Flower amesema yeye na mwana dada Lady Jay Dee Aka Anakonda Hawana Tatizo lolote na kwamba Lady Jay Dee ni Kama Dada yake kabisa. Joniko na mini Joniko alisema kuondoka kwakwe machozi nikatika hali ya… Read More →
MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini Ney wa Mitego, ameweka wazi kuwa ikitokea amefariki dunia hatohitaji kamati kwa ajili ya kuendesha mipango ya msiba wake, kwa kile anachodai kuwa kamati hizo zipo kwa ajili ya kuvuna pesa. Hayo aliweka wazi baada kupokea ujumbe mfupi kwenye simu yake wenye vitisho uliotokana… Read More →