Kajala Atoa Ya moyoni baada ya kuchoshwa Na Uzushi wa Kuwa na Mahusiano na Mume wa Mtu

Msanii wa Filamu Nchini Kajala Masanja ameamua kufunguka na kutoa ya moyoni baada ya kuchoshwa na uzushi ulioenea sana juu ya mahusiano yake na mume wa mtu.. Kama Binaadamu Kajala amekiri kuumia na kuchoshwa na uzushi huo ambao kwa mujibu wake si kweli Kumekuwa na Uzushi wa siku nyingi kuwa… Read More →