
Duka la kuuza reja reja imeripotiwa limeacha kuuza albamu mpya ya Rick Ross ya “Black Market” iliyotoka Desemba 4 mwaka tadalafil citrate huu. Duka hilo limeacha kuuza albamu hiyo kwa sababu ya mashairi yaliyopo katika http://genericcialis-cheaprxstore.com/ moja ya ngoma ikimuongelea mgombea urais wa Marekani maximum dosage of cialis Donald Trump. Rick Ross na ameona kukaa kimya haisaidii amejibu ripoti hiyo ambayo ilisema “Wall-Mart Waacha kuuza albamu yake ya Black Market”. http://genericviagra-bestrxonline.com/ “They say they ban us at Wal-Mart, but they don’t know, I live across cialis canada paypal the http://pharmacyonline-bestcheap.com/ street from the nigga who own Target,” Rick Ross anafunguka kwenye video iliyopostiwa kwenye instagram ya DJ Akademiks. Video blogger Mark Dice anasema duka hilo aliuzi tena albamu hiyo kwa sababu ya mstari kwenye ngoma ya “Free Enterprise” sehemu ambayo rapper huyo kutoka Miami anaongelea kuhusu kumuua mgombea urais Donald Trump Dice anasema aliwataka wauzaji weng7ne wa reja reja ikiwemo Target, kuulizia mauzo ya albamu hiyo kwa sababu ya mashahiri hayo, Wal-Mart ndio duka pekee kwa sasa limeacha kuuza albamu hiyo.
