Msanii ambaye anafanya kazi zake Lagos cialis 20 mg costo  nchini http://viagra-vs-cialis-best.com/  Nigeria, Friday Freedom alipelekwa rumande huko Kirikiri na Mahakama ya cialisfromcanada-onlinerx  wilaya ya Ikeja akituhumiwa kumbaka msichana wa miaka 15. Msanii huyo anayechipukia mwenye umri wa miaka 27 anayeitwa Freedom ambaye anaishi mtaa mexican pharmacy online oxycodone  wa Kilani sildenafil over the counter  Papa Shafa, Agege cialis dose response  anatuhumiwa kumbaka msichana siku ya Jumamosi Novemba 21 katika eneo analoishi baada ya kumualika akijidai kwamba alimtaka akimbie akamsaidie kazi. Muendesha mashtaka, Sajenti Jimah Iseghede, aliiambia mahakama ikiongozwa na Chifu Magistrate Tajudeen Elias kwamba msichana huyo bado anapatiwa matibabu hospitali kupatiwa majeraha aliyoyapata. “Msichana huyo kwa sasa amepokelewa hospitali kutokana na majeraha aliyopata” Iseghedehe alisema. Alisomewa shtaka hilo na alikana na Elias aliamuru kwamba arudishwe rumande hadi Novemba 28 mwaka huu ambapo kesi hiyo itatajwa tena.
