
Papa Benedict xvi mwenye umri wa miaka 85 atangaza kujiuzulu kwasababu ya matatizo ya kiafya. Tukio kama hili lilijitokeza tena miaka 700 iliopita wakati papa Gregory wa xii alipoomba kujiuliza na makadinali kumkubalia mwaka 1416.
Katika tukio la kushangaza inasemekana radi kubwa ilipiga baada ya papa kutoa uamuzi huo jambo linaloleta maswali mengi kama je kuna uhusiano na Mungu katika hilo?
canada pharmacy drug cialis 10mg instructions cialis for daily use blood pressure cialis viagra combination viagra and hydrocodone
