
Mshindi cialis side effects back pain wa shindano la Big Brother Hots Shorts 2014 Idris Sultani aliyejishindia kitata cha dola za kimarekani Laki tatu amezungumza na waandishi wa habari leo Dec 11 katika hotel ya kifahari ya Hyatt Regence (Kempisk) alipofikia mara baada ya kurejea kutoka Afrika kusini jana dec 10 ambapo Shindano hilo lilifanyika Idris Akiingia Katika Chumba Cha Mkutano Na Waandisshi Wa habari katika hotel ya Hyatt Regency Kempik Idris Ambae alishinda kwa kishindo kwa kura kutoka nchi tano na kumbwaga mpinzani wake mkubwa kutoka what’s as good as viagra Nigeria Tayo Aliyepigiwa kura kutoka Nchi Mbili Tu, Amewaambia waandishi wa habari kuwa yeye hastahili pongezi kama wanavyostahili waafrika waliompigia kura, Idris anasema kazi kubwa ilifanywa na wale waliompigia kura kwasababu yeye anaona alikua anakula na kulala tu ndani ya nyumba na kilichomfanya awepo katika nafasi hiyo ni kuishi tu maisha halisi ambayo anadhani uhalisia uliwavutia waafrika na kuamua kumchagua
Idris Akiwa Na wenyeji wake Kushoto Ni Afisa Uhusiano Wa kampuni ya multchoice Tanzania Barbara kambogi na Afisa Masoko Mkuu Wa Kampuni Hiyo Furaha Samalu Kuhusu matumizi ya pesa zake hizo ambazo ni zaidi ya milioni mia tano alizozitaja kuwa ni nyingi kwa umri wake wa miaka 21, Idris amesema itakuwa mapema sana kuzipangilia kuwa atazifanyia nini kwani kwa sasa kilichopo kichwani kwakwe ni kufikiria mbeleni huku swala la pesa likiwa lipo tu na lisiwe sababu ya maisha yake ya sasa
Idris Mbele Ya Waandishi Wa habari Lakini pia Idris Alizungumzia juu ya mahusiano yake viagraonline-edstore.com hapa nyumbani na kusema kuwa hana Mpenzi na mpaka sasa hata washiriki alioonekana kuwa nao karibu ndani ya nyumba sio wapenzi isipokuwa ni marafiki tu kwa sasa , anachokiangalia sasa ni kile mungu atakachompangia lakini vingenevyo he is single.
Kuhusu kuacha kazi yake ya upigaji picha aliyokuwa anaifanya Idris amesema kilichobadilika kwakwe ni kujulikana tu lakini Idris Atabaki is there a generic cialis Kuwa Idris Huku Huku sana sana akiwa ameongezeka kiufanisi na utendaji tu
Meneja Masoko Wa Kampuni Ya Mulichoice Tanzania Furaha Samalu Kazi kubwa iliyopo mbele yake sasa hivi ni kuhakikisha anatembelea nchi nyingi za afrika kwa ajili ya kutoa shukrani zake na baada ya hapo atakaa na kujua nini kitafuata.
Mshiriki Mwingine Wa Tanzania Aliyekuwa who invented viagra Nyumba moja na Idris Laveda Naye alikuja kumpongeza mwenzie Idris anakuw Mtanzania wa pili kushinda Fainali hizo za Big Brother baada ya Mtanzania Mwingine Richard Bezuedenhou Kushinda mwaka 2007 na kuibuka na kitita cha Dola za kimarekani 100,000
Waandishi kutoka vyombo mbali mbali vya Habari
