Maelfu ya waandamanaji wameingia barabarani mjini Paris hii katika maadhimisho ya mwaka mmoja wa kuwa madarakanai Rais Francois Hollande wakimshutumu kwa kuupa kisogo siasa za mrengo wa kushoto.
Kanye West Akanusha Kujihusisha Na Dini Ya Kishetani “Illuminati” Aelezea Historia Ya maisha Yake, Ni Katika Mahojiano Na Jarida La Paper