HALI YA M TO THE P YAIMARIKA…… NGWAIR ATARAJIWA KUAGWA JUMAPILI

-Msanii M2 the P anaendelea vizuri, jana ameweza kuongea na ametolewa ICU kupelekwa wodini , tofauti na taarifa za awali ambazo hazikua na uhakika kuwa nae aliaga dunia -Mwili wa Albert Kenneth Mangwair unatarajiwa kuwasili jijini Dar Jumamosi Juni 1, 2013 na kuhifadhiwa katika Hospitali ya Taifa, Muhimbili. -Ngwair anatarajiwa kuagwa… Read More →