ADHANA YARUHUSIWA SWEDEN KWA MARA YA KWANZA
ADHANA YARUHUSIWA SWEDEN KWA MARA YA KWANZA Msikiti mmoja katika kitongoji cha mji mkuu wa Sweden, Stockholm umeruhusiwa kuadhini kwa kutumia kipaza sauti kilicho kwenye mnara kwa ajili ya Sala ya Ijumaa. Hii ni mara kwa kwanza kwa nchi hiyo ya Scandinavia kuruhusu adhana kwa sauti inayosikika nje ya msikiti…. Read More →