Oscar Pistorious ambaye anatuhumiwa kwa kumuua mpenzi wake mwanamitindo Reeva Steenkamp, baada ya kudhania ni mwizi aliingia ndani kwake mwaka jana 2013 huko Afrika kusini.
Oscar Pistorious asiye na miguu ameathiriwa vibaya kutokana na ulemavu huo, dakatari wa michezo ameiambia mahakama inayosikiliza kesi hiyo ya mauaji inayomkabili mwanariadha huyo.
Kitu kinachoangaliwa ni akili ya Pistorious wakati akifyatua risasi kwenda kwa mpenzi wake Reeva Steenkamp.
Wayne Derman ameiambia mahakama mjini Pretoria kuwa bingwa huyo wa Olimpiki ameathtirika vibaya kutoakana na msongo wa mawazo na hofu.
Hali Ya Ulemavu Ya Mwanariadha Oscar Pistorious Inamuathiri
Related Posts
-
-
Iggy Azalea Kutokea Kwenye “Fast & The Furious 7”
-
Tecno Afuta Picha Zote Za Instagram Zinazomwambia R.I.P Kutoka Kwa Mashabiki Wa Tanzania.
-
Video: Lady Jaydee – Historia (Official Music Video)
-
Shakira Mwaka Wa 3 Mfululizo Anapata Nafasi Ya Kuperform Kwenye Kombe La Dunia
-
Lady Jay Dee Music Video Premiere Party Ilivofana
-
Hii Nayo Kali, Brazil Yafanya Mashindano Ya Miss Makalio, Na Huyu Ndio Mshindi….