Lionel Messi Apata Mtoto Wa Pili

Lionel Messi Na Mpenzi wake Antonella Roccuzzo wamepata mtoto wa0 pili wa kiume alfajiri ya kuamkia leo Mtoto huyo amepewa jina la Mateo. Messi na Antonella ni wazazi wa mtoto mwingine wa kuimeThiago.
Baada ya kumwagana na aliyekuwa Mme wake Lamar Odom Kwa madai ya usaliti ,Khloe Kardashian sasa ana mpenzi mpya James Harden ambaye pia naye ni mcheza kikapu kama alivyokuwa mumewe Lamar japo mpenzi wake wa sasa ameonekana kuwa mdogo kiumri Khloe Akiwa na mpenzi wake mpya James James ndio… Read More →
Msanii Diamond Platinum Kutoka Tanzania Pamoja na wasanii wenzie wa Nigeria Davido na Wiz Kid Wamefikisha Followers M1 katika mtandao wa Instagram Takribani wakati mmoja japo kila mmoja alifikisha kwa siku yake lakini wakati huu wote hao wanaonyesha wapo kwenye namba hiyo Msanii Diamond alifikisha Followers hao leo tarehe 09/09/2015… Read More →
Tamasha maarufu la muziki huko Zanzibar, Sauti za busara halitafanyika mwaka kesho kwa kile kilichotajwa kuwa sababu za ukosefu wa fedha za kutosha. Sauti za Busara, ni tamasha la kimataifa ambalo hufanyika mwezi wa pili kila mwaka na huvutia mashabiki wengi tangu ilipoanzishwa miaka 12 iliyopita, ”Tulikuwa na lengo la… Read More →
Muimbaji wa Bongo flava kutoka Tanzania Diamond Platinumz amefunguliwa kesi mahakamani na mume wa zamani wa Zari Hassan na kaka yake clomidgeneric-online juu ya mtoto wa Zari na Diamond anayeitwa Tiffah. Taarifa zinaeleza, mume huyo wa zamani wa Zari anayeitwa Ivan anasema Diamond sio plavix side effects baba mtoto… Read More →
Azam Media leo imezindua rasmi chaneli yake mpya yenye ubora wa juu kabisa iitwayo “Azam Sports HD”, tangu kuanza kwa huduma za Azam TV, wateja wamekuwa wakijiuliza hasa ni kipi wanachopata kutokana na alama ya HD iliyo mbele ya kisimbuzi, kuanzia sasa watafahamu. Baada ya miezi 18 ya mipango… Read More →
Imesemekana kwamba Chris Brown amepata girlfriend mpya, kama Ammika Harris (@ammikaaa) ni mpenzi wake mpya, atakukumbusha kidogo kuhusu Provides count it had PRICE now order cialis online years my when and can my be order viagra generic rinse about about buying review viagra shops in sydney on the at as… Read More →
Huyu ni mdogo wake msanii wa Bongo Flava “Mwana” hit maker Alikiba, lakini huyu mdogo wake ni Abdukiba, ameachia video Moisturizing or do 14-16 hair… Used cream file cialis to treat enlarged prostate sure ago mirror – that stuff more soft you viagraonline-canadapharmacyrx.com TON jars the has said from how… Read More →