Tiny aliulizwa kama akaipata nafasi ya kumaliza tofauti yake na Mayweather, Tiny alisema ndio kuna tumaini tarifa ya TMZ zimeeleza
Tiny na T.I na Mayweather walihusishwa katika ugomvi unaoendelea ambao ulihusisha na Mayweather, baada ya Tiny kumtukana Floyd katika red carpet ya BET mwaka huu na baadae Mayweather akiongea na waandishi wa habari alipoulizwa vipi kuhusu T.I akasema laitembea na mke na baadae akakanusha hakusema hivyo, lakini Tiny mke wa T.I amsema kuna nafasi ya kumaliza yote hayo yanayoendelea.
Tiny alikuwa akitembea uku akimuacha muandishi anayemuhoji akiwa ameweka mikono yake juu huku akisema “Hopefully”
Tiny Asema Tumaini Lipo La Kumaliza Tofauti Zao Na Mayweather
Previous Story
"Monster Tour" Ya Eminem Na Rihanna
Related Posts
-
-
Uvumi Wa Hip Hop: Christina Milian Hii Inaweza Ikawa Ni Sababu Nyingine Ya Kumfikiria They Crazy In Love With Tunechi
-
Aliyewahi Kuwa Mshindi Wa Big Brother Karen Igho Ameongeza Jina La Mume Wake Katika Mitandao Ya Kijamii
-
Huu ndio Muongozo na maagizo ya FIFA kuhusu uchaguzi wa TFF
-
Diamond na utajiri wakupindukia, Fahamu usiyoyafahamu kuhusu yeye.
-
Video:Alichoulizwa msanii A.Y namuandishi wa BBC ndicho alichokijibu?
-
Dj Q Spin on Desk for 80’s GROWN DISCO