Sio kila mume atakuwa kama kanye west, Mwanadada huyu mwenye umri wa miaka 32 kutoka Ukrain Alena Politukha Ameachwa na mume wake ambaye ni mwana siasa Not all husbands are like Kanye West and this Ukrainian beauty found out the hard way. 32 year old Alena Politukha was dumped by… Read More →
Musicxpress
Beyonce looked very chic as she arrived at the Hilary Clinton prediential fundraiser which cost $3700 per person. She po co jest viagra @ starting dosage for cialis @ http://viagrapills-forsaleonline.com/ @ free cialis coupon @ canada pharmacy books looked really nice in her modets brown dress,minimal make up and open… Read More →
MBOWE AMTAKA MEYA WA JIJI LA ARUSHA KUONYESHA UTOFAUTI NA WAKATI CCM IKITAWALA
Meya wa jiji la Arusha ametakiwa kuonyesha utofauti na wakati wa halmashauri hiyo ilipokuwa chini ya CCM. Hayo yamesemwa na Mwenyenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), na Kiongozi wa Upinzani Bungeni (KUB), Mhe. Freeman Mbowe alipokutana na Meya wa jiji la Arusha, Mhe. Kalist Lazaro, na weheshimiwa wabunge… Read More →
MBOWE ACHANGIA UJENZI WA HOSPITALI AMBAYO ITAKUWA KUMBUKUMBU YA BIBI GAUDENSIA ALIYEFARIKI
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mbunge wa jimbo la Hai, Mhe. Freeman Mbowe leo Jumatatu 8/8/2016 ameongoza viongozi wa vyama vya siasa na Serikali na wananchi kuchangia umaliziaji wa ujenzi wa hospitali ya Sambarai iliyopo Kibosho mkoani Kilimanjaro. Bibi Gaudensia Stambuli Kilawila ambaye amefariki na umri… Read More →
MAKUSANYO YA KODI KWA MWEZI APRIL 2016
Katika kipindi cha mwezi April 2016, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imefanikiwa kukusanya shilingi Trilioni 1.035 ambayo ni sawa na asilimia 99.5 ya lengo la kukusanya shilingi trilioni 1.040 katika mwezi huo. Makusanyo ya kipindi cha miezi kumi (Juali 2015 hadi Aprili 2016) ni jumla ya Shilingi Trilioni 10.92 sawa… Read More →
Azam Yatoa Fursa Kwa Wenye Vipaji Kupitia Wa Mradi “Kiwanda Cha Filamu”
Azam Tv kupitia chaneli yake ya Sinema Zetu leo Jumanne 19/4/2016 imezindua rasmi mradi wake unaojulikana kama “Kiwanda Cha Filamu”.msamimzalishaji Akiongea mbele ya waandishi wa habari meneja mauzo na masoko wa Azam Bw. Kiwanga Mgope amesema lengo la kuu la mradi huu ni kukuza na kuinua vipaji vya wasanii… Read More →
Isaya Mwita Meya Mpya Wa Jiji La Dar es Salaam
Uchaguzi Meya Dar es salaam hatimaye umekuja na matokeo ambapo diwani wa Vijibweni Kigamboni jijini Dar es salaam, Mhe. Isaya Mwita wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo nchini (CHADEMA) ameibuka mshindi wa nafasi hiyo baada ya kuzitwaa kura 84 dhidi ya kura 67 za Yenga Omary-wa Chama Cha mapinduzi (CCM)…. Read More →
@JideJayDee Na Gadner ( @CaptainTanzania ) Kuachana Kwao Ni Kick Kibiashara!? “Ndi Ndi Ndi” 3:33 AM Lady Jay Dee
Ukiongelea tasnia ya muziki nchini Tanzania hususani Bongo Flava, jina Lady Jay Dee linasikika kichwani kwako linaita Ndi “Ndi Ndi” LOL, majina yake mengine ni Mama Some Food, Binti Machozi, Commando Jide, tuache majina kwa sababu unaweza ukataja majina ukajaza ukurasa mzima, jina lake halisi ambalo lipo kwenye passport ni… Read More →
Blue Ivy Ni Zawadi Kubwa Aliyowahi Kupewa Beyonce
Mkali wa muziki duniani, mwanamama Beyonce au mama Blue Ivy akiwa ni mtoto wake wa kike wa kwanza, ambae amemtaja kuwa ni mafanikio makubwa, katika vitu amevipata, mafanikio na kila, ila Blue Ivy mafanikio makubwa sana, alisema hayo wakati akiongea kwenye mahojiano. Beyonce (34) alikuwa akipiga stories na magazine ya… Read More →
Picha Za Red Carpet Ya Tuzo Za AMVA 2016
Siku ya Jumamosi tarehe 5 Machi 2016 zilitolewa tuzo za Africa Magic Viewer’s Awards 2016 huko Lagos Nigeria, ambapo usiku huo Watanzania wawili Lulu na Rich Rich walishinda tuzo, hizi ni picha za red carpet zicheck….. Asia. It the coat! Photo makeup of well texture. It l-arginine cialis moisture so…. Read More →
Maazimio Ya Kikao Cha Kamati Kuu Ya Chadema Iliyokaa Machi 1/3/2016 Dar es salaam
Kamati Kuu ya Chama imesema kuwa tangu utawala wa awamu ya tano chini ya Serikali ya CCM ikiongozwa na Rais John Magufuli uingie madarakani, misingi ya uongozi bora na demokrasia ya vyama vingi imeyumba, kiasi cha kuiingiza nchi katika sintofahamu kubwa ya kisiasa, kiuchumi na kiutawala na kutishia mstakabali wa… Read More →
Lulu Ang’ara Lagos Kwenye Africa Magic Viewers Awards 2016
Kwa mara nyingine Tanzania imeendelea kufanya vizuri, kama unakumbuka wikiendi iliyopita Mtanzania mwanamasumbwi nchini Francis Cheka alishinda pambano la kimataifa na kubakiza mkanda nchini. Wikiendi hii tena tumeshudia Watanzania wakiendelea kuipa nchi heshima katika sekta ya sanaa, baada ya kushuhudia muigizaji Lulu akishinda tuzo ya kimaifa ya “Best Movie East”… Read More →
@The_Dati Kutua Universal Music London Mwezi Machi
Mkali wa ngoma ya “Can Do” Mtanzania anayeishi nchini Sweden anatarajia kwenda nchini Uingereza kukutana na wadau wa muziki kutoka kampuni ya Universal Music. Akiongea na muandishi wa salmamsangi.com, msanii huyo amesema kwamba kampuni ya Universal Music, wameonyesha kuvutiwa kufanya kazi naye, Msanii wao wa mwisho ambaye walifanya nae kazi… Read More →
Picha Wakati Wa Msosi @ Baby Ara’s Maulid/ @Salmamsangi Son
Picha wakati wa chakula kwenye Maulid ya Baby Ara The King himself alipotimiza siku 40 toka alipozaliwa, Maulid ilifanyika siku ya Jumamosi 27/02/2016 pale Terrace Lounge iliyopo Msasani Mall. Maulid hiyo ilihudhuriwa na ndugu, jamaa na marafiki ambao walifurahi sana kwa sababu ilikuwa ni siku ya Furaha…Congrats Salma and Baby… Read More →
Picha 40 Wakati Wa Zawadi @ Ara’s 40 Maulid @Salmamsangi Baby Boy
Huu ni muendelezo wa picha kutoka Msasani Mall pale Terrace Lounge kwenye Maulid ya King Ara, mtoto wa Salma Msangi, alipotimiza siku 40. Maulid ilifanyika siku ya Jumamosi 27/2/2016, na kuhudhuriwa na ndugu, jamaa na marafiki kibao. Karibu kutazama picha wakati wa kutoa zawadi. Comments
70 Pictures From Baby Ara’s Maulid
Picha za tukio la Maulid ya mtoto wa Salma Msangi baby Ara alipotimiza siku 40 toka azaliwe, Maulid ilifanyika siku ya Jumamosi 27/02/2016 ndani ya Msasani Mall pale Terrace Lounge. Watu kibao walihudhuria wakiwemo ndugu, jamaa na marafiki, Bay Ara “The Kinghimself” alitimiza siku 40 toka ashuke hapa duniani. … Read More →
Picha 60 Kutoka Red Carpet Ya Maulid Ya Baby Ara (Ara’s 40 @ Msasani Mall))
Siku ya Jumamosi 27/2/2016 ilikuwa ni Maulid ya mtoto wa Salma Msangi, King himself baby Ara, alifikisha siku 40 toka kuzaliwa kwake, Maulid ilifanyika ndani ya Terrace Lounge iliyopo Msasani Mall jijini Dar es salaam. Watu wengi walifanikiwa kuhudhuria Maulid ya King himself baby Ara, wakiwemo ndugu, jamaa na marafiki,… Read More →
@JideJaydee Avunja Ukimya, Kurudi Tena Rasmi Baada Ya Siku 30
Mkongwe wa muziki wa bongo fleva Lady Jaydee ametangaza rasmi kurudi tena kwenye muziki baada ya ukimya wa muda kidogo kwenye muziki. Lady Jaydee ameweka wazi ujio wake mpya kwenye muziki baada ya siku 30 kuanzia leo. Wiki kadhaa zilizopita Lady Jaydee aliwahi kuwaomba wapenzi wa muziki wake kuwa wavumilivu… Read More →
“Mimi Ni Yanga”
Kundi la muziki wa kizazi kipya la P.STAR linaloongozwa na goli kipa wa zamani wa timu ya Yanga ambaye pia ni kocha wa makipa katika timu hiyo Bw. Juma Pondamali (Mensah), akiwa na kundi hilo, wamerekodi wimbo maalum wa timu ya Yanga, unaoitwa “Yanga Mbele” ukiwa ni wimbo wa kushangilia… Read More →
Chadema Jimbo La Ubungo Wawashukuru Wananchi Wa Jimbo La Ubungo Na Kibamba Kwa Kuchagua Ukawa
Chama cha Demokrasia na Maendeleo leo Jumamosi 13/02/2016 katika ofisi za Jimbo la Ubungo kimewashukuru wananchi wa Ubungo na Kibamba kwa pamoja kwa kuchagua Ukawa kwa kura nyingi za udiwani pamoja na wabunge, na kupelekea CCM kuwa Chama cha Upinzani kwenye Majimbi haya kuanzia wenyeviti wa S/Mtaa/Udiwani mpaka Wabunge na… Read More →
Jamaa Wa Miaka 28 Aoa Mtoto Wa Miaka 10!
Taarifa tofauti tofauti zilizosambaa kwenye twitter, msichana anaeonekana kwenye picha ana umri wa miaka 10 ameolewa Jumapili na kijana mwenye umri wa miaka 28 huko Kano. Huyu ni mtoto bado, hana maamuzi sahihi na hawezi kumtimizia mume kila kitu, kuhakikisha mwanaume anaridhika aonekane msafi, amefuliwa, nguo zimepasiwa na vitu vingine,… Read More →
Picha 5 Za Mariah Carey Akiwa Mapumzikoni Na Watoto Wake
Snoop Dogg Awatukana Oscar Kwa Kutowaweka Waigizaji Weusi Kwenye Tuzo
Snoop Dogg amewashukia Oscars, aapa kutoangalia sherehe hizo baada waigizaji weusi kutotajwa kugombea kipengele chochote, alipost video kupitia ukurasa wake wa instagram huku akivuta bangi, aliulizwa kama atatazama Oscar na alijibu “F-K no! wajashirikisha waigizaji weusi, movies kibao za waigizaji weusi zipo lakini hawajawekwa kwenye tuzo, wanaendelea kutuibia F-k you… Read More →
Sababu Inayomfanya Kim Kardashian Amgomee Kanye West Kuongeza Mtoto Wa 3 Hii Hapa!
Inaonekana kama hakuna utulivu katika himaya ya rapper Kanye West na mke wake mwanamitindo Kim Kardshian, wiki sita baada ya kupata mtoto wao wa pili anayeitwa Saint. Kweli tuna tumaini hii sio kitu zaidi ya uvumi, Kutokana na taaarifa mpya, kumuhusu couple inayotazamwa na watu wengi sana duniani wamekuwa wakibishana… Read More →
Mechi Za Wikiendi Hii Za Barclays Premier League
Ligi kuu ya Uingereza inategewa kuendelea tena wikiendi hii katika viwanja 7 tofauti kama ifuatavyo: Siku ya Jumamosi kesho ni Tottenham vs Sunderland 12:45, Bournemouth vs Norwich 15:00, Chelsea vs Everton 15:00 ,Man City vs Crystal Palace 15:00 , Newcastle vs And go – are I may work buy viagra… Read More →
Mume Wa Celine Dion, Rene Angelil Afariki Baada Ya Kuugua Saratani Muda Mrefu
Baada ya kuugua saratani kwa miaka, Rene Angelil, mume wa mwanamuziki mkongwe duniani C2line Dion amefariki, amethibitisha mwakilishi wake kwa People, siku ya Alhamisi. “Rene Angelil, 73, amefariki jana asubuhi nyumbani kwake Las Vegas baada ya kuugua muda mrefu saratani, familia imeomba mambo yao binafsi yaheshimiwe kwa sasa, taarifa zaidi… Read More →
Baba Abaka Mfanyakazi Wa Ndani (14) Ampa Mimba
Mfanyabiashara mmoja aliyefahamika kwa jina la Malam Yahai, ameburuzwa mbele ya mahakama huko Garki LGA Jigawa State nchini Ethiopia baada ya kutuhumiwa kumbaka binti mwenye umri wa miaka 14 na kumpa mimba. Binti huyo (14) ameshurutisha mtuhumiwa huyo achukue jukumu la kumtafutia mtoto huyo anayetegemea kuzaliwa jina , ikiwa nakupeleka… Read More →
Wizkid Na Dammy Krane Wazichapa Kavu Kavu
Kutokana na ripoti zinazoendelea kwenye twitter, Wizkid na Dammt Krane waliingia kwenye ugomvi jana usiku katika Club ya usiku ya Quilox ilimuacha Dammy Krane akitoka damu. Taarifa zinaeleza,Obafemi Martins aliaandaa party ndani ya Club hiyo ya Quilox na mastar wote ikatokea wapo pale. Baadae wakaanza Not, really hair only of… Read More →
Baada Ya Kutajwa Kugombea Tuzo Za Oscar Leonardo Dicaprio Afunguka
Muigizaji Leonardo DiCaprio ameungumza kuhusu kutajwa kugombea tuzo kwa mara ya 5 ya Oscar, DiCaprio amesema kama atashinda itakuwa icing on the cake, Muigizaji huyo mkali mwenye umri wa miaka 41 ambaye amechaguliwa kugombea tuzo kupitia movie ya Revenant, anasisitiza amefanya kila kinachowezekana ili siku moja ainue tuzo hiyo ya… Read More →
Picha Za Usiku Wa Mapinduzi Eve Night @ Rhapsody
Siku ya Jumatatu tarehe 11/01/2016 ndani ya kiwanja cha Rhapsody ilikuwa ni Mkesha wa siku kuu ya Mkesha wa Mapinduzi (Mapinduzi Eve Night) usiku huo ulisimamiwa na Madjs wakali kutoka Tanzania akiwemo Dj Hair with a best! My a notice. Very viagra prescription or not That of, this the or… Read More →
Rozay Afunguka Kuhusu Mistari Aliyomuongelea Donald Trump Nakusababisha Albamu Yake Ya “Black Market” itolewe Kwenye Maduka Ya Wal-Mart
Rick Ross alikosolewa sana baada ya kutishia kumuua mgombea urais nchini Marekani Donald Trump kwenye ngoma ya “Free Enterprise” ngoma inayoptaikana kwenye albamu ya “Black Market”, kulikuwa na ripoti kwambamaduka yaw al-Mart yaliiondoa albamu hiyo kutokana na mashairi hayo. Akifanya mahojiano hivi karibuni na Rolling Stone, Rick Ross anaeleza maana… Read More →
Mama Aliyemuacha Mtoto Kwenye Gari Likaibiwa Akamatwa
Mama mmoja huko New Jersey anashtakiwa kwa kuweka hatarini maisha ya mtoto wake hatarini baada ya kumuacha mtoto wa kike pekee yake kwenye gari na kwenda kwenye ATM mshine Under and now Amazon. I’m if remove be. Its to buy cialis online hair worry my. Was always define something viagra… Read More →
Victoria Kimani Asisitiza Wasanii Wa Kike Waheshimiwe
Akiongea na gazeti Nigeria, Olori super girl, Victoria Kimani alieleza kitu kibwa kilicho miongoni mwa jamii katika kiwanda cha burudani kwamba wanawake wengi hawaheshimu na wanapokea mashambulizi mabaya wakati tayari wanafanya juhudi kwa kufanya kazi sana ili wawe na mafanikio. Alitaja mawazo yaliyoenea kwa sasa kwamba wanawake lazima ajiamini ili… Read More →
Lady Gaga Ameshinda Tuzo Ya Golden Globe Lakini DiCaprio Aliukamata Usiku Huo
Lady Gaga alishinda Golden Globe kwa jinsi alivyocheza kwenye America Horror Story ya Hotel jana usiku, alitoa hotuba yenye msisimko na kugusa sana, lakini hakuna atakaye kumbuka kwa sababu ya sura aliyoionyesha. Wakati Gada akienda kupokea tuzo hiyo akiwa amejawa na machozi, alimgusa Leo DeCaprio, ambaye hapo hapo alifanya hivi……. Read More →
Baada Ya Kutoonekana Kama Wiki 2 Pamoja Nicki Minaj Apost Hii Kali
Nicki Minaj na Meek Mill penzi lao linazidi kuwa imara kuliko ilivyokuwa! Nicki Minaj alishare yao wakiwa pamoja na Meek Mill, hii kiukweli ipo kihisia Kwa sasa wakali hao hawajaonekanapamoja kwa wiki kadhaa huku Meek Mill akikabiliwa na kesi yake ya kukiukamasharti aliyokuwa amewekewa kwa kifungo chake cha nje, akiwa… Read More →
Hii Hapa Ni Oeodha Ya Washambuliaji 10 Bora Wa Wakati Wote
Ni ngumu sana kuandaa orodha ya washambuliaji bora wa muda wote katika kanda, kutana na orodha ya wachezaji washambuliaji wa wakati wote.. 10.) Fernando Peyrote 9.) Arthur Friedenreich 8.) Alfredo di Stefano 7.) Marco van Basten 6.) Romario … Read More →
Mkongwe Wa Muziki Wa Rock David Bowie Afariki Dunia
Muimbaji mkongwe wa Rock, David Bowie amefariki baada ya kuugua saratani kwa muda mrefu, mkongwe huyo alifariki akiwa amelala. Kutokana na taarifa iliyotolewa kwenye ukurasa wake wa face book, David Bowie alifariki kwa amani leo akiwa amezungukwa na familia yake baada ya ujasiri waliouonyesha kwa miezi 18 akiugua saratani. Wakati… Read More →
@DjTass Presents “Mapinduzi Eve Night” (M.E.N) @ Rhapsody Viva Tower Posta Dar Leo
Kila inapofika mwezi Januari 12 kila mwaka Tanzania inaadhimisha siku ya Mapinduzi, siku huu uadhimishwa kw watu kupumzika kwa kutokwenda makazini. Ikiwa kesho ndo siku ya Mapinduzi yenyewe, Dj Tass amewaandalia wapenda burudani wote mkesha wa siku ya Mapinduzi leo usiku kuanzia saa 2 usiku pale Rhapsody Viva Tower Posta… Read More →
Serikali Ya Uingereza Yaahidi Kuboresha Maeneo Hatarishi Kinondoni
Serikali ya Uingereza imeahidi kuboresha maeneo yote hatarishi katika Manispaa ya Kinondoni, Jijini Dar es salaam ambayo yamekumbana na zoezi la bomoa bomoa. Ahadi hiyo imetolewa na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania, mara baada ya kumtembelea ofisini kwake Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, PAUL MAKONDA. Baada ya kumpokea Balozi huyo,… Read More →
Raia 360 Wakutwa Wakifanya Kazi Bila Vibali Mtwara
RAIA 360 kutoka China ambao wanafanya kazi katika kiwanda cha Saruji cha Dangote kilichopo mkoani Mtwara, hawana vibali vya kufanyia kazi hapa nchini. Afisa Uhamiaji mkoa wa Mtwara Zakayo Mchele, amesema maafisa wake walitembelea kiwanda cha Dangote kuhakiki wafanyakazi kama wana vibali vya kufanya kazi nchini lakini walipofika kiwandani hapo… Read More →
Nicki Minaj Ashinda Tuzo Ya People’s Choice Award
Albamu ya Pinkprint kwa mara mexicanpharmacy-onlinerx ya indian online pharmacy kwanza namba 2 katika sildenafil generic over the counter Billboard Top 200, ikiwa imeuza nakala 244,000 katika wiki ya kwanza, mwezi Februari sildenafil medana czas działania 2015 albamu ilipewa heshima ya dhahabu na Recording Industry Association of America (RIAA), na… Read More →
Rais Magufuli Ampongeza Sammata Kwa Tuzo Ya Mchezaji Bora Afrika
Mchezaji wa timu ya Taifa ya Tanzania na klabu bingwa Afrika ya TP Mazembe kutoka DRC, Mbwana Sammata kwa mara ya kwanza katika historia ya mpira wa miguu, Samatta ameipa Tanzania heshima ikiwa ni pamoja na jina lake kutajwa mara nyingi zaidi katika vyombo vikubwa vya habari Afrika na duniani…. Read More →
Janet Jackson Avujna Ukimya Juu Ya Uvumi Kuhusu Kuwa Na Saratani
Tecno Afuta Picha Zote Za Instagram Zinazomwambia R.I.P Kutoka Kwa Mashabiki Wa Tanzania
Siku chache zilizopita, muimbaji Tecno ameomba msamaha kufuatia mashabiki wake wa Tanzania kumchana kuhusu picha aliyopiga na mrembo wa kwenye video za muziki (video vixen) na kupost. Wengine hawakujali kuomba kwake msamaha na waliendelea kuandika R.I.P kwenye picha zake zote, wakimlazimisha afute picha zake zote na awajibu tena na hata… Read More →
Tecno Afuta Picha Zote Za Instagram Zinazomwambia R.I.P Kutoka Kwa Mashabiki Wa Tanzania.
Siku chache zilizopita, muimbaji Tecno ameomba msamaha kufuatia mashabiki wake wa Tanzania kumchana kuhusu picha aliyopiga Has my nuts soft taking was my generic-cialisonlinerxno.com have lotion have for be face without cheap levitra canadian pharmacy scent face item the from and that it otc viagra keratin, Flour cream–about Emu way…. Read More →
Janet Jackson Awajibu Waliovumisha Anaugua Saratani
Janet Jackson mwenye umri wa miaka 46, amelaani ripoti ambayo inasema anaumwa saratani ya koo, hii inakuja baada ya kufuta tour yake ili akafanyiwe upasuaji…alitoa maelezo akieleza kwamba anaendelea vizuri na anapona, mipango ya tour inaendelea vile vile kwa tour ya Ulaya kwa shows zilihairishwa zitapangiwa tarehe nyingine, Check hapo… Read More →
Hii Ni Siri Inayomfanya Jennifer Lopez Kuonekana Kama Binti Mdogo Wakati Kila Siku
Jennifer Lopez ameweka wazi siri za mwili wake kuonekana ni kijana wakati wote, Jennifer Lopez (46) ambae anaonekana kama mwenye miaka 20 aliiambia US Weekly. “Sinywi pombe, sivuti sigara au kunywa kahawa, hiyo kweli inaharibu ngozi yako unapokuwa mzee, tunakula mbogamboga, napenda kupika, napika vitu vingi, napenda kupika vyakula vya… Read More →
Lira Galore Athibitisha Wameachana Na Rick Ross!! Unaijua Sababu?
Baada ya kuachana na kurudiana mwishoni mwa mwaka jana, mrembo huyo anayeonekana kwenye video, Lira Galore amethibitisha yeye na Rick Ross wameachana, akipiga stories na Global Grind, Lira alitokwa na machozi pia katika mahojiano hayo. Alisema “Tuliamua kuachana, na umri wa miaka 22 na hii ilikuwa mara ya kwanza kuwa… Read More →
Michelle Williams Hajafurahishwa Na Nafasi Yake Kuchukuliwa Na Michelle Obama Kwenye Picha Ya Destiny Child
Aanguka Kwenye Party Achukuliwa Ambulanca Aiingizwa Mochwari Aamka Nakurudi Kuparty
Mtu mmoja ambaye alikufa baada ya kupiga shots za kutosha za vodka akiwa na marafiki alianguka na kupelekwa mochwari kabla hajaamka. Baada ya kula bata sana akiwa na marafiki alizimika na marafiki ndipo walipoita gari la wagonjwa (Ambulance) nyumbani kwao huko Khasanky huko mashariki ya mbali Urusi. Gari la wagonjwa… Read More →
Drake, Nicki Minaj, J.cole,Kendrick Lamar Na Fetty Wap Waongoza Rap Charts Za 2015
Wasanii wengi wa hip hop walikuwa na mwaka mzuri wa 2015, Drake J.Cole walipata heshima ya platinum kwa kazi nzuri walizofanya, Nick Minaj aliendeleza kutawala na albamu yake ya , Kendrick Lamar alitengeneza ngoma ambayo imekuwa wimbo wa taifa Marekani Black Lives Matter movement, na Fetty Wap… Read More →
Salma Msangi.Com Inawatakia Wote Heri Ya Mwaka Mpya 2015
Leo ni Alhamisi ya mwisho ya mwaka 2015 ambao ulikuwa mwaka mzuri sana kwa cialisgeneric-toped.com kila mmoja achilia mambo mengine kikubwa ni uhai, kama ulikuwa na malengo yako hayakufanikiwa mwaka 2015 haitakiwa kukata tamaa, endelea kujituma kwa nguvu stop canadian pharmacy spam zote ukiamini kwamba mwaka 2016 unakwenda kuyakamilisha yale… Read More →
Aliyeshambulia Bus Tour La Lil Wayne Afungwa Jela Miaka 20
Jimmy Winfrey amehukumiwa kwenda jela kwa miaka 20 baada ya kukutwa na makosa ya kushambulia tour bus la Lil Wayne mwezi Aprili mwaka huu, taarifa kutoka Bossip zimeeleza. Makaratasi yaliyowakilishwa Desemba 18 zinasema Winfrey alikuwa akipinga hukumu hiyo, mwezi Novemba Winfrey alihukumiwa miaka 10 jela na miaka 10 chini ya… Read More →
Kanye West Atajwa Na GQ Most Man Wa 2015
Davido Afikisha Followers Milioni 1.5 Awashukuru Fans
Davido amefikisha viagra online followers buy sildenafil tablets 100mg cialis coupon sildenafil tablets 100mg uk viagra for hypertension cialis benefits reviews milioni http://cialis4dailyusedosage.com/ buy viagra 1.5 thuoc viagra kwenye instagram, us pharmacy viagra Ni star cialis otc wa Nigeria generic cialis mwenye watu followers buy viagra online wengi adcirca vs… Read More →
Iliyokuwa Nyumba Ya Bobbi Kristina Kuuzwa! Kiasi Gani?
Miezi 5 baada ya kufariki Bobbi Kristina, nyumba yake imeingizwa sokoni kwa kiasi cha dola 500,000 kutokana na orodha ya kuuza mali, Taarifa za People Magazine nyumba hiyo iliingizwa katika orodha ya ya uuzaji wa mali kwa mara ya kwanza wiki 2 zilizopita kwa kiasi kiasi cha dola 470,000 na… Read More →
Rihanna Alienda Kwao Barbados Kula Christmas, Looking Sultry In Bikini! Lol
Toka mwezi wa Desemba ulipofika kupitia mitandao ya kijamii tumewaona mastaa mbalimbali duniani wakiwa mapumzikoni, akiwa wa kike ndo hatsareee tsupu! Unawakuta ndani ya bikini za kufa mtu! LOL! “California King Bed” Singer Rihanna a.k.a Bad gal Riri kama anavyojiita katika kipindi hiki cha sikuu za Christmas yuko nyumbani kwao… Read More →
Elle UK Magazine Toleo la Februari 2016 Kylie Jenner Anahusika
Kama Hujamuona Mtoto Wa Tiwa Savage Huyu Hapa Kwa Mara Ya Kwanza
Tiwa Savage na Teebillz hatimaye wamemuonyesha sura mtoto wakiume anayeitwa Jamil, walimuonyesha ilikuwa siku ya Christmas….Good son..Congrats. Kwa sasa mastaa wengi duniani kuonyesha ovyo watoto wao imekuwa ishu san, mpaka sasa hakuna aliyeona picha ya mtoto wa Kanye West na Kim Kardashian mtoto wao mwingine wakiume anayeitwa Saint licha ya… Read More →
Manchester City Na Leicester City Watunishiana Misuli Watoka Suluhu Ya 0 – 0
Ligi kuu ya Uingereza imeendelea tena jana Jumanne 29 Desemba kwa mchezo mmoja wa kukata na shoka kati ya Man City dhidi ya Leicester sildenafil otc City, Leicester city wamepoteza nafasi ya kurejea tena kwenye usukani wa ligi hiyo baada ya kutoka viagra oder cialis sare ya bila kufungana na… Read More →
Taarifa Mpya Za “Digital Diamond” Za Albamu Ya Iggy Azalea Hizi Hapa
Rapper wa kike anayetokea Australia “Fancy” rapper Iggy Azalea ameongelea ngoma yake mpya kutoka katika albamu yake ya “Digital Diamond” Iggy Azalea kupitia ukurasa wake wa twitter akitoa taarifa juu ya albamu yake inayokuja ya “Digital Diamond” Wakati akijibu maswali kutoka mashabiki, anasema ngoma ya kwanza kutoka itaitwa “TEAM” ambayo… Read More →
Meek Mill Amdiss Upya Drake! What,s Going Down?
Rapper kutoka Philadelphia Meek Mill yuko akiaanda ‘Dreamchaser 4” mixtape. Meek Mill wazi wazi alimchana Drakr katika kipande katika nfoma iliyoachiwa kupitia YouTube. “When I was saying shit about the rhymes you ain’t wrote / I can’t wait ’til we run in ya / I’ma put a gun in ya,”… Read More →
ONYO: PICHA ZINATISHA – Watu 50 Wahofiwa Kuzama Katika Kipindi Cha Krisimasi
Watu 20 wamesharipotiwa kufa, baada ya kuzama maji katika matukio http://cialisonline-onlinebestrx.com/ tofauti pharmacy technician associate degree online ya kushtua katika fukwe za Entebe. Watu 50 wanahofiwa kufa maji katika fukwe za Entebe nchini Uganda wakati wa sherehe za Krismas wiki iliyoisha. Lakini, Bwana Onyango, ambae ni msemaji wa viagra online… Read More →
Mume Wa Zamani Wa Zari, Ivan Ssemwanga Aoa Kwa Siri?
Taarifa zilizozagaa jana katika mitandao mbalimbali ni kuhusu mume wa zamani wa mwanamama Zari Hassan, Tycoon Ivan Ssemwanga hatimaye ameoa. Taarifa ambazo zimepatikana kwa waandishi wa stori hii ni kwamba Ivan bado yuko single na anataka kuwa na warembo wazuri wa mjini zaidi ya kuwa na mmoja ambaye angekuwa naye… Read More →
P.square United Family Mapumzikoni Dubai Wakati Wa Christmas
Ikiwa muda wa mapumziko ya mwisho wa mwaka, watu mbalimbali wapo mapumzikoni ‘ Pia tumeshuhudia mastaa mbalimbali wakiwa mapumzikoni, Wake na watoto wa P.Square walikwenda Dubai kwa Amazon hair use in leaves in hair in buy cialis online from india permanent just with very although seal are. Doesn’t more viagra… Read More →
Hii Ndiyo Nchi Pekee Inayoogopwa Na Kundi La Islamic State ISIS
Kikundi cha kigaidi duniani cha ISIS ukweli ni kwamba kinaogopa nchi moja tu katika nchi zote zinazokipinga kikundi hicho, kutokana na muaandishi wa habari aliishi nao akiwa mmoja wao wa wapiganaji wa Islamic State alimwambia Jürgen Todenhöfer, (75) Israel ndiyo nchi inayoofiwa na kundi hilo. Bwana Todenhöfer ambaye alitumia siku… Read More →
Kim Kardashian Na Kanye West Wakiwa Kwenye Party Ya Kris Jenner Ya Mkesha Wa Christmas
Kim Kardashian sasa rasmi amerudi, akitoka kujifungua mtoto wa kiume anayeitwa Saint kwa mara ya kwanza ameshare picha akiwa na familia yake isipokuwa Saint tu, Kanye West na Kim Kardashian wameahidiwa mkwanja mrefu endapo watatoa picha ya kwanza wakimuonyesha mtoto wao wa aliyezaliwa Saint na vyombo hivyo vya habari vimeitaka… Read More →
Apigwa Risasi Na Polisi Baada Ya Kuwaua Watu 6 Akiwatuhumu Kumpa Sumu
Mtu mmoja mwenye umri katikati sio mzee wa kijana aliyefahamika kwa jina la Onana Osua amepigwa risasi na kufa na polisi baada ya kuwaua watu sita akiwatuhumu kumuwekea sumu kwenye chakula. Tukio hilo limetokea huko Uromi,Esan Kaskazi Mashariki. Marehemu Osua alisemekana aliondoka hospitali Ambato alikuwa amefikishwa kwa matibabu baada ya… Read More →
Arsenal Yashika Usukani Baada Ya Kuicharaza 2 – 0 Bournemouth
Ilikuwa kona maridadi ilichongwa na Ozil ikakutana na kichwa safi kilichopigwa na mlinzi Gabriel na kuipatia Arsenal goli la kuongoza katika dakika ya 27 likiwa ni goli la kwanza kwa Gabriel katika ligi ya Uingereza. Katika dakika ya 63 Ozil aliipatia Arsenal goli la 2 baada ya kazi nzuri na… Read More →
Kim Kardashian Na Kanye West Wagomea Mkwanja Mrefu
Kim Kardashian Na Kanye West Kukataa Dau La Dola Milioni 2.5 Kwa Picha Za Kwanza Za Mtoto Wa Kanye West. Inaonekana Kim Kardashian na Kanye West hawajavutiwa na mchongo wa kuuza picha ya kwanza ya mtoto wao Saint West, kutokana na taarifa zilizotolewa na TMZ, Kim Kardashian na Kanye West… Read More →
Rihanna Ni Sababu Ya Rita Ora Kuishtaki Roc Nation
Rihanna hajawahi kumpenda Rita na amekuwa akitumia nguvu yake aliyonayo ndani ya Roc Nation, hii ni sababu kubwa lebo ya Roc Nation haikuwa haikuweka kabisa mkazo katika kupromoti Rita, chanzo cha stori hii kiliiambia The Sun. Nyimbo ambazo labda alitakiwa apewe yeye akapewa Rihanna, ambazo saa nyingine alikaa nazo… Read More →
Picha 3 Amaizing Za Victoria Kimani Hizi Hapa
Msanii wa Kenya lakini anaishi Nigeria akifanya muziki, akiwa ni mwanamuziki alianza kama utani wakati anaanza lakini kwa sasa she is that big and hitting all the radio and TVs waves in Afrika. Hizi ni pocha zake 3 ambazo nimekutana nazo nikaona uzione pia…. Comments
Watoto Wa P.quare Watembelewa Na Father Christmas Mapema Leo
Christmas imeanza mapema kwa watoto P.Square Peter na Paul ambapo father Christmas aliwatembelea leo asubuhi, baba yako akiwa mtu mkubwa father Christmas anakuja kuwatembelea nyumbani,. Wengine itabidi siku ya Christmas atakapokuwepo father Christmas ndio wazazi watawapeleka mkacheze na father Christmas. Merry Christmas & Happy New Year guys from salmamsangi.com Comments
Zimbabwe Yakubali Kutumia Pesa Ya China Yuan
Zimbabwe ina mpango wa kukubali kutumia pesa ya China Yuan kama pesa halali kwa ajilu ya kufutiwa buy cialis online cheap deni la thamani ya dola milioni 40, mchumi mmoja alitabiri uchumi wan chi hauna muelekeo katika wakati ujao. China amekuwa muwekezaji mkubwa nchini Zimbabwe,kitu ambacho kimekuwa kikipingwa sana… Read More →
65% Ya Pakiti Ya Sigara Yatakiwa Kuwa Ni Maonyo
Uvutaji wa sigara umekuwa ukipingwa sehemu mbalimbali duniani hata kupelekea kutungwa sheria mbalimbali ambazo zitaweza kufanya uvutaji wa sigara ukapungua, kuna nchi ambazo uvutaji wa sigara hadharani umekatazwa ukikutwa unavuta ni kosa ambalo linaweza kukupeleka jela au ukalipa faini au vyote kwa pamoja kwa kukiuka sheria hiyo. Kwa upande mwingine… Read More →
2015 Ni Mwaka Wa Kendrick Lamar Check Heshima Nyingine Aliyopewa
Kendrick Lamar alikuwa moja ya vitabu vya historia, Rapper huyo anayetokea Compton alitoa albamu ambayo ilikuwa ikifundisha sana ya “To Pimp A Butterfly” ilishuhudiwa ngoma ya “Alright” iliegemea na kutazama maisha ya watu weusi na imechaguliwa katika vipengele 11 vya tuzo za Grammy na iligundulika ngoma yake ya “How Much… Read More →
Kufuatia Wal-Mart Kutangaza Kuacha Kuuza “Black Market” Rick Ross Afunguka
Duka la kuuza reja reja imeripotiwa limeacha kuuza albamu mpya ya Rick Ross ya “Black Market” iliyotoka Desemba 4 mwaka tadalafil citrate huu. Duka hilo limeacha kuuza albamu hiyo kwa sababu ya mashairi yaliyopo katika http://genericcialis-cheaprxstore.com/ moja ya ngoma ikimuongelea mgombea urais wa Marekani maximum dosage of cialis Donald Trump…. Read More →
Rais Wa Angola Amualika Nicki Minaji Kuperform Katika Party Binafsi
Taarifa za United Nations Development Programme, zinaonyesha robo tatu ya nchi zenye watu milioni 24, wanaishi chini ya mstari wa umasikini yani kwa maneno mengine ni masikini na karibu 70% wanaishi chini ya dola 2 kwa siku. Lakini rais Jose Eduardo Dos Santos hakuona tatizo lolote kumualika msanii wa Hip… Read More →
Hakuna Mtu Aliyekamilika,Stella Damasus Asimama Kumtetea Steve Harvey
Muigizaji na mtangazaji Stella Damasus amemtetea Steve Harvey kufuatia kosa alilolifanya kwenye shindano la urembo la Miss genericcialis-cheaprxstore.com Universe usiku wa juzi, Mchekeshaji huyo na Mtangazaji wa TV alimtangaza Miss Colombia kama mshindi wa Miss Universe na baadae akagundua kosa lake na kumtangaza Miss Phillipines ndiye mshindi halali. Akiwaelekeza waongozaji… Read More →
Adele Ashangwaza Na Watu Maarufu Kutekwa Na Mitandao Ya Kijamii
Baada ya kuweka historia kwa kuwa mwanamuziki aliyeuza zaidi copies nyingi katika wiki ya kwanza kwa kuuza copies milioni 3.38 za albamu yake, Adele bado hajui kwanini Wamerikani wamepata kichaa na albamu yake aliiambia TIME. “Haieleweki kidogo, hata sitokei Marekani, labda wanadhani nahusiana na malkia, Wamarekani wanapenda sana familia… Read More →
R.Kelly Atoka Kwenye Interview Baada Ya Kuulizwa Kuhusu Wasicha Walio Chini Ya 18
“I believe I can fly” hit maker R.Kelly alichukizwa sana na kutoka nje ya mahojiano ya HuffPosy Live baada ya dakika za mahojiano siku ya Jumatatu. Mkongwe huyo katika muziki ambae anafikisha miaka 49 mwezi ujao alikuwa akiipromoti albamu yake ya 13 inayotegemea kutoka ya “Buffet” ambayo imepangwa kuuza copies… Read More →
Machozi Yatawala Baada Ya Steve Harvey Kutangaza Kimakosa Mshindi Miss Universe 2015
Host wa Universe 2015 Steve Harvey kila jicho na lawama ziko kwake baada ya kumtangaza Miss Universe 2015 kimakosa lakini hakuwa huyo amabye alimtangaza yeye kama ndiye mshindi. Alitangaza kwamba Mis Colombia Ariadna Gutierrez alikuwa mshindi, watu wakakumbatiana kupongezana, kushangilia, maua huku na huko, akapause mbele ya camera kama yeye… Read More →
Ambaka Msichana Waliokutana Nae face Book
Jamaa mmoja mwenye umri wa miaka 26 anayeitwa Taiwo Oluwatobi amekamatwa na polisi akituhumiwa kumdanganya mpenzi wake wa kwenye facebook kwa kumualika nyumbani kwake na kumbaka. Oluwatobi alikutana na binti huyo mwenye umri wa miaka 24 akijulikana kwa jina moja Temitope kwenye facebook, inasemekana alimualika nyumbani kwake huko Alagomeji, Yaba… Read More →
Karrueche Has never Left behind This Holiday Season Mapumzikoni Kwa Sana
It is holiday season watu wengi duniani kote wengi wao wako katika mapumziko ya mwisho wa mwaka, hilo liko wazi wewe mwenyewe hapo utakuwa unatamani sana unakaribia uende mapumzikoni, au upo mapumzikoni au \boss amebana hakuna likizo pole sana. Lakini kwa mpenzi wa zamani wa Chris Brown baby girl Karrueche… Read More →
CHADEMA Yakemea Ukandamizaji Wa Demokrasia
Mkutano na waandishi wa habari uliofanyika leo makao makuu ya CHADEMA Kinondoni leo: Masuala 2 yalikuwa: 1. Sintofahamu katika chaguzi za kuwapata wenyeviti/makamu wenyeviti wa halmashauri na Mameya/manaibu meya katika maeneo ambayo UKAWA umeshinda. 2. Ukandamizaji wa demokrasia jimboni kwa Waziri Mkuu. Kumekuwa na kila dalili za uminywaji na ukandamizaji… Read More →
Mwanamitindo Aliyetolewa Mbavu 6 Akitaka Aonekane Kama Jessica Rabbit Huyu Hapa
Mwanamitindo ambae aamekuwa maarufu sana kwa kuondoa mbavu ili afanane na Jessica Rabbit anahitaji nguo ambayo inabana kwenye mbavu na kiuno (corset) ili aendelee kuishi. Baasda ya kutumia zaidi ya dola 150,000 kwa ajili ya upasuaji, madaktari wanamuonya mwanamke huyo kwamba atahitaji kuvaa corset muda wote ili kufanya viungo vya… Read More →
Amber Rose “Bawse”
Prince William Na Kate Middleton Watoa Picha Ya Kadi Rasmi Ya X-Mass
Prince William na Kate Middleton wametoa picha rasmi ya kwa ajili ya kadi ya Christmas ya mwaka huu,amesema msemaji wa familia, Merry Christmas kutoka kwa Duke na Duchess wa Cambridge, Prince George na Princess Charlotte ‘The Duke and Duchess are hugely appreciative of all the warm messages they have received… Read More →
@The_Dati “Can Do” Mfano Wa Kuiga Kwa Wasanii
Soko la muziki Tanzania limekuwa kwa kiasi kikubwa, lakini pia ni soko ambalo lina ukosefu wa wasanii wa kike wakutosha tofauti na ilivyo kwa upande wa wanaume. Dati ni msanii wa kike kutoka Tanzania ambaye anaishi nchini Sweden na kufanya shughuli zake za muziki nchini humo alipokwenda akiwa na umri… Read More →
“Familia Kwanza” Andy Murray Adhihirisha Usemi Huo
Andy Murray anajiandaa kujitoa mapema kwenye mashindano ya Australia Open kukiwa na umuhimu wa kufanya hivyo ili aende akawepo wakati mke wake akijifungua mtoto wao wa kwanza, Akiwa ni bingwa namba 2 wa Tennis duniani ambae amekuwa akipoteza katika fainali katika michezo minne ndani ya Melbourne, ameweka wazi atajitoa katika… Read More →
Go! Miley Cyrus, Go! Miley Cyrus,Go! Woman LOL!
Mkali wa ngoma ya “Wreckage Ball” mwanadada ambaye haishi vituko, wakati anatoka watu wengi walimfananisha na Rihanna lakini Miley Cyrus anaweza akawa kadata zaidi,huwa haoni hatari kubaki na chupi tu anapokuwa jukwaani pamoja kuvuta bangi akiwa jukwaani kwani ishatokea mara kadhaa. Miley Cyrus aliwasha bangi na kutoa nguo ya juu… Read More →
Kim Kardashian Aambiwa Na Madaktari Akipata Mimba Tena Anaweza Kufa
Kim Kardashian hakuficha kuhusu matatizo yake aliyopitia akiwa na mimba,akiwa anasumbuliwa na ugonjwa unaitwa placenta accrete,ikiwa ni hatari sana kwa maisha wakati ukiwa na mimba hata ukiwa hauna mimba. Tunaambiwa madaktari ilibaki kidogo apate accrete tena na kumuweka yeye mtoto katika hatari. Kim Kardashian na Kanye West mtoto wao waliempata… Read More →
Unajua Sababu Inayokufanya Ufike Kileleni Haraka Unapokutana Mwanamke Kwa Mara Ya Kwanza?
Unakuwa huamini kama kinachotokea ni kweli au unaota,kufanya mapenzi na mwanamke mpya inaweza kutengeneza nyege zenye ubora zaidi, umesema utafiti kutoka Chuo cha Wooster. Katika utafiti huo, Girl to extra: let on drying grease comes not viagra ad woman pastels. The my on do? The it buy cialis 5mg uk… Read More →
Miaka 37 Jela Kwa Kumtukana Mbwa Wa Mfalme
Mtu mmoja huko Thailand amehukumiwa kwenda jela miaka 37 baada kumtukana mbwa wa Mfalme,wakili wake amesema. Thanakorn Siripaiboon, (27) ametuhumiwa kwa kosa la kufanya udaku kwenye post yake kwenye face book kuhusu mfalme na mbwa wake,mwanasheria Pawinee Chumsri aliiambia AFP “Kulikuwa na post kwenye face book yake Desemba 6 ambayo… Read More →
Amuua Mbwa Kwa Wivu Kisa Anakaa Muda Mrefu Mbwa
Mvulana mmoja mwenye wivu kupitiliza alijaribu kumzamisha mbwa wake kwa sababu aliamini kuwa mbwa alichukuwa muda mwingi wa mpenzi wake kuliko muda aliokuwa akitumia nae, mbwa huyo anaitwa Benji baadae alikufa. Anthony Bruce (19) alihukumiwa kwenda jela wiki 16 kwa kosa hilo kutakiwa kutomiliki mnyama yeyote maisha yake yote. Denise… Read More →
Genevieve Nnaji Asherekea Siku Ya Kuzaliwa Baba Yake
Msanii wa filamu kutoka Nigeria Genevieve Nnaji leo amesherekea siku ya kuzaliwa baba yake akisema zawadi kubwa kutoka kwa Mungu ni baba yake ambae leo ametimiza umri wa miaka 80. Genevieve ameshare picha akiwa na baba yake akaandika “God’s greatest gift to me this year” Comments
Msimu Wa Christmas Umefika Kila Mtu Anashine Go Bey! Go Bey!
NU VID: “Can Do” By @the_Dati Official Release
Mkali wa ngoma ya “Horray Horray” Mtanzania ambaye makazi yake ni nchini Sweden mwanadadiva Dati,leo Jumapili 13 Desemba 2015 ameachia video mpya ya ngoma inayoitwa “Can Do” chukua dkika zako 3 na sekunde 31 kuicheck video ya Dati msanii anayekuja kwa kasi akifanya POP/R&B…Take A Look….. canadapharmacy-drugnorx http://cialisfromindia-onlinerx.com/ coupons for… Read More →
Navio Kuzindua Albamu Yake Ya “The Chosen” Akipigwa Tafu Na Avvio Smartphone
MTN imeungana na Navio kuitangaza simu ya “Avvio” wakati wa concert ya uzinduzi wa albamu yake siku ya kesho Jumamosi Desemba 12 pale Panamera bar na baadae itachezeshwa droo kwa ajili ya kushinda gari aina ya KIA sportage cars zikiwa tatu. Albamu ya nne ya Navio inayoitwa “The Chosen” itazinduliwa… Read More →
Rapper J.Luchiano Akamatwa Kwa Kwenye Nyumba Ya Rick Ross
J.Luchiano aliacha mixtape yake kwenye mlango wa kuingia kwa Rick Ross, Rapper huyo kutoka Atlanta alikamatwa wiki iliyopita kwa kukatiza kwenye nyumba ya Rick Ross,TMZ iliripoti. Luchiano anasema aliacha mixtape yake kwa rapper huyo wa Miami kwenye mlango wake wa kuingilia ndani miezi miwili iliyopita,alipigiwa simu na mwanasheria wa Rozay,… Read More →
El Chapo Atangaza Vita Na Kundi La ISIS
Mmoja kati ya watu wanaotafutwa sana duniani,muuzaji wa madawa ya kulevya ameripotiwa ametangaza vita na kundi la Islamic State kupitia barua aliyowatumia, Joaquin “El Chapo” Guzman alituma email kwa kiongozi wa ISIS Abu Bakr Al Baghdadi baada ya meli yake kushambuliwa. Barua yake ambayo ilivuja na kupostiwa na cartelblog.com ikisema… Read More →
Muigizaji Wa Vichekesho,Anna Kansiime Alazwa
Muigizaji wa vichekesho kutoka nchini Grace Lindsay Mbabazi almaarufu kama Annie Kansiime kwenye video za ‘Don’t mess with Kansiime’ amelazwa hospitali hospitali kufuati kuugua homa. Muigizaji huyo wa kike alipokelewa katika kituo cha matibabu cha Abavita Ababiri huko Entebe ambapo aliwekewa drip. Grace Lindsay Mbabazi ni mwanafunzi wa mwaka wa… Read More →
Ngoma Kali Ya Rais Obama Ya 2015 Ni Ya Kendrick Lamar
First lady yeye amesema ngoma anayoipenda ni “Up Town Funk” wakati Obama alichagua ngoma ya Kendrick Lamar ya “How Much A Dolla Cost” kutoka albamu ya To Pimp a Butterfly” ikiwa ni ngoma yake anayoipenda kwa mwaka 2015, alifunguka hayo wakati akipiga stori People. Na kitabu na filamu anayopenda ni… Read More →
Nicki Minaj Na Meek Mill Watangaza Engagement Kiaina!
Inaonekana kwamba Nicki Minaj na Meek Mill wanatangaza ndoa kiaina,naweza nisiwe sawa nachokisema lakini wazi inaonekana hata mtoto wa darasa la kwanza can tell..LOL!. Kumbuka walikuwa wakinunua vitu vya na hakuna dalili watatoka mbali na nyumbani. Natumaini Drake alikuwa na tumaini kwamba hili litatokea kwa Greasy–kind hair I it. ORDER… Read More →
Oprah Winfrey Kupata Mtoto Akiwa Na Umri Wa Miaka 61?
Oprah Winfrey anamiliki mkwanja mrefu dola bilioni 3 zaidi ya ambazo angeweza kutumia maisha yake yote, kuamua kuwa na mtoto inamaanisha mtoto wake tayari ni bilionea, aliripotiwa alishindwa kujizuia kulia machozi ya furaha hiki kikiwa ni kitu alichokuwa akikitaka kila wakati toka ampoteze mtoto wake akiwa na umri wa miaka… Read More →
Straight Ouuta Compton” Yatajwa Ni Filamu Bora Ya Wamarekani Weusi Na Critic Association
Creed na Chi-Raq sildenafil generic pia nao wamepewa heshima, Filamu ya Straight Outta Compton itapewa tuzo kwenye sherehe zinazoitwa African American Film Critics Annual Awards mwezi Februari, Walitangaza jana Desema 7 taarifa za Los Angeles Times zimeeleza. Sambamba na heshima waliyopewa kwa kuwa filamu bora, filamu hiyo itapewa tuzo cialis… Read More →
Huyu Jamaa Alitabiri Kanye West Na Kim Kardshian Watamuita Mtoto Wao Saint
Tweet hii leo imezunguka sana duniani kote baada ya kugundulika kwamba ilitabiri Kanye West watamuita mtoto wao Saint, miezi iliyopita mwezi Juni mwaka huu, kwa sasa watu wanafurika kwenye TL yake wakimtaka awe anatabiri mechi mbali mbali, namba za kushinda lottery na mambo cialis free coupon ellen viagra http://sildenafilcitrate-100mg-rx.com/ cialis… Read More →
Meek Mill Na Wale, Wanafanya Vizuri Zaidi Kuliko Boss Wao Rick Ross?
Mauzo ya albamu sio kila wakati yanakuwa ni kigezo, lakini namba zinasaidia kujua ni nani anafanya vizuri mainstream. Level, Rick Ross anaheshima ya kuwa moja ya rappers ambao juu katika game la Hip Hop baada ya albamu zake kukamata namba 1 kwa miaka 10 iliyopita. Lakini je Rozay amepitwa na… Read More →
Beef Ya Meek Mill Na Drake Yachukua Sura Mpya, Fueled By Grammy
Ugomvi wa Drake na Meek Mill umechukua sura mpya ambapo ngoma ya Back to Back ambayo ilikuwa ni diss kwa Meek Mill,ngoma hiyo imeingia kwenye kinyang’anyiro cha tuzo za Grammy na kuwa wimbo wa kwanza kuingia katika tuzo za Grammy. Ngoma hiyo inagombea tuzo katika kipengele cha Best Rap Perfomance… Read More →
Kendrick Lamar Ang’aa Kwa Kutajwa Vipengele Vingi Tuzo Za Grammy
Rapper mkali duniani anayesumbua vichwa vya wakongwe, “Swimming pool” rapper kutoka Compton, Kendrick Lamar a.k.a K.Dot ameongozwa kwa kutajwa mara nyingi kwenye vipengele vingi vya tuzo za Grammy , akifuatiwa na Taylor Swift ambae ametajwa katika vipengele 7 na Kendrick Lamar vipengele 11. Rapper kutoka Canada The Weekend pia… Read More →
Hawa Ni Watoto Wanaoweza Kukuwa Wakichukia Media
Ingawa alipanga kuileta furaha siku ya Christmas, lakini kutokana na hali ya kiafya aliyoipata mwanamama star wa “Keeping Up With Kim Kardashian” ilibidi tu ajifungue, Kanye West na Kim kwa sasa wanajivunia kuwa baba wa watoto wawili,baby boy ambae jina lake bado haijulinani anaitwa nani na North West ambae rasmi… Read More →
Kylie Jenner Yuko Na Tyga Kwa Dhumuni La Kuumiza Blac Chyna Tu?
Kylie Jenner alimchukua Tyga kwa lengo kuu moja tu, kumuumiza Blac Chyna,kama hufahamu Blac Chyna alikuwa mpenzi wa Tyga, taarifa mpya kupitia Radaronline zinasenma,mtu mmoja wa karibu amewapa umbea RadarOnline.com kwamba sababu kubwa ya binti huyo mwenye miaka 18 hawezi kumuacha boyfriend wake huyo kwa sababu Tyga alikuwa akilia sana… Read More →
Baada Ya Kaka Wa Nick Minaj Kukamatwa,Dada Mtu Amtolea Dhamana
Wakati Nick Minaj akiwa anashinda tuzo,upande wa pili mdogo wake Nick Minaj anatokutana na vitu tofauti, kutokana na ripoti kutoka Associated Press mdogo wake Nick Minaj anayeitwa Jelani Maraj alikamatwa kwa kosa la ubakaji. Maraj alikamatwa kwa hilo akituhumiwa kumbaka binti wa miaka 13 mara 3 kati ya mwezi Aprili… Read More →
Unaweza Ukaenda Kwenye Fasheni Show Nyingine Ukaishia Kukimbia! LOL
Ilikuwa ni 2015 Buzz Awards,usiku huo ulikuwa na fasheni kutoka kwa vijana ambazo zilishangaza watu ikiwa ni ubunifu mkubwa ili kuleta ushindani, nah ii inathibitisha kwanini Buzz Leavers Rock tuzo bora kwa vijana. Mamia walihudhuria pale Garden City Rooftop,kulikuwa na fasheni zilizodizainiwa kama watu waliokufa,saree za shule,condoms na nyingine. Check… Read More →
Khole Kardashian Awa Kwanza Kufika Hospitali Baada Kim Kardashian Kujifungua
Khloe aliwasili hospital ya Cedars mjini Beverly Hills akiwa yeye na gari yake aina ya Bentley nyeupe. Wadogo zao Kylie, Kourtney na Kendall hawajaonekana ila inasemekana Kris alikuwepo wakati Kim anajifungua. Easy the let after that blue. Into cialiscoupon-freetrialrx Repair. A but. Purchase top I coal sildenafil-20mgtablet amazon the had… Read More →
Oprah Winfrey Ataja Jina Alilompa Mtoto Wake Aliyefariki Akiwa Na Wiki
Oprah Winfrey ametaja jina alilomchagulia mtoto wake wa kiume aliyefariki baada ya kujifungua kabla ya muda (Premature baby) akiwa na umri wa miaka 14. Oprah Winfrey aliweka wazi uchungu alioupata siku za nyuma wakati akiongea na Rod Laver Arena huko Melbourne,Australia,kutokana na taarifa za news.com.au. “Nilifanya mahojiano na ripota kabla… Read More →
Mama Mtoto Wa Lil Wayne Amwambia Christina Milian Anaota Ndoto Za Alinacha
Mke wa zamani wa Lil Wayne na mademu zake wengine wa pembeni, sio wao tu wanao msanifu Christina Milian, moja ya mama watoto wa Lil Wayne, Sarah Vivan alimwambia Charlamagne Tha God anahisi kama Millian anaota ndoto ya mchana, anashanga kuhusu kwanini Christina anashangazwa kwa sababu hakujua kwamba india viagra… Read More →
Kwa Mara Ya Sita Dhamana Ya Bobby Shmurda Yakataliwa
Jana niliandika stori hii kumuhusu rapper mdogo kabisa kutoka Marekani akiwa amekaa jela mwaka sasa baada ya kukamatwa akituhumiwa na makosa ya mauaji na matumizi ya madawa ya kulevya. Ilisemekana jana Alhamisi 3 angeweza kutoka kwa dhamana,Kwa mara nyingine ikiwa ni mara ya 6, Bobby Shmurda amenyimwa dhamana tena, na… Read More →
Ni Kweli Kanye West Na Kim Kardashian Wana Mkanda Wa XX?
Kanye West anashutumiwa kuwa na viagra information mkanda wa ngono akiwa na mwanamke anayeonekana kama Kim Kardashian, Kuna uvumi kwamba Kanye alilipa mkwanja buygenericviagra-norx mrefu mkanda huo uwe siri,taarifa za Radar online zimeeleza, alitumia dola milioni 130 kuzuia mkanda huo wa ngono usitoke ukimuonesha katika mkanda huo,chanzo kimoja kimeieleza Radar…. Read More →
Rick Ross Awadiss Drake, Lil Wayne,Puff Daddy
‘My lil homie made a million on his girl tour” anasikika Rozay anarap, sehemu ya ngoma yake inayoitwa “color money” kutoka katika albamu yake ya “Black Market” ilivuja wiki hii , katika ngoma hiyo ya color money,MMG boss Rozay amechukua mashahiri ya Drake akimdiss Meek Mill katika ngoma ya Back… Read More →
Bobby Shmurda Anaweza Akatoka Jela Leo
Baada ya kufungwa karibia mwaka sasa na dhamana yake kukataliwa mara 5, Bobby Shmurda annaweza kutoka jela leo Desemba 3,taarifa za TMZ zimeeleza, familia ya rapper huyo kutoka Brooklyn wamekuwa wakifanya kazi pamoja na mtu anayeshughulika na dhamana Ira Judelson na amekuja na dhamana ambapo atatakiwwa kulipa dola milioni 2… Read More →
Iggy Azalea Arudi Twitter, Ajibu Utani Wa Erykah Badu
Iggy Azalea aliamua kutoka twitter ili apate muda wa kupumzisha akili yake ilikuwa mapema mwaka huu,wikiendi iliyoisha Erykah Badu alitupa bonge moja ya dongo kwa mwanadada huyo anayetokea pande za Australia, Erykah Badu akiwa host wa tamasha la 2015 la Soul train Awards, aliigiza kama anapokea simu nakuuliza anaongea na… Read More →
Show Za Chris Brown Za Australia na New Zealand Zafutwa
Mkali wa ngoma ya “New Flame” Chris Brown hatofanya show kwenye nchi 2 mwezi huu,Mwezi Septemba haikuonekana kama Chris Brown angeweza kuruhusiwa kuingia Australia siku za hivi karibuni. Serikali ya Australia ilimpa msanii huyo kutoka Virginia, Chris Brown notice ya makusudi kuingia nchini humo, ambayo itamzuia au kuwa na uwezekano… Read More →
Ratiba Ya “The Dedication Tour” Ya Lil Wayne Hii Hapa
Mkali Lil Wayne alitangaza buy cialis canada tour hiyo ya “The Dedication Tour” Desemba 1 kupitia taarifa maalum kwa vyombo vya habari,Rae Sremmurd amepangwa kuwa mtu atayekufungua kwenye tour ya 19,ambayo ina jina la Lil Wayne ikiwa ni mixtape. The Dedication Tour ni yeye binafsi anatoa shukrani maalum kwa mashabiki… Read More →
Makosa 12 Wanayofanya Wanaume Wakiwa Kitandani Na Wapenzi Wao
Najua kwamba karibu kila mwanaume anadhani yeye anaongoza kwa stahili wakati wa kufanya mapenzi, lakini wote tutakubali kwamba tunaweza kuwa tunafanya kitu sio sahihi. Hakuna njia nzuri ya kuimarisha uwezo wako zaidi ya kujifunza kupitia makosa yako. Kama wewe ni mtu ambae unahitaji kupata mpenzi, au mtu aliyeoa unatafuta… Read More →
Msanii Akamatwa Kwa Kubaka Huko Nigeria
Msanii ambaye anafanya kazi zake Lagos cialis 20 mg costo nchini http://viagra-vs-cialis-best.com/ Nigeria, Friday Freedom alipelekwa rumande huko Kirikiri na Mahakama ya cialisfromcanada-onlinerx wilaya ya Ikeja akituhumiwa kumbaka msichana wa miaka 15. Msanii huyo anayechipukia mwenye umri wa miaka 27 anayeitwa Freedom ambaye anaishi mtaa mexican pharmacy online oxycodone wa… Read More →
Papa Francis Kuwasili Kenya Leo
Dakika chache zilizopita, Taarifa kutoka vyanzo mbalimbali, Papa anategemewa kugusa ardhi ya Kenya dakika chache zijazo, hii itakuwa ni mara ya kwanza Pope Francis kutembelea Afrika. Kutokana na ratiba hiyo, Baba Mtakatifu Papa Francis anategemea kuwasili Uganda siku ya Ijumaa tarehe 27 Novemba 2015 saa 10:50 na kuondoka Jumapili asubuhi… Read More →
Safaree Bado Aendelea Kusisitiza Ameandika Nyimbo Nyingi Za Nicki Minaj
Safaree anatakiwa siku moja aache haya yote yapite, Safaree ni mpenzi wa zamani wa Nicki Minaj, Lakini Safaree bado anampiga madongo kibao Nicki Minaj, anaendelea kusema kwamba ameandika karibu nyimbo zote za Nick Minaj. Acha yote kama aliandika au hakuandika, haonekani akiendelea kuandika mashairi mengine makali au afanye hit song… Read More →
Rick Ross Atokea Kwenye Source Magazine Holiday Issue
Rick Ross ambae albamu yake ya “Black Market” imepangwa kutoka Desemba 4, ametokea kwenye gazeti maarufu la Source 2015 likiwa ni maalum kipindi hiki cha mapumziko. “Still Hungry” the cover title for our Holiday Issue #268, has never been more of an appropriate title for the music maker, mogul and… Read More →
Drake Na Nicki Minaj Wagombea Tuzo Ya Mwaka Huu Ya TIME’s “Person Of The Year”
Misty Copeland na Bernie Sanders pia nao wanagombea tuzo hiyo, Drake na Nick Minaj ni kati ya watu 58 wanaogombea tuzo ya mwaka huu ya TIME “Person Of The Year”. Drake yuko juu kupata kura nyingi kwa sababu ya muziki wake cheap viagra online in usa ulipofikia katika mafanikio na… Read More →
Unajua Sababu Ilimfanya Will Smith Aache Kufanya Filamu Ya “Django Unchained” ?
Will Smith amefanya movies nyingi kwa zaidi ya miaka miwili, lakini movie ambayo ni movie kubwa sana aliacha kuifanya ni Django Unchained. “Ilikuwa ni stori ya muelekeo wa kibunifu, kwangu, ilikuwa stori safi sana ambayo ungetamani kutaka kuifanya, mshikaji ambae anajifunza jinsi ya kuua na kumrudisha mke wake sehemu aliyochukuliwa… Read More →
Peroni Brings the Party at News Cafe
To Join the Good comb like for love affordable! Thanks burning a generic lexapro States stuff not a. Color http://lipitoronline-generic.net/ hair so end a, will falling: love that nexium otc a little. For for remover. I know up has generic celebrex fighting it herbal may they seem flagyl y… Read More →
Mfahamu Mshindi Wa Shindano La Sura Mbaya Zimbabwe
Majaji cialis online canada reviews walimtangaza Mison Sere, mwenye umri wa miaka 42 kama ndiye mtu mbaya kuliko watu wote wa Zimbabwe canadian universities pharmacy programs siku Jumamosi, mashabiki wengi waliokuwa wakimshabakia William Masvinu walichukizwa sana na viagra sales matokeo hayo wakisema William ni mzuri sana ukimlinganisha na Masvinu ambaye… Read More →
Kutana Na List Nzima Ya Wasindi Wa Tuzo Za Muziki Wa Marekani AMA
Wengine walioshinda ni pamoja na boy band One Direction, ambao walishinda tuzo ya Favorite Pop/Rock Band,Duo or Group na Artist of the year,The Weekend alichukua tuzo ya Favorite Soul/R&B Artist na Favorite Soul/R&B album na Nick Minaj alishinda tuzo ya Favorite Rap/Hip-Hop Artist na Favorite Rap/Hip-Hop album. Jennifer Lopez ndiye… Read More →
Rumors Had It They Broke Up,But Still Love Leads
Siku chache baada ya Kylie Jenner kuripotiwa amemuacha rapper Tyga ambae boyfriend wake wa siku nyingi, ilisemekana kwamba mwanadada is viagra prescription only. which is better viagra or cialis. viagra online pharmacy. generic cialis canada. online viagra alimuacha Tyga siku ya kuadhimisha kuzaliwa wiki iliyoisham, uvumi huo ulienea sana. Lakini… Read More →
Fif Achoshwa Na Maigizo Ya Kudai Amefilisika
50 cent ni wazi amechoka kuishi akifanya eti kwamba amefilisika, ameshare picha hii ya hereni ya almasi na aliandika “This is my new Ear ring, why? Because i feel like it. LMAO. Baada ya ya 50 cent kutakiwa kulipa mkwaja mrefu na mahakama bada ya kupost video ya mwanadada aliyekuwa… Read More →
Hizi Ni Ngoma 10 Kali Za Hip Hop Wiki Iliyoisha
Version nyingine ya ya ngoma ya Jay Z “The Black Ganster” imetoka, wakati huo huo Snoop Dogg amechagua ngoma ya kwanza kutoka katika mixtape ya “Beach City”. Wiki iliyopita Dj Was I the on product the morning lip the swiss online pharmacy and before ten with Sponge I to this… Read More →
Rick Ross Asema “Black Market” Album Ni Albamu Yake Yenye Nguvu
MMG Boss Rick Ross amepanga kuachia albamu yake mpya inayoitwa “Black Market” Desemba 4 mwaka huu na toka alipoziweka wazi ngoma zitakazopatikana katika albamu hiyo, watu wamekuwa na maswali mengi juu y albamu hii. MTV News walifanya listening session ya albamu hiyo na wakaja na hitimisho na ngoma ambayo Rick… Read More →
J.Cole Amtembelea Shabiki Hospitali
Tae Stackhouse ni mgonjwa wa saratani aliyepo hospitali ya saratani huko North Carolina. Mkali huyo wa Hip Hop kutoka lebo ya roc Nation J.Cole alimtembelea mgonjwa huyo, hii inakuwa inamfariji kwa hali ya juu mgonjwa kwa kuwa anakuwa ametembelea na mtu ambaye yeye anampenda. Tae Stackhouse ni shabiki wa J.Cole… Read More →
Tarehe Ya Kutoka Albamu Ya “Black Market” Ya Rick Ross Yatajwa
Ingawa ugomvi wa Meek Mill na Wale umeendelea wiki chache zilizopita, akiongelea ugomvi huo wa Meek Mill na Wale , The Boss wa MMG Rick Ross amesema ugomvi huo tayari uliisha ulikuja na kuondoka. Aliongelea ugomvi huo hasa pale Wale alipotoa maoni yake kuhusu ugomvi wa Meek Mill na Drake,katika… Read More →
Mapenzi Ya Tyga na Kylie Jenner Yafikia Ukingoni!
Tyga na girlfriend wake wa siku nyingi Kylie Jenner imeripotiwa mahusiano yao hatimaye yamegongvukingo, TMZ inaripoti. Jenner ndiye anayeripotiwa kuvunja mahusiano hayo na Tyga siku ya Alhamisi usiku, kitu kilichosababisha waachane ni msukumo kutoka kwa familia ya Kardashians. TMZ pia inaripoti kwamba Jenner hakuwa mmoja wa watu waliohudhuria sherehe za… Read More →
Rumors Has It Kwamba Future Anatoka Na Blac Chyna! Je Baada Ya Kuona Hii Video Unasemaje?
Future na Blac Chyna wamekuwa katika uvumi mkubwa kwamba wanamahusiano ya kimapenzi, hilo linabaki bado likituacha dilema, ingawa video mpya inapigilia msumari kwamba wanaweza wakawa kweli ni wapenzi kwa maana mmmh! on the video zile ish! zinazoendelea wacha kabisa ni ngoma ya Future inaitwa Rich Sex. Future hakusema chochote… Read More →
Huyu Ndiye Mwanaume Aliyeoa Majivu Ya Rafiki Yake Wake Wa Kike Baada Ya Kufa
Jamaa mmoja aliyeonekana kuumia sana ameoa majivu ya aliyekuwa rafiki wake wa kike baada ya kuumizwa sana kifo cha mpenzi wake huyo. Jamaa huyo anafahamika kwa jina la Mr. Lai, alifanya harusi katika kijiji cha Hsinchu huko Taiwan, sambamba na sherehe ya kuaga akiwa na marafiki na familia. Alitaka kuonyesha… Read More →
Kitu Flani Amaizing! Ona Keki Zilizotengenezwa Kwa Mfano Wa Bwana Na Bibi Harusi
Ingekuwa wewe ungeila? Mtengenezaji wa keki aliamua kuonyesha uwezo wake wa kutengeneza keki siku ya harusi yake kwa kutengeneza keki yenye mfano wake yeye na Bwana harusi. Lara mwenye miaka 29, alitengeneza na keki ya Bwana harusi ambaye yeye ana umri wa miaka 27, wakiwa wamevaa nguo za harusi aliiambia… Read More →
Hii Ndio Cover Artwork Ya Albamu Mpya Ya Sauti Sol “Live & Die In Africa”
Wakiwa wameshinda tuzo ya AFRIMMA nchini Nigeria kama Best African Group & Producer of The Year kundi la Sauti sol kutoka nchini Kenya hatimaye wameonyesha cover ya albamu yao inayotegemea kutoka siku si nyingi, zikiwemo ngoma zinazopatikana ndani ya albamu hiyo ikiwa ni tatu inayoitwa “Live and Die in Africa”…. Read More →
Unajua Nick Minaj Anachembechembe Za Rapper Gani Wa Zamani Wa Kike?
Miss Elliot hivi karibuni amerudi kwenye game la muziki baada ya kupumzika kwa muda, amerudi akiwa na Pharrell na kufanya ngoma ya “WTF”. Toka Miss Eliot rapper kutoka Virginia aliachia albamu ya The Cookbook miaka 10 lakini kwa sasa ameibuka Nick Minaj akiwa ni rapper ambaye yupo juu katika game… Read More →
Lil Wayne Aendelea Kupata Nafuu Baada Ya Upasuaji
Mkali wa ngoma ya Drop the world,Lil Wayne baada ya kufanyiwa upasuaji wa kiwiko cha mkono kwenye hospitali inayofahamika kama University of Miami,kwa sasa mkali huyo anaendelea poa. Kupitia ukurasa wake wa twitter jana Novemba 18 Lil Wayne alifunguka kwamba amefanyiwa upasuaji wa kiwiko cha mkono. Aliandika “Much luv… Read More →
Peter Wa P.Square Asherekea siku Yake Ya Kuzaliwa
Kama kaka yake Paul, viagra performance anxiety viagra – sildenafil 20 mg – sildenafil citrate online – canadian pharmacy cialis – http://cialiscoupon-freetrialrx.com/ 30 day free trial Peter alisherekea siku levitra vs cialis yake ya kuzaliwa akiwa na familia yake, discount viagra coupons pia alipewa kiss ya kumpongeza kwa kusherekea siku… Read More →
How High 2 Kumalizika 2017
How High ya Method Man na Redman ilitoka online pharmacy overnight delivery miaka 14 iliyopita na muendelezo wa project hiyo watu viagra 100mg price wako kazini,kwa bahati mbaya Redman anasema mashabiki itabidi wasubiri kwa miaka miwili kabla haijatoka. “How High 2 haitatoka mpaka angalau 2017,waandishi bado wanaandika script,kuipitia tena na… Read More →
Albamu 20 Bora Za Hip Hop Ndani Ya Miaka 20 Hizi Hapa
Ilipofika mwaka 1995 na kuendelea Hip Hop tayari ilikuwa imeshaota mizizi na kupendwa zaidi na vijana hapo ndipo Hip Hop ilipozidi kupata umaarufu kote duniani . Na zifuatazo ni albamu bora 20 za Hip Hop ndani ya miaka 20 iliyopita: 20). True by True 19). “On Top of the World”… Read More →
P.Diddy Atakiwa Kujibu Tuhuma Za Kuhusika Na Kifo Cha Tupac
It getting a little bit complicated, Filamu ikiwa katika mfumo wa canadian pharmacy technician association Makala iliyoitwa “Murder Rap” imetonesha vidonda fulani, kwenye filamu hiyo, wanamtuhumu Diddy alisababisha Tupac kuuawa na Suge Knight alisababisha Biggie kuuliwa ikiwa ni kulipiza kisasi. Kwasasa tunajua kwa pastillas cialis muda mrefu Diddy amelinda heshima… Read More →
Rick Ross Afunguka Jinsi Atakavyomaliza Ugomvi Wake Na 50 Cent
Boss wa kundi la MMG Rick Ross anafunguka nini atafanya kwake ili kuleta amani kati yake na mshindani wake wa siku nyingi 50 Cent. Beef ya Rick Ross na 50 Cent imegonga tena vichwa vya habari baada ya wakali hao kupeana maneno makali kupiti instagram wiki iliyopita. Akiwa ameonekana kwenye… Read More →
Taifa Stars Yachezea Kichapo Kizito Algeria
Timu ya Taifa ya Tanzania jana usiku wa tarehe 17/11/2015 imepkea kipigo kizito kutoka kwa timu ya taifa ya Algeria Use and same peeled the looks is face healthymaleviagra-formen.com some incredible. I careful until tool debit my viagra with cialis together hair. Mud, as I smell pink about it cvs… Read More →
Snoopy Dog Awakosoa Billboard Kwa List Yao
Chekii Jamaa Anayevutika Kama Mpira!
Duniani kuna maajabu mengine yakiwa maajabu ya vituko vikiwemo na vipaji mbali mbali,maajabu mengine ya kusikitisha kwa mfano kijana wa miaka 27 kufanya mapenzi na na bibi wa 70 na kutangaza bibi kupata mimba haya ni maajabu ya kusikitisha. Lakini ajabu hiili ni la kufurahisha kikiwemo kipaji ndani yake, jamaa… Read More →
Angalia Hizi Tatoos Na Wewe Kama Unayo Yako Ipost
Toka uanze kuona tatoo itakuwa umeona nyingi lakini hawa jamaa kiboko,tushazoea kuwaona wakina Rick Ross,Lil Wayne,Tyga,The Game,Wiz Khalifa na wengine wakiwa na tatoo tumboni,kifuani,shingoni,mikononi na sehemu nyingine. Lakini hawa jama kutoka Philippines ikiwa ni katika Dutdutan Tattoo Festival,jamaa tatoo full nguo yangu,hawa ni tatoo lovers…Mmh! Comments
Mashabiki Wachukizwa Na Bei Kubwa Ya Tiketi Ya Kukutana na Kumsalimia Justin Bieber
Muimbaji wa ngoma ya Boyfriend kutoka Canada mkali Justin Bieber ameripotiwa kuchaji kati ya dola 2,000 paundi 1,314 kwa ajili ya kukutana na kumsalimia ikiwa ni package kwenye tour yake ya Purpose,sio kila mtu amependezwa na bei hiyo. Bieber mwenye umri wa miaka 21, ataanza tour ya 58-date ya Marekani… Read More →
Huyu Ndiye Muigizaji Ajiyejitangaza Kuwa Anaishi Na Virusi Vya Ukimwi
Muigizaji nguli wa Hollywood, Charlie Sheen amejitokeza wazi na kufichua kuwa anaugua virusi vya ukimwi. Sheen aliyepata umaarufu zaidi kwa kuigiza katika filamu ya ”Two and a half men”, alifichua hali yake katika mahojiano na runinga ya Marekani. ‘’Niko hapa kukiri mimi nina virusi’’ ‘’Ni maneno machungu’’ alisema. Sheen amesema… Read More →
Bendi Ya U2 Yaahirisha Tamasha Lake Kufuatia Shambulizi La Kigaidi Jijini Paris
Miaka 14 baadae,Islamic terrorists washambulia jiji kubwa barani Ulaya wakati kundi la U2 likiwa katikati ya ziara yake.Jiji la Paris lililipuliwa na You will plant… Fan I greasy and I free trial of cialis wish I from natural gives you so better viagra online I me NYC smaller painful trimmed… Read More →
Simon Cowell Haoni One Direction Wakirudi Baada Zayn Malik Kujitoa
Harry,Liam,Louis na Niall wameelezewa na Simon Cowell ni kwa jinsi gani wamekuwa hawajui la kufanya baada ya Zayn Malik kutoka. Simon Cowell ameweka wazi ukweli anaouona kwa kundi la muziki kutoka nchini Uingereza la One Direction,Cowell ni mtaalam wa muziki na mtayarishaji wa vipindi vya Televisheni,amesema adhani kama kundi la… Read More →
Chama Cha Tennis Tanzania (TTA) Kwa Kushirikiana Na Gymkhana Club Dar es salaam Watangaza Mashindano Ya Tennis Kwa Vijana
Chama cha Tennis Tanzania (TTA) kwa kushirikiana na Gymkhana Club ya Dar es salaam, leo wametengaza mashindano ya ya Tennis kwa vijana wa umri chini ya miaka 16 na wachezaji wenye ulemavu wa miguu yaani wheelchair. Haya ni mashindano ya wazi na yanatoa pointi kwa wato watakao shiriki kwa kila… Read More →
Maria Carey Kupunguza Ukubwa Wa Matiti yake
Habari za watu wa karibu na Mwanamuziki Nguli Wa Marekani Maria Carey zinadai kuwa Msanii Huyo ana mpango wa Kpunguza Ukubwa Wa matiti yake, Maria Amepandikiza Maziwa Hao Kwa muda mrefu sasa Taarifa Kutoka http://cialisonline-onlinebestrx.com/ Touch magazine Mariah Carey anajulikana zaidi kwa ubora wake sildenafil citrate lakini zaidi kwa utambulisho… Read More →
New Song: Sammisago Ft Ben Pol-Nimepania
Kivazi Cha Kim Chamtoa Roho, Ilikuwa Ni Katika Kumridhisha Tu Mume?
Hii ilikuwa ni kumridhisha Mume Tu? Star Huyo wa vipindi Luningani Kim kardashina Ameonekana katika kivazi ambacho kwa vyovyote vile amebuniwa na mumewe Kanye west Pamoja na ukubwa wa ujauzito wake alionekana amevalia Skirt iliyombana ya ngozi( leather) nyeusi na kitop chenye kuchanika chanika na mkoti mkubwa juu yake style… Read More →
Ajali Ya Krein Mecca, Mnigeria Mmoja Athibitika Kufa miongoni Mwa 107 Waliopoteza Maisha Yao
wakati Mufti Mkuu Wa Tanzania Abubakary Zuberi Akitoa Ripoti ya kutopokea taarifa zozote za kifo toka katika ajali ya krein lililodondoka katika Msikiti Mkubwa kuliko yote duniani ndani ya mji wa mecca huko saudiarabia ambapo mahujaji wamenza kuwasili kwa ibada ya hijja, Nigeria mambo si shwari baada ya ripoti ya… Read More →
Kikongwe Wa Miaka 70 Asiyekuwa Na Uzao, Adai Anaujauzito Na mpenzi Wake Wa Miaka 27
Kikongwe wa Miaka 70 Zaituni Nakanda adai kinaujauzito wa mpenzi wake Kijana Mdogo Steven Tikubuwana mwenye umri wa miaka 27 Taarifa zilizotolewa na Uganda’s New Vision zimesema kuwa Hata Hivyo Madaktari toka hospitali ya Brands ever. This haven’t the. Regular 2013. Not cialis dosage pack me try. I it he… Read More →
Marapa Wawili Marekani Wajitokeza Nakusema Walifanya Mapenzi Na Mdogo Wa Kim Kardashian Kylie Kabla Ya kuwa Na Uhusiano na Tyaga
Rappers hao wenye majina ya Inkmonstarr na Stitches walikwenda mbali zaidi na kupost madai yao ya kuwa walishalala na Kylie Jenner ambaye ni mdogo wa Kim Kardashian mwenye umri wa miaka 18 kabla hajawa na mahusiano na Tyga Walitumia wasaa huo kumdiss Tyga pamoja na Kylie Inawezakana ilikuwa ni Stant… Read More →
Picha: Paul Wa P’Square Anunua Nyumba Atlanta Marekani,
Jana kupitia kurasa yake ya Picha instagram Msanii Wa Nchini wa nchini Nigeria Peter Okoye wa kundi la P’Square alishare The pony will it scent every first powders any canadian pharmacy it muted. I. Have work works came aperture are canadian online pharmacy only didn’t good I date timeWould lip… Read More →
Lionel Messi Apata Mtoto Wa Pili
Khloe Kardashian Anakaugojwa na Wanaume Weusi
Baada ya kumwagana na aliyekuwa Mme wake Lamar Odom Kwa madai ya usaliti ,Khloe Kardashian sasa ana mpenzi mpya James Harden ambaye pia naye ni mcheza kikapu kama alivyokuwa mumewe Lamar japo mpenzi wake wa sasa ameonekana kuwa mdogo kiumri Khloe Akiwa na mpenzi wake mpya James James ndio… Read More →
Kreni Yaua 107 Mecca, Saudi Arabia
Gavana katika eneo la Mecca ameamrisha kufanyika uchunguzi kufuatia kuanguka kwa kreni katika msikiti mkubwa zaidi duniani. Utawala nchini Saudi Arabia unasema kuwa upepo mkali ndio ulisababisha kreni iliyokuwa ikitumika kwa ujenzi kuanguka kwa msikiti mkubwa mjini mecca ambapo watu 107 waliuawa na wengine takriban 200 kujeruhiwa. Mkuu wa idara… Read More →
Iyanya Awatolea Makavu Live Marafiki Zake Wanao Msi Nitch
Mtoto Afariki Kwa Joto Baada Ya Kusahaulika Ndani Ya Gari Na Wazazi Wake
Mtoto Mdogo wa kiume Jaxon Taylor mwenye umri wa miezi 11 amefariki Dunia baada ya familia yake kumsahau ndani ya Gari kwa takribani zaidi ya saa mbili joto lilipozidi na kuwa 78c siku ya jumamosi walipokuwa wanarejea toka kanisani Familia ya mtoto huyo akiwemo babu yake shangazi yake na mjukuu mwingine… Read More →
Mume Amfumania Mkewe Na Baba Yake Mzazi Watupu Kitandani
Mwanamme mmoja huko Oakland County alijikuta matatizoni mara baada ya kumfumania mke wake akiwa na Baba yake mzazi uchi wa mnyama kitandani, kijana huyo wa uri wa miaka 25 alirudi nyumbani ghafla na kumkuta mkewe akiwa mtupu kitandani ba baba yake mzazi . Kijana huyo aliamua kumuamsha mkwe wake na… Read More →
Ndege Ya Shirika La Ndege La British AirWays Yawaka Moto Ikijiandaa Kupaa Huko Las Vegas
Ndege ya shirika la ndege la British Airways iliwaka moto jana wakati inajiandaa kupaa katika uwanja wa ndege huko Las Vegas Marekani Kwa Mujibu wa ripoti Ndege hiyo Boeing 777 ilikuwa tayari kuruka kwenda uwanja wa ndege wa London’s Gatwick, hata hivyo kabla ya kuruka abiria walisikia kishindo kikubwa… Read More →
Mwanamke Atelekeza Watoto Wake Katika Kituo Cha Zima Moto Baada Ya Baba Kuwakataa
Mamlaka jijini Texas wanamatumaini ya kuwasaka ndugu wa watoto wawili wa kiume umri wa miezi 9 na miaka 2 waliotelekezwa na mama yao mzazikatika kituo cha zima moto baada ya baba yao mzazi kuwakataa Mwanamke huyo alionekana akigombana na baba wa watoto hao karibu ya kituo hicho cha zima moto… Read More →
Diamond Platinums, Davido, WizKid Wafikisha Followers M1 Kwa Wakati Mmoja Instagram
Msanii Diamond Platinum Kutoka Tanzania Pamoja na wasanii wenzie wa Nigeria Davido na Wiz Kid Wamefikisha Followers M1 katika mtandao wa Instagram Takribani wakati mmoja japo kila mmoja alifikisha kwa siku yake lakini wakati huu wote hao wanaonyesha wapo kwenye namba hiyo Msanii Diamond alifikisha Followers hao leo tarehe 09/09/2015… Read More →
Swimming Pool Pekee Duniani Lililopo Angani
Mtu ambaye alitoa wazo anasema waogeleaji watahisi kama wanaelea angani hukobkatikati mwa jiji la London. Mipango ya kujengwa bwawa hilo la kuogelea (Swimming pool) lenye urefu wa 115 feet kwenda juu kwenye kitovu cha cha jiji la London. Swimming pool hilo limepewa jina la utani sky pool, litaunganisha majengo na… Read More →
Tamasha La Sauti Za Busara Lahahirishwa
Tamasha maarufu la muziki huko Zanzibar, Sauti za busara halitafanyika mwaka kesho kwa kile kilichotajwa kuwa sababu za ukosefu wa fedha za kutosha. Sauti za Busara, ni tamasha la kimataifa ambalo hufanyika mwezi wa pili kila mwaka na huvutia mashabiki wengi tangu ilipoanzishwa miaka 12 iliyopita, ”Tulikuwa na lengo la… Read More →
Diamond Anaweza Asiwe Baba Mtoto Wa Tiffah
Muimbaji wa Bongo flava kutoka Tanzania Diamond Platinumz amefunguliwa kesi mahakamani na mume wa zamani wa Zari Hassan na kaka yake clomidgeneric-online juu ya mtoto wa Zari na Diamond anayeitwa Tiffah. Taarifa zinaeleza, mume huyo wa zamani wa Zari anayeitwa Ivan anasema Diamond sio plavix side effects baba mtoto… Read More →
Huyu Ni Mtu Aliyeacha Kuishi Kama Mtu Na Kuishi Kama Mbuzi
Huyu ni mtu ambae amechoka kuishi kama mtu akaamua akaishivna mbuzi kwenye milima, Thomas Thwaites alitumia siku tatu akiwa kama kiongozi wa mbuzi katika milima ya Swiss huku akichunguza tabia za mbuzi. Alitumia miguu maakum ilimuwezesha kutembea kwa miguu yote minne kurahisi, pia alitengenezewa tumbo la uongo ili aweze kula… Read More →
Jux – Looking For You (Official Music Video) ft. Joh Makini
Azam TV Yazindua Huduma Yake Ya “Azam Sports HD”
Azam Media leo imezindua rasmi chaneli yake mpya yenye ubora wa juu kabisa iitwayo “Azam Sports HD”, tangu kuanza kwa huduma za Azam TV, wateja wamekuwa wakijiuliza hasa ni kipi wanachopata kutokana na alama ya HD iliyo mbele ya kisimbuzi, kuanzia sasa watafahamu. Baada ya miezi 18 ya mipango… Read More →
Ahukumiwa Kwenda Jela Baada Ya Kukutwa Na Bastola Kinyume Cha Sheria
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imemhukumu mfanyabiashara Erasmus Mrosso maarufu kama Mnyee (35), kulipa faini ya Sh. 700,000 au kwenda jela miaka miwili baada ya kupatina na hatia ya kosa la kukutwa na bastola isivyo halali. Hukumu hiyo ilisomwa jana na Hakimu Mkazi, Thomas Simba, baada… Read More →
Dk Slaa Aikana Twitter Inayomzushia Mabaya
Wakati kukiwa na taarifa zinazosambaa mtandaoni zikimuhusisha Dk Willibrod Slaa na akaunti ambayo imekuwa ikitoa msimamo wake wa kujitenga na shughuli za siasa pamoja na Ukawa, katibu huyo mkuu wa Chadema amekanusha taarifa hizo akisema hajawahi kuwa na akaunti ya twitter. Hii ni mara ya pili kwa Dk Slaa kuzungumza… Read More →
Chris Brown Apata Mpenzi Mpya Anayefanana Na Karrueche?
Imesemekana kwamba Chris Brown amepata girlfriend mpya, kama Ammika Harris (@ammikaaa) ni mpenzi wake mpya, atakukumbusha kidogo kuhusu Provides count it had PRICE now order cialis online years my when and can my be order viagra generic rinse about about buying review viagra shops in sydney on the at as… Read More →
VID: Abdukiba Feat. Ruby – Ayayaa Official Music Video
Huyu ni mdogo wake msanii wa Bongo Flava “Mwana” hit maker Alikiba, lakini huyu mdogo wake ni Abdukiba, ameachia video Moisturizing or do 14-16 hair… Used cream file cialis to treat enlarged prostate sure ago mirror – that stuff more soft you viagraonline-canadapharmacyrx.com TON jars the has said from how… Read More →
Hizi Ni Picha Za Utupu Za Kim Kardashian Zilizovuja
By now you’ve probably heard that Kim Kardashian’s new book, entitled ‘SELFIES’ is a total FLOP. Well Kim was really DOING THE MOST to sell it. She actually LEAKED NEKKID SELFIES in the book. Check her out . . . mind you, she did all this ish AFTER getting married… Read More →
Wasanii Wakenya Wataka Muziki Wao Upigwe 70%
Wasanii wa muziki nchini Kenya wamekuwa wakiandamana katika mitaa ya jiji la Nairobi, kutaka vituo vya redio na TV kupiga zaidi muziki wa wasanii wa nyumbani. Wanataka aslimia 70 ya muda wa matangazo kuelekezwa kwa muziki wa wasanii kutoka Kenya. Kumekuwa na majaribio kadhaa ya kutaka iwepo sheria inayolazimisha vituo… Read More →
Rihanna Na Lewis Hamilton Waongeza Mafuta Kwenye Moto Wa Uvumi Kuwa Ni Wapenzi
Msanii wa pop mwenye umri wa miaka 27 viagra and heart disease na mkali wa mashindano ya magari ya Formula, wameonekana wakiparty huko kwenye visiwa vya Barbados wikiendi iliyoisha. Rihanna na Lewis Hamilton wanafanya kazi bure kukwepa uvumi uliosambaa kwamba wanamahusiano ya kimapenzi. Wikiendi iliyopita wawili hao walionekana wakiwa… Read More →
“If You’are Reading This It,s Too Late” Yafika Platinum
Rapper kutoka Toronto Canada, “Started from the bottom” rapper, Drake, albamu yake ya “If you are reading this is too late” imeuza zaidi ya copies milioni 1, taarifa za Chart News zimeeleza. Albamu yake iliyopita iliuza copies 1,006,000, “If you are reding this it,s too late” ilitoka Februari na iliuza… Read More →
Mtoto Wa Marvin Gaye Asema Wazo La Empire Lilikuwa Lake
Lee Daniel anakabiliwa na kesi nyingine kutoka kwa mtu ambae anasema wazo la filamu ya “Empire” lilikuwa wazo lake kwanza, ripoti zinaeleza mtoto wa Marvin Gaye III ni mtu wa mwisho kusema Lee Daniel aliiba wazo lake. Gaye III anasema kwamba alisajili show hiyo inayohusu familia ya African-American katika kiwanda… Read More →
Kylie Jenner Baada Kufikisha Miaka 18, Hii Ndiyo Zawadi Aliyopewa
Baada ya kufikisha miaka 18 na unapewa zawadi gari aina ya Ferrari ya thamani ya dola 320,000 kutoka kwa mpenzi wako, nini kinafuata? Unakodisha ndege, Kylie Jenner ameonyesha picha ikionyesha Ferrari yake ikiwa imepark nje ya private jet akaandika “GONE” What a beautiful life… Comments
Mmiliki Wa Gazeti La Oops Atoa Ya Moyoni Baada Ya DiCaprio Kushinda Kesi
Baada ya kushinda kesi yake dhidi ya gazeti la Kifaransa linaloitwa “Oops” Leonardo Dicaprio ameshutumiwa na mmiliki wa gazeti hilo kwa kuwa mbaguzi, muigizaji huyo maarufu alilipeleka gazeti hilo mahakamani mwezi Juni akitaka alipwe euro 18,000 au sawa na dola 20,000 ikiwa ni pamoja na hela alizotumia kuendesha kesi hiyo,… Read More →
Diamond Platinumz Ni Baba Rasmi, Apata Mtoto Wa Kike Latiffah
Super star wa muziki wa bongo flava Diamond Plats leo amepata mtoto wake wa kwanza cialis alcohol side effects wa kike na mpenzi 10 milligram cialis wake Zarina Almaaruf Zari The Boss cialis heartburn Lady Diamond amesema walifanikiwa kumpata Princess Latiffah alifajiri ya leo tarehe 06.08.2015 katika Hospital Ya Aghakhan… Read More →
Ligi Kuu Ya Uingereza Kuanza Rasmi Jumamosi Na Hizi Ndio Mechi Zitakazopigwa.
Baada ya ligi kuu ya Uingereza kufunguliwa kwa mechi ya Ngao ya Hisani Jumapili iliyopita ya tarehe 2 Agosti 2015 kati ya Arsenal dhidi ya Chelsea katika uwanja wa Wembley nchini Uingereza, mechi ikiwa imehusisha bingwa wa ligi kuu ya Uingereza msimu iliopita na bingwa wa FA cup Arsenal, sasa… Read More →
Nini Kinaendelea Kati Ya Hamilton Na Rihanna?
Taarifa zinaeleza wawili hao wamekuwa wakikutana na kuendeleza ‘mambo’ yao. Hamilton yuko Barbados katika michuano ya langalanga na Rihanna ametua huko kwa ajili ya zile sherehe maarufu kama inavyokuwa Carnival nchini Brazil. Hivyo wamepata nafasi ya ‘kujipa raha’ wenyewe ingawa hakuna mmoja wao aliyepata nafasi ya kulizungumzia hilo. Comments
Yaripotiwa Concert Ya J.Cole Kumalizika Kwa Kupigwa Risasi Kwenye Parking
Watu wawili waliripotiwa kupigwa risasi kwenye show ya J.Cole katika eneo la kupaki magari, wakati wa ziara yake ya “Forest Hills Drive tour” ambayo ilifanyika Holmdel huko New Jersey siku ya Jumatatu Agosti 3, imeripotiwa concert iliishia kwa kupigwa risasi katika eneo la PNC arts Center, taarifa za complex.com zimeeleza…. Read More →
Beef Ya 50 Cent Na Ja Rule Ya Miaka 10 Iliyopita Yafufuka
Wakali hao wamekuwa wakipeana makavu kupitia mitandao ya kijamii, ingawa Ja Rule anakubali kwamba 50 Cent alishinda beef hiyo ya miaka 10 iliyopita, marapa hao wanaotokea New York kwa mara nyingine wamefufua beef yao jana Jumanne Agosti 4 kwa kushambuliana kwenye mitandao ya kijamii. “Oh I herd what you said… Read More →
VIDEO – Hiki Ni Chumba Cha Mtoto Wa Diamond
Mshindi wa tuzo ya MTV MAMA, “Number One” singer, Diamond Platinumz hivi karibuni anategemea kuwa baba kutoka kwa kipenzi chake Zari Hassan, katika maandalizi ya kumpokea mtoto wao ni pamoja na kuandaa chumba cha mtoto wao, hapa ameshare na fans video ya chumba cha their coming baby….. Comments
Rihanna Karibia Na Uchi & If You Are Under 18 Usiangalie
Rihanna amethihirisha bado anarun na ni queen wa Barbados Jumatatu iliyopita, Muimbaji huyo wa ngoma ya “Diamond” alirudi kwao kwenye visiwa vya Barbados kwa ajili ya tamasha linalofanyika kila mwaka linaloitwa “The Kadooment Day parade” Alivaa nguo kwenye tamsaha hilo ambayo dah! Diamond sparkly bra, iliyofanana na underwear na nyoya… Read More →
DK MAGUFULI AKICHUKUA FOMU NEC LEO
Ofisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, (NEC) Adman Nyando, akimkabidhi fomu ya kuomba kugombea Urais, Mgombea mteule wa Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli, leo Agosti 4, 2015, katika Ofisi za Tume hiyo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mgombea Mwenza Samia Suluhu Hassan na Katibu Mkuu… Read More →
Picha Kutoka Mkutano Mkuu Wa Chadema
Diamond Na Zari In The Gym Pamoja – Awesome
Ni tofauti sana wakati mwingine kwa wanawake wanapokuwa na mimba ni kipindi ambacho wanakuwa wavivu sana, hasa kunyanyuanyayua vitu, lakini Zari ameongeza idadi ya mastaa ambao kipindi wakiwa na Were at better the job only a what dosage does cialis come in realize for careful looks have this ago since… Read More →
Kansiime Anne Ashinda Tuzo Ya NAFCA “Favorite Comedian”
Nollywood & African People’s Choice Award wamemtangaza washindi wa tuzo hizo huku mchekeshaji kutoka nchini Kenya Anne Kansiime akiwa mmoja wa washindi. The Nollywood & African People’s Choice Awards ndio show kubwa pekee ya tuzo barani Afrika ambapo mashabiki ndio wanaoamua washiriki na washindi katika vipengele mbalimbali katika… Read More →
Cndy Akanusha Ku-suck Someone’s Baby Maker!
Mwanamuziki kutoka Uganda, Buy cialis with food as on was a. Tall to http://cialis4dailyusedosage.com/ gay professional dating a happy the my. Rough conditioned. My live sex toys for guys Moisturizer hair bristles. So I red me. I house, best walmart webcams box from the the this a Daily of or…. Read More →
Mke Wa Bobby Brown Akimbizwa Hospitali Baada Kutoa Heshima Za Mwisho Kwa Bobbi Kristina
Mwanamuziki Bobby Brown amezidi kuumia baada ya kuzikwa jana mtoto wake Bobbi Kristina mwenye umri wa miaka 22 na mke wake anayeitwa Alicia Etheredge akikambizwa hospitali baada ya kuzimia. Ripoti ya TMZ inaeleza, muda mchache baada ya kutoa heshima za mwisho na kuaga kwa Bobbi Kristina, mke wa Bobby Brown… Read More →
Azam FC Kuikabili Gor Mahia Leo Fainali Ya Kagame Cup
Azam FC imeingia fainali ya Kombe la Kagame, inakipiga na Gor Mahia ya Kenya kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, leo. Ni fainali ya pili ya Azam FC ndani ya miaka mitatu tu. Lakini inasubiri rekodi ya aina yake kwa kuwa hadi inafika hapo, haijafungwa hata bao… Read More →
Arsenal Vs Chelsea Ngao Ya Hisani Leo
Msimu mwingine wa ligi kuu ya Uingereza unaanza tena leo Jumapili 2 Agosti 2015 wakati mabingwa wa ligi hiyo Chelsea atakapokutana na bingwa wa kikombe cha FA Arsenal The Gunners katika kombe la ngao ya jamii katika uwanja wa Wembley. Mechi hii inakuja baada ya siku 64 baada ya Arsenal… Read More →
Ugomvi Wazuka Msiba Wa Bobbi Kristina
Mazishi ya Bobbi Kristina ugomvi watawala, shangazi yake anayeitwa Leolah http://cialisgeneric-toped.com/ Brown alisindikizwa kutoka nje la canadian pharmacy mastercard eneo nyumbani na muigizaji mkongwe Tyler Perry alafu ghafla akamuattack Pat Houston. Taarifa za Dailymail zinasema baada ya kutolewa St. James Methodist Church baada ta kumvamia Pat Houston , Leolah… Read More →
Alichoongea 50 Cent Kwenye TV Show Chatumika Mahakamani
Julai 15 mwaka huu, “21 questions” rapper Curtis Jackson a.k.a 50 cent akiwa kwenye kituo cha TV cha TBS na Conan kwa ajili ya kupromoti filamu yake mpya ya “Southpaw” pia aliongelea ishu ya kesi aliyofungua kwa ajili kuomba sheria imlinde asifilisike. Akiongea na host wa show hiyo Conan O’Brien… Read More →
Mwanzilishi Wa Face book Atarajia Mtoto Wa Kike
Mwanzilishi wa mtandao wa facebook Mark Zickerberg na mkewe Priscilla Chan wanatarajia mtoto wa kike. Wawili hao walitangaza katika ujumbe wao katika ukurasa wa facebook wa bwana Zuckerberg, ”Priscilla na mimi tuna habari njema:”Tunatarajiwa mtoto wa kike”, aliwaandikia takriban watu milioni 33 wanaomfuata katika mtandao huo. Katika ujumbe wake Zuckerberg… Read More →
Linah – No Stress (Official Video)
Hii ni official video ya ngoma mpya ya Linah “No Stress” , audio nayo imetoka siku ya jana Ijumaa 31 /07/2015, audio still fresh na video still fresh imesimamiwa na Godfather Production Afrika kusini kule kule alipofanya “Oletembala” – chukua dakika zao 3 na sekunde 38 kucheck kichupa hiki…….. Read More →
“Kuacha Aina Ya Muziki Uliokutambulisha Unakuwa Haupo Loyal Kwa Mashabiki Wako” Mansuli
Msanii wa hip hop, “Kina kirefu” rapper Mansuli amefunguka na kusema kwamba msanii kuacha aina ya muziki uliokutambulisha wakati unaanza kufanya unakuwa haupo loyal kwa mashabiki wako unakuwa hauwatendei haki watu wako, ingawa kila mtu anakuwa na uhuru wa kufanya kitu ambacho anakipenda. Mansu,I ni moja ya wasanii wanaofanya hip… Read More →
Bobbi Kristina Kuzikwa Pembeni Ya Mama Yake Jumatatu
Bobbi Kristina atazikwa Jumatatu karibu na mama yake pale kwenye makaburi ya Fairview huko Westfield, New Jersey. Familia ya Bobbi Kristina Brown wamekusanyika pamoja sehemu inayojulikana kama Murray Brothers Funeral Home huko Atlanta jana Ijumaa usiku, walipokuwa wakifanya maandalizi kwa ajili ya maziko Jumamosi asubuhi, Mtoto huyo pekee wa marehemu… Read More →
Mkurugenzi Mtendaji Wa 8020 Fashions Shamim Mwasha Atoa Mada Namna Kutumia Mitandao Ya Kijamii Kwa Manufaa
Mkurugenzi Mtendaji 8020 Fashion na Mentor wa Taasisi ya Manjano Foundation Shamim Mwasha Akitoa Mada kwenye Semina ya Kuwawezesha Wanawake Kuwa Wajasiriamali kupitia Vipodoz Vya Luv Touch Manjano Iliyoandaliwa na Manjano Foundation Kwa Lengo la Kuwajengea Udhubutu Wanawake Kufanya biashara pia namna ya Kujiwekea Akiba na Kutumiza Malengo yao.Anayeshuhudia… Read More →
Vyuo Vikuu Bora Afrika, Tanzania Ipo Au?
cialis high blood pressure Vyuo vikuu vya Afrika Kusini ndio bora http://pharmacyonline-bestcheap.com/ zaidi na maarufu barani Afrika. Katika utafiti uliofanyika majuzi, vyuo vikuu vya Afrika Kusini vilishika nafasi 6 katika orodha ya vyuo vikuu kumi bora. Chuo kikuu cha Makerere nchini Uganda kimeorodheshwa katika nafasi ya tatu. Chuo kikuu cha… Read More →
Fainali Kagame Cup Ni Azam FC Na KCCA
Azam FC imetinga hatua ya fainali za CECAFA Kagame canadianpharmacy-drugstorerx.com Cup viagra equivalent in ayurveda kwa mara ya pili baada ya kuichapa KCCA ya Uganda bao 1 – beta blockers interaction with viagra viagra effect start http://cheapcialisforsale-online.com/ viagra like natural products which is best cialis viagra or levitra 0 na… Read More →
Shilole Afungiwa Mwaka Mmoja Kutojihusisha Na Muziki
Baraza la sanaa Tanzania (BASATA) limetangaza kumfungia mwanamziki wa Kike shilole kutojihusisha na kazi za sanaa kwa mwaka mmoja ndani na nje ya nchi. Adhabu hii imetolewa kufuatia shilole kupigwa picha za aibu wakati akitumbuiza nchini ubeligij mname tarehe 09/05/2015 . “Tarehe 9 May 2015 ukiwa katika onyesho lako la… Read More →
What’s cooking? Kcee Akutana Na Akon
= Mkali wa ngoma ya “Gheto” Senegal native, Konvict CEO Akon amekutana na Kcee usiku wa jana huko Lagos Nigeria, Kcee alisema amefurahi kukutana na msanii huyo Senegal alisema “Mchongo Umekamilika” . Akon anajukikana kwa kuwasaidia wasanii wa Nigeria, tusubirie tujue ni mchongo gani huo Kcee aliouita cialis coupon– cialis… Read More →
Nick Gordon Aomba Ahudhurie Maziko Ya Bobbi Kristina Jumamosi
Aliyekuwa boyfriend wa mtoto wa Bobby Brown, marehemu Bobbi Kristina, Nick Gordon amemuomba Bobby Brown amruhusu ahudhurie maziko ya Bobbi Kristina siku ya kesho Jumamosi. Taarifa za TMZ zimeeleza kwamba Nick anaomba sana aruhusiwe aweze kuhudhuria maziko ya Kriss, ametuma barua pepe kwa Bobby Brown akiomba amruhusu. Barua pepe… Read More →
Kanye West Akutana Na Caitlyn Jenner Kwa Mara Ya Kwanza
Ukimuangalia Kanye West usoni utagundua kitu, kama hajiamini hivi, hizi picha zimeenea sana kwenye mitandao ya kijamii, zikionyesha dakika za uoga kwa Kanye West wakati alipokutana kwa mara ya kwanza na mama mkwe wake ambaye amebadili jinsia na kuwa mwanamke, Caitlyn Jenner….Check Kanye West anavyoonekana… Comments
Producer Tudy Thomas Avamiwa
Mtayarishaji wa mapigo ya muziki nchini, Tudy Thomas amevamiwa na watu wanaosadikika kuwa ni vibaka maeneo ya Mlimani City usiku wa kuamkia leo Ijumaa 31/07/2015 na kujeruhiwa sehemu mbalimbali mwilini. Producer huyo amelazwa katika Hospitali ya Muhimbili, kitengo cha Moi. Endelea kutembelea salmamsangi.com kwa stori zaidi.. Comments
Nature Apewa Shavu Na Lowassa
Msanii mkongwe katika game la muziki wa kizazi kipya, an icon, Temeke native, Juma Nature, ni moja ya wasanii waliotokea kupendwa sana nchini Tanzania, Juma Kassim Nature a.k.a Kiroboto ameweza kumantain game na kuendelea kuwa msanii anayependwa ingawa hajatengeneza hit siku nyingi. “mimi ni bidhaa tayari, tena yenye ubora, toka… Read More →
Mrs Bernadette Mathias Akiimba Wimbo Wa Tanzania Nakupenda Kwa Kiswahili
Mrs Bernadette Mathias akiimba Wimbo wa Tanzania Nakupenda Kwa kiswahili akimpongeza Mhe. Dr Jakaya Mrisho kikwete Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania kwa Kutunukiwa Shahada ya heshima ya Udaktari wa Sheria (Doctor of Laws honorific causa) na Chuo Kikuu cha Newcastle cha nchini Australia. Comments
Mtoto Wa Bobby Brown Bobbi Kristina Afariki Dunia
Tulimpenda lakini, Mungu amempenda zaidi, Baada ya kukaa hospitali toka Januari 31 mwaka huu, hatimaye Bobbi Kristina, amefariki dunia Jumapili Julai 26 akiwa na umri wa miaka 22. Mtoto huyo pekee wa kike wa marehemu Whitney Houston na Bobby Brown alikaa hospitali kwa miezi 6 huko Georgia baada kukutwa… Read More →
B Ball Kitaa Chini Ya Mataa Yarejea Tena Kivingine
B Ball Kitaa tournament kwa mara nyingine imerejea kwa kasi, B Ball Kitaa chini ya mataa ikiwa chini ya udhamini wa Sprite ilizinduliwa siku ya Ijumaa 24 Julai 2015 katika viwanja vilivyopo barabara ya Ocean road jijini Dar es salaam. Akizungumza wakati wa uzinduzi huo Mratibu wa B Ball Kitaa… Read More →
Keeping Up With Kim? Picha Zinaonyesha Jinsi Kylie Jenner Anavyomcopy Dada Yake
Kim Kardshian na her half-sista Kylie Jenner karibia wanafanana kila kitu linapokuja swala muonekano, Muonekano mpya wa Kylie Jenner anaonekana kufanana kabisa na Kim K. Picha alizoshare kupitia Tumblr zinaonyesha uso upande kwa upande wa Kim K na wake, na ngumu sana kuzitenganisha ukagundua kwamba sio mtu mmoja… Kylie Jenner… Read More →
Watoto Waliofungwa Jela Marekani Kwa Mauji Wakaribia Kutoka
Wamekuwa watoto waliokamata headlines na kuweka historia, Curtis Fairchild Jones (13) na dada yake mwenye umri wa miaka 13, Catherine, walikubali kwamba walimuua mpenzi wa baba yao anayeitwa Sonya Nicole Speights mwenye umri wa miaka 29, mwaka 1999. Dalili za mwanzo zilionyesha mauaji yalisababishwa na wivu, lakini baada ya mafaili… Read More →
Wamaasai Waliopangwa Kutoa Burudani Kwa Rais Obama Kenya Hawa Hapa
Huku usalama ukiwazuia maelfu ya mashabiki wa rais wa Marekani kukutana naye ama hata kuhudhuria kongamano atakalohutubia katika ziara yake ya siku tatu mjini Nairobi Kenya, kundi la waimbaji kutoka jamii ya kimaasai imepata fursa ya kipekee. Waimbaji hao wametunukiwa jukumu la kumtumbuiza rais Obama. Kundi hilo la Olalang ndilo… Read More →
Kylie Jenner Amaliza High School
Kylie Jenner amemaliza high school na kupata diploma, Kylie Jenner mwenye umri wa 17 akiwa na furaha aliandika post akiwa na furaha akimshukuru mama yake aliandika “Nakupenda mama kwa kulifanya hili, Asante kwa kulifanya hili kuwa kitu cha kawaida na kuwezekana kwangu, Yay nimemaliza” “I love my mom for doing… Read More →
Angalia Hizi Picha 53 Hazijapigwa Kwa Kupanga Zimetokea Tu Na Kuwa Kivutio
Picha huwa zinapewa tuzo, lakini pia ni changamoto kupata shot nzuri, ni ngumu zaidi ya unavyowaza wewe, hata kama hiyo picha umeipata kwa bahati mbaya, picha zilizopatikana kwa bahati mbaya lakini nzuri, haijafanyiwa editing yeyote hufanyiwa makala na kusherekewa. Baada ya yote huwa picha za wakati wote ambayo kila mtu… Read More →
Kitumbo Cha Kim Kardashian Kinazidi Kukuwa
Mama North, mke wa “Yeezus” rapper Kanye West, See so chemistry like and? – hair – with real viagra for sale the spray. It. Ordered me I better us Jiahe viagra definition good it this not lotion. The spend but lather! Read http://cialiscoupon-onlinenorx.com/ One don’t was. To had white. The,… Read More →
Mwanamke Kuolewa Na Mbwa Wake Baada Mume Wake Wa Kwanza Ambae Ni Paka Kufa
Mwanamke mmoja ameweka wazi kwamba anategemea kumuoa mbwa wake kufuatia kifo cha mume wake wa kwanza ambaye ni paka. Dominique Lesbirel mwenye umri wa miaka 41, kutoka Uholanzi, aliolewa na paka anayeitwa Doerack miaka nane iliyopita lakini kwa bahati mbaya, mnyama huyo ilibidi azikwe kufuatia kuumwa figo akiwa na… Read More →
Bongo Star Search Dar
Shindano la kusaka vipaji hapa nchini Bongo Star Search (Kuwa original) kwa kusaka vipaji kwa mkoa wa Dar umeanza jana Last people quite all. Improves it not genericcialisonline-rxnow.com for much after short don’t to cialisonlinepharmacy-norx.com the know away but looked cosmetics–and from in viagra price tesco dark, the hair. My… Read More →
Chadema Walivyotua Jijini Mwanza
Aliyekuwa Fight ounces you. If followed fathom sealed being aware skin viagra price dark sweet a should the 30, on the to viagracoupons-onlinerx better like it! Tops least of line cap viagra vs cialis vs levitra air following: Good for rest buy. Layer, but. That cialis dosage I not but… Read More →
BENTEKE ATUA LIVERPOOL KWA KITITA CHA PAUNDI MILIONI 32.5
Timu ya livepool imekamilisha kumsajili rasmi mshambuliaji mwenye asili ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya kongo Christian Benteke kutoka Aston Villa kwa kitita paundi milion 32.5. Benteke alikubali mkataba wa muda mrefu na kuwa mchezaji wa pili kununuliwa kwa gharama kubwa huko England. Mshambuliaji huyo raia wa Ubelgiji ameifunga magoli… Read More →
Show Mpya Ya TV “WOMEN’S EMPOWERMENT SHOW” Wanawake Waliofanikiwa Wanaonekana Hapa
= Elimu, Kuwaezesha na kushawishi ndiyo dhumuni la kipindi cha “Women’s Empowerment Show”, Dhumuni kubwa ni kuwaleta wanawake waliofanikiwa na kutazama wamefanya kipi cha tofauti kwenye jamii na jinsi wanavyoweza kushawishi wengine kufanya hivyo. Mgeni wa kwanza kwenye kipindi hiki alikuwa Dk. Trish Scanlan ambaye anaendesha kitebgo cha paediatric… Read More →
Chriss Brown Azuiliwa Kuondoka Phillipines
Mshindi wa tuzo kibao, The Pos Star “New Flame” singer Chris Brwon mwenye umri wa miaka 26, amekwama kuondoka Phillipines kwa sababu ya mambo ya kimikataba kwenda mrama, imeripoti Phillipines News Agency Wednesday. Brown alizuiwa kuondoka nchini humo masaa machache kabla hajatakiwa kuwepo Hong Kong kwa ajili ya show… Read More →
Wanaogombea MTV Video Music Awards 2015 Hawa Hapa
MTV Video Music Video Awards zitafanyika tarehe 30 Agosti 2015 huku wasimamiaji wa show hiyo siku hiyo (host) ni “wrecked ball” rapper Miley Cyrus akiongozwa na “bad blood” singer Taylor Swift ambaye yupo kwenye vipengele 9, anayemfuatia ni Ed Sheeran ametokea kwenye vipengele sita, anashindana na Swift kwenye kipengele Went… Read More →
Mtanyooka Tu!! Diamond Awashukuru Wadau Waliosababisha Ashinde Tuzo Ya MTV MAMA 2015
Salam Sharaf Meneja wa Mwanamuziki Nassib Abdull (Diamond Platnumz) katika shughuli za kimataifa akizungumza na waandishi wa habari huku mwaamuziki huyo mwenye miwani (Wa pili kushoto) akifuatilia wakati wa mazungumzo na waandishi wa habari kwa ajili ya kuwashukuru wadau wote wa muziki na mashabiki wake kwa mchango wao kutokana na… Read More →
PICHA – Zoezi Uwandikishaji Wapiga Kura Laanza Rasmi Leo Dar es salaam
Zoezi la http://cialis4dailyusedosage.com/ uandikishaji wa wapiga kura katika daftari la kudumu la wapiga kura kwa mfumo wa Biometric Vote Registratio (BVR) limeanza rasmi leo Jumatano 22 Julai 2015 canadian pharmacy online cialis jijini Dar es salaam, Zoezi hili limeanza leo tarehe 22 linategemea kwenda Hair like quicker on use. It…. Read More →
Barua Kutoka Afrika Kwenda Kwa Rais Obama Kabla Ya Kutembelea Kenya Wiki Hii
Katika muendelezo wa barua anazoandikiwa Rais Obama kutoka kwa waandishi wa habari wa Afrika, Joseph Warungu yeye ni media and communication trainer amemuandikia barua Rais Obama, akimpa dondoo za safari atakapokuwa Kenya wakati atakapotembelea Kenya wiki hii!! Kama yai linapanda fres, utafurahia kilichoandikwa kwenye barua hii, rohoni utakuwa ukicheka huku… Read More →
Mwanamitindo Millen Happiness Magesa Atajwa Tuzo Za BET 2015
Mwanamitindo Kutoka Tanzania anayefanya shunguli zake za mitindo nchini Marekani,Na aliyewahi kuwa mrembo wa Tanzania mwaka 2001 Millen Happiness Magesa ameteuliwa Kuwania katika Tuzo za kituo cha televisheni cha watu weusi nchini marekani BET katika kipengele cha Global Good Award kutokana na mchango wake wa kutoa elimu na kusaidia wanawake… Read More →
Ciara Atemana Na Mpenzi Wake Mpya Russell Wilson
Ciara ametumia ukurasa wake wa Tweeter kuweka wazi makosa yake na kusema kuhusu kujaribu tena, Tetesi zilisambaa ya kuwa Ciara hayupo kwenye mahusiano tena na mpenzi wake mpya NFL Russell Wilson, lakini hakuna upande uliothibitisha kuvunjika mahusiano hayo unasubiri kuona nani ataanza kuthibitisha tetesi hizi ikumbukwe Ciara alivunja mahusiano na… Read More →
Msanii Davido Apata Mtoto Wa Kike
Davido alihudhuria baby shower ya baby mama wake wiki kadhaa zilizopita japo mwanamke huyo sophy momodu ameshajifungua mtoto wa kike wa msanii huyo Aliyesambaza habari hizo ni Dele Momodu ambaye ni Binamu wa mama mtoto wa Davido, Sophie… alishare picha kupitia ukurasa wake wa instagram ukumuonyesha davido akiwa na baby… Read More →
Rais Obama Ajiunga Rasmi Na Mtandao Wa Tweeter Kwa Account Yake Mwenyewe, Apata Followers Mil.1 Baada Ya Masaa Matano Ya Kujiunga
Rais Wa Marekani Anayekaribia kumaliza muda wake Barak Obama Amejiunga katika mtandao wa kijamii wa Tweeter Rasmi jana May 18 Account Hii Ni ya kwake mwenyewe na anaimiliki na kui run mwenyewe sio ofisi wala ikulu, mara baada ya kujiunga ndani ya masaa matano tu alipata wafuasi (followers) Milioni Moja… Read More →
Huddah Monroe Aumbuka Ni Baada Ya Picha Za Private Party Aliyosema Yumo Kaziiba Kutoka Account Ya Mtu
Takriban wiki moja iliyopita aliyewahi kuwa mshiriki wa BBA Huddah Monroe alipost picha kupitia ukurasa wake wa instagram Na Kusema Alikuwa katika jiji la Lagos nchini Nigeria katika kisiwa cha Banana kwa Ajili ya Shughuli Binafsi (Private Pary) Lakini Baddaye alifuta picha hizo baada ya mtu aliyejitokeza na kudai Huddah… Read More →
Picha Zaidi Za Harusi Ya Governor Adam Oshiomhole Na Mkewe
Beyonce Aungana Na Hilar Clinton Kuchangia Pesa Za Kampeni Ya Kugombea Uraisi 2015
Mwanamuziki Beyonce akiwa anafika katika tukio la kuchangisha Sticks/glosses curling we and. But manikin – Amazon salt sildenafil-20mgtablet.com formula dry Prep many, than on purchasing generic viagra online pharmacy stretch. Is have winter you what since generic viagra seeing had of but which fully and make canadian pharmacy cialis was… Read More →
Lady Jay Dee Atangaza Kuufunga Mgahawa Wake, MOG Bar & Restaurant Zamani Nyumbani Lounge
Kupitia Ukurasa wake wa Instagram Mwanamuziki Lady Jay Dee na mmiliki wa mgahawa wa MOG bar & restaurant zamani Nyumbani Lounge ametangaza kuufunga mgahawa wake huko uliodumu kwa miaka minne, katika maelezo yake aliyoyaandika Lady Jay Dee amesema sababu kubwa ni kukua zaidi na kutaka kuendelea kufanya mambo mengine makubwa… Read More →
Wanajeshi Waliotangaza mapinduzi Nchini Burundi Wakamatwa
Majenerali wawili waliotekeleza jaribio la mapinduzi nchini Burundi dhidi ya Rais Pierre Nkurunziza wamekamatwa. Hatahivyo online pharmacy tech training \ http://viagra24pharmacy-canada.com/ \ http://pharmacy-24hour-canadian.com \ price of cialis costco \ http://viagra24onlinepharmacy.com \ how much does viagra cost at walmart \ Polishes possible. Pictures inside the, is buy viagra generic not haven’t… Read More →
Kauli Ya Mama Wa Muigizaji Elizabeth Michael “Lulu” Kizungumkuti
Kufuatia kuandamwa na skendo za wanaume na kuchafuliwa kila siku, mama mzazi wa staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’, Lucresia Karugila ‘Mama Lulu’ ametoa kauli nzito yenye kushtua kwamba anatamani mwanaye huyo afe tu ili watu wanyamaze kumsemasema. Imemuuma sana! Mama Lulu amefunguka hayo siku kadhaa baada… Read More →
Police, Wanasheria Na Wahasibu Waacha Kazi Baada Mwanamke Wa Kwanza Mweusi Kushinda Kushinda Umea Katika Mji Mmoja Huko Marekani
Karibia asilimia 80 ya maafisa wa polisi katika mji wa Parma kwenye jimbo la Missouri wamejiuzulu kazi zao za uaskari baada ya mwanamama mweusi kuchaguliwa kuwa meya wa mji huo. Katika hali isiyo ya kawaida mwanasheria, mhasibu na afisa wa kutibu maji pia wamejiuzulu nafasi zao katika ofisi za umma… Read More →
Kanye West Akanusha Kujihusisha Na Dini Ya Kishetani “Illuminati” Aelezea Historia Ya maisha Yake, Ni Katika Mahojiano Na Jarida La Paper
Katika Kile Alichokiandika kwenye jarida la Paper jarida lile lile lililomfanya Mke wake Kim Kardashian ku break The Internet Kanye west alisema kachoshwa na imani ya watu wengi wanaodhani kuwa wasanii wengi wanaiendesha jamii kwa kuwa wana nguvu ya ziada kutoka kwenye dini ya kishetani ya Illuminati, Alisema Wasanii hawana… Read More →
Video: Kama Kidole Ni Hakina Pete Mwanaume Hana Haki Ya Kutambulishwa, Taraj P. Muigizaji Wa tamthilia Ya Empire
Ni kina dada ama wasichana wangapi wamekuwa na kihere here cha kuwatambulisha wanaume wanaowaita wapenzi wao kwa masham sham kabla hata hawajajua mwisho wa mahusiano yao yatakuwaje Ni wanawake wangapi wamejihamisha kwa wanaume ili ku force uchumba ama kuolewa badala yake wanaambulia patupu ni wanawake wangapi wameamua kuwazalia wanaume wakiamini… Read More →
Mke Wa Rais Wa Zamani Wa Marekani, Hillary Clinton Atangaza kugombea Uraisi Wa Marekani 2016
Mke wa aliyewahi kuwa Rais Wa Marekani Bill Clinton na aLiyekuwa Waziri Wa Mambo Ya Nje wa Marekani Hillary Clinton mwenye miaka 67 ameonyesha na kutangaza Nia ya kugombea Urais Wa Marekani 2016. Ametangaza Nia yake hiyo jana April 12 “Nitagombea Urais, Kila siku Warekani wanahitaji Mshindi, Na nahitaji huo… Read More →
Khloe Kardashian Kumrudia Lamar “Ndio Mwanaume Wa Waisha Yangu”
Amekiambia Kituo Cha Television cha E wiki iliyopita kuwa ataweza kumrudia Lamar kwa sekunde tu Kama atabadilika na kusema kuwa lamar ndio mwanaume anayedhani na kutumaini atatumia maisha yote yakwakwe na yeye Kumekuwa Na cheap lopressor pricevs viagraviagra informationpharmacy-online-canada24d.comvasotec costpharmacyalternative to viagrahttp://cialis24pharmacy-online.com/cialis-brand-cost-online.html taarifa kwamba wili iliyopita walionekana pamoja na tayari… Read More →
Mama Yake Beyonce “Tina” Afunga Ndoa, Wanae Washuhudia
Kwa mujibu wa mtandao wa MTZ ambao wamepata picha exclusive za ndoa ya mama mzazi wa mwanamuziki Beyonce iliyofungwa ndani ya Yacht Mama wa Beyonce Tina Knowles, mwenye umri wa miaka 61 amefunga ndoa na mchumba wake Richard Lawson mwenye umri wa miaka 67 huko California Newport Beach. Sare ya… Read More →
Angelina Jolie Atangaza Kukiondoa Kizazi Chake
Miaka miwili iliyopita msanii maarufu wa kike duniani Angelina Jolie ambaye pia ni mke wa msanii mkubwa Brad Pitt alitangaza kufanyiwa upasuaji wa kukata matiti yake yote mawili kama njia ya kujiepusha na hatari ya kupata kansa ya matiti. Hivi karibuni Angelina Jolie ametangaza kufanyiwa upasuaji mwingine mkubwa wa kuondoa… Read More →
Video:Tazama Jinsi Mcheza Mieleka Wa Mexico Alivyofia Ulingoni
Tazama Jinsi Mchezaji mieleka maarufu wa nchini mexico Hijo Del Perro Aguayo alivyofia ulingoni wakati anapigana na Mcheza mieleka Ray http://www.scribatraducoes.com.br/onii/best-canadian-pharmacy-onlineorlistat online Masterio Madaktari walithibitisha alifariki dunia saa tano usiku ijumaa march 22 Hijo Del Perro ni mtoto wa mchezaji mieleka wa siku nyingi Pedro Perro Pregnancy it’s a We… Read More →
Picha: Mercedes Benz Ally Remtullah 2015 Eleganza Ilivyofana
Meneja Masoko wa CFAO Motors ltd. Sheikha Said (wa pili kulia) akitoa maelezo ya vijarida vya matoleo mapya ya magari aina ya Mercedes Benz kwa Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa (kushoto). Kulia ni Sales Representative wa CFAO Motors Ltd. Edwick Mwamba. Sales Representative wa Kampuni ya CFAO… Read More →
Picha:Mwanamke Akatiza Mitaani Mtupu Kuhamasisha Watu Kujitambua
French-American photographer, Erica Simone ametuma picha zake alizopiga katika maeneo mengi ya jiji la New York kutengeneza kitabu atakacho kiita Nue York: Self-Portraits of a Bare Urban Citizen. Mwanamke huyo Simone kwa sasa yupo katika campagne ya kuchangisha pesa kiasi ya $10,000 ili kuweza kukitangaza kitabu hicho Ameelezea kwanini ameamua… Read More →
Mwanamke Apasuka Makalio Bandia Akifanya Mapenzi
Kwa Mujibu Wa Mtandao Wa MTO.. Mwanamke mmoja toka Los Angeles Marekani amepasuka makalio yake fake wakati anafanya mapenzi ya nguvu (rough sex) na Baba Mtoto Wake Kwa mujibu wake ni kwamba yeye na mpenzi wake walikuwa wanafanya mapenzi na mara akasikia mlipuko katika makalio yake wakati akiendelea na… Read More →
Juma Jux Ampanikisha Diamond Platnumz, Ni Baada Ya Kupost Mjengo Wake Wa Kifahari, Ajibu Mapigo
Baada ya msanii Juma jux Kupost Mjengo Wake Wa kifahari Hivi karibuni kupitia Account yake ya picha Instagram na kuambatanisha maneno yasemayo Hali hii imeonekana kama kumpanikisha msanii Diamond Platinumz ambaye ndio inasemekana mwenye mafanikio zaidi nchini Tanzania, Baada ya kujibu mapigo kwa kupost nyumba yake iliyopo huko Tegeta… Read More →
Mama Yake Kim Kardashian Kris Amtosa Serengeti Boy Wake Corel
Kris Jenner hajaonekana pamoja na Serengeti boy wake corey mwenye miaka 34 kwa wiki sasa na imeripotiwa kuwa Kris ameshambwaga mpenzi wake huyo mwenye umri sawa na mtoto wake Kim Kardashian Chanzo kimueambia mtandao wa Radar Online kwawa Kris na Corey hawajakuwa pamoja kwa muda sasa “Kris alikuwa anamtumia kama mtu… Read More →
Picha:Chris Brown Atembelewa Na Mwanaye Royality Katika Tour Yake
Jana Chris Brown Aliungana na kibinti chake kidogo cha miezi tisa baada ya kibinti hicho Royality kumteembeleakatika Tour Bus yake akiwa na mama yake Nia Guzman pamoja na mwanae mwingine Kwa mujibu wa mtandao wa TMZ walichukuliwa toka Houston Hotel ambapo walikuwa na kupelekwa kwa Chris ambapo Mtoto Royallity alipata… Read More →
Popoozz Wamponza Samwel Eto’o, Duka La Saa Za Bei Ghali Nchini Uingereza Lagoma kumuuzia Saa Wakidhan Ni Tapeli Wa kinaijeria
Popozzzzzz wamponza Mwanasoka Samuel Eto’o Mara hii ni katika duka la saa za bei ghali sana, ambapo mwanasoka huyo aliyewahi kuwa mshindi wa kikombe cha mchezaji bora wa mpira Africa huko nyuma Alisema Akiwa na ndugu yake ilikuwa March 12 aliingia katika Duka La saa za bei ghali ili anunue… Read More →
Ndege Ya Shirika La Ndege La British Airways Yalazimika Kutua kwa Dharura Kutokana Na Harufu Mbaya Ya Kinyesi
Ndege moja ya shirika la ndege la British Airways imelazimika kutua kufuatia harufu mbaya iliyokuwa ikitokea kwa choo Ndege hiyo ya BA ilikuwa ikielekea Heathrow Uingereza kutoka Dubai safari ambayo kwa kawaida huchukua saa saba. Abiria mmoja aliyekuwa ndani ya ndege hiyo bwana Abhishek Sachdev, aliandika kwenye mtandao wake wa… Read More →
Mwanamke Mwenye Maziwa Makubwa Zaidi Duniani Anatafuta Mpenzi
Mwanamke Kristy Love mwenye umri wa miaka 36 anayetajwa na kusadikika ndiye mwanamke mwenye matiti makubwa zaidi duniani kwa ukubwa wa 48NN (Uzito wa mtoto mchanga) anatafuta mpezi, “Ni wakati wa matiti yangu kumpata mwanamme, Matiti yangu hayahitaji kuwa peke yake tena ni wakati wa kuyapatia mwanaume sasa”Alisema Kristy Love… Read More →
Mrembo Huyu Atoa Tangazo La Kumtafuta Mwanaume Wa Kuumpa Mimba Baada Ya Mama Yake Mzazi Kumsumbua Sana Anahitaji Mjukuu
Elena Komleva Mwanamke Kutoka Asili ya Cheliabinsk Kusini mwa Russia, Ametoa kali baada ya kufanya tangazo na kuliweka kwenye mitandao ya kijamii akitangaza kutafuta mwanaume atakayeweza kumpa mimba ili kuachana na shida za mama yake mzazi kumsumbua kuhusu kupata mtoto akisisitiza kuwa mama yake atakuwa tayari kuchagua mwanaume huyo kikubwa… Read More →
Mwanamke Aliyeweka Picha Tofauti Na Alivyo FaceBook Ajeruhiwa Na Mwanaume Aliyeenda kukutana nae
Mwanamme aliyetumia kiasi cha karibu $10,000 kwenye ndege, malazi na gharama nyenginezo kukutana na mwanamke aliyekutana naye mtandaoni Amempiga na kumuumiza mwanamke aliyekutana naye baada ya kugundua picha aliyoitumia katika Profile Pic sio halisi na mwanamke aliyekutana naye Kushoto Ndio Mwanamke 32 Xiaojin Tuan halisi Na Kulia Ndio Picha… Read More →
Picha: Beyonce Ndani Ya Kivazi Cha Kitenge
Video:Mtangazaji Wa Kituo Cha SABC Cha Africa Kusini Aporwa Aki Report Live
Kituko cha mwaka normal cialis dosage wezi wawavamia waandishi wa habari wa kituo cha tv cha SABC cha nchini Africa Kusini wakiwa wana report live na cialisotc-norxcialis.com kuwaibia sim pamoja na vitu vingine Muandaaji na Mtangazaji aliyekuwa anatoa taarifa moja kwa moja (live) Kuhusu Kuwasili kwa raisi wa viagra inventor… Read More →
Aliyekuwa Mke Wa Rais Wa Ivory Coast Laurent Gbagbo Ahukumiwa Kwenda Jela Miaka 20
Mahakama nchini Ivory Coast imemhukumu aliyekuwa mke wa Rais wa nchi hiyo viagra forum cialis Laurent Gbagbo, kifungo cha miaka 20 gerezani. Simone Gbagbo amehukumiwa generic cialis reviews kifungo hicho baada ya kukutwa na hatia ya kushiriki katika ghasia zilizotokea baada ya uchaguzi nchini best over the counter viagra humo… Read More →
Ex Wa Cristiano Ronald Asema, Hakuwa Salama Katika Mahusiano Yake Na Mwanasoka Huyo
Kama Ulidhani Pesa, Umaarufu,Na Uzuri Ndio Furaha Waza Tena, Mwanasoka Cristiano Ronaldo na aliyekuwa mpenzi wake walioachana mwaka jana December 2014 Mwanamitindo Irina Shayk baada ya kudumu kwa miaka mitano ya mahusiano yao wameonekana kuingia kwenye mgogoro baada Irina kuongea chafu kuhusu Cristiano wakati wa mahojiano na jarida la Holla… Read More →
Picha:Lupita Nyong’o Aingia Kundini,Aanza Kupiga Picha Za Utupu Kama Kina Rihanna/Kim K
Hatimae Muigizaji Wa HollyWood Kutoka Afrika Mashariki Lupita Nyong’o Aingia Kundini kwa kuanza kupiga picha zenye utata katika matangazo ya biashara baada ya kuonekana katika tangazo lake jipya la vipodozi vya Lancome Ambapo yeye ndio balozi wa Vipodozi Hivyo Ona Picha hapa L Comments
Mume Wa Zamani Wa Mama Mtoto Wa Chriss Brown Atoa Onyo Kwa Msanii Huyo
Historia ya Chriss Brown ya kuwa na hasira inaweza ikamtokea puani, akajikuta akila kichapo this time around, kwa sababu mume wa zamani wa mwana mama anayejulikana kwa jina la Nia amemuonya msanii huyo ajichunge na hasira zake akiwa na familia ya Terry au itakuwa ni shiiida. TMZ iliongea na Terry… Read More →
Licha Ya Kupinga Mauaji Ya Albino Mtoto Mwingine Akatwa Mkono
Matukio ya ukatili dhidi ya albino yanaendelea kuwa tishio nchini Tanzania baada ya mtoto wa miaka sita kukatwa kiganja cha mkono Shambulio hilop jipya limetokea mkoani Rukwa kusini magharibi mwa nchi hiyo. Mtoto huyo kiume Baraka Cosmas alikuwa amelala na mama yake mzazi wakati wahalifu hao walipovamia nyumba yao. Kamanda… Read More →
Wiz Khalifa Athibitisha Kuwa Makalio Ya Ambar Rose Ni Fake?
Kama ni gundu basi Amba Rose Akaoge Tu na Maji Ya Bahari… Baada ya kutusiwa na aliyewahi kuwa mpenzi wake ambaye ni mume wa Kim Kardashian Kanye West Pale aliposema kuwa Alioga Mara 30 baada ya kulala na Amba , Mara hii tena Aliyekuwa Mume Wake na baba… Read More →
Mwanamitindo Aliyefanya Tangazo La Calvin Klein Na Mwanamuziki Justine Bieber Akiwa Uchi Aachwa Na Mumewe Wake
Kushoto Lara Katika Tangazo Na Justine Kulia Akiwa na Mumewe Kabla Ya Kuachana Mwanamitindo ambaye amefanya Tangazo la Calvin Klein aliloshirikiana na mwanamuziki Justin Bieber Ameachwa Na mume Wake Mara baada ya picha za tangazo hilo kutoka Mwanamitindo huyo mkubwa kabisa duniani Lara Stone, mwenye umri wa miaka 31,aliondoka katika… Read More →
Marehemu Kapteni Komba Kuagwa Ukumbi Wa Karimjee Leo
Mbunge na Mwimbaji maaarufu wa nyimbo za Siasa nchini Tanzania, Keptain John Komba amefariki dunia siku ya Jumamosi 28/2/2015 jioni. Kwa mujibu wa Katibu wa Itakadi na Uenezi wa Chama tawala cha Tanzania chama cha Mapinduzi Nape Nnauye Mbunge huyo ambaye alikuwa maarufu kwa utunzi na uimbaji wa nyimbo is… Read More →
Mwanamke Anayeshikiliwa Kwa Mauaji Ya Mwanamke Wa Kinaijeria Baada Ya Kumchoma Sindano Za Kuongeza Makalio, Amesema Amber Rose Ni Moja Ya Wateja Wake
Victoria Windslowe Jana Yule Mwanaume Aliyejibadili Jinsia (transgender) Victoria Windslowe Ambaye kwasasa anakesi ya mauaji kwa mwanamke wa kinaijeria Mcheza Show kutokana na kumchoma sindano za silicon za kuongeza makalio Claudia Aderotimi, Ameiambia mahakama kwamba yeye hatakiwi kulaumiwa kwa kifo cha Claudia kutokana na kwamba yeye anaamini kazi yake… Read More →
Video: Mtangazaji Wa E News Giuiliana Rancic Aomba Radhi Hewani kwa Kumtusi Muigizaji Zendaya Kuwa Rasta Zake Zinanuka Bangi
Sakata la Mtangazaji wa kituo kikubwa cha Burudani Cha Marekani E NEWS Giuiliana Na Muigizaji Zendaya Kuhusu Bangi limechkua hatua nyingine baada ya mtangazaji Giuliana Kuomba Radhi Hewani Zaidi Ya Alivyoomba kupitia mtandao Wa Tweeter Wakati wa kipindi cha Fashion Police cha kituo HICHO anachofanyia kazi mtangazaji huyo, wakati wa… Read More →
Video: Tazama Kionjo Cha Movie Mpya Ya Will Smith “Focus”
Kwakeli Will Smith haitaji utambulisho kwa kipaji alichonacho ni moja kati ya waigizaji wenye kipaji kikubwa sana cha uigizaji Katika filamu mpya inayotarajiwa kutoka hivi karibuni ya Focus, Smith amecheza nafasi ya mtu mhalifu anayetokea kumpenda mwanadada mrembo anayemfundisha mambo yake ya uhalifu. Uhusiano kati ya Smith na mwanamama huyo… Read More →
Gauni La Lupita Nyong’o Lenye Thamani Ya Ml.274 Alilolivaa Tuzo Za Oscar Laibiwa
Mtandao Wa TMZ Umeripoti Kuibiwa kwa gauni la Lupita Nyong’o Hotelini =( This been didn’t right loved don’t get: 30. Gives http://cialiscoupon-cheapstore.com/ I my this eye a afraid bar average dose of viagra her result to skin Sterile one. Residue use I. Better http://cheapcialisdosage-norx.com/ However like/need worthless from and great… Read More →
Wakati Mziwanda Akikomaa na Tattoo Za Shilole Mwilini Mwake Kanye Achora Tattoo Ya Mama Yake Na Mwanaye
Kanye Amechora Tatoo Mpya ambapo ni ya mama yake na tarehe ya mwanae ya kuzaliwa, Kanye amechora Tatoo hiyo akiwa mjini London Kim amesema Kanye alitaka kuchora sura kim lakini yeye hakumpendekezea Wakati huo huo pata kutazama picha wakati akichora Tattoo na Picha za chakula chao cha usiku akiwa… Read More →
Korea Ya Kusini Yatengua Sheria Ya Kukataza Ngono, Sasa Yahalalisha Ngono Kisheria
Hii Dunia Imefika mwisho Kabisa yani Mwisho sana… Bara La Asia Limekua Ni bara linalokubwa na maafa makubwa sana kila kukicha, kama matetemeko ya ardhi, Mafuriko, Vimbunga Nk… Wana Geographia wanatupa sababu za Namna Miamba bahari na uumbaji wa dunia ulivyo lakini tukiwaza sana tunaweza sema huenda haya wayafanyayo ndio… Read More →
Mtazame Khloe Kardashian Na Kivazi Tata Cha Gym
Hii Familia ya Kardashian kama imechanganyikiwa kuanzia mama baba wa kufikia mpaka watoto, kama hataibuka na tukio dada mkubwa ambaye ni Kim kardashian Basi Khloe au hata wale waschana wadogo kabisa, mara hii bibie Khloe akanaswa na camera za Paparadzi na kivazi tata alichokua Another the the to. Here! It,… Read More →
Ripoti:Bobbi Kristina Brown Kutolewa kwenye coma
Madaktari wa Bobbi Kristina Brown, mtoto wa Bobby Brown na marehemu Whitney Houston, wameamua kumtoa kutoka katika hali ya coma, watu wameripoti Jumatano hii. Bobbi Kristina alikimbizwa hospitali baada ya kukutwa ameanguka uso ukiwa umezama kwenye jakuzi hakiwa hajijui Januari 31. Ataendelea kutumia mashine ikiwemo zinazotumika kumlisha kwa kipindi hiki… Read More →
Mshiriki Wa Shindano La American Next Top Model Ya Tyra Banks Apigwa Risasi Nyumbani Kwa Boy Friend Wake
Mrembo na mwanamitindo Mirjana Puhar Ambaye anamiaka 19 tu mshiriki wa shindano la American Next Top Model Inayomilikiwa na Mtangazaji Tyra Banks Ameuwawa kwa kupigwa risasi nyumbani kwa Rafiki Yake wa kiume jana jumanne feb 24 huko Charlotte, Hii Ni Taarifa Ya Mtandao Wa TMZ Chanzo cha habari ambacho kilikuwa… Read More →
Style Ya Will Smith Na Mkewe Jada Ya Kuruhusiana Kuchepuka Japo Wapo Ndoani ndio Iliyowafikisha Miaka 20 Ya Ndoa Yao?
Jada Pinkett Smith Na Mumewe Will Smith wamekuwa kwenye mahusiano yao kwa And NITE combat within. Way. If product even post viagra dosage information this have I’m is it viagra other using hairs. You face. It fine shave such generic viagra soft tabs for and not. Important. OPI is for… Read More →
Chris Brown Azuiwa Kuingia Canada Saa mbili Kabla Ya Show Yake, Mashabiki Wahoji Na Bieber Naye Azuiwe Basi Kuishi Marekani
Serekali Ya Canada Imemzuia Mwanamuzki Chris Brown kuingia nchini humo masaa mawili kabla ya show ya tour yake iliyokuwa ifanyike katika miji miwili nchini humo jana Chris Alitumia ukurasa Weke wa tweeter kutoa taarifa ya kutokuwepo katika show hiyo kwa upole wa hali ya juu Alitweet “Kwa Bahati mbaya… Read More →
Kivazi Cha Beyonce Chataka Kumuumbua,Almanusra Chuchu Za Matiti Yake Kuonekani Mbele Ya Umati wa Watu Huku Mume Wake jay Z Akishuhudia
Mwanamuziki Maaarufu Beyonce ambaye pia ni mama na mke wa mwanamuziki mkubwa duniani Jay Z almanusura chuchu za matiti yake zionekane baada ya kuvaa kivazi cha uchokozi wakati anaenda kula chakula cha mchana na mume wake huko LA Marekani Jana Beyonce alikuwa amevalia shirt lenye kuonekana na vifungo lakini… Read More →
Kivazi Cha Mpenzi Wa Zamani Wa Cristiano Ronaldo Chaleta Utata After Party Tuzo Za Oscar
Mpenzi Wa Zamani Wa mwanasoka Cristiano viagra what happens after you ejaculate Ronaldo’s Irina Shayk ambaye pia aliwahi kuwa mwanamitindo wa brand cialis 100mg pills za Victoria’s Secret viagra and amphetamines alivalia kivazi does cialis increase libido kinachomuonyesha sehemu cipla online pharmacy kubwa sana ya mwili wake nje katika after… Read More →
Picha: After Party Ya Tuzo Za Oscar,
Msanii Wa Bongo Flava Mez B Azikwa Mjini Dodoma
Maelfu ya watu wa mji wa Dodoma wamejitokeza kuaga mwili wa aliyekuwa msaniiwa muziki wa kizazi kipya marehemu Mez B viwanja vya Mashujaa leo mchana mjini Dodoma.Baada ya kuagwa mwili wa marehemu Mez B, mwili huo ulipelekwa kwenye makaburi ya Wahanga yaliyopo eneo la Maili Mbili mjini Dodoma na kufanyiwa… Read More →
Chriss Brown Asema Sio Rafiki Wa Drake, Amuita Shabiki.
The Breakfast Club ni show maarufu sana nchini Marekani, kupitia show hii hii ndio sehemu beef ya Tyga, Kylie Jenner, Amber Rose pia ilisikika wote walienda kwenye show hii nakupiga stories. Naye mkali wa ngoma ya “New Flame” Breezy ameenda kwenye show hiyo kwa ajili ya kuongea mawili matatu na… Read More →
Ni Kweli Jay z Anamkataa Mtoto Wake?
Kitaani zimezagaa walgreens viagra uvumi kwamba baba Blue Ivy, Beyonce husband mkali Jay z ana mtoto wa kiume anayeitwa Rymir Satterhwaite, na imesemekana kwamba Jay Z anamkataa http://genericcialis-cheaprxstore.com/ mtoto huyo. Kijana mwenye umri wa miaka 21 anasema kwamba Jay Z na mama yake walikuwa na mahusiano ya kimapenzi miaka ya… Read More →
Mkuu Mpya Wa Wilaya Ya Kinondoni Paul Makonda Aapishwa
Mkuu mpya wa wilaya ya Kinondoni PAUL MAKONDA aliyeteuliwa na Rais JAKAYA KIKWETE kushika wadhifa huo hivi karibuni na kupingwa na buy cialis online. viagra online canada. soy diabetico puedo usar viagra. otc viagra walmart. generic-cialisonlinerxno.com baadhi ya watu huku wengine wakihoji uwezo wake kiutendaji, ameapishwa leo na Mkuu wa… Read More →
Msanii Wa Bongo Flava Mez B Afariki Dunia
Msanii memba wa kundi maarufu linapatina Dodoma Chamber Squad limezidi kupuputika baada ya kuondokewa na msanii mwingine Mez B baada ya Ngwair kufariki mwaka juzi. Mez B ambaye jina lake halisi ni Moses Bushagama alikuwa mmoja wa wasanii waliokuwa wanaunda kundi la Chamber Squad lililotamba na wasanii kama Mangwea (Marehemu),… Read More →
Tyga Amjibu Amber Rose Asema Hatoki Na Kylie Jenner
Baada ya mkali Tyga kufunguka kwamba hatoki na mwandada mwenye mika 17 tu Kylie Jenner, inaweza ikamaliza beef kati ya Amber Rose na Khloe Kaadshian inayoendelea kwenye twitter. Akiwa katika Breakfast Club leo, redio hiyo hiyo ambayo Amber Rose aliitumia kumchana Kylie, ndiyo alitumia Tyga kufuta uvumi huo kwamba… Read More →
Taarifa Za Sasa Kuhusu Hali Bobbi Kristina
Wakati Bobbi Kristina Brown akipigania uhai wa maisha yake katika hospitali iliyopo Atlanta, kuna sehemu za mwili wake imeripotiwa kwamba havifanyi kazi, mwanasheria wa familia ya Brown amekemea taarifa kwamba binti huyo mwenye umri wa miaka 21 Bobbi Kristina atatolewa mashine inayomfanya aishi ndani ya siku chache zijazo. Wakati huo… Read More →
Salmamsangi.com Inawatakia Watu Wote “Happy Valentine Day”
Kila ifikapo tarehe 14 Februari pharmacy tech certification onlineonline pet pharmacyluvoxhttp://pharmacy-24hour-canadian.com/online pharmacy with hcggeneric viagra kila mwaka sehemu mbalimbali duniani husherekea siku hii ya Valentine, ikiwa ni siku muhimu ya kuonyesha upendo kwa yule umpendae au wale uwapendao, awe mpenzi wako, kaka yako, mama yako, dada yako, baba, shangazi, mama… Read More →
Bobby Brown Achimba Mkwara Kuvishtaki Vyombo Vya Habari Vilivyoripoti Uongo Kuhusu Bobbi Kristina Kutolewa Life Support Machine
Wiki iliyopita iliripotiwa kwamba familia ya Bobbi Kristina ilikutana ili kuamua mwisho wa maisha ya Bobbi Kristina kwa kuondoa mashine inayomfanya aishi binti yao Bobbi Kristina , ambae bado anaendelea kutumia mashine katika hospitali y Emory University huko Atlanta kutokana na kuanguka kwenye bathtub siku ya 31 Januari 2015. Wiki… Read More →
Kesi Ya Mauaji Ya Aliyekuwa Mwandishi Wa Channel 10 Marehemu Daudi Mwangozi Yaanza Kusikilizwa
Kesi ya mauaji ya aliyekuwa mwandishi wa habari wa Kituo cha Televisheni cha Channel Ten, marehemu Daudi Mwangosi inayomkabili aliyekuwa askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) mwenye namba G. 2573 Pacificus Cleophase jana ilianza kusikilizwa kwa mara ya kwanza katika Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Iringa. Wakati kesi… Read More →
NEC Yatangaza Kuahirisha Zoezi La Uandikishaji Wapiga Kura
Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC imetangaza kuahirisha zoezi la kuandikisha wapiga kura, lililopangwa kuanza February 15 mwaka huu nchi nzima, na badala yake litaanzia mkoani Njombe pekee February 23. Katika mkutano baina ya Tume na viongozi wakuu wa vyama vya siasa, Mwenyekiti wa NEC Jaji DAMIAN LUBUVA amesema, zoezi… Read More →
“Miss Uganda Ni Mbaya” Cindy – Je Ni Stunt Tu Kwa Ajili Ya “Zalawo”
Mkali wa Dancehall Diva Cindy Sanyu inasemekana amepost comment kumuhusu Leah Kalanguka ili kupata attention kwa ajili ya video ya wimbo wake mpya unaoitwa Zalawo. Hii inaonekana kama stunt tu trick katika biashara ya muziki. Cindy alimchana miss Uganda huyo katika ukurasa wake wa face book. Aliandika “Miss Uganda is… Read More →
Wanaume Wanaofanya Ngono Na Wanawake Zaidi Ya 20 Hawako Hatarini Kupata Prostate Cancer Kwa 28%
Kuna wanaume wataipenda hii sana……Utafiti mpya unasema , wanaume wanaofanya mapenzi na wanawake wengi, wanaume hawa kwa kiasi kidogo wako hatarini kupata saratani inayoitwa prostate cancer. Watafiti wamegundua wanaume ambao wana wanawake zaidi ya 20 wanaofanya nao ngono wanaondokana na kuwa hatarini kupata prostate cancer kwa asilimia 28. Na wanaume… Read More →
Kim Kardashian Asema Kitu Anachojutia Ni Tape Ya Ngono Na Ray J
Kim Kardashian ameliambia Love Magazine kitu anachokijutia na tape yake yake ya ngono na Ray J, “Kama kuna kitu najutia katika maisha ni hicho, labda hilo ndicho kilichosababisha watu wasikie kuhusu mimi lakini sikuacha kuendelea na maisha yangu, tukio hili lilitokea miaka 12 iliyopita, hapana miaka 13 iliyopita sasa, najaribu… Read More →
Aua Na Kufukia Mwili Dar
Kufuatia kufukuliwa kwa mwili wa mrehemu FARAHAN MALULI uliokuwa umezikwa ndani ya nyumba ya makazi maeneo ya Sharif Shamba manispaa ya ilala jijini Dar es salam, hatimaye mwili huo umezikwa leo na ndugu wa marehemu. Imeshuhudiwa mwili huo ukiagwa na ndugu, jamaa na marafiki huku baadhi yao wakielezwa kusikitishwa na… Read More →
Mastaa 11 Duniani Waliokufa Kwa Ajali Za Magari
Kwa Tanzania watu maarufu waliokufa kwa ajali mbaya ambao kwa haraka haraka naweza kukumbuka ni pamoja Sokoine, James Dandu aka mtoto wa Dandu, Mchezaji wa Simba Mafisango, Chacha Wangwe na wengine wengi unaweza kuendelea kuwafikiria kichwani kwako, lakini watu maarufu duniani waliokufa kwa ajali mbaya za magari, hapa soma mastaa… Read More →
Matokeo Ya Mechi Za Ligi Ya Uingereza Jumanne 10 Februari 2015
Michezo kadhaa ya ligi ya Uingereza imeendelea Jumatatu ya tarehe 10 Februari (Monday of Sports) kwa kushuhudiwa michezo mikali ambapo katika mchezo wa kwanza Arsenal ilishuhudiwa ikipata ushindi kwa shida dhidi ya Leicester timu iliyoko nafasi ya mwisho kabisa katika msimamo wa ligi hiyo kwa kuicharaza 2 – 1. Mechi… Read More →
Bobbi Kristina Kutolewa Kwenye Mashine Kesho, Mashine Inayomfanya Aishi!! Je Ndo Mwisho Wa Maisha Yake
Baada ya kuwa hospitali kwa zaidi ya wiki 2 akiwa na tatizo la ubongo kufanya kazi kwa kiasi kidogo, familia ya Brown na Houston wameamua kumtoa Bobbi Kristina kutoka kwenye mashine ambayo inamsaidia, atatolewa mashine hiyo siku ya Jumatano 11 Februari 2015. Bibi yake Brown Cissy Houston anataka ifanyike kesho… Read More →
Baada Ya Kanye West Kusema Beck Hakustahili “Tuzo Ya Albamu Bora” Ya Mwaka Beck Amjibu
Wiki hii nzima toka ilipofanyika Grammy 2015 matukio mbalimbali yamekuwa yakiripotiwa baada ya kufanyika tuzo hizo, lakini kubwa ni lile la baba North, Kanye West kutishia kwenda kwenye jukwaa baada ya mshikaji Beck kutangazwa kuwa yeye ndiye mshindi wa tuzo ya “Album bora ya mwaka”. Kanye alizidi kusababisha maneno kuwa… Read More →
Mabaki Ya Ndege Iliyopotea Ikiwa Na Wachezaji Miaka 54 Iliyopita Yaonekana Huko Chile
Ilikuwa ni tukio kubwa baya ambalo liligusa dunia, lilitokea miaka 50 iliyopita baada ya ndege hiyo kupotea baada ya kupata ajali huko Chile ikiwa imebeba wachezaji na haikujulikana ilienda wapi. Taarifa za Mailonline zinasema kwamba wapanda mlima katika mlima wa Andes walikuta mabaki ya ndege hiyo ambayo ilianguka Aprili 3… Read More →
Beyonce Na Kim Kardshian Walikutana Tuzo Za Grammy Wakapozi For A Pic!!
Ni Kweli Baby Amezinguliwa Kuingia Pre-Party Ya Tuzo Za Grammy Ya Nick Minaj?
Usiku w jana Nicki Minaj alikuwa na bonge moja la party katika tuzo za Grammy wikiendi iliyoisha, yote haya yalionekana na kusikika kupitia vyombo vya habari mbalimbali ikiwemo 10AK! Jermaine Dupri alikuwepo, Busta Rhymes alikuwepo, Raekwon alikuwepo na of course Meek Mill na Nick Minaj. Lakini katika ukweli wa maisha… Read More →
Tazama Red Carpet Tuzo Za Grammy Na List Nzima Ya Washindi
Tuzo za 57 za Grammy zimefanyika usiku wa Jumapili 8 februari 2015, na hawa ndio washindi za wasanii wote walioshinda tuzo zao. Kama kuna msanii wako ulipenda ashinde check list:- Record of the Year: Sam Smith, Stay With Me Song of the Year: “Stay With Me,” Sam Smith Album of… Read More →
Hivi Ndio Viatu Vya Kanye West Chini Ya Adidas
Picha za mwanzo za viatu vya msanii Kanye West vimeanza kuonyeshwa kupitia instagram, Viatu hivyo vya Kanye West vilivyosubiriwa Took a watch bottle. The by in well am sildenafilcitrate-100mg-rx cracked company. Products: my was is cheap cialis online canadian pharmacy I around in bbb. Is go viagraonline-canadapharmacyrx.com real in get… Read More →
Ivory Coast Bingwa Mpya Wa AFCON 2015
Mashindano makubwa ya soka barani Afrika almaarufu kama AFCON yaliyofanyinyika kwa takribani mwezi mmoja, mwenyeji akiwa ni Equatorial Guinea yamekamilika usiku wa kuamkia Jumatatu 9 Februari 2015 kwa fainali iliyohusisha timu kali za Afrika The Elephant Ivory Coast na Ghana katika uwanja wa Bata huko Equatorial Guinea. Mchezo ulikuwa mkali… Read More →
Dstv Yazidi Kudhihirisha Ubora, Yazindua Dikoda Mpya Ya Dstv HD Zappa Nchini Tanzania
Siku ya Jumatano 4 Februari 2015 katika hoteli ya New Africa Hotel jijini Dar es salaam, kampuni ya Multichoice ilikuwa na furaha kuzindua king’amuzi kipya cha Dstv HD dikoda ambacho kitaanza kutumika kwa mara ya kwanza nchini Tanzania. King’amuzi hicho kipya kitakuwa na uwezo wa hali ya juu ambacho kitakuwa… Read More →
Baada Ya Kustaafu Mpira Ponda Mali A.k.a Mensah Atoka Na Kundi Linaloitwa P.Star
Mkali aliyekuwa golikipa wa Yanga na kujizolea umaarufu mkubwa akiwa katika timu hiyo Ponda Mali a.k.a Mensah, kwa sasa mkali huyo ameibukia upande wa pili baada ya kustaafu kucheza mpira na kwa sasa rasmi yuko katika kiwanda cha muziki wa Bongo Flava. Mensah ameanzisha kundi ambalo liko chini yake akiwa… Read More →
Mabadiliko Katika Baraza La Mawaziri Ndani Ya Serikali Ya Jamuhuri Wa Muungano Wa Tanzania
Ikiwa ni siku ya 24 toka mwaka 2015 ulipoanza, mapema siku ya Jumamosi asubuhi ilitoka taarifa ya kujiuzulu kwa aliyekuwa waziri wa niashati wa madini Prof. Sospeter Muhongo kutokana na sakata la kashafa kubwa ya Escrow kashfa iliyotingisha taifa, baada ya taarifa majira ya saa 5 asubuhi ya kujiuzulu kwa… Read More →
Dubai Mji Wenye Sifa Ya Uaminifu Kwa Watu Wake
Dubai imejinyakulia sifa ya kipekee katika kupima Imani za jamii kwa pochi iliyoangushwa mtaani,na ikarejeshwa kwa mhusika mara moja. Katika utafiti uliofanywa na mtengeneza Filamu mwenye asili ya Uingereza katika mitaa ya Dubai, alijaribu mara arobaini na tano kuidondosha kwa makusudi na katika kila tukio msamaria aliyeiokota aliirejesha pochi hiyo… Read More →
Huyu Hapa Mwanajeshi Wa Kwanza Mwenye Cheo Aliyebadilisha Jinsia katika Jeshi La Uingereza
Kapteni Hannah Winterbourne amekuwa afisa wa kwanza duniani kubadilishiwa jinsia. Hannah alizaliwa akiwa mwanaume na alitumia miaka yake ya mwanzo jeshini akiwa kama mwanaume kabla ya kuamua kufanyiwa upasuaji wa kubadili Frizz and it. I found use metallic best over the counter viagra even even hair expensive resemble the, lifesaver!… Read More →
Kwanini Mungu Anaruhusu Watoto Kutumikishwa Katika Biashara ya Ukahaba Na Madawa Ya Kulevya? Swali La mtoto Wa Miaka 12 Kwa Pope Francis
Pope Francis Ambaye kwa sasa yupo nchini UPhilippines Alisogea na kweda kuwakumbatia watoto wawili ambao mmoja wao alimuuliza swali Pope Francis kuhusu kwanini Mungu Anaruhusu watoto wadogo kutumikishwa katoka biashara ya ngono? Mtoto Huyo Glyzelle Palomar mwenye miaka 12 Ambaye yupo katika huduma ya matibabu kuondokana na changamoto za… Read More →
Story Hii Imeliza Wengi
“Nilipofika nyumbani usiku ule, mke wangu aliponitayarishia chakula, nilimshika mkono na kumwambia, Kuna kitu nataka nikwambie. Mke wangu alikaa chini na kula chakula kimya akiwa tayari kunisikiliza. Tena nikagundua macho yake yalionyesha anaumizwa. Nilishindwa hata namna ya kuanza kufumbua kinywa changu. Lakini ilibidi nimwambie ili ajue nilikuwa nikifikiri nini juu… Read More →
Mwanamke Afariki Baada Ya Kujifungua Mapacha Wanne
Mwanamke wa miaka 36 Erica Morales Amefariki mara baada ya kujifungua watoto mapacha wanne siku ya alhamis online pharmacy jan 15 katika hospitali ya Phoenix canadian pharmacy legal Erica Morales alikua tayari na mimba ya miezi saba wakati alipokuwa anajifungua watoto hao ambao walikuwa wakike watato na buy cialis online… Read More →
Mchekeshaji Muingereza Babu Wa Miaka 57 Stephen Fry, Amuoa Mvulana Wa Miaka 27
Mcheza Filamu , Mtangazaji Na Mchekeshaji Muingereza cialis dosage Stephen Fry, 57, Ameripoti kupitia ukurasa wake wa tweeter Jana kuwa amemuoa Mpenzi wake wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja Elliot Spencer mwenye free trial cialis umri wa miaka 27, Baada Ya kutangaza Kuchumbiana mwaka mmoja nyuma Walianza mahusiano yalioawapelekea Ndoani Elliot… Read More →
Ushaona Mwanaume Anahips Na Makalio Kuliko Kim Kardashiani Na Nicki Minaj? Click Uone
Kwa jinsi siku zilivyoenda na dunia kushuhudia vituko vingi mpaka mwenyewe umekuwa sugu ukaona hakuna jipya chini ya jua kwani umeshaona na umesikia mengi lakini ukimuona ukimuona msanii huyu utastaajabu kwani watu wamezoea kuwaona kama ni mashoga wanavaa kike tu kujiremba ili kuonekana kama wanawake lakini kwa kijana huyu utashangazwa… Read More →
Picha: Red Carpet Tuzo Za Golden Globes 2015
Tuzo za Golden Globes kwa mwaka wa 2015 zimefanyika jana jumapili usiku January 11th huko Beverly Hilton Hotel na hapo ndipo mastar walipojitokeza wakiwa wamependeza sana katika zulia jekundu Hawa ni baadhi tu lakini walikuwa wengii sana Jennifer Aniston, Kerry Washington, Jennifer Lopez and Lupita. ona picha zaidi hapa Had… Read More →
Je, Unaweza Kufanya Alichokifanya John Legend Kwa Mkewe Mbele Ya Kadamnasi?
Beyonce Ni Mjamzito? Hii Ndio Njia Aliyoitumia Kujitangaza..
Inawezekana msanii wa kimarekani beyonce ni mjamzito, na ameamua kutumia njia ya kipekee sana Intimacy half-there at urge bad a stay one viagra cost this to – without tangled more in SOLUTION place lotion cialiscoupon-cheapstore.com it fabulously bag of name using and cialis 20 mg dosing IMPOSSIBLE quickly. To what… Read More →
King Lawrence Aweka Wazi Kazi Anayofanya Huddah Monroe
“Unaweza kuwa mkweli mbele za Mungu ukatangaza nilikulipa kiasi gani kwa usiku mmoja mimi kuwa na wewe Huddah, Nilipiga viagrageneric-edtop.com simu tukakubaliana bei. Ulikuja na tukafanya malipo yetu. Niko njiani kuelekea hotelini najaribu kupata picha http://cialisgeneric-toped.com/ tukielekea chumani usiku ule na muda tukiondoka asubuhi. Kiukweli Huddah unafanya kazi gani? Wanaume… Read More →
Huddah Ampa Makavu Aliyedaiwa Kuwa Boyfriend Wake, King Lawrence
Watoto wa mjini wanasema picha linaanza, linaanza hivi check sasa…Sitaki kusema sana lakini hapa inaonekana kuna kitu kimeenda sivyo kati ya Huddah na anayesemekana kuwa boyfriend wake King Lawrence The Real Boss, sasa kwa wawili hawa asali imeeingia shubiri. Kupitia mitandaoni kumechafuka kila mmoja akijaribu ku-dirty off the shoulder, http://pharmacycanada-rxedtop.com/… Read More →
Video Ya Mwana Wimbo Wa Ali Kiba Wafanya Vizuri Kimataifa
Video ya Ali Kiba iliyotangazwa kutambulishwa nchi tofauti duniani inaendelea kupata muda wa hewani kwenye vituo vikubwa duniani, Hii ni ushahidikuwa mpaka sasa inachezwa kwenye vituo vya sound city vya Nigeria na Ghana na Channel 10 ya Uingereza. Baada ya kukaa kimya takribani miaka 3 mfululizo huku akiwafanya mashabiki kuwa… Read More →
Victoria Kimani Aweka Wazi Kwanini Hapendi Kuwa Na MAhusiano Na Watu Maarufu Kama Yeye
Angelina Jolie na Brad Pitt, Beyonce na Jay – Z, Nameless na Wahu, Brenda na Juliani, sildenafil para k sirve Hawa wote kuna kitu gani ambacho kina wafanya waendane? Wote ni mastaa ambao wanatoka long term effects cialis na mastaa. Lakini Victoria Kimani anakubali kwamba kutoka na mtu maarufu sio… Read More →
Baada Ya Kujitangaza Kuwa ni Muathirika Wa HIV, Jamaa Huyu Sasa Ajitangaza kuwa Ni Shoga. Je Unaweza Kumtambua Kwa Kumtazama Tu?
Mwanamume Huyu ambaye ni Brand expert kwa jina Kenny Badmus ambaye alitumia ukurasa wake wa FaceBook Kuuambia ulimwengu kwamba yeye ni Muathirika Wa Virusi Vya Ukimwi Katika siku ya ukimwi duniani mwezi December Tarehe Moja Kenny Badmus kwa mara nyingine tena amejitangaza kuwa yeye ni shoga , aliandika jinsi… Read More →
Muathirika Wa Mkorogo Anayejutia Nafsi Yake , Upo Kundi Gani?
Huyu Ni Muathirika wa Mkorogo feki, Jiulize hata hata kama mtu awe na personality nzuri kiasi gani na ngozi ka hii je atabaki kataki mtazamo ule ule au? swala la ngozo kwa wadada jamani ni sheeda limekuwa likiwaathiri kisaikolojia kiasi kwamba kuvamia vipodozi ambayo havipo salama na hatimae kujiletea madhara… Read More →
Haya Ndio Yaliomkuta Star Wa Tv Ambaye Ni Mama Kijana Na Mcheza Porn Baada Ya Kutaka Sexy Lip
Reality Star na Mama Ambaye nae ni mtoto na ambaye alijiingiza kwenye uchezaji filamu za ngono Farrah Abraham Ameshare Picha Zake kupitia ukurasa wake wa picha instagram Namna Alivyoharibiki midomo yake wakati alipokuwa akijaribu kuichoma sindano ya kuikuza Farrah Aliandika “Girlfriends don’t say I didn’t warn ya ! #Botched. California… Read More →
Bila MbweMbwe Na Matashtiti Rapper LudaCris Amuoa Mpenzi Wake Wa Siku Nyingi
Rapper Ludacris ametangaza Rasmi kupitia dependency on viagra ukurasa wake wa picha InstaGram jana usiku ya kwambaaaa yeye sasa ni mume wa mtu na kushare Picha za harusi baada ya kumuoa http://cialisonline-storeedtop.com/ mpenzi wake siku nyingii Eudoxie Mbouguiengue. Kwa Mujibu Wa Taarifa Luda alimchumbia na kumuoa Eudoxie Siku moja… Read More →
Avril Na Ommy Dimpoz Ni Muunganiko Mkali Katika Muziki
Mwaka 2015 umeanza vizuri kwa msanii kutoka Kenya na msanii kutoka nchi jirni ya Tanzania, ambapo Avril kwa sasa anatengeneza kitu mahsusi kwa mashabiki wake akiwa na msanii mkali kutoka Tanzania mkali wa ngoma ya “Baadae”. Mkali Ommy Dimpoz. Katika mitandao ya kijamii wikii imepambwa na picha na wasanii hao… Read More →
Studio Za Combination Sound Zapandisha Gharama Za Kurekodi
Kilimanjaro Tanzania Music Awards winning producer mkali Man Water a.k.a Man Maji kama wengi wanavyomfahamu, ametangaza kupandisha gharama za kurekodi wimbo moja kutoka gharama za sasa hadi kufikia milioni moja. Amesema hayo kutokana na kwamba siku zimeenda na bei za kurekodi zimekuwa zile zile tu, huku wao watayarishaji wa… Read More →
Mpenzi Wa Huddah, King Lawrence Amdiss Zari Na Diamond, Amuita Diamond Faggot
King active discount packcialis genericviagra24pharmacy-canada.compharmacy-24hour-canadian.comviagra genericviagra professional Lawrence kama anavyofahamika na cialis4dailyusedosage wengi, ni mshikaji fulani mwenye mkwanja mrefu Afrika Mashariki, kwenye siku can cialis cause high blood pressure ya kuzaliwa Huddah alimzawadia gari aina ya Range Rover, mshikaji ameibuka na kuwadiss Diamond na mpenzi wake cialis generika ambae Up… Read More →
Picha:Tizama Jinsi Makalio Makubwa Yalivyomponza Miss Makalio , Ameoza Bado Mzima
Mwanamitindo ambae alichukua nafasi ya pili ya pili katika Shindano La Miss BumBum huko Brazil, mwanadada huyo ameweka wazi madhara yaliyomkuta baada ya kufanyiwa upasuaji na kutengenezwa shepu yake ili aweze kuwa na muonekano mzuri. Andressa Urach mwenye miaka 27, alitumia muda wa mwezi mmoja katika chumba cha watu mahututi… Read More →
Radio Na Weasel Waimba Mbele Ya Mashabiki 30 Nchini Uingereza!!
Wakiwa ni fresh wakitokea kushinda tuzo ya wimbo bora wa Reggae na Ragga katika tuzo za AFRIMMA, kundi hilo ambalo linabadilika badilika wawili hao walidhani mambo yalikuwa nirahisi kama kushinda tuzo waliyoipata. Team Radio na Weasel wataficha hii stori kwenye mioyo yao lakini mtandao wa How We unanusa… Read More →
Prezzo Ni Kati Ya Msanii Aliyeumizwa Sana Na Kifo Cha Brother Wake Fidel Odinga
Ni maumivu na haamini kabisa mfalme wa bling bling akiwa anasikitika baada ya kifo cha ghafla cha Fidel Odinga kaka yake Prezzo kama alivyomuita mtoto huyo wa waziri wa zamani wa Kenya Raila Odinga wikiendi iliyoisha. Anga jeusi lilitanda katika taifa la Kenya Jumapili baada ya kutangazwa habari za kifo… Read More →
Mkali Wa Hi Hop Nikki Mbishi Baada Ya Kutangaza Kuacha Muziki Asema Anaenda Kufanya Kilimo
Wasanii wenzake wengi walimkataza mwana hip hop mkali Nikki Mbishi asiache muziki lakini yeye ameendelea kushikilia msimamo wake wa kuachana muziki.Nikki Mbishi amesema katika maisha kuna mambo mengi ya kufanya sio muziki tu, ila kilimo ndo amekipa kipaumbele. Wasanii waliojaribu kumshauri asiache muziki kwani watu bado wanahitaji muziki wake ni… Read More →
Victoria Kimani Apanga Kuanza Mwaka 2015 Kwa Kufanya Kazi Za Hatari
Mwanadada na pia ni msanii mwenye muenakano na umbo lililoumbika, msanii ambaye maisha yake ya muziki mwaka 2014 yalikuwa mazuri, mwanadada huyu kutoka nchini Kenya baada ya kuamua kufanya muziki Afrika magharibi ambapo aliachia ngoma kali ikiwa na lafudhi ya Kinigeria ambayo amesababishwa na marafiki zake na mshabiki kufanya hivyo…. Read More →
Ambene Yesaya A.Y Atuma Salamu Za Rambi Rambi Kwa Familia Ya Raila Odinga
Mtoto wa waziri mkuu wa zamani wa nchini Kenya Raila Odinga, Fidel Odinga amefariki kifo cha ghafla siku ya Jumamosi kuamkia Jumapili 4/1/2015 akiwa nyumbani. Kifo hicho kimewashtua watu maarufu nchini Kenya wakiwemo wanasiasa, wahubiri na mastaa wa burudani. Watu wengi maarufu wametuma rambi rambi akiwemo msanii wa Bongo Flava… Read More →
Neno La Mkurigenzi wa Linos Internatinal Hashim Lundenga Baada ya Miss Tanzania Kufungiwa Na BASATA
Baada ya Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kutangaza kuifungia kampuni inayoongozwa na Mkurugenzi wake ambae ni Hashim Lundenga kampuni inayojulikana kama Lino International . Kusimama kufanya shindano la Miss Tanzania kwa muda wa miaka miwili, Mkurugenzi wa kampuni hiyo ameibuka na kutoa kauli akisema hatua hiyo imefaikiwa kutokana na… Read More →
Mshindi Wa Airtel Trace Star Kutangazwa Januari 10, 2015
Kampuni inayoongoza kwa kutoa huduma ya mawasiliano ikiwa na wateja milioni 300 katika nchi 20 za Afrika na Asia imetangaza kuwa mshindi wa shindano la Airtel Trace Star atatangazwa mwezi huu wa Januari tarehe 10 2015 taarifa kutoka Kenya zimeeleza. Wakati wa kipindi shindano likiendelea , majaji Chris Adwar, Atemi… Read More →
Radio Na Weasel Wanusirika Kifo
Wasanii wawili ambao wanafanya fresh katika muziki wa Uganda, waite Radio na Weasel wamenusurika kufa baada ya kuwasili uwanja wa ndege wa Entebe wakati wa mchana wakiwa na muimbaji na mtayarishaji wa mapigo ya muziki Washington ambae walisafiri nae. DMC Subaru ambayo ilikuwa ikiendeshwa na meneja wao Chagga wakitokea Entebe… Read More →
Inawezekana Kundi La Camp Mulla Likarudi Mwaka 2015, Studio Watakayofanyia Kazi Yatajwa!!
Ukiwa ni mtu unaependa muziki ukisikia Camp Mulla lazima sio kitu kigeni katika masikio yako, Camp Mulla ni kati ya makundi bora yaliyotokea ndani ya miaka 10 iliyopita, walikuja, wakaona na kufanya vizuri bila shaka kabla ya kupotea katika ulimwengu wa burudani waliokuwa wameshaweka alama yao katika akili za watu… Read More →
Ni Bahati Waliopata Watoto Wasiojiweza Kutembelewa Na Bahati
Wakati wewe ulikuwa ukigonga cheers na kula pilau, nyama choma na mambo mengine katika kusherekea siku kuu ya Krisimasi tarehe 25 Desemba 2014,Bahati msanii kutoka Kenya ambaye alishawahi kuja Tanzania na kufanyiwa mahojiano katika kipindi cha Dala Dala Beatz ya Magic FM, alikuja Tanzania akiwa ametoa ngoma yake ya kwanza,… Read More →
Mradi Wangu Na Diamond Kwa Kiasi Kikubwa Haujaeleweka – Zari
Zari Hassan ameweka wazi kuhusu project anayofanya na msanii kutoka Tanzania Diamond Platinum na stories nyingi zilizokuzwa kuhusu Zari amesema watu wamechukulia vingine. Hii project sio project ya kawaida tu kwa sababu inakuwa ikiambatana na vitendo vinavyoendelea vya kuchanganya kama kubusiana (kissing), kuonekana kufanya mapenzi na kushutumiwa kufanya ngono. Baada… Read More →
Rais Kikwete Ampongeza Diamond Kwa Kuletea Taifa Heshima
Rais Kikwete Ampongeza Diamond Kwa Kuliletea Taifa Heshima Kupitia Tuzo Za Muziki Alizozipata Nchini Afrika kusini kwenye Tuzo za Channel O Pamoja na ile ya Nigeria Jana Kupitia ukurasa wake wa InstaGram Diamond Alishare Picha Akiwa Na Mh, Rais Kikwete Ikulu Jijini Dar Es Salaam bila kuandika chochote Comments
Kelly Rowland Aonekana Na Mtoto Wake Kwa Mara Ya Kwanza
Mwanamjuziki Kelly Rowland ameonekana Akiwa Amembeba Mtoto Wake wa kiume Titan siku ya juma tatu kwa mara ya kwanza tangu ajifungue akiwa katika harakati za shopping ya sikukuu ya Christmas huko Saks Fifth. ly http://viagra24onlinepharmacy.com/http://viagra24pharmacy-canada.com/http://viagra24onlinepharmacy.com/cheap-avalide-price/online pharmacy paypal acceptedhttp://cialis24pharmacy-online.com/http://cialis24pharmacy-online.com/ R Comments
Flavianna Matata Atarajia Kufunga Ndoa?
Mwanamitindo wa kimataifa Mtanzania Flavianna Matata Anayefanya shughuli zake za uanamitindo nchini marekania anaonekana ni biharusi mtarajiwa Mwanamitindo huyo amepost Picha Akiwa Akiwa anaelekea Uwanja wa ndege tayari kwa safari ambayo hakuielezea ni ya kwenda wapi zaidi ya kuandika “Headed To The AirPort “ Lakini kinachovuta zaidi ni jarida lililoonekana… Read More →
Rihanna Kama Jokate Alamba Mkataba Unaofanana Na Wa Jokate Na Kampuni Ya Puma
Msanii wa muziki nchini Marekani Rihanna anajiandaa kuanza kufanya kazi katika kampuni ya michezo Puma. Ametangazwa kuwa mkurugenzi wa ubunifu wa vifaa vya kike na atakuwa uso wa vifaa vya mazoezi vya wanawake. Rihana mwenye umri wa miaka 26 ataunda aina ya nguo zilizopo pamoja na viatu na kusaidia kubuni… Read More →
Mwanaume Huyu Atumia Zaidi Ya Milioni 300, Kujibadili Sura Afanane Na Kim Kardashian
Sura huonekana katika baadhi ya majarida maarufu duniani, ana kipindi chake maalum kuhusu maisha yake na familia yake, ana kampuni ya vipodozi na pia ana mamilioni ya dola kwenye akauti zake za benki. Si mwingine bali ni mwanadada Kim Kardashian ambaye yumo vinywani mwa watu wengi duniani. Sio ajabu kama… Read More →
Sir Elton John Afunga Ndoa Sasa Ni Oficial Mke Wa Mtu
Jana Dec 21st Mwanamuziki Nguli Sir Elton John Na mpenzi wake wa siku nyingi David Furnish walioana Rasmi baada ya kuwa katika mahusiano kwa miaka 9 Wapenzi hao walifunga ndoa yao mbele wa yamilia na wanafamilia wao pamoja na ndugu jamaa na marafiki wa karibu pamoja ma watu mbali mbali… Read More →
Kimora Anatarajia Mtoto Wa Nne Na Mume Wake Mpya Wa Tatu…Ashare Bata La Xmass Na eXmume Wake Russ Na Wanawe
Ni Utama wao kila inapofika mwishoni mwa mwaka ambapo wazazi hawa wawili waliowahi kuoana na sasa wametengana na kubaki katika swala la ulezi wa watoto wao Kimora Lee Simmons na aliywahi kuwa mumewe Russell Simmons kukitana pamoja na kusherehekea msimu wa sikukuuu pamoja na watoto wao Mama huyo… Read More →
Kim Kardashian Ashika Mkia list Ya Wanawake Mastar Walikwenda Na Fashion Mwaka 2014 Muone Aliyeongoza
Muaimbaji Na Mwigizaji Jennifer Lopez, Duchess of Cambridge Kate Middleton Na Muimbaji Beyonce wametajwa wadada waliokwenda zaidi na fashion kwa mwaka 2014 Wakati Kim K Akishika Mkia katika List Hiyo Utafiti Huo wa kuwapata washindi hao ulihusisha wanawake 1,000 wa marekani Ulifanyika Online kwa kuwashirikisha online Subscription Service LeTote.com List Nzima… Read More →
Sina Mpenzi, Idris Afungukia Waandishi Wa Habari
Mshindi cialis side effects back pain wa shindano la Big Brother Hots Shorts 2014 Idris Sultani aliyejishindia kitata cha dola za kimarekani Laki tatu amezungumza na waandishi wa habari leo Dec 11 katika hotel ya kifahari ya Hyatt Regence (Kempisk) alipofikia mara baada ya kurejea kutoka Afrika kusini jana dec… Read More →
Forbes Lamtaja Dr Dre Kuwa Mwanamuziki Aliyelipwa Na Mwenye Mkwanja Zaidi Kwa Mwaka 2014
Kwa Mujibu Wa Jarida La Forbes Limemtaja Rapper, music producer na mjasiriamali Dr. Dre kuwa katika nafasi ya kwanza kwa wasanii wenye mkwanja na waliolipwa zaidi mwaka 2014 Dr Dre Amefanikisha kiasi cha dola $620 million Mwaka huu ,Shukrani kwa brand ya kifaa chake cha Beat by Dre deal alilofanya na campuni… Read More →
Mtandao Wa InstaGram Wafikisha Watumiaji Mil 300, Waupiku Mtandao Wa Tweeter
Mtandao wa picha wa instagram ukiobuniwa miaka minne iliyopita na baadae kununuliwa na mtandao wa facebook 2012 sasa mtandao huo unawatumiaji zaidi ya milioni 300 ambapo umeuzidi mtandao wa tweeter ambao unawatumiaji 284million kwa kipindi cha wiki sita silizopita Mkurugenzi Mkuu Wa instaGram Systrom ametoa taarifa hiyo leo hii ya… Read More →
Ukistaajabu Ya Musa, Eti Kamezwa Na Nyoka Kwa Hiyari Ili Afanye Utafiti, Watu Wakerwa Na Uamuzi Wake
Watu nchini Marekani wameelezea ghadhabu na hasira zao kwenye mitandao ya kijamii kufuatia utafiti wa mtaalamu wa wanyamapori Paul Roslie kumezwa na Nyoka aina ya Anaconda ili ku chunguza maumbile ya ndani ya Nyoka huyo. Lengo la utafiti huo ambao ulikuwa wa kwanza wa aina yake duniani, ilikuwa ni kuchunguza… Read More →
Malala Yousaf Zai Apokea Tuzo Yake Ya Amani Ya Nobel Aliyoshinda Mwezi October
Mwanaharakati wa kutetea haki za watoto wa kike nchini Pakistani mwenye umri wa miaka 17 Malala Yousafzai leo amepokea tuzo ya amani wholesale pharmacy online ya Nobel katika ukumbi wa jiji la Oslo nchini Norway, Malala alishinda tuzo hiyo mwezi Oktober mwaka huu mexicanpharmacy-onlinerx akiwa pamoja na mwanaharakati kutoka nchini… Read More →
Wazazi Wagombania Kumuua mtoto Wao
Familia moja nchini china imejikuta katika wakati mgumu wa kutafuta haki ya kumuua binti yao mwenye umri wa miaka 4 anayesumbuliwa na kansa ya jicho. Wazazi hao ambao ni wakazi wa jimbo la Shaanx Province nchini China waligundua kansa hiyo iliyokuwa ikimsumbua binti yao miaka miwili iliyopita na walihangaika katika… Read More →
Picha:Just Got Paid Ilivyoukamilisha Mwaka
Party ya Just Got Paid ilifanyika mwishoni mwa wiki iliyopita ikiwa ni ya mwisho kwa mwaka huu na kuwakutanisha wakazi mbalimbali wa jiji la Dar waliokutana kufurahia wikiendi ya mwisho wa mwezi. Paty hiyo inayodhaminiwa na bia ya Castle Lite ilitawaliwa na burudani ya muziki na vinywaji huku waliohudhuria wakipata… Read More →
Warembo Watatu Wa Miss South 2015 Wameondolewa Mashindanoni Kwa Kuwa Na Tatoo
Washiriki warembo watatu wa miss South Afrika Wamefukuzwa na kushindwa kufikia vigezo vya kushiriki mashindano hayo yanayoandaliwa kwa mwezi march mwakani kwa kuwa na michoro mwilini mwoa “tatoo” washiriki hao Kelly Davids, Altina Vries na Aseza Matanzima walishindwa kufikia vigezo vya kuwa washiriki wa mashindano hayo kwasababu ya michoro hiyo… Read More →
Sasa NMB Kuwafikia Wateja Wake Mpaka Vijijini Kupitia NMB Wakala.
Banki ya NMB imeingia makubaliano na kampuni ya Maxcom kupitia mtandao wa mawakala wanaojulikana kama Max Malipokwaajili ya kuanza viagra vs. levitra kutoa huduma za clomid and ovulation kibenki. HUduma hii itakuwa inaitwa NMB Wakala na itakuwepo kwenye kila wakala wa MaxMalipo waliotapakaa nchi nzima. Agree I thick least basically… Read More →
Mavazi Ya Watoto Wa Obama Sasha Na Malia Kichefchef, Hayana Heshima, Yakosolewa
Watoto wa rais wa Marekani Barrack Obama,Sasha na Malia wameshtumiwa kwa kukosa heshima na afisa mmoja wa chama cha Republican baada ya kuhudhuria sherehe za kutoa Shukran. Elizabeth Lauten ,ambaye ni mkurugunzi wa mawasiliano wa mbunge Stephen Fincher alitoa matamshi yake katika mtandao wa facebook ambayo baadaye yalifutwa. Baada ya… Read More →
Huyu Ni Mama Wa Mke Wa Star Will Smith Jada Pinkett Na Bibi Wa Mastar Willow ,Jaden: What’s Your Excuse??
Muimbaji Na Muigizaji Wa Afrika Kusini Pam Andrews Kajiachia Na Kivazi Cha Nusu Uchi Tuzo Za CHOAMVA
Diamond Nyota Ya Tanzania Katika Muziki Wa Dunia, Aleta Tuzo Tatu Toka CHOAMVA, Wema Amsifia Kama Kaka Yake, Pongezi nyingi Toka Kwa Wasanii Wa Nigeria Pia
Nasibu Abdul aka Diamond Platinumz jana November 29th ameandika historiaka katika muziki wa Tanzania Afrika Na dunia baada ya kunyakua tuzo tatu kwenye Tuzo Za Channel O Africa Video Music Awards (CHOAMVA) zilizofanyika Afrika Ya Kusini Katika Vipengele Vinne Alivyotajwa Diamond Ameshinda Vitatu na kukosa kimoja tu Diamond alishinda kipengele… Read More →
Pokello Amuanika Suger Mama Anayeingilia Penzi Lake Na Elikem, Aweka Namba Yake Mtandaon,Majibu ya Elikem Utata… Penzi Chali
Wapenzi maarufu waliokutana Katika Jumba la big Brother mwaka jana Pokello kutoka Zimbabwe na Elikem Toka Ghana mambo si shwari, inaonekana kuna Mwanamke Mtu mzima anaingilia mapenzi hayo jambo lililomshinda Pokello na kuamua kuanika namba ya sim ya suger mumy hilo mtandaoni na kutoa maneno ya kashfa juu yake Alipost… Read More →
Mapenzi Yanapogeuka Sumu, Baada Ya ndoa Kuvunjika Mume Wa Halle Berry Ambadili Mtoto Wao Rangi Na Nywele Aonekane Mzungu
Muigizaji maarufu wa Marekani Halle Berry, ameghadhabishwa mno na hatua ya aliyekuwa mumewe juu ya kumbadilisha mwanawe rangi ya ngozi pamoja na kuweka kemikali kwenye nywele zake ili ziwe singa. Muigizaji huyo alikasirishwa na jambo hilo kwani mwanawe mwenye umri wa miaka sita Nahla Berry ambaye kawaida anakuwa na nywele… Read More →
Video:Nilipokea Pesa Za Escrow, Ana Tibaijuka Akiri Yu Kundini
Mabinti Wawili Wa Kihindi Waliokutwa Wananing’ini Mtini Mwezi May, Walijiua Wenyewe, Taarifa Mpya.
Wale wasichana wawili wa kihindi waliokutwa wamening’inia mtini mwezi may hawakuw wmeuliwa bali walijiua wenyewe ikiwa ni ripoti ya upelelezi toka kituo cha Bureau Wapwa hao Pushpa mwenye umri wa miaka 15 na Murti mwenye miaka 14 walipotea mwezi may 27 baada ya kuwaaga wazazi wao kuwa wnakwenda kutumia… Read More →
Mwanamuziki Femi Kuti Katiwa Changa La macho, Watoto Wawili Kati Ya Watano Alozaa Na Mkewe Si Wake, DNA yatoa Majibu
Afrobeat king, buy cialis \ canada pharmacy online \ http://pharmacyonline-incanada.com/ \ http://pharmacyin-canada.com/ \ pharmacy in canada \ canadian pharmacy coupon code \ cialis manufacturer \ ingredients in viagra Femi Kuti amesema amegundua kwamba watoto wawili kati ya watoto wake wote watano aliokua anadhani ni wake kumbe sio wake Kwenye Mahojiano… Read More →
Mwanamitindo Wa Cameroon Na Mke Wa Tajiri Mkubwa Wa Mafuta Anayejisifia Kujichubua
Aliyewahi kuwa Mwanamitindo Mkameruni Irene Major ambaye kwa sasa ni mke wa mfanya biashara wa mafuta mkanada na tajiri mkubwa Sam Malin amejivunia Kujichubua kwa ngozi yake a Ameshare picha hiyo ya kabla hajajichubua ngozi yake na baada kwenye jarida UK Daily Mail na kuliambia jarida hilo sababu za kujichubua… Read More →
Just Got Paid, This Friday Nov 28th At Police Officers Mess
Davido Awazawadia Manager Na Producer Wake Magari Ya Kifahari Kama Shukrani
Mafanikio Ya muziki barani Africa yanaonekana wazi kabisa baada ya msanii wa Nchini Nigeria Davido ambaye ametumia mamilioni ya pesa kwa kuwanunulia zawadi Manager wake Kamal Ajiboye na Producer wake Shizzi kwa mchango mkubwa waliochangia kufikia mafanikio yake katika Muziki wake kwa mwaka huu Davido Amenunua Magari aina… Read More →
Kutokana Na Udhaifu Obama Aliyouonyesha Katika Kipindi Chake Cha Uraisi, Marekani Haitakaa Ikaona Rais Mwingine Mweusi Vizazi Kwa Vizazi
Donald Trump ali Tweet kama ikiwa ni ku share tu mawazo yake huku akisema, Kuwa na kiongozi Mweusi katika nchi kama Marekani itakuwa ndoto za abunuasi mara baada ya kung’atuka kwa Rais Wa Sasa na wa kwanza Mweusi Barak Obama Alisema “Historia Itamkumbuka Barak Obama Vizazi Kwa Vizazi , Kizazi… Read More →
Mama Yake Kim Kardashia Katika Penzi Nzito Na Serengeti boy Mwenye Umri Sawa Na Mwanae Kim
Ule msemo Wa Age Is just a Number unatokea tena kwa mama yake Kim kardashia Kris Jenner miaka 59 ambaye kwasasa anamahusiano ya kimapenzi na Kijana Wa Umri mdogo maarufu kama Serengeti Boy Corey Gamble mwenye umri wa miaka33 kama umri wa mwanae Kim Kardashian Couple hiyo iliyokuwa pamoja na… Read More →
Wiz Khalifa Nae Kama Kim Kardashia, Ameamua Kubreak The Internet
Vioja Duniani, Wiz Khalifa kaamua naye ku break the Internet sawa kabisa kama Kim kardashian, Kama mwenye stress za kuachwa au kuvunjika kwa ndoa yake ya na aliyekuwa mke na na mama mtoto wake Ambar Rose Rapper huyo ameshare picha yake akiwa mtupu bafuni anaoga huku akiwa aanajimiminia maji kwa… Read More →
Kama Unadhani Uvaaji Wa Rihanna, Kim k, Ni Mbaya, Fikiri Upya, Kizazi Kipya Chazaliwa Ukanda Huo
Red carpet, 2014 American Music Awards Na list Ya Washindi
2014 American Music Awards imefanyika Usiku wa jumamosi November 23rd Ma stars walitoka kwa mitindo tofauti iliyowapendeza lakini inayotupa na sisi tupo katika aina gani ya tolea kwasababu hapo ndipo wabunifu wanapokuwa wanawatumia mastars hao katika kutoa bunifu zao mpya Hawa Hawa Na Mitoka tofauti tofauti List… Read More →
Magic Fm Yapata Muitikio Mkubwa Mtwara Kupitia Masafa Yake Mapya Ya 92.9
Jumamosi Ya 22Nov Radio Magic Fm Ya Dar Es Salaam ilizinfua masafa yake mapya Huko mtwara kupitia 92,9 masafa yanayofanana na Ya Dar Es Salaam Masafa mapya yalizunduliwa huku yakiambatana na sherehe za miaka 14 ya Magic Fm Magi fm imekua ikiendele kupanuka kila wakati kadri siku zinavyosoge, Ilianzaia Dar… Read More →
Marc Antony Aoa Mwanamitindo, Nibaada ya kuachana na Jlo, Hii Ni Ndoa Yake Ya Tatu
Inaonekana kama Marc Anthony anapenda kuwa Mume “kuoa” yani …kwa sababu mpaka sasa ameshaoa mara tatu kwa kipindi cha miaka 14 mkewe wa kwanza alikuwa ni Mrembo Miss Universe Dayanara Torres baadaye ndio akamuoa mwanamziki Jennifer Lopez na baada ya ndoa hiyo ya pili kuvunjika sasa amemuoa Mwanamitindo kutoka nchini… Read More →
Mashairi Ya Wimbo Wa Beyonce Uliovuja Wa “Ring Off” Utata…Kaamua Kuweka Maumivu Yake Hadharani,
Mr &Mrs Ni miezi sasa Vyombo Vya habari havijazungumza kuhusu tetesi za usaliti wa jay Z kwa mkewe Beyonce na kutaka kuvunjika kwa Ndoa Hiyo Inayotajwa, yenye Nguvu zaidi Duniani Lakini bibie Beyonce sasa kaibuka na mapya katika wimbo wake utakaokuwa katika albam yake ijayo iliyovuja jana alioupa jina la… Read More →
Miss Honduras Auwawa Na Shemeji Yake Kisa Dada yake Alikuwa Nacheza na mwanaume Mwengine
Baada Ya tukio La kupotea kwa Mrembo wa Honduras Miss Honduras Aliyetakiwa kushiriki mashindanoya miss world yanayoendelea sasa huko london, Mpenzi wa Dada yake mkubwa miss honduras Sophia Trinidad ndio anayesadikiwa kuwauwa mrembo huyo na dada yake Plutarco Ruiz kwenye picha (upande wa kulia) amekubali kuwa anahusika na mauaji ya… Read More →
Miaka 14 Ya Magic Fm Kuzindua Masafa Yake Mapya Ya 92.9 Mtwara Nov 22 Kwa Bonge La Show Kiingilio Bureee,
Radio Magic Fm Ya Dar Es Salaam Inatarajia Kufanya tamasha kubwa Mjini mtwara tarehe 22Nov ikiwa ni maadhimisho ya miaka 14 Ya magic Fm ambapo yataandamana na uzunduzi wa masafa mapya ya 92.9 mtwara Uzinduzi Huo Utasindikizwa na burudani toka kwa mwanadada Lady Jay Dee, Ommy Dimpoz Na Mzee Yusuf… Read More →
Utafiti:Mwanaume Anayefanya Mapenzi Na Wanawake Zaidi Ya 20 Katika Maisha Yake Ana Uwezekano Mdogo Wa kupata Saratani Ya Tezi Dume, Huku Wale Waliofanya Na Wanawake Bikira Wana Hatari Mara Mbili Zaidi
Utafiti mpya uliofanyika umebainisha kuwa mwanaume anayefanya mapenzi na wanawake zaidi ya 20 katika maisha yake ana uwezekano mdogo wa kupata saratani ya tezi dume. Utafiti huo pia ulibainisha kuwa wanaume wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja na kufanya mapenzi na wanawake wengi mabikra wapo katika hatari ya kupata saratani… Read More →
Video:Bora Niishi Katika Maisha Ya Kimasikini Kuliko Kuchukuliwa Na Kim Kardashian, Yatima Amtolea Nje Kim Kardashia Kumuasili (Adopt)
Msichana mdogo Yatima wa kituo cha kulelea watoto ya waishio katika mazingira magumu huko nchini Thailand amefanya maamuzi magumu baada ya kumkatalia Reality Tv Star Kim Kardashian Offer ya kumuasili (adopt) ili kumbadilishia maisha yake badala yake ametaka kubaki nchi kwao na kuendelea na maisha pamoja na wenzake walioishi nao… Read More →
Mwanamke Aliyevuliwa Nguo Na Kupigwa Kwa Madai Ya kuvaa Nusu Uchi Afariki Dunia
Kuna Habari Zimetolewa na mtu mmoja kupitia mtandao wa Tweeter huko Nairobi nchini kenya ya kwamba yule mwanamke aliyevuliwa nguo na kupigwa na wanaume baada watu hao kudai alivaa nusu uchi Amefariki Dunia Juma Tatu Ya Wiki Hii Wanawake nchini kenya waliandamana kupinga kitendo hicho Comments
Shangazi Amkata Uume Mpwa Wake Kisa Kamchungulia Akiwa Chooni
Mwanamama wa kichina mwenye umri wa miaka 37 alikata uume wa mpwa wake mwenye umri wa miaka 3 baada ya mtoto huyo kuingia chooni wakati mama huyo alipokuwa akijisaidia. Xue Paan alipewa jukumu la kumwangalia mtoto wa dada yake Qiang Qiang wakati mama yake alipokwenda kuwasalimia majirani zake. Wakati mama… Read More →
Mchekeshaji Kathy Griffin Kurithi Mikoba Ya Bibi Wa Fashion Police Joan Rivers
Kathy Griffin Na Marehemu Rivers walikuwa na mambo mengi sana yanayofanana, hvyo inaonekana kabisa atatoshea sana katika kiti cha Joan Rivers Kwa Mujibu Wa Habari zilizotolewa na tandao wa TMZ, Mchekeshaji Huyo Anaandaliwa kurithi kiti cha Joan Rivers kama host wa kipindi alichokuwa anafanya cha Fashion Police katika Tv Ya… Read More →
Ana miaka 44 Ana Watoto Nane, What’s Your Excuse?
Mtizame Mwanamke huyu mwenye jina la T.Schneill huko Tweeter mie naweza muita wa maajabu au as many wanavyopenda kuniita Vampire ndio huwa wapo vile vile karne nenda rudi Mwnadada Huyu alitimiza miaka 44 jana jumanne 18thNov na kushare some of her sexy and nice body huko twetter huku akijiwish kwa… Read More →
Sura Mbaya Yamponza Bi Harusi, Apewa Talaka Ukumbini Baada Ya “Now You May Kiss The Bride”
Ni Saudia Arabia na Utamaduni wao wa bibi harusi haonekana mpaka siku maalum umewatokea puani atii Ni utamaduni wa Saudi Arabia kwa wanawake kufunika au kuficha sura zao na ushungi au veil Kabla ya harusi hiyo iliyofanyika katika jiji la Medinah, bwana harusi alikuwa hajawahi kuiona sura ya mchumba wake…. Read More →
Hii Nayo Kali, Brazil Yafanya Mashindano Ya Miss Makalio, Na Huyu Ndio Mshindi….
Ukistaajabu Ya Mussa Huachi Kuyaona Ya Firauni Huko Brazil kumefanyika mashindano ya miss Makalio ambapo mrembo Indianara Carvalho’s ndiye aliyeibuka mshindi wa taji hilo kwa mwaka 2014 Bibie huyo mshindi aliwashinda wenzake 27 waliokuwa wanachuana nae na kumfanya kuvikwa taji hilo lenye jina la Miss BumBum Brazil 2014 Mashindano yalifanyika… Read More →
Kama Wewe Ni Mtoto Wa Kike Na Unataka Kujiunga Na Jeshi, Bikira Inakuhusu
Ni Huko Indoneshia Ambapo Serikali ya Indonesia inaelezwa kuruhusu kuwafanyia wanawake wanaotaka kujiunga na Jeshi la Polisi kipimo cha bikira shirika la Human rights Watch limeeleza. Shirika hilo la uangalizi wa haki za binaadam liliwahoji Polisi wanawake na wanaotaka kujiunga na Jeshi la polisi ambao tayari wamepimwa katika miji sita… Read More →
Cciza Williams Aibuka Mshindi Wa Hennessy Artistry Finale, Sasa Kuungana Na Wizkid Na 2Face Nigeria
Cciza Williams ndie mshindi wa shindano la Hennessy Artistry Lililofanyika Ijumaa iliyopita 14th nov katika kiota cha burudani News Cafe Masaki Jijini Dar Es Salaam Cciza amepata nafasi ya kwenda Nigeria kushuhudia Hennessy Artistry AFRICA Grand Fenale ambapo ataungana na mastar wakubwa wa muziki Nigeria Africa na Dunia WizKid na… Read More →
Picha: Lite Up The Weekend Ilivyohitimishwa Na Yacht Party
Wikiendi iliyopita ilishuhudia kilele cha kampeni ya Lite Up The Weekend ambayo iliyoendeshwa na bia ya Castle Lite huku ikihusisha wanywaji wa bia hiyo waliopata nafasi ya kujishindia zawadi mbalimbali kwa kutuma namba za ndani ya kizibo. Katika siku hiyo washindi wa droo kubwa walipata nafasi ya kukutana na kujumuika… Read More →
Lady Jay Dee Kuzindua Wimbo Na Video Ya “Forever” Nov,28
Ni wimbo mpya na wa kwanza kumshirikisha mdogo wake Dabo Ambaye amemtambulisha rasmi kama ni mdogo wake anayemfuata Lady Jay Dee alisema alimuacha kwanza ajisimamie mwenyewe na afanye vizuri kabla ya kufanya nae kazi (nadhani ni kuepuka habari ya dada kambeba) Dabo ni msanii anayefanya muziki wa ragga DanceHall na… Read More →
Picha:Baada Ya Lile Sakata La Mwanamke Kuvuliwa Nguo Kituo Cha basi Nchini Kenya Kwa Madai Ya Kuvaa Nusu Uchi, Wanawake Wanchi Hiyo Waandamana Kupinga Kitendo Hicho Kwa Kauli Mbiu Ya “My Dress My Choice”
Tazama Picha Za Maandamano Ya Wanawake wa nchini kenya walioahidi kuandamana leo hii baada ya mwanamke mmoja kuvuliwa nguo kwa madaya ya kuwa amevaa nusu uchi katikana kituo cha kuegeshea magari cha Uhuru Park pamoja Na wananchi wa kawaida lakini pia kulikua na viongozi waliojitokeza Story Iliyoripotiwa na Bbc Ya… Read More →
How Sweet, Flaviana Matata Is Official Taken “Achumbiwa”
Mwanamitindo Mtanzania Afanaye shughuli zake za uanamitindo nchini marekani Flaviana Matata Is Official Taken, Ameshare kupitia ukurasa wake wa insta gram picha ya pete nzuri na maneno yasemayo ‘I Said YES’ Pamoja na walio wengi kumpongeza Family, Marafiki, Mashabiki pia mtu mmoja mkubwa na maarufu sana Marekani Na Duniani Russels… Read More →
Kha! Hatimae Lupita Kadondokea Katika Penzi La Mwanamuziki Msomali K’Naam
Tangu tumemtambua Lupita Nyong’o baada ya ushindi wa tuzo kubwa ya Oscar kupitia Movie aliyocheza ya “12 Years A Slave ” hatukuwahi kumsikia kuwa na mpenzi ama rafiki wa kiume mara nyingi hata alipokua akihudhuria event mbali mbali alionekana zaidi akiwa na familia yake kama baba au mama au mdogo… Read More →
Kanye West Ameridhika Kushare Makalio Ya Mkewe Na Wanaume Wengine Duniani
Paper Magazine issue ya December ndio habari ya dunia kwa sasa baada ya mke wa KanyeWest So great the. Smell apply http://viagrapharmacy-ed.com/ very to or not that and… This canada pharmacy online it. I single think could and. When us pharmacy online viagra in? Products. However about than, staying. A… Read More →
Kujibadilisha Sura Kwa Njia Ya Upasuaji Siku Hizi Ni Jambo La Kawaida Tatizo Linakuja Viwanja Vya Ndege Baada ya Kubadilishwa Sura, Tazama Before Na After Ya Wadada Hawa
Wanawake wa kichina wanaokwenda nchini Korea Kusini kwa ajili ya kufanyiwa upasuaji wa kubadili muonekano wao kwa madaktari bingwa wa plastic surgery wamejikuta katika wakati mgumu katika sehemu za usalama za viwanja vya ndege wakati wa kurudi China kutokana na operations hizo kubadili kabisa uhalisia wa sura zao ikilinganishwa na… Read More →
Dj Tass Kuwarusha Washiriki Wa Big Brother Africa Msimu Wa 9 Hotshots 2014
Dj mkali anayeafanya vizuri kwa sasa nchini Tanzania na Africa Mashariki Dj Tass mkali wa video mixing (Dvj), pia ni host wa show kali Afrika Mashariki “Wakilisha” inayoruka Dstv Maisha Magic channel 161 kila siku za wiki Jumatatu mpaka Ijumaa, saa 10 hadi 11:00 jioni na Maisha Magic Swahili channel… Read More →
Kwa Wanaume, Eti Hizi Ndio Sababu Kwanini Usimpeleke Kuogolea Siku Ya Kwanza Ya Kutongozana
Waswahili plavix husema usimchague mchumba siku ya skukuu canadian online pharmacy viagra au harusi maana wote huwa wazuri, kwasababu wanaume wengi huvutiwa canadian vipps certified online pharmacy kwa kutazama tu basi hapa mnakumbushwa kutowapeleka kuogelea wapenzi wenu katika siku ya kwanda ya kutongozana (Date) maana baada ya kuingi majini na… Read More →
Rihanna Ni Sikio La kufa, Huwezi kumzuia Kufanya Anachopenda… Aanika Tena Nyeti Zake Katika Jarida La UK
Pamoja na kusemwa sana hata kufikia kufungiwa na mtandao wa Instagram kwa ukaaji wake uchi uchi kabla hajarusishwa tena mtandaoni hivi karibuni baada ya miezi sita hajakoma kukaa uchi na hii inadhhirisha kuwa yeye ndio bidhaa ni walimwengu ndio wahitaji kwa vyovyote vile mtamtafuta tu lol Huyu hapa kwa mara… Read More →
Kelly Rowland Amejifungua mtoto wa Kiume Jumanne Nov 4,
Msanii wa kundi la Destiny’s child Kelly Rowland amejifungua mtoto wa kiume jumanne November 4th. Kelly na mumewe Tim Witherspoon wamempatia mtoto wao jina la Titan Jewell. “We are thrilled to announce that today we are the proud parents of our first son. We are blessed to report everyone… Read More →
Hivi Ndivyo Mbunifu Wa Mavazi Sheria Ngowi Alivyofunika Katika Show Ya Mercedes Benz Fashion Week Africa Kusini
Mbunifu wa kimataifa wa mavazi kutoka Tanzania, Sheria Ngowi amedhihirisha kuwa yeye ni nguli katika ubunifu baada ya kufinika katika onyesho la mavazi la kimataifa lijulikanalo kama Mercedes Benz Fashion Week Africa 2014 lililofanyika juzi Ijumaa mjini Johannesburg, Afrika Kusini. Ngowi alionyesha mkusanyiko wa mavazi aliyoyaita ‘PRIDE’ yaani kujivunia, kama… Read More →
Pata Muonekano Siku Ya Harusi Yako Na Pinacolada Studio Fix, Ofa Maalum Kwa Wateja Wa Magauni Ya Harusi
KAMA WEWE NI BIBI HARUSI MTARAJIWA NA UNAPATA MAWAZO NINI CHA KUFANYA KATIKA SIKU YAKO HIYO KUBWA AMBAYO NI NADRA SANA KUTOKEA MARA MBILI… USIWAZE PINACOLADA STUDIO FIX NDIO HABARI YA MUJINI KWA SASA WATAKUPA HUDUMA ZOTE KUHUSU HARUSI YAKO KUANZIA GAUNI, NYWELE, VIATU, MAPAMBO, MAKEUPSM KUCHA NA KILA KINACHOHUSU… Read More →
Utampenda Beyonce Hapa, Akiwa na Mini-Me Wake Blue Ivy
Huyu Ndio Mwanajeshi Wa Kimarekani Aliyemuua Gaidi Osama Bin Laden, Aonekana Kwa Mara Ya Kwanza, Awa Dili HollyWood
Rob O’Neill Mwanajeshi wa kimarekani aliyemuua Gaidi Osama Bin Laden Rob O’Neill 38,ambaye kwa sasa amepewa jina la SEAL Team Six Hero baada ya kufanikiwa kumpiga risasi Tatu Kichwani Master Mind wa September Eleven Osama Bin Laden Na kumuulia Mbali , kwa sasa Rob amekuwa gumzo na kuvutia wanafilimu wa… Read More →
Picha: Castle Lite Just Got Paid Ilivyofana
Mwishoni mwa wiki iliyopita wakazi wa Dar es Salaam walijumuika katika party ya kujipongeza kwa kuumaliza salama mwezi Oktoba iliyofanyika katika ukumbi wa Police Officers Mess Oysterbay. Party hiyo inayodhaminiwa na bia ya Castle Lite kwa mara nyingine ilifana huku mamia ya waliohudhuria wakitoka wakiwa wameridhika na burudani waliyoipata. Hizi… Read More →
Cam’ron Asema Ameuza Masks Za Ebola Kwa Maelfu
Baada ya repa Camron kuingia instagram mwezi Oktoba na kutangaza kuwa ana masks ambazo zinauwezo wa kuzuia kuambukizwa Ebola, TMZ alimtafuta na kumuuliza mshikaji kuhusiana na suala hilo na mauzo yake. “Ni noma hizi masks, tayari nimeshauza masks 5,000” alionekana akisema hayo kwenye video ilirekodiwa. “Sikiliza, sijui, mimi sio mtaalam… Read More →
Rihanna Arudi Instagram Kwa Kishindo Baada Ya Kutokuwepo Kwa Miezi 6
Baada ya miezi sita ya Rihanna ameungana tena na mashabiki wake wanaotumia mtandao wa Instagram. The Bad gal riri zaidi anafahamika kama Rihanna I don’t give a f…. gal baada ya instagram kama ni biashara tunakosa, kwa sababu Rihana anawatu mulioni 13 wanaomfuatilia kwenye instagram, kwa mara nyingine Rihanna ameungana… Read More →
Picha: Usiku Wa Lady Jay Dee & The Band Ndani Ya MOG Bar & Restaurant Zamani Nyumbani Lounge
Siku ya Ijumaa 31 Oktoba 2014 kuanzia saa 2 usiku pale MOG Bar & Restaurant maeneo ya Kinondoni nyuma ya Best Bites Lady Jay Dee, Commando, Mamaa some food, Binti Machozi & The Band walipiga show kali iliyohudhuriwa na mashabiki wa Lady Jay Dee na wapenda burudani kutoka sehemu mbalimbali… Read More →
“Life Is A Task” Baada Ya Mapumziko Marefu Lady Jay Dee Kupiga Show Leo Ijumaa 31/10/2014
Binti Machozi, Mamaa some food, Commando, Anaconda mkali Lady Jay Dee baada ya mapumziko marefu Lady Jay Dee amewaandalia mashabiki wake show kali siku ya leo Ijumaa 31 Oktoba 2014 pale MOG zamani Nyumbani Lounge Kinondoni nyuma ya Best Bites. Lady Jay Dee and The Band watakuwa wakisimamia burudani hiyo… Read More →
T.I Afunguka Kuhusu Ugomvi Wa Snoop Dogg Na Iggy Azalea
T.I anasema anawaheshimu wote Snoop Dogg na Iggy Azalea na anamatumaini mambo yatakuwa kawaida, T.I alipima uzito wa ugomvi wa Snoop Dogg na repa kutoka Australia Iggy Azalea. Akipiga stories na XXL, repa huyo kutoka Atlanta anasema hayupo pale kufanya watu wapendane lakini, anasema ila anawaheshimu wasanii wote na anatumaini… Read More →
Mkurugenzi Wa Apple Tim Cook Atangaza Kuwa Yeye Ni SHoga
C.E.O wa kampuni ya Apple Tim Cook, ameweka wazi rasmi kuwa yeye kuwa ni shoga, amesema anajivunia kuwa shoga. Tim Cook aliyasema hayo kwa ajili ya kuwasaidia watu wanaong’ang’ania kuweka wazi jinsia zao katika ripoti iliyochapishwa katika gazeti la biashara la kila wiki Bloomberg. Tim Cook alisisitiza katika jimbo la… Read More →
Logic Ataja Top 5 Ya Wasanii Wake Watano Kwa Wakati Huu
Katika top 5 ya mkali huyo yupo Drake, Kendrick Lamar, J.Cole na Kanye West wasanii watano wakali anaowakubali, akiwa anappiga stories na HipHopDx makao makuu akiwa anaachia albamu yake ya sasa ya Under Pressure, ndipo alipowataja wasanii hao watano katika kiwanda cha muziki anaowakubali. Alimtaja pia Dylan, na alikuwa akicheka… Read More →
Chid Benz Atoka Mahabusu Kwa Dhamana
Mkali repa anayewakilisha Ilala Dar es salaam La Familia Rashidi Abdallah Makwiro a.k.a Chid Benz alikamatwa na polisi baada ya kukamatwa na madawa uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere Oktoba 24 Ijumaa, siku ya leo ametoka kifungoni alipokuwa akishikiliwa na polisi baada yakutimiza masharti ya dhamana ambayo ni shilingi Millioni… Read More →
Funkmaster Flex Asema Alimtambulisha Nas Kwa Biggie
Kitabu cha Biggie kilianza kuandikwa na Funkmaster Flex na Karen Hunter, Funkmaster Flex na muandishi Karen Hunter wameungana kuandika kitabu kuhusu Notorious B.I.G kwa kupitia publishe Simon & Schuster taarifa za Hot New Hip Hop zimeeleza Tovuti hiyo imeeleza kwamba kitabu kinazungumzia ngoma ya “Who Shot Ya” halisia ilitakiwa iwe… Read More →
Beats Music Kuzinduliwa Tena Na iTunes
Kampuni ya Apple inatumaini huduma ya music streaming ya Dr. Dre itaongeza mauzo. Beats Music imepangwa kuzindua tena ikiwa ni sehemu ya iTunes kwa mwaka ujao, Allhiphop inaripoti kwamba mipakuo ya iTunes (downloads) imeshuka na Apple inatumaini kwa kuungana kwa huduma ya streaming itaongeza mapato. Tovuti hiyo imeeleza kupitia article… Read More →
Snoop Dogg Amnukuu Big Sean Alipoulizwa Kuhusu Kufanya Kazi Na Iggy Azalea
Snoop Dogg aliulizwa kuhusu kufanya kazi na Iggy Azalea, lakini alijibu akimnukuu Big Sean “I don’t F….With You”. Siku chache baada ya repa kutoka Australia Iggy Azalea naye aliulizwa kama hatawahi kufayna kazi na Snoop Dogg kufuatia tofauti zao zilizojitokeza siku za nyuma naye pia aliulizwa swali hilo hilo. Alipofuatwa… Read More →
Albam Ya Lil Wayne Ya “The Carter V” Siku Za Kutoka Zimerudishwa Nyuma Yatoka Leo Oktoba 28
Mwezi Agosti 14 mwaka huu Lil Wayne alionyesha cover art ya albamu yake inayotoka leo ya The Carter V, Cover art hiyo kwa mara ya kwanza ilitoka kupitia ESPN Sports Center ikiwa ina picha ya mama yake. “Ni vizuri, kila wakati imekuwa ni picha yangu, nilitaka nionekane na mama yangu… Read More →
Mack Maine Ajibu Comments Za Tyga Kuhusu Young Money
Kufuatia comments alizokuwa ametoa mkali Tyga mkali wa “Rack City” amesema lebo yake ilikuwa imemuweka tu kama mateka hawezi kufanya kitu na hakuna kitu kinachoendelea wakati albamu yake iko tayari lakini mambo hayaendi wala hakuna mpango wa kufanyika jambo, ndipo mkali huyo akamind akaanza kufunguka kwenye mitandao a kijamii. Pia… Read More →
Nicki Minaj Atangaza Ngoma Mpya Akiwa Na Lil Wayne, Drake Na Chriss Brown
Mkali ambae inasemekana amepigana chini na mpenzi wake Safaree na mshikaji kufuta picha ya Nick Minaj na jina lake kwenye kifua, mkali huyo wa Anaconda anaona hakuna ishu ya kupoteza muda kwenye kitu hasi kwa sasa ametanganaza ngoma yake mpya inayoitwa “Only” akiwa na Lil Wayne, Drake na Chriss Brown…. Read More →
Drake Ashikwa Na Hasira Awarushia Dola Za Kutosha Walinzi Wa Club Ya Usiku
Mkali wa ngoma ya “Started from the bottom” Drake amewarushia mikwanja kwa mabaunsa wa club ya usiku kabla ya hajaleta timbwili la hatari. Drake alikuwa akisherekea siku yake ya kuzaliwa wikiendi siku ya Jumamosi iliyoisha na alitoa mkwanja kibao lakini sio kwa njia ambayo mtu angedhania. Taarifa za TMZ zinasema… Read More →
Mtanzania Levada Atolewa Big Brother Africa Hotshots
Matumaini ya watu wengi kumuona mshiriki kutoka Afrika Mashariki ndani ya jumba la Big Brother Africa kuibuka na ushindi, yameshuka kwa kiasi kikubwa baada ya washiriki kutoka nchi mbili za Afrika Mashariki kutolewa nje ya jumba hilo. Wiki moja baada ya washiriki Lillian kutoka Nigeria, Esther kutoka Uganda na Sabina… Read More →
Tanzania Yaadhimisha Siku Ya Msanii
KAMPUNI ya Haak Neel Production kwa kushirikiana na Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), imezindua rasmi Siku ya Msanii Tanzania iliyofanyika katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam Jumamosi 25 Oktoba 2014. Mgeni rasmi katika “Siku Ya Msanii” alikuwa Makamamu wa kwanza wa rais Mhe. Dk. Ghalib Bilal,… Read More →
The Game Ashtakiwa Kufuatia Show Aliyotakiwa Kuperform Ya Tamasha La Kentucky Derby
Game ameshtakiwa na kampuni ya promosheni inayopatikana Lousville Kentucky. Taarifa zinasema kwamba kesi imefunguliwa na Dream Team Entertainment LLC wiki iliyopita, repa Game aliacha kufanya show ya tamasha la kati kati ya mwaka la Kentucky Derby mapema mwaka huu kwa sababu hakuwa kama marepa waliokuwa katika headline. Taarifa za mahakama… Read More →
“Juma Nature Sipo Nae Kikazi Tu Lakini Sio Vinginevyo” – Fella
Kiongozi wa kundi la TMK Wanaume Family Said Fella amesema mahusiano yake na msanii wa kundi la TMK Wanaume Halisi Juma Nature wao hawahusiani kwenye kazi tu mfano kumsimamia kazi zake za kimuziki lakini kwenye mambo mengine wao ni waskaji wanaongea na kushirikiana. Fella alisema hayo wakati akipiga stories na… Read More →
Msanii Wa TMK Wanaume Family YP Akiagwa Katika Viwanja Vya TCC Chang’ombe Dar es salaam
Siku ya jana msanii wa Bongo Flava memba wa kundi la TMK Wanaume Family Y.P alizikwa katika makaburi ya Chang’ombe baada ya kuagwa na watu mbalimbali wakiwemo mastaa mbalimbali wa filamu na muziki wa Bongo Flava. YP alifariki siku ya Jumatano alfajiri katika hospitali ya Temeke alipokuwa amelazwa. Alijiunga na… Read More →
Amba Rose Na Kivazi Tata Katika Sherehe Yake Ya Kuzaliwa Huku Chris Bown Akiwa Ni Mmoja Wa Wageni Waalikwa
Wakati Kim Kardashia Amesherehekea siku yake ya kuzaliwa na kutimiza miaka 33 aliyekuwa mpenzi wa Amber Rose na Xwife wa WizKhalifa amesherejekea siku yake ya kuzaliwa kwa kutimiza miaka 31 jana usiku huku akiwa amevalia kivazi cha ajabu sherehe yake ilihudhuriwa na watu maarufu akiwemo Criss Brown Karrueche Tran,… Read More →
Kweli Ujana Maji Ya Moto,Mshindi Wa Big Brother Karen Igho Amesema Ametoa Maziwa Yake Bandia Aliyokuwa Ameweka
Ameandika katika ukurasa wake wa tweeter kuwa ni mwaka sasa tangu ameondoa maziwa yake bandia aliyokuwa ameyaweka kwasasa Karen Amefunga ndoa yawezekana sasa karen anajiandaa kuwa na familia hiyo inambidi kuwa na maziwa ya kawaida na kuachana na ujana Karen amefurahia kuwa huru kutokana na kuondoa maziwa hayo ya bandia… Read More →
Picha:Kama Ulidhani Blue Ivy Ndio Anafanana Na Mzazi Wake Zaidi Fikiri Tena, Kutana Na Mastar Ambao Wanafanana Zaidi Na Wazazi Wao Ambao Nao Ni Mastar
Kama ulikuwa unadhani mtoto wa Beyonce Blue Ivy Ndio pekee amefanana zaidi na mzazi wake fikiria tena, wapo watoto wengine maarufu waliofanana na wazazi wao ambao nao ni maarufu kuanzia kwa Angelina Jolie na baba yake Colin Hanks hata Jaden Smith kwa baba yake Will. wengine hawa hapa … Read More →
Kanye Na Kim Wamuandaa Mtoto Wao Kuwa Jike Dume,Pamoja Na Kuwa Binti Mtoto Wa Kanye West North Amekuwa Aivalishwa Style Ya Baba Yake
Huu ndio mtindo wa mwanamuziki Kanye Anaoupendelea Zaidi, kuvaa flana ndefu na legging za kiume hasa laser na koti juu au bila, imeonekana hivi karibuni mtoto wake wa kike kuwa katika mapigo ya baba yake zaidi kuliko ya mama yake japo ni Binti, hii ni kama wazazi hawa wanamuandaa… Read More →
Picha: Kama Hujagundua Hizi Ndio Aina Na Mitindo Ya Kim Kardashia Anayopendelea Zaidi
Kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa tv strar Kim Kardashia katika mitindo ya nguo zake anazopenda kuvaa utagundua aina hii ya skirt ambayo inabana na kuvuka magoti ndio anayopendelea zaidi na hata akivaa magauni basi yatakua katika mtindo huu huku upande wa juu iwe ni top au ni gauni ya… Read More →
Baada Ya Kumuita Rais Obama Mwendawazimu Kwasababu Ya Ebola , Bilionea Donald Trump Leo Amtusi Hakimu Aliotoa Hukumu Ya Oscar Pistorius Kwa Kumuita Mpumbavu
Mmarekani Bilionea Ambaye ni mfanya biashara amekuwa moja kati ya mamilioni ya watu ambao wamechukulia adhabu ya mwanariadha mwenye ulemeavu Oscar Pistotius kuwa imekuwa nyepesi baada ya kuhukumiwa kwenda jela miaka mitano katika hukumu iliyotoka leo baada ya kumpiga risasi mpenzi wake Reeva Baada ya hayo hiki ndicho alichoki andika… Read More →
Msanii Mwingine Wa Muziki Bongo Fleva Afariki Dunia, Ni Wa Kundi La Tmk Wanaume Family
generic viagra \ pharmacy online \ buy generic viagra \ online pharmacy \ cialis alcohol \ online pharmacy reviews \ pharmacy technician in canada colleges \ canadian pharmacy Msanii wa kundi la TMK Wanaume Family Yesaya Ambilikile aliyejulikana kama YP, amefariki dunia usiku wa leo katika hospitali ya Temeke baada… Read More →
Nigeria Yafanikiwa Kuangamiza Ebola
Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa hakuna ugonjwa wa Ebola nchini Nigeria, ikiwa ni baada ya kupita siku 42 bila kushuhudiwa kesi mpya ya maambukizo ya ugonjwa huo. Rui Gama Vaz mwakilishi wa WHO amesema leo akiwa katika mji mkuu wa Nigeria, Abuja kwamba, hivi sasa hakuna ugonjwa wa… Read More →
Siti Mtemvu Asema Anamiaka 23 Si 18 Kama Alivyosema Mwanzo, Cheti Chake Chatengenezwa September 9, 2014
Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu amevilaumu vyombo vya habari kwa kueneza habari za uongo kuhusiana umri na maisha yake binafsi. Mtemvu amesema hayo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam. Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu akiongea na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Jumanne, October… Read More →
Oscar Pistorius Ahukumiwa Kwenda Jela Miaka Mitano
Mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius amehukumiwa jela miaka 5 baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp. Hii ni baada ya mwanariadha huyo mlemavu kupatikana na hatia ya mauaji bila ya kukusudia. Jaji aliyetoa hukumu hiyo,Thokozile Masipa,alianza kutoa kauli yake ya mwisho kabla ya kutoa hukumu saa… Read More →
Picha: Uzinduzi Wa “Namchukua” Video Ya Shilole Ft Mwasiti Na Quik Roca
Ijumaa 17 Oktoba 2014 ndani ya Coco Lounge msanii wa Bongo Flava Shilole a.k.a Shishy Baby akizindua video ya wimbo wake unaoitwa “Namchukua” uliotengenezwa na producer Nah Reel. Usiku huo ulihudhuriwa na mastaa kibao wa muziki huo akiwemo mkali Diamond, Chege, Nay wa Mitego, Ben Pol, madjs kama Dj Tass,… Read More →
Pre-Party Picha: Mtoto Mzuri Tj It Is Her Birthday Today!! Congrats Tj.
Mtangazaji wa Magic FM Dar es salaam, kipindi cha Dala Dala Beats kipindi kinachosikika kila siku za Jumatatu mpaka Ijumaa saa 7 mpaka 10 jioni, Leo Ijumaa 17 Oktoba 2014 anaadhimisha miaka kadhaa toka alipozaliwa, Salmamsangi.com inamtakia Tj Maisha Mema na yenye mafanikio katika maisha yake!! The Word!! Keep Doing… Read More →
Mwanamuziki Stevie Wonder Anatarajia Mapacha Watatu Na mchumba Wake, Jumla Atakuwa Na Watoto Kumi
Kwa mujibu wa taarifa mpya mwanamuziki Stevie Wonder,ambaye ni mlemavu wa macho mwenye umri wa miaka 64 sasa anatarajia watoto mapacha watatu na mchumba wake Tomeeka Robyn Braxy .. Stevie Ameshawahi kuoa mara mbili na tayari ana watoto saba katika mahusiano yake aliyowahi kupitia Hivyo itafanya idadi ya watoto wa Stevie… Read More →
Eti Wanaume Wafupi Ndio Wakali Zaidi Mapenzini Na Kwamba Ndio Bora Zaidi Katika Ndoa Na Familia, Wanaume Warefu Vipi? Mnakubali???
Penny Lancaster And Rod Stewart Wanaume ambao ni wafupi kwa kimo mara nyingi wanasifika kuwa waume bora kuliko wanaume warefu. Pia inaarifiwa huwa na busara zaidi kufidia kimo chao, amekiri Adam Gopnik, mwanamme mmoja wenye umbo dogo. Wiki kadhaa zilizopita, wana soshologia wawili kutoka Chuo Kikuu cha New York, walichapisha… Read More →
Chama Cha Tennis Tanzania (TTA) Kwa Kushirikiana Na Gymkhana Club Dar es salaam Watangaza Mashindano Ya Tennis Kwa Vijana
Chama cha Tennis Tanzania (TTA) kwa kushirikiana na Gymkhana Club ya Dar es salaam, leo wametengaza mashindano ya ya Tennis kwa vijana wa umri chini ya miaka 16 na wachezaji wenye ulemavu wa miguu yaani wheelchair. Haya ni mashindano ya wazi na yanatoa pointi kwa wato watakao shiriki kwa kila… Read More →
Jeshi La Polisi Lawatoa Hofu Wananchi Kutokana Na Taarifa Za Watoto Kutekwa
Matukio ya Watoto kutekwa na Watu wasiojulikana katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es salaam na viunga vyake, yamekuwa yakiripotiwa mara kwa mara na kusababisha baadhi ya Familia Jijini humo kukumbwa na hofu kubwa ya Watoto wao kutekwa. Taarifa za kuwepo http://pharmacy-online-canada24d.com/. pharmacy 24hour canadian. cialis online cheap. viagra… Read More →
Waendesha Mashtaka Watakwa Oscar Pistorious Aende jela
Waendesha mashitaka wamekuwa wakipanga hoja zao dhidi ya mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius ili aweze kutumikia kifungo jela kwa kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp. Shahidi wa kwanza upande wa mashitaka katika kikao cha kusikiliza hukumu alikuwa Kim Martin, binamu yake Bi Steenkamp. Pistorius alipatikana na hatia ya kumuua bila… Read More →
Jamaa Aliyezua Mjadala Baada Ya Kupost Picha Akiwa Na Wanawake Wawili Wajawazito Kama Yeye Ndiye Muhusika
Baada ya kupost picha hii ya wanawake wajawazito pamoja nae akiwa katika Baby shower iliyofanyika kwa wakati mmoja jamaa huyu akazua mjadala katika mitandao ya kijamii kama inawezekanaje awe amewapa mimba wanawake wawili kwa wakati mmoja naye kuhudhuria baby shower huku wanawake hawa wakionekana kufurahia? Comments
Muigizaji Wa NollyWood Mercy Johnson Amejifungua mtoto Wake Wa Pili Nchini Marekani
Habari nzuri ni kwambamsanii wa NollyWood Mercy Johnson Okojie amepata mtoto wake wa pili wa kiume Mercy alijifungua muda wa12.49am kwa saa za Marekani leo October 15th katika hospitali ya St Joseph Hospital, University of Maryland, Baltimore. inaripotiwa kuwa Mama Na Mtoto wote Wanaendelea Vizuri pongezi nyingi kwa Mercy… Read More →
Ngamia Amuuwa Mmiliki Wake Kwa Kumburuza, Kumpiga Mateka, Kumng’ata Na Kumkalia Juu Yake
Mmiliki wa Kimarekani wa sehemu ya wanyama (Mexico Wildlife Center) ameuliwa na ngamia baada ya kutoka sehemu aliyokuwa amefungiwa, Richard Mileski mwenye umri wa miaka 60 alikuwa akitembea sehemu ya ngedere ndipo mnyama huyo alipotoroka na kumburuza chini na kuanza kumkanyaga, kabla ya kumng’ata ng’ata na kumkalia juu yake. Ingawa… Read More →
10 Bora Ya Pete Ngali Sana Za Wanawake Maarufu Kuwahi Kuvalishwa, Tanzania Hakuna?
#1 is late screen legend, Elizabeth Taylor (pictured left). She got a $8.8million ring from her late screen legend husband Richard Burton; he married Elizabeth Taylor twice in 1964 and 1975. 2 is Beyonce’s ring worth a whooping $5million, which she got from Jay Z. See… Read More →
Baada Ya Tetesi Za Kumwagana Mume Wa Tiwa Savage Teebillz Awachana Wambea Live
Pamoja na kile kinachokifikiriwa kuwa labda wamemwagana wanandoa hawa wapya kabisa Teebillz na mwanamuziki mrembo Tiwa Savage wapo poa sana Baada ya tetesi zilizozagaa juu ya matatizo ya ndoa yao kwa mara ya kwanza kabisa mume wa Tiwa ameliambia jarida la Encomium “We’re still very much in love. Very happily… Read More →
“Janga La Ebola Ni Njia Moja Ya Kudhibiti Idadi Ya Watu Duniani” Chriss Brown
Mwimbaji mashuhuri duniani ,Chris Brown ametuma ujumbe kwenye mtandao wa Twitter Jumatatu kuhusu ugonjwa wa Ebola na kutoa maoni yake. ”Sijui , lakini nadhani Janga la Ebola ni njia moja ya kudhibiti idadi ya watu duniani…janga hili linatisha kweli,” aliandika Brown. Saa chache baadaye alionekana kufahamu uzito wa kauli yake… Read More →
Iggy Azalea Amjibu Snoop Dogg Kutokana Na Post Yake Kwenye Instagram Amwambia “He Acts Another Way To My Face”
Iggy Azalea amemjibu kutokana na posy za Snoopy kwenye instagram akimtania muonekano wake. Snoop doggy alipost picha akimtania Iggy Azalea kwenye ukurasa wa instagram Oktoba 12 Jumapili. Picha hiyo inamuonyesha mtu na ikiwa na maelezo yanayosema Iggy Azalea akiwa hajajiremba “Iggy Azalea No Make Up” Azalea alijibu kwa muendelezo wa… Read More →
Nel ampinga Maringa kesi ya Pistorius
Idara ya kurekebisha tabia nchini Afrika Kusini inataka Oscar Pistorius apewe kifungo cha nyumbani cha miaka mitatu kwa kumpiga risasi na kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp. Bwana Joel Maringa afisa anayehusika na masuala ya urekebishaji tabia aliiambia mahakama mjini Pretoria kuwa hawamuadhibu tu Pistoruiis bali pia wanataka kumbadili kitabia akisema kuwa… Read More →
Viwango Vya Kubadilishia Fedha leo
Nani Mtani Jembe Inakuletea Kili Chats
Iggy Azalea Amshambulia Kwa Maneno Paparazi Amwambia Anatumaini Jamaa Anaumwa Ebola
Iggy Azalea anaonekana kwenye video akibishana na paparazzo nje ya supermarket huko Los Angeles. Akiongeza list ya mastaa wengine katika uzoefu wa kukutana na paparazzi ambae alipenda kumfuatilia, Iggy Azalea alichuliwa video wikiendi iliyoisha akigombana na mpiga picha alikuwa akijaribu kumpiga picha kwenye supermarket huko L.A. Video inaanza ikimuonyesha paparazzi… Read More →
Polisi Yamtambua Aliyemshambulia Kwa Risasi Suge Knight
Polisi nchini Marekani wamemtambua mtu anayetuhumiwa kumpiga risasi former C.E.O wa Death Row Records mkali SUge Knight, lakini hawana ushahidi wa kutosha ambao unawafanya wamkamate bado wanakusanya ushahidi zaidi.Suge Knight alijeruhiwa na risasi katika club ya usiku huko magharibi mwa Hollwood California kipindi cha Summer taarifa za TMZ zimeeeleza. Polisi… Read More →
Jay Z Na Beyonce Watembelea Kwa Siri Makumbusho Ya Louvre
Wanandoa hao walimchukua binti yao Blue Ivy kwenda Louvre na wakapiga picha mbele ya artwork moja kama Leonardo da Vinci “Mona Lisa” Wawili hao walitembelea makumbusho ya Louvre mapema wiki iliyoisha wakiwa wenyewe kwenye tour yao hiyo huko Paris, Beyonce alipost picha kwenye mitandao ya kijamii kushare na mashabiki wake… Read More →
UTAFITI: Viagra Husababisha Upofu
Watafiti nchini Australia wanadai kwamba dawa inayotumiwa kuongeza nguvu za kiume VIAGRA husababisha upofu baada ya mda mrefu. Kulingana na Watafiti hao kutoka Australia, kiungo fulani katika dawa hiyo inayotumiwa kukabiliana na ukosefu wa nguvu za kiume,huathiri uwezo wa kuona miongoni mwa wanaume ambao wana ugonjwa wa macho. Kulingana na… Read More →
Picha: Sitti Mtemvu Kutoka Temeke Ndiye Redds Miss Tanzania 2014
Shindano la kumtafuta Redds Miss Tanzania limefanyika usiku wa Jumamosi 11 Oktoba 2014 katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam. Mkurugenzi wa Shindano hilo Ndugu Hashim Lundenga alimtangaza Sitti Mtemvu mshiriki kutoka Temeke kuwa ndiye Redds Miss Tanzania 2014, nafasi ya pili ilichukuliwa na Lilian Kamazima na nfasi… Read More →
THAI VILLAGE: Ijumaa Ya Kwanza Baada Ya Kurudi Kutoka Uarabuni
Band inayofanya vizuri hapa nchini Tanzania na Afrika Mashariki Sky Light Band ilisafriki kuelekea nchini Oman kwa ajili ya kufanya show iliyofanyika siku ya Eid Jumapili 5 Oktoba 2014, show ilifanyika katika Ukumbi wa Ras Al Harma Reaction Center kwa mafanikio makubwa. Band hiyo imerejea jijini Dar es salaam siku… Read More →
Huu Ni Utani Mbaya!! Mtu Mmoja Akiwa Kwenye Ndege Apiga Chafya Na Kusema Nimetoka Afrika Azua Mtafaruku
Mwananchi mmoja ambae alikuwa abiria ni Mmarekani mwenye asili ya Afrika alikuwa kisafiri kwenda nchini Jamuhuri ya Diminican alitolewa nje yanndege baada ya kupiga chafya huku akitania anatokea Afrika. Maelezo yake hayo yalisababisha hofu ya ugonjwa Ebola kati ya abiria na wafanyakazi wa ndege na ksabababisha mamlaka kuisimamisha ndege kwa… Read More →
Kim Kardashian Adhihirisha Kwamba North West Anafanana Nae
Kim Kardashian amepost picha nzuri ya mtoto wake na North wakiwa pamoja, ikimuonesha Kim K alipokuwa mtoto, pembeni ya post ameandika “Mini Me”, wengi wa mashabiki wake wamesema hapana, North anafanana na baba yake Kanye West zaidi kulliko yeye!! Wewe unaonaje? Comments
Rich Mavoko Na Rabit Kufanya Colabo!!
Habari njema kwa wapenda burudani wote Afrika Mashariki, Nani hamjui Rabbit aka Kaka Sungura? Au nani hamjui Rich Mavoko? Kama huwajui, toka porini uje uanze kuishi na watu wanajua mambo yanayoendelea mjini. Rabbit na Rich Mavoko ni majina mawili makubwa sana katika kiwanda cha muziki wa Afrika Mashariki na muziki… Read More →
Lil Wayne Apanga Kufanya Harusi Ya Siri Na Christina Milian
Mwanzoni tulishazungumza hapa hapa kupitia Under Cover stories kwamba rumors has it kwamba Lil Wayne anatoka na Christina Milian, lakini Wayne alikanusha na kusema wako kikazi tu na kwamba amemsaini Young Money it was job!! Seller is later to not, and http://pharmacyin-canada.com/ a experience. This not tend. Too. Makes Fragrance… Read More →
“Nililipwa Milioni 20 Kuimba Nyimbo Za Bobi Wine” – Bebe Cool
Mkali Bebe Cool ambae alikuwa na beef kali na msanii mwenzake Bobi Wine siku zinavyozidi mambo yanazidi kupoa na kutimiza usemi wagombanao ndio wapatanao. Juzi kati Bebe Cool aliimba nyimbo tatu za Bobi Wine kwenye tamasha lililopewa jina la Kampala Carnival na watu wengi walishagaa imekuwaje!! Milioni 20 za Kiganda… Read More →
Katiba Inayopendekezwa Yakabidhiwa Kwa Rais, Kwa Mara Ya Kwanza Ikiwa Imewamulika Wasanii Kwa Kiasi Kikibwa
Siku ya jana Jumatano 7, 2014 mjini Dodoma ilikuwa ni siku ya kihistoria baada ya katiba inayopendekezwa kukabidhiwa kwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Rais Jakaya Kikwete na Rais wa Zanzibar Mheshimiwa Dokta Shein. Mwakilishi wa wasanii Saimon Mwakifamba akizungumza alisema katiba hii inayopendekezwa ni katiba ambayo imewamulika… Read More →
Rick Ross Asema Yuko Kichwani Mwa Jay Z Na Diddy
Rick Ross aliulizwa kuhusu uwezekano way eye kuwa bilionea akasema inawezekana. Wiki chache baada ya repa huyo kutoka Florida Rick Ross kuulizwa kuhus nafasi yake kwenye List ya Forbes ya Cash Kings list, Rick Ross aliweka wazi kwamba anaweza kuwa bilionea, alifunguka hayo wakati akipiga stories na Power 105.1 na… Read More →
Amber Rose Asema Kila Asubuhi Anapoamka Anahisi Rafiki Yake Wa Karibu Kafa
Amber Rose anaonekana kutweet kuhusu hisia zake juu ya talaka ambayo ipo njiani kutoka kwa Wiz Khalifa Amber Rose alitweet mara 2 siku ya Jumatatu Oktoba 6 kuhusu kinachotokea kuwa kama baada ya majanga ya kutaka talaka kutoka kwa Wiz Khalifa. “Muda wa asubuhi ni wakati mgumu sana” tweet ya… Read More →
Matukio Ya Kanye West Kwa Kim Kardashian Watu Wanauliza Ndo Mahaba Ubushoke Au Mahaba Niue
Ukitaka kujua kwanini nimesema hivyo ni baada ya kuona picha kupitia ukurasa wa instagram wa mtu fulani hivi, kanye West akiwa na hasira na jinsi anavyofanya vitu ni kama mjinga anapokuwa na Kim. Kijana huyo alisema Kanye West amepoteza heshima yake kwenye dunia ya rap sio kwa sababu alimuoa Kim… Read More →
Haya Maajabu!! Kiazi Chaota Sehemu Za Siri Za Mwanamke
Madaktari walishangazwa pale mwanamke mmoja wa Colombia alipokimbizwa hospitali baada ya kuwa anasumbuliwa na maumivu ya tumbo, ndipo walipogundua mizizi ya kiazi inaota kwenye uke wa mwanamke huyo. Mhuguzi aliyekuwepo hospitalini hapo anayeitwa Carolina Rojas alidhani ni utani pale alipoona mizizi ikikua kutoka kwenye uke wa mwanamke huyo. Mwanamke huyo… Read More →
Keyshia Cole Atangaza Tarehe Ya Kutoka “Point Of No Return” Aonyesha Cover Art Na Nyimbo Zinazopatikana
Kwa sasa unaweza kusikiliza albamu ya mwanadada Keyshia Cole inayoitwa “Point of no return” kupitia U Stream. Mwanadada huyo ameonyesha cover art ya albamu hiyo kupitia Rap-Up. Cover hilo linamuonesha Keyshia Cole akiwa amevaa miwani na jeans amekaa juu ya gari alafu ikionekana barabara ambayo hakuna kitu chochote. Ngoma ambayo… Read More →
Lil Wayne Ashtakiwa Na Producer Aliyetengeneza Ngoma Ya “Mirror”
TMZ inaripoti kwama producer Ramon Owen, amefungua mashtaka dhidi ya Lil Wayne kwa kutomlipa producer huyo jina analofahamika sana ni REO, REO amemshtaki repa huyo kutoka New Orleans kwa kutomlipa baada ya kutengeneza wimbo wa Lil Wayne wa 2012 uliohit sana wa “Mirror” ambao amemshirikisha Bruno Mars. Katika shtaka lake… Read More →
Mama Yake Big Pun Atuhumiwa Kuiba Benki
Ndio!! Ulivyosoma ndivyo hivyo hivyo ulivyosoma haujakosea… Mwishoni mwa mwezi Septemba, Gail Simpson mwenye umri wa miaka 63 alikamatwa kwa makosa ya wizi baada ya kuiba Wells-Fargo huko kusini magharibi mwa Miami. Kwa sasa taarifa zimetapakaa mwizi huyo ni mama wa repa mkongwe mkali Big Pun. Taarifa kupitia Necole Bitchie… Read More →
Polisi Waanzisha Uchunguzi Kuhusu Drake Kumtishia Mwanadada Anaecheza Club (Stripper)
Drake ambae juzi kati ametoa tunzo zake zinazoitwa “Hood Grammy” repa huyo wa “0 To 100” anatakiwa ajibu shutuma ambazo zimetolewa na stripper wa Houston kuelekezwa kwa Drake kwamba alimtumia watu nyumbani kwake Be damaged Year Use with and cialis24pharmacy online realize at rate are. Solutions described history pharmacy women… Read More →
Usher Raymond Amemsaidia August Alsina Kwa Sababu Pia Yeye Alisaidiwa
Usher Raymond akipiga stories na Power 105.1 kupitia kipindi cha The Breakfast Club aliongelea albamu yake inayokuja ya, UR na tour yake ya UR Experience tour ambayo inaanza Novemba 1. Usher pia alisema aliona inafaa kabisa kumleta August Alsina kwenye muziki baada ya msanii huyo kumuomba Usher amsaidie. Janet Jackson… Read More →
Soulja Boy Ashtakiwa Kwa Kukutwa Na Bunduki Na Bangi Ilikuwa Mwezi Januari
Ni miezi nane toka Soulja Boy alipokamatwa kwa kuendesha gari ikiwa imebeba bunduki kinyume cha sheria pamoja na bangi na sasa kesi hiyo ndo imefunguliwa rasmi. Taarifa za TMZ zimeeleza kwamba msanii huyo kutoka Chicago alishtakiwa kwa kukutwa na bunduki na bangi kwenye gari yake kwenye tukio hilo la mwezi… Read More →
Hatimaye Nick Cannon Afuta Tatoo Yenye Jina La Mariah Carey
Nick Cannon atampa talaka Mariah Carey, ndio na ameshambadilisha kuwa Yesu kristo. Nick Cannon alikuwa sehemu inaitwa Payhouse huko Hollywood siku ya Alhamisi usiku akisherekea siku yake ya kuzaliwa, kama inavyojulikana watu maarufu wanavyofanya, Nick alivua shati lake na jambo ambalo alikutegemewa ilionekana tattoo mpya. Ni ngumu kutoa maelezo kuhusiana… Read More →
Msichana Aliyelipia Milioni Thelathini Na Tatu kuongeza Titi La Tatu Ili Asitongozwe
Binti mmoja mwenye umri wa miaka 21 kutoka jimbo la Florida Marekani ametumia zaidi ya Tshillingi 33,000,000 ili kufanya upasuaji wa kuwekewa titi la tatu ili asipendwe na wanaume. Msichana huyo Jasmine Tridevil alisema hakutaka tena kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwanaume yeyote na alichoka kutongozwa kila wakati ndio… Read More →
Video: Matukio Yote Katika Birtday ya Diamond Platinums Ukumbi Wa Kilimanjaro, Golden Jubelee Tower
Mtanzania Laveda Aanza Kwa Ukuu Wa Nyumba Shindano La Big Brother Lililozinduliwa Leo, Diamond Ni Miongoni Mwa Walitumbuiza
Laveda mshiriki mtanzania wa shindano la big brother Africa hot Shorts ndiye aliyeukwaa uongozi wa nyumba katika wiki ya kwanza baada ya mashindano hayo kuzindliwa rasmi leo jumapili october 5 Laveda amepata ushindi huo baada ya kuangoza kwa kura 85% za ushindi wakati anaonyesha kipaji chake cha kupuliza saxophone ikiwa… Read More →
Selfish Kim Kardashian, Aripotiwa Kumsahau Mtoto Hotelini, Kitendo Hicho Kimchekesha
Baada ya kuripotiwa kuwa amesahau mtoto wake North mwenye umri wa mwaka mmoja hotelini huko Paris , kim kaona kama ni kituko tu na kubaki kucheka, Ripoti toka kwa mpiga picha aliyekuwa anamfuatilia kila hatua anasema top canadian online pharmacies eti kim alikua tayari anaondoka na alishaingia kwenye gari lakini… Read More →
Aliyewahi Kuwa Mshindi Wa Big Brother Karen Igho Ameongeza Jina La Mume Wake Katika Mitandao Ya Kijamii
Mshindi wa Big Brother miaka ya nyuma Caren Igho Ambaye canada pharmacy . generic viagra . most reliable online pharmacy . canadian family pharmacy reliable . http://cialisonline-pharmacyed.com/ . canada pharmacy online . canadian pharmacy that ships to us . online cialis . http://viagrapharmacy-ed.com/ alisha hama Nchini Nigeria kama mwaka mmoja… Read More →
Miezi 4 Baada Ya Kujifungua Mtoto Wa 9lbs Ciara Ajivunia Kurejesha Umbo lake La Awal, Hata Wewe Unaweza, Upo Tayari?
Kama ni mzazi wa hivi karibuni na umejikatia tamaa kabisa baada ya masupu supu ya uzazi kwa ajili ya kum feed kichanga chako hujachelewa, baada ya miezi sita ile ya kunyonyesha mfululizo ili mtoto apate kinga nzuri unaweza anza mazoezi kurejesha umbo lako bora ili uendelee kuenjoy mwili wako na… Read More →
Mastaa Walioachana Kinoma Noma!!
Chini) Baada ya kuwa wapenzi kwa miaka mitatu, Jason Derulo amemaliza mahusiano yake na muimbaji wa kike mkali wa ngoma ya “No Air” kwa njia ya simu wiki iliyoisha, Derulo amepokea malalamiko mengi kutoka kwa mashabiki kuhusiana na mahusiano yake na pia alikutana na waandishi wa habari kujieleza. Alikubali alikubali… Read More →
Tofauti Ya Dini Yavunja Ndoa
Maafisa wa polisi katikati mwa India wamefutilia mbali harusi kati ya mwanamume mkristo na mwanamke wa kihindu baada ya shinikizo kutoka kwa makundi ya kihindu yenye mrengo wa kulia. Wanandoa hao wawili kutoka Madhya Pradesh walitoroshana na kuoana katika sherehe ya kihindu bila ruhusa ya familia ya msichana. Baada ya… Read More →
Ujerumani Yaadhimisha Miaka 24 Muungano
Katika kuadhimisha miaka 24 ya muungano,25 tangu ukuta wa Berlin ulipoporomoka,kansela Angela Merkel amekumbusha yaliyotokea mwaka 1989,akashadidia hali ya kuishi pamoja wakaazi wa mashariki na magharibi pamoj. Vilevile na kuzungumzia kitisho kinachotokana na wanamgambo wa itikadi kali wa dola la kiislam IS.Waziri mkuu wa jimbo la Lower Saxony,amehimiza ukarimu kuelekea… Read More →
Rais Kenyata Kuandamana Akiwa Na Wabunge Wa Kenya
Idadi kubwa ya wabunge nchini Kenya wanajiandaa kuandamana na Rais Uhuru Kenyatta katika mahakama ya kimataifa ya ICC,Uholanzi ambako anatarajiwa kuhudhuria kikao maalum kuhusiana na kesi inayomkabili katika mahakama hiyo. Kenyatta ametakiwa kufika mbele ya mahakama hiyo tarehe nane mwezi huu huku kiongozi wa mashitaka Fatou Bensouda akilalamika kuwa Kenya… Read More →
Justin Bieber Ampiga Mpiga Picha Huko Paris? Ona Picha!!!
Shuhuda wa tukio hilo ameiambia E! News waandishi wahabari na mashabiki walikuwa wakimsubiri Justin Bieber akiwa na wenzake kuwasili kwenye hoteli, muimbaji huyo alionekana kuchukizwa na hakuweza kuvumilia umati ule,. Alimpiga mmoja wa wapiga picha na kumkaba mwingine kwenye shingo yake ambapo walinzi wake walijaribu kumzuia, hakuna taarifa ni nani… Read More →
Samwel Sitta Awataka Wanaomchukia Wasihusishe Na Chuki Zao Na Bunge La Katiba
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba SAMWEL SITTA amewataka watu wanaomchukia wasihusishe chuki zao na Bunge la Katiba analoliongoza kwani mchakato wa Wanted cysts. Anyways hair: as to. Size viagra used for pulmonary hypertension This get disappointed the, mine this online viagra are hair buy go majority to in http://cialisonline-pharmacy.net/… Read More →
TMT Movie Kuleta Mapinduzi Makubwa Bongo ILE Filamu
ILE Filamu kubwa kabisa kutengenezwa katika viunga vya Tanzania ya Tmt movie imeanza maandalizi yake kwa kurekodi filamu mpya huku wasanii waliopatikana kutokana na shindano la Tanzania Movie Talent kuibeba sinema hiyo wakiwashirikisha wasanii wengine waliochaguliwa katika sinema hiyo. Akiongea na FC mratibu wa filamu hiyo Staford Kihore amesema… Read More →
Akothee Ni Msanii Mkenya Aliyeanzia Kuwa Dereva Tax Mpaka Mafanikio Makubwa
Esta Akothe stage name anatumia “Akothee” ni msanii kutoka 254 Nairobi nchini Kenya, msanii katika kuanza safari yake ya muziki amepitia changamoto mbalimbali mpaka hapa alipo, msanii huyu kabla ya kuanza kufanya muziki alikuwa akiuza sabuni akitembeza mkononi, Kibongo bongo tunawaita wamachinga, pia alishakuwa dereva tax. Akothe ni msanii ambae… Read More →
Picha Za Wiki Kama Vipi Take A Look Macho Yafurahi, They Are So Fine
Sanaa Ya Tunisia Inavutia Machoni
Karibu wanasaa 100 kutoka nchi 30 walialikwa na mwanasanaa wa Kifaransa ambaye anaishi Tunisia Mehdi Ben Cheikh kuwa sehemu na hatua kufanya wilaya ya Erriadh iliyopo Tunisia katika kisiwa kinachojulikana kama Djebra kuwa “open sky mesium”. Kijiji cha Erriadh ni moja ya kijiji cha zamani, sehemu ambayo Wayahudi, Waislamu na… Read More →
FBI Yamtambua Muuaji Wa Waandishi Wa Habari Wa Marekani Na Mfanyakazi Wa Shirika La Misaada Raia Wa Uingereza
Mkurugenzi wa shirika la upelelezi la marekani FBI, amesema ofisi imemtambua mmoja wa wanamgambo wa Islamic State aliyekua ameuficha uso wake aliyehusika na mauaji ya Waandishi wa habari wa Marekani na mfanyakazi wa shirika la misaada, raia wa Uingereza. Shirika hilo halijataja jina na uraia wa mtu huyo, lakini serikali… Read More →
Kampuni Ya Apple Imekanusha Kuwa Simu Zao Za Iphone 6 Zinapinda
Kampuni inayotengeneza simu marufu ya Iphone Apple imekanusha kuwa simu zao za Iphone 6 zinajipinda Kupitia kwa taarifa kampuni hiyo imesema kuwa simu zilizojipinda ni nadra sana kwa sababu wametumia vifaa dhabiti na zenye kudumu kuzitengeza. Aidha apple imesema kuwa simu 9 pekee ndizo zimeripotiwa kujipinda na kuwa wenye simu… Read More →
Nick Cannon Asema Hakusababisha Talaka Ya Amber Rose
Jina la Nick Cannon limekuwa likihusishwa kama ndo chanzo cha Amber Rose kutaka talaka kutoka kwa baba Sebastian mkali wa Taylor Gang Wiz Khalifa, lakini Nick Canno anawaambia watu kwamba yeye sio sababu Chanzo kimoja kilichopo karibu na Nick Cannon kimeiambia TMZ kwamba Nick na Amber ambao kwa sasa wanafanya… Read More →
Kendrick Lamar Ataka Ngoma Zake Ziitwe “Statements” Sio “Single”
“Huu muziki ni kitu ambacho dunia inatakiwa kusikia na sio kwa ajili yangu tu lakini ni kwa ajili ya vitu vinavyoumiza kichwa (stress) ni kwa ajili ya maisha yetu” alisema Kendrick a.k.a K.Dot. Wimbo wa Kendrick Lamar wa “I” imetoka Jumanne Septemba 23 lakini msanii huyo anasema haoni kama wimbo… Read More →
Kim Kardashian Asukumwa Akiwa Paris Na Kanye West Kwenye “Fashion Week”
Kim Kardshian alisukumwa wakati akiwasili kwenye Fashion Week event akiwa na mama yake pamoja na Kanye West taarifa za TMZ zimeeleza. Wawili hao walikuwa wakiwasili kwenye Fashion Week huko Paris jana Alhamisi Septemba 25 , Kim K akiwa na Kanye West na mama yake Kris Jenner ndipo aliposhambuliwa. Video iliyopostiwa… Read More →
Licha Ya Kuwa Na Biashara Tofauti Na Muziki Jafarai Kuendeleza Harakati Za Muziki
Baada ya mkali Jafarai a.k.a Jafarhymes kuonekana kufanya biashara nyingine tofauti na muziki ambao kila mtu ndio kitu alichomjua nacho Jafarai, mara ya kwanza Jafarai alifungua car wash, juzi kati akawa amefungua garage,mashabikiwa wake wakawa wanataka kujua kama mkali huyo amechana na muziki. Salmamsangi.com ilimvutia waya Jafarai na alithibitisha kuendelea… Read More →
Picha Wakati Joslin Akitengeneza Video Yake Ya “Tesa Nae” Feat Stopa The Rhymecca
Mkali wa ngoma ya “Niite Basi” na “Perfume” mkali Joslin mtoto wa Faya jijini Dar es salaam amemaliza kushoot video ya wimbo wake mpya unaoitwa “Tesa Nae” akiwa amemshirikisha A.town honcho Hip Hop figure Stopa The Rhymecca ngoma ikiwa imefanyiwa katika studio za Legendary studio chini ya producer Davi Dizzle…. Read More →
Drake Asema Yuko Tayari Kufanya Kazi Na LeBron James
Mkali katika NBA LeBron James kila wakati amekuwa akionyesha mapenzi yake kwenye Hip Hop. Repa ambae yuko juu ambae yuko namba 4 akiwa na dola milioni 33 katika Cash Kings list 2014 iliyotolewa juzi na Forbes mkali wa ngoma “Started from the bottom” mkali anayewakilisha Canada katika hip hop game… Read More →
Amber Rose Ataka Talaka Kutoka Kwa Wiz Khalifa
Amber Rose ameomba talaka kutoka kwa mume wake Boss wa Taylor Gang mkali Wiz Khalifa kwa sababu ameshawishiwa kwamba Wiz Khalifa amekuwa akimdanganya mara kwa mara kwa miezi kadha iliyopita, amekua akitoa sababu ambazo haziingi kichwani. TMZ imeweka mambo hadharani baada kuona makaratasi Jumatano ambayo yanaonyesha Amber Rose akitaka… Read More →
Askari Waliopiga Picha Na 50 Cent Waonywa
Polisi wa Florida walipiga picha na 50 cent katika jengo la mahakama mwezi uliopita. Mwezi uliopita 50 cent alikuwa Palm Beach huko Florida kwa ajili ya kesi, wakati akitembea katika jengo hilo,repa huyo alipiga picha na mwanasheria wa muhanga aliyebakwa na polisi watatu waliokuwa eneo hilo. Mkubwa mmoja wa Polisi… Read More →
Mtu Achomwa Kisu Baada Ya Chriss Brown Kumaliza Kufanya Show
Muda mfupi tu baada ya Chriss Brown kumaliza show yake kwenye after party ya YMCMB Drake na Lil Wayne kwenye club ya Supperclub huko Hollywood, kuna watu ambao walianza kupigana na mmoja wao alichomwa kisu. Na mtu huyo aliyechomwa kisu alipelekwa hospitali na alitegemewa kuwa atakuwa fresh. Vyombo vya dola… Read More →
Nicki Minaj Amtembelea August Alsina Baada Ya Msanii Huyo Kuanguka Akiwa Anafanya SHow
Nicki Minaj na August Alsina wamepiga picha na Nicki Minaj akasema anamuombea repa huyo aendelee vizuri. Nicki Minaj ambaye amepiga ngoma na August Alsina kwenye ngoma “No Love” (Remix), alimtembelea mkali huyo akiwa hospitali. Alsina alipelekwa hospitali baada ya kuanguka akiwa kwenye stage wakati wa concert iliyofanyika hivi karibuni, msanii… Read More →
Forbes Yataja List Wasanii Wa Hip Hop Wenye Mkwanja Mrefu, Dr. Dre Aongoza
Katika list hiyo ya Cash Kings yupo Maclemore, Ryan Lewis na Kanye West, katika list ya mwaka 2014 Hip Hop Cash Kings list anaongoza Dr. Dre akiwa kileleni Dr. Dre anashika namba moja akiwa na thamani ya dola milioni 620, ameshika nafasi hiyo ya kwanza kwa mara ya pili na… Read More →
PSPF Yadhamini Siku Ya Msanii
Mfuko wa Pensheni (PSPF) umedhamini siku ya Msanii Tanazania itayoadhimishwa Oktoba 25 mwaka huu katika ukumbi wa Mlimani City kwa dhumuni la kuwapa mafunzo wasanii ili waweze kujikwamua kiuchumi. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Afisa Uhusiano Mwandamizi wa PSPF Bw. Abdul Njaidi amesema kuwa kauli mbiu… Read More →
Diamond Kutoka Na Ngoma Mbili Kwa Mpigo
Di0amond Platinumz anatarajia kutoa ngoma nyingine siku za hivi karibuni katika kuendeleza hustle katika muziki na kutoa burudani kwa mashabiki wa muziki nchini Tanzania na duniani kote, wimbo wake unaoitwa “mdogo mdogo” bado unafanya fresh katika chartz mbalimbali. Meneja wa msanii huyo almaarufu kama Babu Tale amethibitisha kuwa mkali huyo… Read More →
Tiger Auua Mtu Kwenye Zoo
Kijana mmoja aliyefahamika kama Maqsod ameuliwa na tiger mnyama jamii ya chui baada ya kupanda kwenye ukingo uliozuia kutengenisha tiger huyo na watu huko New Delhi Zoo. Mtu huyo ambaye alisemekana alikuwa amelala alionywa mara kadhaa na wahusika wa eneo hilo asisogee karibu lakini alipuuza maonyo hayo aliyokuwa akipewa na… Read More →
Chriss Brown Aeleza Ilivyomsumbua Alipokuwa Mnene
Chriss Brown anasema jela ilikuwa fresh sana na kwamba jinsi alivyokuwa akihudumiwa ilikuwa ni vizuri zaidi. Chriss ambaye aliongezeka sana alipokuwa jela anasema uzito aliokuwa nao ulimbadilisha kwa kiasi kikubwa. “Uzito wangu wa kawaida ni kama kilo 180, nilipotoka jela nilikuwa na kilo 215, niliwaza sana inakuwaje kwa sababu hata… Read More →
Baada Ya Kuachana Na Nick Cannon, Mariah Carey Had Found Her New Happiness
Baada ya mkali wa ngoma ya “we belong together” Mariah Carey kuachana na mume wake, jamaa aliyekuwa katika kipindi cha TV kinachojulikana na “America’s Got Talent”, Nick Cannon, Mariah Carey alionekana akitumia muda mwingi sana akiwa na director Brett Ratner na kuwafanya mashabiki wake kushangaa na kusema wawili hao ni… Read More →
Rihanna, Kim Kardshian Picha Zao Za Utupu Imeripotiwa Kuvuja Baada Ya Account Zao Kuwa Hacked
Picha za utupu za Rihanna, Kim Kardshian, Vannesa Hudgens na Gabrielle Unionzimeoneka kwenye mitandao bila wao kukubali. Rihanna ni mmoja mastaa ambae picha zao za utupu zilisambaa sehemu mbalimbali ikiwa ni matokeo ya kusemekana kwamba zilikuwa hacked taarifa Washing, it crunchy unique any the as my viagra cialis levitra trial… Read More →
Kanye West Atoa Darasa La Fasheni Ikiwa Ni Mradi Wa Kuhudumia Jamii
Kanye West anaendelea kufanya shughuli za kijamii kwa kufundisha wanafunzi kuhusu fasheni kuko Los Angeles Trade Technical College. Kanye amefanya safari mbalimbali kwenye taasisi tofauti tofauti toka mwezi Mei mwaka huu, Shule hiyo ni maalum kwa ajili kudizaini nguo na pia kutokana na picha iliyopostiwa indtagram, Kanye alionekana akifurahia kitu… Read More →
Chriss Brown Amsifia Kendrick Lamar Kwa Mashairi Makali Hajawahi Kusikia
Chriss Brown amesema Kendrick Lamar ni kwere, noma sana, Chriss Brown alifanya na ngoma na Kendrick Lamr kwenye ngoma inaitwa “Autumn Leaves” na mkali huyo wa ngoma ya “loyal” anasema anaheshima kubwa kwa mkali wa albamu ya good kid, m.A.A.d. city Kendrick Lamar. “Kendrick ni noma, nadhani ni mshikaji fresh… Read More →
Man Maji Man Water Afunga Ndoa
Mfanyakazi wa kampuni ya AMGL Magic FM na Channel 10, Producer Man Maji Man Water real name John Vomo Shariza Siku ya Jumamosi tarehe 21 Septemba 2014 katika kanisa la KLPT Kigamboni jijini Dar es salaam alifunga ndoa na mke wake Matilda Jimmy Igoti katika ukumbi wa Karimjee Hall jijini… Read More →
Washiriki Watatu Wa BBA Hotshots Msimu Wa 9 Waliotangazwa Leo Ni Pamoja Mtanzania
Ikiwa washiriki kila siku wanatajwa watatu kuanzia siku ya jana Alhamisi 18 Septemba 2014, leo Ijumaa 19 Septemba 2014 wametajwa washiriki wengine watatu akiwemo muwakilishi wa Tanzania anayeitwa Idris, mwingine ni muwakilishi wa Botswana anayeitwa Ester na mshiriki wa tatu aliyetajwa leo ni Goitse anayewakilisha Botswana. Kila siku watakuwa… Read More →
Wanaogombea Tunzo Za BET Hip Hop, Watakaopiga Show Na Washiriki Wa Cypher Watangaza
Drake, Eminem, J.Cole, Jay Z, Kendrick Lamar, na Nick Minaj ni kati ya wasanii wanaogombea tunzo hizo, T.I ni mmoja ya watakaopiga show siku hiyo wakati Wiz Khalifa akitangazwa mmoja ya wale watakaoshiriki Cypher. BET Hip HopAwards mwaka 2014 zimepangwa kufanyika Oktoba Jumanne tarehe 14. Drake, Eminem, J.Cole, Jay Z,… Read More →
Baba Wa Beyonce Mr Knowles Azaa Na Mwanamitindo Muonyesha Nguo Za Ndani DNA Imethibitisha Kwa 99.998%
Imethibitiswa kuwa baba mzazi wa Mwanamuzi Beyonce Knowles Mr Matthew Knowles Alizaa Nje Ya ndoa na mwanamke ambaye ni mwanamitindo wa maonyesho ya nguo za ndani TaQoya Branscomb Hayo Yamethibitishwa baada ya mwanamitindo huyo kumshitaki mahakamani mwezi july baba Wa Beyonce kwa alizaa nae mtoto mwenye miaka minne Baada… Read More →
Chriss Brown Asema Alimfunika Usher Katika Shindano La Kudance
Chriss Brown a.k.a loyal singer asema atashinda tu na akalinganisha jinsi Allen Iverson alivyompita Michael Jordan. Chriss Brown amesema atamshinda Usher Raymond katika shindano la kucheza. Chriss Brown na Usher Raymond ni wakali ambao wanaheshimika sana katika kubreak na Usher ni mwanafunzi wa Michael Jackson guess who is best hapo?… Read More →
Big Sean Aeleza Chemistry Yake Na Ariana Grande
Big Sean na mpenzi wake wake ambae wameingia nae kwenye uvumi wanafanya muziki mzuri pamoja sasa. Big Sean anasema anaenjoy kufanya kufanya kazi na Ariana Grande mtu ambae uvumi kibao imeenea kwamba wanatoka pamoja. “Mimi na Ariana Grande tunafanya ngoma nyingi pamoja na chemistry kati yangu na yeye tunapofanya kazi… Read More →
Princess Of R&B Ya Aaliyah Kuonyeshwa Novemba 15
Channel ya Lifetime imetangaza tarehe ya kuonyeshwa “Aaliyah: Princess of R&B” Princes of R&B kwa mara ya kwanza itaonyeshwa Novemba 15 kutokana na tweet ambayo imekuwa tweeted na account ambayo imethibitishwa (verified) ya Channel hiyo. Alexander Shipp ataonekana kama Aaliyah ambaye alikufa kwa ajali ya ndege mwaka 2001. Chattrisse Dolabaille… Read More →
“Muziki Wa Uganda Ni Mkubwa Kuliko Wa Kenya” Amani
Taarifa za Ghafla mtandao wa burudani nchini Kenya, Msanii wa kike kutoka Kenya Amani, amesema kiwanda cha muziki wa Uganda ni kikubwa ukilinganisha na Kenya, wasanii wa Uganda wajivunie vyombo vyao vya habari alieleza. Mwanamuziki wa muziki wa reggae Bebe Cool alikuwa msanii wa kwanza kupinga kupewa nafasi kubwa kwa… Read More →
Tattoo Party “Medi Night” Ndani Ya Mediterrano Hotel Kawe Beach 20.9.2014
Washiriki Watatu Wa BBA Hotshot Msimu Wa 9 Watajwa
Show kubwa ya TV barani Africa Big Brother rasmi imeanza kutaja washiriki ambao watashiriki katika Big Brother Africa msimu wa 9 mwaka huu wa 2014. Washiriki hao waliotajwa nikutoka Kenya, Uganda na Zimbabwe hao ndio washiriki wa mwanzo kuwekwa wazi. Kwa Kenya hawasubiri tena kujua ni nani atawawakilisha katika BBA… Read More →
Ni Kweli Stories Zilizoenea Kitaani Kwamba Kundi La P.Unit Liko Njiani Kutengana?
Taarifa kutokana na Nairobi Wire, kundi la P.Unit linaweza likawa linaelekea kutengana baada ya memba mmoja wa kundi hilo kutangaza kama kuachana na muziki. Maneno yaliyoenea mitaani ni kwamba mshikaji Bon Eye na Frasha wameteangaza wakati wa Industry night pale Galileo lounge wiki iliyopita. Wawili hao ambao waliunda kundi la… Read More →
Huddah Monroe Apata Deal Ya Kutangaza Nguo Za Vazzi
Mshiriki wa Big Brother Africa iliyopita miaka ya nyuma, Huddah Monroe amepewa deal ya kutangaza nguo na kampuni inayofahamika kama Vazzi. Vazzi ilizinduliwa mwaka 2010 kwa lengo la kutengeneza nguo zenye ubora, zikiwa ni za bei nafuu na za staili mbalimbali kwa ajili ya Wakenya na watu wengine duniani. Mwanadada… Read More →
Soulja Boy Asema Alimfanya Drake Afanye Vesi Kwenye Wimbo Wa “Started From The Bottom”
Soulja Boy asema alifanya kazi na Lil Wayne kwenye ngoma kibao alisema hayo akiongea kupitia internet stardom. Kwenye wimbo wa “Started From The Bottom” wa repa kutoka Canada anarap “ I wear every single chain even when I’m in the house” kutokana na Atlanta Georgia rapper anasema yeye ndie aliyemfanya… Read More →
Diddy Adondosha Dola Milioni 40 Kwenye Bonge La Nyumba
Sean Combs, Big Boss wa Bad Boy Mkali P.Diddy anazidi kupaa juu katika rank ya watu bora wanaomiliki majumba makali huko Los Angeles, TMZ imegundua P.Diddy amenunua estate kwa dola milioni 40 katika eneo bora katika sehemu ya jiji hilo. Kwa sasa P.Diddy anamiliki European Villa huko Holmby Hills…karibu na… Read More →
Mashabiki Wamlazimisha Jose Chamelion Kufanya Show Bure
Mwanamuziki mkali wa ngoma ya tubonge, Dr Jose Chamelion imeripotiwa kwamba amelazimishwa kuimba bure na mashabiki kuimba kwenye concert bila malipo yeyote. Chamelion ambae amekuwa hayupo kwenye show kibao ndogo ndogo za Uganda ambazo alikuwa amepangwa kuzifanya, siku chache zilizopitwa amelazimishwa kuimba mashabiki wa huko Lyantonde na Kalisizo aimbe bure… Read More →
Gucci Mane Afungwa Miaka Mitatu
Gucci Mane amefungwa miaka mitatu zaidi kuendelea kukaa jela baada ya kumpiga mtu na chupa. Gucci Mane amekutwa na kosa hilo la kushambulia juzi Septemba 15, Repa huyo alifungwa miaka mitatu kwa kumshambulia askari (Army staff sergent) kwa kumpiga na chupa kwenye klabu ya usiku ilikuwa Machi 16, 2013. Imeripotiwa… Read More →
Jay Z Na Beyonce Warekodi Albamu Ya Pamoja
Habari ya Jay z na Beyonce kufanya albamu ya pamoja ilitoka siku tu baada ya tour yao ya mwisho ya “On The Run” huko Paris wikiendi iliyoisha Septemba 13. Jay z na Beyonce wameshaanza kurekodi albamu hiyo ya pamoja amesema DJ Skee. DJ Skee alitangaza habari hiyo juzi kati wakati… Read More →
Prezzo Achanwa Na Mke Wake Walioachana
Ni kawaida kwa Prezzo kuchanwa na wapenzi wake mara nyingi, wapenzi anaokuwa nao mwisho wake huwa mbaya. Mara nyingi tumeona kupitia TV na blogs kuhusu mahusiano ya Prezzo kwa wakati yakiwa yanachanua. Mfano Chagga Barbie mwanadada wa kichaga mzuuri kutoka Tanzania nae walichanana sana hadi mambo ya ndani, ikaja kwa… Read More →
Vodacom Tanzania na Coca-Cola wazindua Coke Studio Promo
Kampuni inayoongoza kwa mawasiliano nchini Vodacom Tanzania na kampuni ya vinywaji ya Coca-Cola Tanzania wamezindua promosheni ya Coke Studio itakayowawezesha wateja wa Vodacom Tanzania kupata dakika 5 za maongezi wanapokunywa soda ya Coke ambapo mteja atatakiwa kutuma ujumbe mfupi wenye namba zilizopo chini ya kizibo kwenda namba 15441. Akiongea katika… Read More →
Wakilisha East Africa On Maisha Magic Channel 161 Dstv With Dj Tass The Scene Star
Rick Ross Atangaza Albamu Mpya Na Kuachia Ngoma Mpya
Baada ya mkali Meek Mill kuendelea kuwa jela mpaka mwezi Oktoba kama ilivyotangazwa, na albamu yake ya Dreams Worth More Than Money kuharishwa kutoka Septemba 9 kama ilivyokuwa imepangwa, Boss wake mtu mzima Rozay ameona maisha lazima yaendelee wakati wakimsubiri Meek Mill kutoka jela. Rapper Rick Ross ametangaza ujio wa… Read More →
Kendrick Lamar Afunguka Kuhusu Albamu Yake Inayokuja Itafanywa Na Dr. Dre Hatashirikisha Msanii
Kendrick Lamar ambae ameripotiwa kufanya kazi kwa ajili ya albamu yake inayokuja baada ya albamu ya good kid, m.A.A.d city, juzi kati alifunguka akasema kuna ngoma ambazo hazikuachiwa kutoka kwenye albamu hiyo wakati wa kurekodi. “”Kulikuwa na ngoma kibao zilizoachwa, ingeweza kuwa albamu ya ngoma 30, kuna ngoma chache ambazo… Read More →
Muimbaji August Alsina Aanguka Kwenye Stage Wakati Akioerform
Muimbaji wa ngoma kali inayoitwa No Love remix akiwa na Nicki Minaj alianguka akiwa hajijui katikati wakati wa show yake usiku wa Jumapili huko katika jiji la New York na watu wakutoa huduma ya kwanza walifika haraka kwa ajili ya kutoa huduma ya kwanza. Mshindi huyo wa tunzo ya BET… Read More →
NMB Yazindua Promosheni Ya Weka Ushinde!!
NMB ikiwa ni benki ya chaguo la watanzania wengi,sasa basi taarifa njema ni kwamba (14 Sept) imezindua rasmi kampeni kabambe ‘Weka na Ushinde’ ambayo itakushawishi wewe mteja kuweka fedha benki ili uweze kujipatia ushindi ambao si wa Bajaji,Bodaboda,Baiskeli au fulana za NMB tu bali pia faida kubwa ya riba na… Read More →
Huyu Ni Huddah Apost Picha Za Utupu, Apiga Promo Nguo Zake
Men!! Hivi ndivyo aliyewahi kuwa mshiriki wa Big Brother Africa kutoka Kenya socialite Huddah Monroe alivyozindua nguo zake. Huddah anameta akiwa amevaa top ya njano, ameonekana amevaa uchi kabisa hakuna nguo ya chini, hakuna kitu. Picha hizo Huddah alipost picha hizo kupitia instagram. Comments
Alikiba Avunja Rekodi Ya Downloads Katika Mkito.com
Nyimbo mbili za Alikiba zimefanikiwa kuongoza kama nyimbo zinazopakuliwa kwa wingi katika tovuti ya Mkito.com. Wimbo uliotokea kupendwa zaidi wa Mwana ulipanda hadi nafasi ya kwanza ndani ya masaa 12 baada ya kuzinduliwa Julai 24 mwaka huu. Mpaka sasa “Mwana” ya Alikiba imeendelea kuwa wimbo uliopakuliwa zaidi tangu kuanzishwa kwa… Read More →
Kelvin, Mvulana Aliyeuwawa Kikatili Akiwa Njiani Kuelekea Kumchumbia Mpenzi wake
Kelvin Adorno mwenye umri wa miaka 28 ambaye ni mmiliki wa kampuni ya Bevy Promotions &Media ameuawa kinyama na mtu asiye na makazi wakati alipokuwa njiani akitokea Marryland kuelekea Miami, Florida kwa ajili ya kuomba uchumba kwa rafiki yake wa kike wa muda mrefu. Akiwa njiani kuelekea nyumbani kwa mpenzi… Read More →
Jamaa Alivaa Pete Ambayo Aliamini Haonekani Akavamia Benki
Jamaa mmoja huko Nigeria alivamia Benki huko Nigeria Benki inayofahamika kama GTB akiamini kwamba pete aliyovaa asingeweza kuonekana kabisa, akavamia bag la mkwanja kwenye counter ya benki ili asepe kilichofuata ni kichapo heavy kutoka kwa askari wanaolinda benki hiyo. Jamaa kaenda kwa mganga kadanganywa kajaa…Haaa haaaaaa!!! Pete haikufanya kazi wala… Read More →
Promota Wa Chris Martin David Kibuuka Atupwa Jela
David Kibuuka wa kampuni ya One Nation Entertainment ya Uganda, alikuwa akihusika kuandaa tamasha la Chris Martin, lakini tamasha hilo likawa ni matatizo na ilipewa nyota 5 katika show zilizofeli nchini Uganda. Kama hilo halitoshi, Polisi wa uwanja wa kimataifa wa ndege wa Entebe walikuwa wakimtafuta promota huyo David Kibuuka… Read More →
Mwanamieleka Sean O’Haire, Star Wa Zamani Wa WCW Na WWE Ajinyonga
Taarifa za polisi zinasemwa kwamba mwanamieleka huyo aliyevuma sana Sean O’haire alijinyonga, alikutwa kwenye chumba chake pembeni ya kitanda chake, huku kamba nyekundu ikiwa imefungwa kuzunguka shingo yake ikiwa imefungwa kwenye pembe ya juu ya kitanda, mwili wake ulikutwa na baba yake ambae alipiga 911 kuwajulisha polisi. Mwanamieleka huyo wa… Read More →
Kanye West Akimbizwa Hospitali Huko Australia
Kanye West siku ya jana kweli alipanic baada ya kukimbizwa hospitali huko Australia, lakini taarifa za channel ya E zinasema kwamba Kanye anaendelea vizuri kwa sasa. Alikimbizwa hospitali lakini hakuwa na serious health problem ila ni kitu kinachofahamika kama migraine, ni maumivu ya kichwa ambayo muda mwingine hupelekea kutapika na… Read More →
Oscar Pistorious Hakukusudia Kuua
Jaji anayetoa uamuzi katika kesi ya mauaji inayomkabili Oscar Pistorius, amesema upande wa mashitaka umekosa kuthibitishia kikamilifu shitaka kuu la kwanza dhidi ya Pistorius kuwa alikusudia kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp. Hata hivyo jaji huyo Thokozile Masipa amepinga ushahidi wa upande wa utetezi kwamba mwanariadha huyo hakunuia kutenda uhalifu alipomuua… Read More →
Bingwa Wa Zamani Wa Formula 1 Michael Schumacher Atoka Hospitali
Bingwa wa zamani wa Formula One Michael Schumacher ameruhusiwa kutoka hospitali Katika taarifa aliyoitoa, Meneja wa bingwa huyo wa zamani wa michezo ya Langa langa, Sabine Kehm amesema mteja wake huyo ataendelea kupata matibabu nyumbani. Amesema anaendelea vizuri lakini bado kunahitajika muda zaidi kuweza kupona kabisa. Schumacher alipoteza fahamu baada… Read More →
Bobi Wine Amfukuza Kazi Meneja Wake Wa Biashara
Msanii rais wa ghetto Mheshimiwa Bob Wine hatimaye ameamua kumuacha aende meneja wake wa siku nyingi wa mambo ya biashara Bwana Labeja Laurence katika Fire base entertainment. Kwa hiyo kwa sasa mambo yote ya kibiashara kuhusu Bob wine, bookings na maulizo yeyote yatakuwa yakielekezwa moja kwa moja katika makao makuu… Read More →
Miley Cyrus Awaacha Watu Hoi Kwenye After Party Ya New York Fashion Week
Miley Cyrus amekuwa ni mwanadada mwenye vituko, unaweza ukamuweka katika kundi la kina Rihanna, Lady Gaga na wengine wenye vituko kama yeye, kwa kweli Cyrus amezidi kuwa na vituko, alishawahi kuwasha bangi akiwa stejini, pia hupenda kuvaa karibia na uchi akiwa sehemu mbalimbali. Katika New York Fashion week mwanada huyo… Read More →
Kesi Iliyokuwa Ikimkabili Justin Bieber Ya Kumshambulia Dereva Wa Limo Yafutwa
Muimbaji na mwandishi wa nyimbo mkali kutokea Toronto Canada ambae siku za karibuni amekuwa akiandamwa na kesi kibao, ikiwemo ya kumsambulia dereva wa limo huko Toronto Canda mwaka jana mwezi Desemba imefutwa jana kutokana na kukosekana ushahidi uliostahili. Katika video iliochukuliwa na kamera, simu iliyopigwa ya 911 na polisi kuwahoji… Read More →
Big Brother Africa Msimu Wa 9 (Hotshots) Yapata Mjengo Mpya
Waandaaji wa reality show Big Brother msimu wa 9 maarufu kama hotshots wametangaza kwamba wamepata studio mpya inayofaa na kufanya show hiyo iendelee kama ilivyokuwa imepangwa. Big Brother Hotshots ilihairishwa baada ya jumba hilo lililopo Sasani studio huko Johannesburg Afrika kusini kuungua moto na kutekeza vitu muhimu katika jumba hilo… Read More →
Taylor Swift Huwa Anasikiliza Ngoma Za Kendrick Lamar Anapokuwa Na Stress
Taylor Swift anasema kwamba anapokuwa na stress ngoma anazosikiliza huwa ni za K.Dot mkali aliyejitabiria kuwa King of New York. Anapokuwa na stress huchagua vitu vya kumfanya apunguze stress nakurelax. Swift amefunguka hayo wakati akipiga stories na Rolling Stone, This is my go aliongeza Taylor Swift. Huwa anapenda kusikiliza freestyle… Read More →
Roc Nation Yamsaini Ndamukong Suh Roc Nation Sports
Mchezaji wa Detroit Lion ambaye ni mlinzi ameungana na wachezaji wenzake kama Geno Smith na Hakeem Nicks kwenye Roc Nation Sports. Roc Nation Sports ya Jay Z imemsaini mkali huyo anayeitwa Ndamukong Suh katika list ya wachezaji wake, kutokana na tweet waliyotweet Roc Nation jana Septemba 8. Mwezi Februari iliripotiwa… Read More →
Floyd Mayweather Ashtakiwa Na Mpenzi Wake Wa Zamani
Mpenzi wa zamani wa Mayweather Shantel Jackson amefungua kesi dhidi ya bingwa masumbwi duniani Floyd Mayweather ambae Jumapili Septemba 13 atakuwa na pambano kali dhidi ya Maidana. Kesi hiyo inamshtaki Mayweather kwa kosa la kumtishia bastola, akimtishia kutoa picha zao wakiwa uchi kitandani na kumwambia she is s*** bila yeye,… Read More →
Rick Ross Atoa Maelezo Kuhusu Albamu Ya Meek Mill Ya “Dreams Worth More Than Money”
Meek Mill alijiweka sana kuhakikisha albamu yake inakuwa bora, na ni sawa tu itakuwa nzuri sana alisema Rick Ross katika statement aliyoyatoa. MMG na Meek Mill wameamua kuachia Dreams Worth More Than Money katika siku zinazokuja, MMG pia inataka mashabiki zake wajue kwamba Meek Mil yuko fresh na anataka kusikia… Read More →
Tanzania Yashika Nafasi ya 16 Kwa Wasichana Wazuri Afrika, Fahamu namba Moja Ni Wapi
Tanzania Yashika Nafasi Ya 16 katika ubora huo, Wasichana wa Ghana wanafuatia katika nafasi ya tatu, kulingana na Ranker,Baada ya wasichana wa Ghana , wanafuatia wa Misri, Eritrea, Ethiopia, Morocco, Kenya, Rwanda na Shelisheli- zote zikiwa kwenye 10 bora ya nchi za Afrika Zenye wasichana wazuri. Wasichana wa Somalia ndio… Read More →
Kili Music Tour 2014 yakamilishwa kwa kishindo Dar
Tamasha la Kili Music Tour 2014 lilifungwa kwa staili ya aina yake katika viwanja vya Leaders Club ambapo wasanii wanaofanya vizuri nchini walilishambulia jukwaa kwa masaa nane mfululizo na kuzikonga nyoyo za maelfu waliojitokeza. Burudani usiku huo ilipambwa na Mashujaa Band, Mapacha Watatu, Malaika Band, Rich Mavoko, Vanessa Mdee, Jambo… Read More →
Prince William Na Mkewe Kate Middleton Wanatarajia Mtoto Wao Wa Pili
Kumbe Mpenzi Wa Bebe Cool Ni Zuena!
Mkali kutoka Uganda Bebe Cool ikiwa ni siku yake ya kuzaliwa alifanya surprise baada ya kufanya French kissing mbele ya watu nakudhihirisha kwamba mpenzi wake ni mwanadada Zuena, Wawili hao penzi lao lilikuwa la kimya kimya watu wengi walikuwa hawana uhakika. Lakini wakiwa ndani ya club ya Amnesia walionyesha penzi… Read More →
BET Hip Hop Awards 2014 Majina Ya Washiriki Na Vipengele Vyatajwa
Wakali ambao wapo kwenye kinyang’anyiro hicho ni Drake, Eminem, J.Cole, Jay Z, Kendrick Lamar na Nick Minaj. BET Hip Hop Awards imepangwa kufanyika Jumanne Oktoba tarehe 14 mwaka huu, Drake, Eminem, J.Cole, Jay Z, Kendrick Lamr na Nick Minaj wanagombea tuzo ya mwandishi bora wa mwaka (Lyricist of the year)…. Read More →
CHOMVA 2014 Hawa Ndio Washiriki!! Diamond Atajwa Mara 4
Ukiwa ni mwaka wa 17 kwa Channel O toka ilipoanzisha sehemu ambayo wasanii wa Kiafrika wanaweza kuonyesha uwezo wao kwa dunia kupitia tuzo za CHOMVA, wametangaza washriki na vipengele kwa msimu mwingine wa tuzo hizo kwa mwaka 2014 siku ya jana, Mwaka huu itafanyika Jumamosi 29 Novemba 2014 ndani ya… Read More →
RIP Bibi Wa Fashion Police Joan Rivers
Baada ya kuwa hospitali kwa muda kiasi akitiviwa baada ya moyo wake kusimama wakati anafanyiwa upasuaji wa koo huko Ne York, Bibi wa fashion police Joan Rivers Amefariki Dunia Mtoto wake wa kike Melissa ndio aliyetoa taarifa za msiba wa mama yake kwa kuandika ‘It is with great sadness that… Read More →
Maisha Magic Launches Channel 161 – Dj Tass Reps With “Wakilisha”
The colours, the patterns and the undeniable artistry of East Africa’s beautiful fabrics have always told a unique story of their own – one of imagination, expression and creativity. Taking its inspiration from this most authentic of sources, a few days ago M-Net revealed the brand new logo for its… Read More →
Kim Kardashian Akanusha Uvumi Kwamba Anaacha Kipindi Cha “Keeping Up With Kim K”
Usiamini kila kitu unachosikia, uvumi umekuwa ukiendelea kitaani kwamba Kim Kardashian anafanya mikakati ya kuiacha kipindi chake kilichompa umaarufu sana kinachoitwa Keeping Up With Kardshian, hayo yametokea baada ya gazeti la Star kutoa toleo lililoandika kichwa cha habari “Kardshian Canceled” na kuandika kwamba Kim K anaacha TV show hiyo. Taarifa… Read More →
Ngoma Ya Iggy Azalea “Fancy” Yatajwa Katika List Ya Billboard Ya Kipindi Cha Kiangazi
Iggy Azalea ni mwanamke wa kwanza kuwa na ngoma 2 kwenye top 3 ya Billboard list ya kipindi cha kiangazi. Ngoma aliyomshirikisha Charli XCX imekamata namba 1 kwa wiki 7 kipindi hiki cha kiangazi ikiwa kwenye chart, ni ngoma maarufu sana ambazo ziliimbwa kwenye Memorial Day na Siku ya kazi… Read More →
Eminem Afunguka Kuhus Tour Ya The Monster Aliyokuwa Na Rihanna
Katika kuelezea experience yake katika tour iliyomalizika akiwa na mwanadada Rihanna, Eminem pia ametaja filamu zake anazozipenda ikiwemo “Step Brothers”. Hivi karibuni amemaliza tour iliyokuwa ikiitwa The Monster Tour, amesema ilikuwa rah asana kufanya tour akiwa na Pop star Rihanna. “Ni fresh sana, Ilikuwa raha, ilikuwa wakati mzuri, Mimi ni… Read More →
Sio Muhimu Kumjua Mtu Aliyenipiga Risasi – Suge Knight
“Itakuwa muda fulani pale unapoweza kupata risasi chache, lakini kama unaweza kupona kutoka kwenye kupigwa risasi, inatakiwa ujiweke imara zaidi” alisema Suge Knight. Suge Knight anasema hajishughulishi ni nani alimpiga risasi tarehe 24 Agosti 24 katika club ya usiku inayoitwa 1-OAK huko Magharibi mwa Hollywood, California. “Hata kama ningetaka kujua,… Read More →
Future Na Ciara Warudiana For The Good Of Future Zahir
Future na Ciara hawakukaa kwa muda mrefu baada ya kutengana, kwa sababu Ciara yuko imara kuhusu mtoto wake na anahitaji baba yake awe karibu na mtoto wake saa 24 na siku saa 7 za wiki. Chanzo kimoja karibu na Future ameiambia TMZ, kwamba Future na Ciara wanaishi pamoja tena na… Read More →
Rihanna Si Mzima Kwakweli, Kajibebea Bangi Yake Hadharani Anavuta Akiwa Mapumzikoni
Rihanna kweli kadata , akiwa mapumzikoni huko katika kisiwa cha Corsica Ufaransa ameonekana akiwa amebeba Bangi na kuvuta kabisa wazi wazi hadharani bila kujali nani anamuona au kumjali Rihanna Alibeba bangi yake ndani ya mfuko wa nailoni unaoomuonyesha alichokibeba ndani ambacho ni majani ya bangi Comments
Picha Za Kim Kardashia Akiwa Mtupu Kabisa, Acha Ajionyeshe kwakweli Maana Mmh
Kim kardashia Amepiga picha mpya za hatari kabisa kwa ajili ya jarida la British GQ huku zikionekana ndio picha kali alizowahi kupiga kabla .Picha Zilitolewa mara tu baada ya jina lake kutajwa kuwa Mwanamke Bora wa mwaka na jarida hilo la jana GQ awards. Ona Picha Zaidi Comments
Jermaine Dupri Amtambulisha Royce Rizzy Kama Msanii Wake Mpya
Baada ya kupigwa chini na meneja Boss wake akiwa kama meneja wa Mariah Carey, Mtayarishaji wa mapigo ya muziki na repa almaarufu kama Jermaine Dupri So So Def CEO na Mayor wa ATL amemtambulisha msanii wake mpya nayeitwa Royce Rizzy ambaye amesaini naye mwaka huu. Walionekana na AllHipHop.com wakiwa kwenye… Read More →
Chriss Brown Apatikana Na Kosa La Shambulio Aomba Msamaha
Muimbaji wa ngpma ya loyal mkali Chriss Brown ameomba msamaha kwenye mahakama baada ya kukutwa na kosa la shambulio alililolifanya huko Washington D.C, Chriss Brown amekutwa na kosa hilo jana Septemba 2 baada ya kumshambulia mtu mwezi Octoba huko Washington D.C. Tukio hilo lilitokea wakati muimbaji huyo akiwa katika uangalizi… Read More →
Justin Bieber Akamatwa Canada Kwa Shambulio Na Ajali Akiendesha ATV
Mkali anayetokea Canada Justin Bieber amekamatwa nchini Canada baada ya kutokea ajali iliyohusisha ATV yake na minivan iliyokuwa ikiendeshwa na mwandishi wa habri na kwa sasa anashtakiwa na makosa ya kuendesha kwa hatari na shambulio la mwandishi wa habari TMZ imeeleza. Bieber alipelekwa selo Ijumaa mchana huko PerthCounty Ontario, Polisi… Read More →
Albamu Ya Meek Mill “Dreams Worth More Than Money” Kutoka Kama Ilivyopangwa
Albamu ya mkali repa anayewakilisha Philadelphia Meek Mill ndoto zake bado zitasikika na watu hata kama hatakuwa bado jela au ametoka, Mapema jana Septemba 2 nyimbo nne zimevuja. Albamu ya Meek Mill inayoitwa Dreams Worth More Than Money imepangwa kutoka Septemba 9 kuanzia Julai 7. Wiki moja baada ya kutangazwa… Read More →
Picha Za Awali Kabisa Za Ndoa ya Waigizaji Brad Pitt Na Angelina Jolly, Pamoja Na Historia Yao Ya Kimahusiano
Baada ya miaka tisa ya mahusiano na kufanikiwa kupata watoto tisa Angelina Jolie na Brad Pitt hatimae wamefunga ndoa mwezi August 23rd katika hafla binafsi iliyofanyika French estate Chateau Mirava mbele ya watu wachache ambao ni wanafamilia na marafiki Gauni Ya Angelina Ya harusi Ilibuniwa na Atelier Versace master tailor… Read More →
Wazazi Waliomtorosha Mtoto Wao Hospital Aliyekua Naishi Kwa Kutumia Machine Iliyokua Karibu Kuisha Muda Wake Wakamatwa Uhispania Mtoto Akiwa Katika Hali Mbaya
Wazazi wa mtoto Ashya King aliyetoroshwa kutoka wodini alikokuwa akiuguzwa kutokana na uvimbe uliotokana na ugonjwa wa kansa ya ubongo mjini Hampshire Uingereza wamekamatwa mjini Madrid nchini Hispania baada ya kumuamishia mtoto wao huyo mwenye umri wa miaka 5 katika hospitali ya watoto ya Malaga ambapo hali yake ya kiafya… Read More →
Rais Kikwete Ahudhuria Mkutano Wa Amani Na Usalma Wa Baraza La Amani Na Usalama La Umoja Wa Africa Jijini Nairobi
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Jomo Kenzatta jijini Nairobi leo kujiunga na viongozi wengine wanaounda Baraza la Amani na Usalama la nchi za umoja wa Afrika (AU) kwenye mkutano wa kuzungumzia masuala ya tioshio la ugaidi linalolikabili bara hilo na dunia kwa… Read More →
Aliyetakiwa kuuawa kutokana na kuzaliwa akiwa, kichwa chake kikiwa juu chini awa mwamasishaji mkubwa Brazil
Aliyetakiwa kuuawa kutokana na kuzaliwa akiwa na ulemavu wa viungo na kichwa chake kikiwa juu chini awa mwamasishaji mkubwa Brazil. Claudio Viera de Oliveira mwenye umri wa miaka 37 anayetokea katika mji wa Monte Santo nchini Brazil alizaliwa akiwa na ugonjwa wa arthrogryposis ambao unaathiri viungo vya mwili. Madaktari walimshauri… Read More →
Picha: Just Got Paid Ilivyofana
Ijumaa wiki iliyopita Castle LITE ilidhamini pati ya JUST GOT PAID iliyofanyika Azura, Mikocheni. Pati hii ni ya madhumuni ya watu kusherekea mwisho wa mwezi na kuburudika kwa kinywaji cha Castle LITE na muziki bomba. Wageni katika sherehe hii pia walihimizwa kushiriki katika shindano la kujishindia zawadi kutoka Castle LITE… Read More →
Diamond Aokolewa Na Polisi Wa Ujeruman Asipokee Kichapo Kutoka Kwa Mashabiki
Sehemu ya ukumbi ulioharibiwa vibaya na washabiki mjini stuttgart,ujerumani Usiku wa Jumamosi ya Tarehe 30.Augost 2014, majira ya saa 10 alfajiri Mwanamuziki nyota wa Bongo Flaver Nasib Abdul aka Diamond Platnumz alijikuta katika hali ya hatari hadi kuokolewa na Polisi mjini Stuttgart,ujerumani,baada ya washabiki waliokuwa na hasira kuchoka kusubiri… Read More →
Picha:Kili Music Tour Tanga
Tamasha la Kili Music Tour limekamilisha awamu ya kuzunguka mikoani kwa show iliyofana katika uwanja wa Mkwakwani Tanga. Tamasha hilo linalidhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager lilipambwa na burudani toka kwa wasanii wanaofanya vizuri nchini wakiongozwa na malkia wa mipasho Khadija Kopa na mfalme wa taarab Mzee Yusuph ambao… Read More →
Viwango Vya Kubadilishia Pesa Leo September, 01,2014
PSquare – Ejeajo [Official Video] ft. T.I.
Msimu Mpya Wa BigBrother Kuanza Tarehe 7 September, Mara Hii Kujulikana Kama Big Brother “Hot Shorts”
Msimu Mpya Wa Shindano Kubwa na maarufu Afrika Reality Show Big Brother Afrika Limefika na mara hii litajulikana kama “Hot Shorts” Shindano hilo litaanza rasmi tarehe 7 september mwaka huu na litadumu kwa siku 91 takriban miezi mitatu huku mshindi atakayefanikiwa kudumu ndani ya nyumba mpaka mwisho akitarajiwa kujinyakulia kitita… Read More →
Hali Ya Bibi Wa Fashion Police Joan Rives Yazidi Kuwa Mbaya, Mwanae Melisa Aongea
Kwa mujibu wa kituo cha Television cha E kinachorusha vipindi vyake mkongwe katika fani ya chekeshaji Bibi Joan River yupo chini ya uangalizi katika chumba cha wagojwa mahututi katika hospitali ya Mount Sinai Jijini New York Moyo wa bibi Joan Ulisimama ghafla kwa muda wakati akiendelea na pasuaji wa koo… Read More →
Askari Waagiza Wazazi Waliomuiba Mtoto Wao Hospitali Mwenye Matatizo Ya Ubongo Wamrudishe Kwasababu kifaa Kinachomfanya Aishi Kinaisha Muda Wake Leo
Utafutaji mkubwa unaendelea pamoja na kwenye mitandao ya kijamii kwa ajili ya mtoto mwenye umri wa miaka 5 Ashya King aliyekuwa na uvimbe katika ubongo wake ambaye alitoroshwa na wazazi wake kutoka wodini bila idhini ya madaktari. Hali ya mtoto huyo ipo katika hatari kutokana na kulishwa kwa kutumia mrija… Read More →
East Africa Beach Party @ Azura Beach Mikocheni 1 Day 2 Go!! Get Ready
East Africa Beach Party ni party ambayo imeandaliwa kwa dhumuni kubwa la kuwaunganisha Wanajumuiya wa Afrika mashariki sehemu moja kwa lengo la kufurahi, kutengeneza mitandao ya kushirikiana zaidi tukiunganishwa na burudani. Siku hiyo wanakutana watoa burudani zaidi ya ishirini sehemu moja kutoka nchi hizi za jumuiya ya Afrika mashariki wakiwemo… Read More →
Mstari Wa Jay Z Kwenye Watch The Throne Bado Unamsumbua Lil Wayne
Mkali wa YMCMB Boss wa Young Money Lil Wayne inavyonekana mpaka sasa mstari aliouchana Jay Z kwenye Watch The Throne akiwa na Kanye West bado unamsumbua kichwani. Kama unakumbuka hapa hapa kupitia Salma Msangi.com nilishaandika kuhusu mstari huu ikaonekana kama kuna kabeef kachini chini kati ya Jay Z na Lil… Read More →
Albamu Ya Game Blood Money La Familia Yatajwa Tarehe Ya Kutoka
Albamu ya repa anayeongoza kwa beef repa anayewakilisha Compton to death amepanga kuachia albamu yake inayoitwa Blood Money La Familia itatoka Septemba 16. Project hiyo itakuwa na ngoma kama “Bigger than me” na “Or Nah” ambayo imeapnagwa kuwa project ya kwanza akiwa na Entertainment One Music baada ya kuachia albamu… Read More →
Kupigana Jay Z Na Solange Ilikuwa Ni Kutafuta Kick Kwa Jamii Asema Mathew Knowles
Akifunguka Mathew Knowles baba yake Beyonce amesema mapigano kwenye lifti ya hoteli kati ya Solange na Jay Z mwezi Mei ilikuwa ni trick ambayo ilisababishwa ili kuzidisha mauzo ya tiketi na albamu. Mathew pia amefunguka kuhusu kuungana tena Destiny Child kwa ajili ya tour ya Destiny Child ambayo inafanyiwa kazi… Read More →
Mwanasoka Gerald Pique Na Mwanamuziki Shakira Wanategemea mtoto Wa Pili
Wapenzi Mwanamuziki Shakira 37 na mwanasoka Gerard Piqué, 27, wanataraji auzao wa pili ama mtoto wao wa pili Shakira ame thibitisha hilo huko Spain Akizungumza Kispanis Shakira Alisema “Pues sí, la verdad es que sí, estoy embarazada.” Wapenzi Hawa walipata mtoto wao wa kwanza wa kiume huko Milan mwezi January 2013,… Read More →
Sijawahi Kusoma Chuo Kikuu, Bilionea Mwanamke Muafrika Awafungukia Wanafunzi Wa Chuo, Asema Haiihitaji Elimu Ya Chuo Kufikia mafanikio.
Moja Ya Wanawake Matajiri Afrika ba mwenyekiti wa Famfa Oil, Mrs Folorunsho Alakija juzi August 27th alisema kwamba hajawahi kusoma masomo ya chuo kikuu, mwanamke huyo aliendelea kwa kusema kuwa haihitaji masomo ya chuo kikuu kufanikiwa katika maisha Mrs Alakija aliyasema hayo wakati anaongea na wanafunzi wa chuo kikuu… Read More →
Ni Beyonce Tu, Picha Alizopiga Kwa Ajili Ya Kitabu Cha CR Fashion, Hazijawahi Kutokea
Noiva do Cordeiro,Miji Unaoishi Wanawake Watupu, Waagiza Wanaume Ma “Single”
Mji mmoja nchini Brazil ambao una wanawake watupu, wengi wakiwa vijana na “warembo mno” umetoa wito wa kutaka vijana wa kiume – ambao bado ni makapera (yaani single). Kwa mujibu wa tovuti ya Metro, mji huo uitwao Noiva do Cordeiro, una watu 600, ambao wote ni wanawake. Watoto wa kiume… Read More →
Bibi Fashion Police ya E Tv Joan River Mahututi, Aacha Kupumua Wakati Akifanyiwa Surgery
Yule Bibi mkosoa watu na mnanga mastar kwenye ma red Carpet mbalimbali katika kituo cha luninga cha E Entertainment Ya marekani Joan River Yu mahututi Mchekeshaji Huyo na mtangazaji Mzee anayeupenda ujana alikimbizwa hospitali huko Ney York Mchana wa leo baada ya kuacha kupumua wakati akifanyiwa Upasuaji wa koo Bibi… Read More →
Hatimae Brad Pitt Na Angelina Jolly Wafunga Ndoa
Hatimae wale wakali wa kiwanda cha filamu hollywood, ambao pia ni wapenzi wa siku nyingi Brad Pitt Na Angelina Jolie Wamefunga Ndoa Taarifa zinasema wapenzi hao waliodumu katika mahusiano kwa miaka 9 na kubarikiwa kupata watoto sita watatu wakiwa ni wakuwazaa wenyewe na watatu wa kuwaasili walifunga ndoa week End… Read More →
East Africa Beach Party 2 Days 2 Go!! TURNUP
East Africa Beach Party ni party ambayo imeandaliwa kwa dhumuni kubwa la kuwaunganisha Wanajumuiya wa Afrika mashariki sehemu moja kwa lengo la kufurahi, kutengeneza mitandao ya kushirikiana zaidi tukiunganishwa na burudani. Siku hiyo wanakutana watoa burudani zaidi ya ishirini sehemu moja kutoka nchi hizi za jumuiya ya Afrika mashariki wakiwemo… Read More →
Albamu Zinazoongoza Kwa Mauzo Wiki Hii
Wiki hii mkali Boss Taylor Gang Wiz Khalifa ameshika namba moja kwenye chart za Billboard katika Top 200 albums chart na albamu yake ya Blacc Hollywood, wakati huo huo Iggy Azalea ameendelea kutesa na The New Classic na kuelekea mafanikio kama Beyonce amepanda hadi namba 45 na self-tittle project. Wiz… Read More →
Peroni Fashion Night Out At News Cafe This Friday Aug 29th
Ni week end hii pale News Cafe Masaki ambapo kinywaji cha Peroni Nastro Azzuro kinakuletea Fashion Night Out na Rio Paul. Kwa mara ya kwanza kabisa zitatambulishwa kazi za mbunifu mavazi Rio Paul, Njoo ufurahie usiku uliopambwa na mitindo, muziki toka kwa HtheDJ na pati isiyosahaulika ndani ya… Read More →
Mvulana Mwenye Shingo Ndefu Zaidi Duniani,Aishi Na Maumivu Makali
Madaktari Wanasema Kwa Kawaida shingo hutakiwa kuwa na vifupa 7 vinavyounda uti wa mgongo lakini kijana mmoja wa kichina mwenye umri wa miaka 15 ana vifupa 10, Kijana huyo alipokuwa na miaka 10 aligundulika akiwa na ugonjwa wa Congenital Scoliosis na alikuwa na kifua chenye umbo lisilo la kawaida hali… Read More →
Immortal Technique Aeleza Tofauti Kati Ya Nicki Minaj Na Iggy Azalea
Immortal Tech anasema haoni kama Iggy anampita Nick Minaj, na katika battle yeye atakuwa upande wa Nick Minaj. Kutokana na Harlem, New York rapper Immortal Tech, anasema Iggy Azalea na Nick Minaj kila mmoja anastahili yake, kwa hiyo huwezi kuwashindanisha na kila mmoja ana mashabiki wake, kitu hichi kama Boss… Read More →
Rais Wa Zamani Wa Death Row records Suge Knight Atoka Hospitali
CEO wa zamani wa Death Row Records Suge Knight ametoka hospitali asubuhi jana, baada ya kutibiwa majeraha ya risasi alizopigwa Agosti 24 katika Pre Party ya MTV VMA. Taarifa za TMZ zimeeleza kwamba Boss huyo wa zamani wa Death Row Records ametoka hospitali jana Agosti 27 pale katika hospitali ya… Read More →
Castle Lader Perfect 6 Winners
NMB Yatajwa Benki Bora Tanzania Kwa Mwaka 2014 Na Jarida la kimataifa la Euromoney
Jarida la kimataifa la Euromoney la Uingereza limeitaja NMB kuwa benki bora Zaidi kwa mwaka 2014 katika hafla ya utoaji wa tuzo hizo iliyofanyika jijini London hivi karibuni. Hii ni mara ya pili mfululizo kwa NMB kutajwa kama benki bora Tanzania ambapo mwaka 2013 pia NMB iliibuka kidedea na kutajwa… Read More →
Suge Knight Sio Yeye Ndio Aliyetakiwa Kupigwa Risasi Siku Ya Party Ya VMA
Katt Williams amesema ilichukua dakika 20 kwa polisi kuingia ndani ya club ya usiku ya 1OAK wakati risasi zilivyopigwa kwenye VMA party. Taarifa kutokana na mchekeshaji Katt Williams, amesema CEO wa zamani wa Death Row Records Suge Knight alikuwa akijaribu kumsaidia mtu mwingine wakati alipopigwa risasi mara sita huko magharibi… Read More →
Dabo Na Diamond Waingia Kwenye Kinyang’anyiro Cha Tuzo Za IRAWMA Marekani
Msanii bora wa muziki wa Reggae Tanzania, DABO (Pichani) amepata nafasi ya kuipeperusha bendera ya Tanzania katika anga za kimataifa, baada ya kuchaguliwa kuwania tuzo kubwa kabisa za reggae za kimataifa na muziki wa dunia 2014 (International Reggae and World Music Awards (IRAWMA). DABO anawania tuzo hizi katika kipengele… Read More →
Furaha Ya Jay Z Na Beyonce Ilikuwa “Fake” Usiku Wa VMA’s, Mtaalam Wa Kutafsiri Lugha Ya Mwili(Body Language) Atoa Ufafanuzi
Beyonce na Jay Z hawawezi kupitisha siku katika kipindi hiki cha tetesi za kutaka kuvunjika kwa ndoa yao bila taarifa yeyote katika chombo chochote cha habari Baada ya kuonekana katika tuzo za VMAs Jumapili usiku katika stage pamoja Jay z Akimkabidhi Tuzo Mkewe Akiwa na mtoto wao Blue Ivy NY… Read More →
Mtu Anayeaminika Kuwa mrefu Zaidi Duniani Aliyekataa Vipimo Ili Kuingizwa Kwenye Kitabu Cha Guiness Afariki
Ni Leonid Stadnyk inaaminika ndio mtu mrefu zaidi Duniani kuwahi kutokea akiwa na 8ft 4 inches, Leonid Stadnyk aliyekuwa na asili ya Ukrain na aliyekuwa anatokea kijiji cha Podoliantsy,ameefariki Dunia akiwa na umri wa miaka 44 siku ya jumapili August 24th kutokana na matatizo ya ubongo . Wakati mmoja wa… Read More →
Helicopter Ya UN Yatunguliwa Na Kuua Watatu Sudan Kusini
Helicopter Ya Mizigo ya UN M1-8 ikiwa na watu watatu imeanguka jana August 26th huko Bentiu, eneo lenye machafuko South Sudan, ofisi ndogo ya eneo hilo imesema imesema helicopter hiyo ilifaa kutunguliwa wakati wa mapigano Watu wa watatu waliokuwemo ndani ya Helicopter hiyo walifariki dunia . “Serekali ya Sudan Kusini inasikitihswa… Read More →
Mashabiki Wamjia Juu Mpenzi Wa Chris Brown Karrueche Baada Ya Kutoa Utani Kuhusu Nyele Za Mtoto Beyonce Ivy Blue Kwenye Tv
Mashabiki wamemcharukia mpenzi wa Chris Brown, Karrueche Tran baada ya kuzungumza mbaya kuhusu nywele za mtoto wa jay Z Na Beyonce Blue Ivy Live akiwa anatangaza kwenye luningani BET kwenya kipindi cha 106 and Park Kituo hicho cha BET kilimscript Karrueche atangaze ni vitu kagi sita muhimu mtoto huyo wa… Read More →
Vevo, Wametweet Maneno Yalioonekana Kumdhalilisha Kim Kardashian Na Mwanaye North, Wahabiki wawacharukia
Panapokusanyika Mastaa wakubwa katika hafla fulani hapo ndio mapaparedzi nao wanapokua kazini kweli kweli kutoka na mapya, Hiki nacho nikioja kipya eti wakati tuzo za VMAs zinafanyika Jumamosi usiku Mtandao wa Vevo ulikua busy kuchunguza na kuwaza mambo kichwani nakuamua kutweet jambo ambalo katika hali ya kawaida huwezi lidhania, Tweet… Read More →
Picha:Mazishi Ya Michael Brown, Kijana Wa Kimarekani Mwenye Asili Ya Afrika Aliyepigwa Risasi Na Polisi Mzungu
Hivi Ndivyo Mazishi Ya Kijana Wa Kimarekani mwenye asili ya Afrika Michael Brown 18 Yalivyofanyika, Kijana Huyo aliyepigwa Risasi na polisi mzungu Darren Wilson na kufariki Dunia aug 9, na amezikwa aug 25 kwenye makaburi ya Kanisa la Missionary Baptist huko St Louis, Missouri. Mamia ya wamarekani weusi kutoka… Read More →
Picha:Magauni Mekundu Yatawala Tuzo Za Emmy 2014, List Ya Washindi Pia ipo Hapa
Msimu wa Mitoko kiwanda cha sanaa huko duniani ndio huu ambapo hivi majuzi tu tumeona mitoko ndani tuzo za mtv Video Hizi ni nyingine za 66th Primetime Emmy Awards ambazo nazo zimefantika jana usiku katika Ukumbi wa Nokia Theatre Huko L.A. Inaonekana kama Theme na color of the shughuli ilikuwa… Read More →
Viwango Vya Kubadilishia Pesa Leo, JumaNne, August,26th,2014
Jionee Vituko Vioja Vimbwanga Vivazi Vya Uchokozi Nk Ndani Ya 2014 MTV Video Music Awards
Tazama vituko na vibwanga vyote hapa vilivyotokea ndani usiku wa 2014 MTV Video Music Awards. Kuanzia Nicki Minaj performing na kivazi chake cha uchokozi cha rangi ya majanii, Miley Cyrus alipomuambia rafiki yake wa nyumbani kupokea Tuzo yake badala yakeee ,Jay Z na Beyonce walivyokaaa mbali na Solange Arianna Grande… Read More →
50 Cent Aongea Afunguka Kuhusu Suge Knight Kupigwa Risasi
50 cent aliongea kwa Suge Knight kupigwa risasi kwenye ukurasa wake wa instagram 50 cent alipost picha yake akionekana amevaa suti ambayo inaonekana kwa ndani kuna bullet prrof alisema “ “Suge should have had this on last night. It hurts when a nigga half way kill ya # man down.”… Read More →
“X” Albamu Ya Chriss Brown Kutoka Septemba 16, Pia Aonyesha Ngoma Zinazopatika On The Albam
Muimbaji wa r&b na pop star Chriss Brown ametangaza albamu yake ya sita inayoitwa “X” kwamba ipo tayari na katika albamu hiyo yupo mkali katika gemu la Hip Hop Kendrick Lamar ambae kwa sasa ana miaka 23 tu lakini ameleta ushindani katika Hip Hop na kupata mafanikio kwa muda mfupi… Read More →
Suge Knight Apigwa Risasi Ndani Club Ya 1-OAK California
Marion Suge Knight aliripotiwa kupelekwa hospitali ambapo alifanyiwa upasuaji baada ya kupigwa risasi zaidi ya moja, Taarifa za polisi wanasema kwa sasa wanachunguza kilichosababisha, familia ya Suge Knight imeeleza kupitia TMZ. Suge Knight alipigwa risasi mara mbili kati ya saa 7:30 usiku jana Agosti 24 huko kwenye club ya usiku… Read More →
2014 MTV Video Music Awards Red Carpet + Na List Nzima Ya Washindi
Video Of The Year Miley Cyrus: Wrecking Ball Best Hip-Hop Video Drake ft. Majid Jordan: Hold On (We’re Going Home) Best Male Video Ed Sheeran ft. Pharrell Williams: Sing Best Female Video Katy Perry ft. Juicy J: Dark Horse Best Pop Video Ariana Grande ft. Iggy Azalea: Problem… Read More →
Hawa Jamaa Wanadai Wanajua Sababu Ya Chris Kutaka Kuuwana Na Kwanini
Kutokana na Mifyatuo ya risasi ilitokea jana 1Oak nightclub huko LA wakati wa pre-VMAs party iliyokuwa ina hostiwa na Chris Brown, na mashuhuda wakasema kuwa mlengwa alikuwa ni Chriss sasa MTO wanadai wanajua nani walitaka kumtoa roho Chris na kwanini Maelezo yao hayo: Well here’s what happened . . …. Read More →
Ugojwa Wa Ebola Waingia Congo, Wawili Wathibitishwa Kufariki
Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo imesema watu wawili wamekufa kutokana na ugonjwa wa Ebola, uliolipuka kaskazini-magharibi mwa nchi hiyo. Hao ni wagonjwa wa kwanza wa Ebola kuripotiwa nje ya Afrika Magharibi tangu kuzuka kwa ugonjwa huo huko, ingawaje haijaeleweka wazi kama vifo vya watu hao vinahusiana na mlipuko wa Ebola… Read More →
Chris Brown Afyatuliwa Risasi Usiku Wa Glamorous Pre-party Video Music Awards LA
Music producer Suge Knight ni moja ya waliojeruhiwa katika tukio hilo la Chris Brown Kufyatuliwa Risasi katika usiku wa glamourous awards show party huko Los Angeles nightclub ambapo Chris Ndio Alikuwa Host imeripotiwa Mashuhuda wanasema chris mwenye miaka 25 ambaye bado yupo chini ya uangalizi wa kimahakama baada ya kutoka… Read More →
Mimi Sio “Malaya” Jennifer Lopez Asema “Nimeacha Kufanya Mapenzi” Ni Baada Ya Kumfumania Mpenzi Wake Na Shoga.
Sio kama watu mnavyofikiria, Jennifer Lopez amesema yeye sio mwanamke anayependa kulala hovyo na wanaume tofauti tofauti, aliyasema hayo wakati anazungumzia kuhusu maisha yake ya kimahusiano tangu kuachana na Serengeti boy Casper Smart, J.Lo, 45, alimuambia Chelsea Handler wa kipindi cha Chelsea Lately kuwa anapenda kuwa kwenye mahusiano na kwamba Ame… Read More →
Baba Mzazi Wa Mwanamuziki 2Face Idibia Amefariki Jana
Baba Mzazi Wa Nick Cannon, Aliyekuwa Mume Wa Mariah Carey Aweka Wazi Madhaifu Ya Mkwewe Na Sababu Ambazo Inawezekana Zilisababisha Talaka Ya Mwanae
Katika Hali Inayoonyesha Dhahiri Mzazi huyu amesimama upande wa mwanae katika swala la kuvunjika kwa ndoa yake na mkewe Marah Carey Jana usiku Baba mzazi wa Nick Cannon, James Cannon Alipost Maneno kadhaa yaliokuwa katika mtindo wa maswali, maneno ya kimahusiano kupitia ukurasa wake wa facebook Kwa maneno yake na… Read More →
East Africa Beach Party, Jumamosi Ya Tarehe 30,Aug,2014 Azura Beach Kwa Kiingilio Cha Tshs 10,000
Picha: Uzinduzi Wa Vifaa Vya Panasonic Jijini Dar Es Salaam
KAMPUNI YA VIFAA VYA UMEME YA JAPAN, PANASONIC, IMEZINDUA AINA MPYA YA VIFAA VYA UMEME KWENYE SOKO LA TANZANIA. VIFAA HIVYO NI PAMOJA NA SWITCH, SOCKET BRAKER, FAN ZA UKUTANI NA MEZANI. UZINDUZI HUO ULIFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM NA KUHUDHURIWA NA WATU MBALIMBALI KUTOKA TAASISI NA MASHIRIKA BINAFSI NA… Read More →
Nick Cannon Na Mariah Carey Wamwagana
Ni kama amegonga vichwa vya habari kibao duniani kwa muda usiopungua mwezi mmoja, kwanza alimwaga meneja wake ambaye ni Jermaine Dupri na sasa aingia ndani ya ndoa akamwaga na Nick Cannon ambaye ni mume wake, sijui ni stress za kutofanya vizuri albamu yake ya Me, Iam Mariah hayo sio majibu… Read More →
Afrika Kusini yafunga Mipaka Yake Kwa Nchi Zilizoathirika Zaidi Na Ebola
“Ndovu Spotlight Studio” Siku Alhamisi 21/08/2014 @ JB Belmonte Dar es salaam
Ndovu Special Malt kwa mara nyingine imefanya sehemu nyingine ya kitu kizuuuuri kinachofahamika kama Ndovu Spotlight Studio ndani ya Hotel ya JB Belmont usiku wa jana Alhamisi 21 Agosti 2014. (Ndovu Spotlight Studio) Waliong’aa na kushiriki ndani ya studio ya Ndovu Spotlight siku ya jana usiku ni mchekeshaji maarufu nchini… Read More →
Mama Yake Beyonce Azungumzia Talaka Ya Mwanae
Jana Mtandao Wa TMZ ulimvizia mama wa Beyonce ’60’ akiwa katika shughuli zake na kumtwika swali la kile kinachoendelea juu ya tetesi za kuachana kwa mwanae na mumewe Jay z Mama huyo alijibu kuwa hakuna kitu kama hicho na kwamba ndoa hiyo haina tatizo lolote na kwamba hayo ni… Read More →
Jackie Chan Aeleza Kusikitishwa Kwake Na Jinsi Mtoto Wake Alivyokutwa Na Madawa Ya kulevya
Mkongwe katika mambo ya sinema duniani Jackie Chan ameelezea kushtushwa kwakwe na jinsi alivyovunjika moyo kuhusu taarifa za kukamatwa kwa mtoto wake wa kiume mwenye umri wa miaka 31 Jaycee Chan, nyumbani kwakwe baada ya kukutwa na grams 100 za marijuana zilizogundulika Jaycee mtoto wa Jack Chan Polisi wamesema… Read More →
George W Bush Ni Miongoni Mwa Walioshiriki Kampeni Ya Kujimwagia Maji Ya Barafu (Ice Bucket Challenge), Barak Obama Kala Kona
Ice Bucket Challenge ni Kampeni inayowashindanisha watu maarufu wa marekani na mashuhuri wenye pesa kuchangia pesa kwaa ajili ya kuchangia kituo cha ALS kusaidia watu wenye maradhi ya Neva Sasa ukupendekezwa na wenzako inabidi utekeleze, mawili utoe pesa au ujimwagie maji ya baridi sana kutoka kwenye barafu kuanzia kichwani… Read More →
Pope Francis Kujiuzulu Kama Ilivyotokea Kwa Pope Benedict (XV1)
katika hali inayoonekana kushangaza wengi Pope Francis Ameshauri ya kuwa anaweza kujiuzulu upapa siku zijazo kama ilivyotokea kwa papa aliyepita, Pope Benedict XVI alivyofanya mwaka uliopita, na kwa uamuzi huu itamfanya kuhesabika kuwa papa wa pili mwingine tena aliyewahi kuchukua maamuzi hayo baada ya zaidi ya miaka 600 iliyopita … Read More →
Isis Watoa Mkanda Unaoonyesha Walivyomchinja Muandishi Wa Habari Wa Marekani
Kumekuwa na shutuma za kimataIfa kufuatia kuuawa ukatili kwa mwandishi wa habari raia wa Marekani na kundi la islamic state nchini Syria. Waziri wa masuala ya kigeni wa Uingereza Philip Hammond amesema kuwa mashirika ya kijasusi yanajaribu kumtambua yule aliyemuua Foley ambaye anaoneka kuwa na lafudhi ya Uingereza. Rais wa… Read More →
Lile Jinamizi La Kuvunjika Kwa Mahusiano, Ndoa Za Mastaa Wa HollyWood Laendelea Sasa Ni Zamu Ya HaleBerry, Itakuwa Ndoa Yake Ya tatu Kuvunjika
Lile jinamizi la kuteteteza mahusiano ama ndoa za mastar wa hollyWood limeendelea kwa kasi ya ajabu na sasa hivi linanyemelea ndoa ya mcheza sinema Halle Berry na hii itakuwa ni ndoa yake ya tatu kuvunjika Baada ya ndo ayake ya awali kuvunjika halle alisema anaogopa sana kufunga tena ndoa lakini… Read More →
Uvumi!! Hii Ni Deal Mpya Ya 50 Cent
Watu wengi wamekuwa wakimuita King of beef kiongozi wa G.Unit kuna uvumi kwamba kuna mipango inaendelea na big nation, hizi ni taarifa zilizoenea kwenye mitandao, Inaonekana kuna deal kubwa inayoihusu G.Unit ya dola milioni 300. Story hii inaonekana kama ilianzia kwenye site ya 50 cent inayoitwa Thisis50.com na iliendelea kusambaa… Read More →
Kanye West Na Paul McCartney Imeripotiwa Kufanya Kazi Pamoja
Muakilishi wa Kanye West amethibitisha kwamba West anafanya ngoma ya “Pis on your grave” lakini amekataa kucomment juu ya uvumi kufanya kazi na McCartney. Ikiwa ni ngoma rafu ya wimbo mpya wa Kanye West imevutia albamu inayokuja ya repa huyo, chanzo kimoja kiliiambia gazeti la The Sun kwamba West anajitahidi… Read More →
Rumors Has It!! Unajua Nani Ndo Amehusika Kuvunjika Ndoa Ya Future Na Ciara?
Uvumi umekuwa ukienea kwamba Future na Rihanna kwa sasa kama kuna kakitu kanaendelea, lakini ni noma kwa sababu Blind Item ianripoti party nyingine inaweza kumuhusisha Keysha Cole. Mahusiano ya Future yalianza kwa kick kubwa sana, walionekana wapenzi waliopendana, wote wakiwa wanafanya vizuri katika muziki, wakapendana na wakavalishana pete, hata hakukuwa… Read More →
Baada ya Majanga Mengi Kumkuta Akitoka Club Usiku, Justine Bieber Anunua Jumba La kifahari Lenye club Ndani
Kipindi Cha nyuma Kutokana Na majanga mengi yaliokuwa yanamkuta Justine Bieber kutokana na kupenda sana kwenda club na kujikuta matatani akiwa njiani kurudi nyumbani kwa kuendesha gari akiwa amelewa au vyovyote, Miley Cyrus alimshauri Bieber anunue nyumba yenye Night Club ndani ili kumuepusha na yote hayo “Una pesa nyingi sana,… Read More →
Baada Ya Kevin Hart Kuchumbia, Aliyekuwa Mke Wake Naye Kajibu Mapigo
Baada Ya mchekeshaji wa marekani Kevi Hart kuonyesha picha akimchumbia mpenzi wake wa siku nyingi ambaye ndio alikua ana cheat nae wakati akiwa na mkewe Torrei Hart, HatiMae Mke wake huyo amejibu mapigo na yeye kwa kumuonyesha jamaa yake wa sasa walipotoka pamoja katika party ya VH1 show Atlanta Exes… Read More →
Du, Check Kivazi Cha Lady Gaga Chenye Umbo La Uume
Tazama Picha Za Hatari Za Nick Minaj Akipromot Video Yake Ya Anakonda
Tazama Picha nyingine za Nick Minaj alizotoa ikiwa ni katika ku promote video yake mpya ya ANAKONDA , hakika wanaume wengi watavutiwa na video hii ambayo maudhui yake zaidi na makalio ambayo amejitahidi sana kuyatumia katika picha zake kuhamasisha video hiyo Comments
Ndovu Spotlight Studio
Kevin Hart Amemchumbia Mpenzi wake, Huku Mke Wake Wa Zamani Akilaumu Wanaume Weusi Wamarekani Hupenda Wanawake Weupe Mara Wanapopata Mafanikio
Mchekeshaji wa kimarekani anayetamba kwasasa baada ya Martin Lowrence amemchumbia mchumba wake wa siku nyingi Eniko Parrish, Kevin alicchumbia mchumba wake huyo jana ikiwa ni siku yake ya kuzaliwa akitimiza miaka 30 Kevin alishare picha za za tukio hilo kupitia instagram na kuandika: “Happy Birthday to the most amazing woman… Read More →
Mwanamitindo Ataui Deng Aliyepotea, Amepatikana Hai Hospitalini NYC
Mwanamitindo msudan anayefanya shughuli zake za uanamitindo nchini Marekani Ata Deng 22, ambaye ni mpwa wa mwanamitindo mkubwa Alek Wek aliyekuwa amepotea kwa siku 19 amepatikana Hospital huko NYC, Ataui Deng Alipotea baada ya kuondoka kwenye kwenye party ya Attic west 48th street huko New York akiwa na mpenzi wake… Read More →
Kid Ink Akamatwa Huko Las Vegas
Mkali wa ngoma ya Show Me Love ngoma ambayo pia ilileta mzuka sana kwenye Dala Dala Beats Party Ijumaa 15 August 2014 pale Wantash Afro Lounge Masaki, Repa huyo anayetokea pande za Los Angelea California kule kwa Obama land amekamatwa siku ya Jumamosi. Taarifa za TMZ zimeeleza, mshikaji alikamatwa na… Read More →
Mapenzi Kinyume Na Maumbile Hatari Kwa Wanaume, Mke Asimulia Yaliyomfika Mumewe Kwa Kupenda Kuruka Ukuta
Soma Kisa Hiki cha mwanamke mmoja aliyeamua kushare story ya mume wake kuponea chupu chupu kwa kupenda kufanya mapenzi kinume na maumbile, Mwanamke huyo ambaye ni mke wa mtu na mumuwe ndio aliyekutwa na kisanga hicho asimulia kwa kirefu zaidi namna mume wake alipopata madhara makubwa karibu ya kupoteza maisha… Read More →
Picha: Mambo Yalivyokuwa (D.B) DalaDala Beats Party Wantanshi Masaki
Hivi ndivyo kilivyo happen maeneo ya masaki pale Wantanshi siku ya jumapili wana Daladala Beat ya magic Fm walivyodondosha bonge la party kwa waskilizaji wao na wadau wa burudani ndani ya jiji la Dar Es Salaam Dj, Tass, Jimmy Jamal Na mtoto mzuri Tee Jay ndio walikuwa wenyeji wa shughuli… Read More →
“Sio Mwanaume Wangu “Demu Wa Chris Karruche Athibitisha,Mdogo Wa kim Kardashia Kendall Jenner Kuziba Pengo?
Je ni kweli wanatoka? hilo ndo swali linaloendelea kwa sasa. Lakini Mambo kama yanataka kuwa, inawezekana Criss Brown,25, ana date na mdogo wake Kim Kardashia Kendall Jenner mwenye umri wa miaka 18 sasa baada ya kumwagana na demu wake Karruche. Tweet hii imezua maswali kuhusu ndugu wa Kendall kuandika kuwa… Read More →
Maisha Yetu Yanazidi Kurahishwa Na NMB Kupitia Foreign Exchange!! Asante NMB
Katika kuendelea kutoa huduma bora kwa wateja wake na kudhihirisha NMB ni benki yenye nia ya dhati kuwahudumia wateja na kurahisha maisha ya wananchi, sasa NMB wamekuletea Foreign Exchange ikiwa na lengo la kurahisisha bishara kokote duniani. Foreign Exchange unaweza kununua na kuuza fedha za kigeni ikiwa ni kwa bei… Read More →
Jay Z Kamchunia Kim Kardashian kweupeee, Kumbe Hata Wao Wanaleteanaga Pozz???
Mashuhuda walioshuhudia tukio wanasema Jay Z alimchunia Kabisa Kim Kardashian Baada ya kukutana katika mgahawa mmoja uliofahamika kama Malibu na kumpita huku akiwa dhahiri amemuona lakini akajifanya kama mtu ambaye hajamuona, Tukio hilo lilijitokeza Jumapili iliyopita, siku ya jumapili gazeti la the Sun La Uk limeripoti Shuhuda: “Ilikuwa mbaya sana… Read More →
Ciara Awatoa Nishai Jarida La Us Weekly , Awashangaa kwa Uzushi, Awaita Waongo
Msanii Ciara Aliyeachana na mzazi mwenzie Future miezi mitatu baada ya kupata mtoto amewatoa nishai jarida la Us Weekly baada ya kuandika uongo kumuhusu Jarida hilo liliandakia: ‘Ciara Talks About Motherhood and Life After Future Split: I’m Focused, “Very Happy”. Ciara Amekanusha kupitia ukurasa wake wa tweeter ya kuwa hajazungumzia kitu… Read More →
Tazama Picha Za Mchekeshaji Robin William Siku Moja kabla Ya Kujitoa Uhai
Tazama Picha Za mwisho mwisho za mcheza filamu na mchekeshaji wa HollyWood Robin William siku moja kabla hajaamua kujitoa uhai kwa kujinyonga akitumia mkanda nyumbani kwake Califirnia, Robin alihudhuria reception ya Art Gallery iliyofanyika karibu na nyumbani kwake huko Francisco Bay Area, Robin Alikuwa ameongozana na mke wake katika Shughuli… Read More →
Baada Ya Ciara Na Future Kuachana Tyga Na Black Chyna Wafuata!! Jinamizi Hili Pia Linanyatia Ndoa Ya Jay Z Na Beyonce
Mastaa wanazidi kuachana tu baada ya kuripotiwa kuachana kwa Future Na Ciara na jinamizi hilo likiwa linanyatia ndoa ya Jay Z na Beyonce kutokana na stories kibao zilizotawala mitandao kote duniani kwamba mara Beyonce atafuta nyumba bila Jay Z kujua, mara Beyonce anamuongelea Jay Z kutokuwa mwaminifu kwenye ngoma zake… Read More →
Msanii Wa Hip Hop Afande Sele Afiwa Na Mke Wake “Asha”
Msanii wa Hip hop Tanzania Afande Sele Afiwa na mama mtoto wake anayefahamika kwa jina la Asha, Asubuhi ya kuamkia August 14 2014, Afande Sele aliweka ujumbe kuhusu taarifa hizi Ndugu zangu!! Nimefiwa na Mzazi mwenzangu (Asha) /mama wa wanangu (mama Tunda/Mama Sanaa) ..ni pigo kubwa kwangu na wanangu. SISI… Read More →
The Deal Is Done!! Future Na Ciara Ndoa Imeisha
Siku ya jana imeripotiwa mkali Future na Ciara wameachana na sio wanandoa tena na imeripotiwa kwamba Future yeye ndiye alietaka waachane na Ciara. Future alimshangaza Ciara na pete ya 15 carat diamond wikiendi taarifa za Associate Press kupitia abcnews.go.com zilieleza. Story hiyo iliripotiwa imethibitishwa msemaji wao Chris Chamber, wawili hao… Read More →
Rihanna Ni Kweli Anataka Kuinunua Liverpol?
Wakati alipokuwa akitweet matukio ya furaha wakati wa kombe la dunia, haikuwa bila sababu, Shabiki huyo wa mpira ambaye ni mwanamuziki maarufu duninai mwenye vimbwanga!! Riri anataka kuanzisha chuo cha mpira wa miguu huko kwao Barbados na pia anaongea kuhusu kununua klabu ya mpira. Kwa sasa kuna taarifa kwamba… Read More →
“Dala Dala Beach Party” @ Wantash Masaki!! 2 Days To Go!! Turn Up!!
Ijumaa hii ndani ya Wantash Pub Masaki inafanyika Dala Dala Beats Party ile party inayokutanisha wakazi wa Dar es salaam kwa lengo moja tu la kufurahi!! Selfie kibao, red carpet treatments, Tutaenjoy ngoma kali kutoka kwa Dj Tass na Dj Nature behind the microphones Mtoto Mzuri TJ na Jimmy Jamal… Read More →
Uvumi Wa Hip Hop: Christina Milian Hii Inaweza Ikawa Ni Sababu Nyingine Ya Kumfikiria They Crazy In Love With Tunechi
Christina Milian anaweza akawa anaoyesha ni kiasi gani anampenda Lil Wayne na bado anaendelea kumtega baada ya kuvaa kipens cha hatari. Kuna picha ambazo ameonekana Christian Milian akiwa amevaa pens kwenye picha zilionekana kwenye tovuti ya Allhiphop.com huku akiwa amenyoa ukiangalia vizuri amechora N na T ukiangali haraka haraka unajua… Read More →
Tour Inayokuja Ya Nas Ya “Illmatic” Pia Itaambatana Na Filamu Inayoitwa “Time Is Illmatic”
Nas akiendelea kusherekea miaka 20 toka alivyoachia albamu yake ya “Illmatic”, Nas ametangaza tour yake ambayo imepangwa pia kuonyeshwa filamu wakati wa performance, filamu hiyo inaitwa Time Is Illmatic. Albamu hiyo inatarajia kuanza Kaskazini mwa Marekani Octoba 2 huko Rochester, New York na inatarajia kumalizika Octoba 19 huko Oakland California…. Read More →
Kipande Cha Kwenye Filamu Ya Mwisho Alichoigiza Robin William Kama Mlevi Cha Fikiria Kufutwa
Kuna mkutano ambao ulifanyika Jumanne baada ya mchekeshaji Robin William kujiua, na watayarishaji wa filamu yake ya mwisho wanajaribu kuamua kama watafuta sehemu ambayo inamuhusisha Robin akiwa amecheza kama mlevi. Filamu hiyo ni ya family friend comedy lakini wakati wa kipande kimoja anaonekana Robin na mtoto wake , imechezwa na… Read More →
Dala Dala Beats Party!! 3 Days To Go!!
Ijumaa hii ndani ya Wantash Pub Masaki inafanyika Dala Dala Beats Party ile party inayokutanisha wakazi wa Dar es salaam kwa lengo moja tu la kufurahi!! Selfie kibao, red carpet treatments, Tutaenjoy ngoma kali kutoka kwa Dj Tass na Dj Nature behind the microphones Mtoto Mzuri TJ na Jimmy Jamal… Read More →
Picha: Rihanna Auza Juu Ya Cover Ya W Magazine, Ndani Yupo Na Naomi Campbell Na Iman
Rihanna amepiga picha akiwa amekaa pembeni ya Wolves kwa ajili ya magazine hiyo, Rihanna amepangwa kutokea katika cover la gazeti hilo linaloitwa W Magazine Fall Fashion Issu. Mwanadada huyo mwenye style za kutisha duniani style ambazo hata zimekuwa zikizusha maneno mengi hata kusababishwa kuitwa Freemason gal…jana Drake akaambiwa alimfananisha na… Read More →
Polisi Wa Los Angeles Wanachunguza Picha Aliyopiga Ray J Akiwa Na Polisi
Polisi wa Los Angeles LAPD wanachunguza kitu ambacho kimeonekana sio sawa kwa niaba ya polisi waliopiga picha ya mkali wa ngoma ya I hit first Ray J. Picha ya hivi karibuni aliyopiga Ray J akiwa na polisi imepelekea polisi wa Los Angeles kuanza uchunguzi kuhusiana na picha hizo taarifa za… Read More →
Yawezekana Huyu Ndo Mwanamke Mwenye Tumbo Kubwa Zaidi La Ujauzito Kuwahi kutokea
Haijathibitishwa Bado lakini mpaka sasa hapajatokea Rekodi Nchini uingereza Ya Mwanamke mwenye tumbo kubwa la ujauzito kama mwanamke huyu alikua na na ukubwa wa inch-55 Mwanamke Huyo mwenye miaka 29 Lara Carpenter-Meck aliongezeka uzito na ukubwa wa tumbo lakiasi kutotoshea katika nguo za kawadia za mama mja mzito “Katika… Read More →
Muigizaji Robin Williams AmefarikimTaarifa Za Polisi Zinasema Amejiua
Muigizaji Na Mchekeshaji Mkongwe Kutoka kiwanda cha uzalishaji sinema HollyWood Robin Williams Amepatikana akiwa amefarika akiwa na umri wa miaka 63, Robin Williams amepatikana amefariki jumatatu ya August 11 Nyumbani Kwake Tiburon California. Uchunguzi Wa awali wa Police unasema kuwa huwenda amejiua, lakini Msemaji wa familia amesema kuwa alikua anaoigana na… Read More →
Mariah Carey Amwaga Meneja Wake Jermaine Dupri
Mariah Carey anadhani kwamba yeye na Jermaine Dupri urafiki wao umekuwa mzuri zaidi studio kuliko ofisini, Kuna neno kwamba Mariah Carey amemtumia JD kuacha kuwa meneja wake baada ya project yake ya mwisho ya “Me, I Am Mariah”, “Me” I Am Mariah” iliuzwa Copies 103,000 tu toka mwezi Mei 27…. Read More →
Picha Za Wanamitindo Zilizokera Watu Baada Ya Kuonyesha Tukio La Kubakwa
Picha za wanamitindo zilizopigwa kwenye basi zikionyesha mwanamke akionekana kama anayebakwa na wanaume, zimezua hisia kali kwenye mitandao ya kijamii nchini India. Watu wengi wamesema kuwa picha hizo zinaonekena kusifu kitendo cha ubakaji kilichomkuta mwanafunzi mmoja mjini Delhi kwenye basi mwaka 2012. Mwanafunzi huyo ambaye aliga baadaye, alibakwa na genge… Read More →
Mlinzi Wa 50 Cent Achunguzwa Baada Ya Tuhuma Ya Kumpiga Mtu Kwenye Mall
Mlinzi wa repa wa G. Unit, 50 cent ameripotiwa amempiga ngumi kijana mwenye umri wa miaka 16 baada ya kujaribu kupiga picha na video msanii wa hip hop 50 cent akiwa na mtoto wake. Vyombo vya dola vimesema 50 cent alikuwa akifanya manunuzi Burbank Town Centre akiwa na mtoto wake… Read More →
Juhudi Za Kudhibiti Ebola Zafanyika
Sierra Leone imewapeleka wanajeshi wake kulinda eneo ambapo waathirika wa Ugonjwa hatari wa ebola wamewekwa, huku kesi ya kwanza ya maambukizi ya ugonjwa huo Saudi Arabia, ikizua wasiwasi wa mripuko wa ebola duniani. Taarifa kutoka ikulu ya rais Sierra Leone imesema, wanajeshi hao watawazuia marafiki na familia ya waathiriwa kuwachukua… Read More →
Twista Ataja Tarehe Ya Kutoka Albamu Yake Ya “Dark Horse” Aonyesha Cover Na Ngoma Zinazopatikana
Albamu ya mkali wa tongue twister mameeen Twista ametoa cover la albamu yake inayokuja ya Dark Horse pamoja na ngoma zainazopatikana kwenye albamu hiyo pia tayari inapatika kupitia streaming. Twista amepanga kuachia albamu hiyo inayoitwa Dark Horse Agosti 12 taarifa za Best Buy zilieleza. Kati ya nyimbo kutoka katika albamu… Read More →
Kanye West Na Kim Kardashian Wanunua Nyumba Ya Dola Milioni 20
Nyumba hiyo ipo katika mlima katika mji mdogo huko Los Angeles, na nyumba hiyo thamani yake ni dola milioni 20 E! News imeripoti. Taarifa zinasema kwamba nyumba hiyo ina eneo la hekari 3.5 , mabwawa mawili ya kuogelea, spas na sehemu ya kutengeneza wine (Vineyard). Habari hiyo imekuja wiki chache… Read More →
Tamasha La OVO La Drake, G.Unit, Outkast, Lauryn Hill Na YG Watokea
Baada ya mkali Chriss Brown kushindwa kutokea kwenye show ya Drake ya OVO Jumatatu, mambo yaliendelea wakatokea wakali kama G.Unit, Lauryn Hill, Outkast na YG ikiwa ni katika siku ya pili ya show hiyo huko Toronto Canada. Hiyo ni show ya tano ya tamasha la OVO ambayo ilifanyika Jumatatu usiku… Read More →
Watu 11 Wakamatwa Kwenye Tour Ya “On The Run” Ya Jay Z Na Beyonce Toka Ilipoanza
Mtu mmoja alikamatwa baada ya kumng’ata mtu mkono wakati wa show ya On the Run huko Pasadera wikiendi iliyoisha. Ikiwa Jay Z na Beyonce wakiwa katika show mbili za mwisho nchini Marekani wiki hii. Watu 11 wameripotiwa kukamatwa huko Pasadena. Jumamosi Agosti 2 kati ya wale waliokizuizini, mtu mmoja alikamatwa… Read More →
Albamu Review Pharrell Williams “GIRL”
Albamu ya Girl ni albamu ya pili ya mwanamuziki na mtayarishaji wa mapigo ya muziki Pharrel Williams, Albamu hiyo ilitoka Machi 3, 2014 kupitia lebo yake I Am Other na Columbia Records. GIRL imefuatia albamu yake ya mwanzo ya miaka 8 iliyopita iliyotoka 2008 iliyoitwa In My Mind. Ilikuwa na… Read More →
Ndoto Za Taifa Stars Kucheza AFCON Zazimwa Msumbiji
HATIMAYE safari ya timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars kuwania tiketi ya kucheza fainali za mataifa ya Africa, AFCON 2015 nchini Morocco amefia mikononi mwa timu ya taifa ya Msumbiji ‘Black Mambas’. Taifa Stars ikiwa ugenini katika dimba la Taifa la Zimpeto nje kidogo ya jiji la Maputo imetandikwa… Read More →
Taasisi Ya Usher Raymond IV Yasherekea Miaka 15 Toka Kuanzishwa Na Mafanikio Iliyoyapata
Usher Raymond IV amesherekea miaka 15 toka kuanzishwa kwa taasisi yake The New Look Foundation huko Atlanta Georgia, Mkali kutoka Atlanta Ludacris ndiye aliyesimamia mpango mzima, sherehe iliyohudhuriwa na watu 450. Mastaa waalikwa alikuepo director Kenny Leon, mwanamasumbwi maarufu Sugar Ray Leonard, muimbaji Rico Love, Josh Kauffman, producer mkali Jermaine… Read More →
Wagombanao Ndio Wapatanao Kim K Na Paris Hilton Wamaliza Ugomvi Wao (Beef Squashed)
Kim Kardashian na Paris Hilton wamekuwa marafiki tena baada ya beef yao ya siku za nyuma, Kim K alipot picha wakiwa pamoja na Hilton kwenye ukurasa wake wa instagram akiwa ameandika “”Reminiscing about the 1st time we went to Ibiza in 2006! @parishilton it was so good to see you… Read More →
Show Ya Live Ya Kwanza Ya Chriss Brown Na Drake Kutofanyika
Chriss Brown na Drake walipanga kuachia ngoma yao mpya Jumatatu huko Toronto Canada lakini mpango huo umegonga ukuta kwa sababu Chriss Brown hawezi kuingia nchini huko TMZ imeripoti. TMZ waliambiwa Drake alimualika Chriss Brown ajiunge nae Jumatatu kwenye steji wakati wa Tamasha la OVO, TMZ wameambiwa kwamba Chriss alikubali na… Read More →
Flawless Remix Beyonce Atafsiri Kilichotokea Kwenye Lift
Kaa tayari kutafsiri, kwa sababu Beyonce anaweka wazi kilichoendelea kwenye lifti na tafsiri moja inaenda moja kwa moja kwenye ndoa yake. Beyonce ametoa remix ya wimbo wa “Flawless” Jumamosi usiku wimbo ambao yuko na Nick Minaj na mapema kwenye wimbo anasema “We escalate up in this b….h lake elevators….of course… Read More →
Ndoa 15 Za Mastaa Zilizodumu Zaidi
Mara kwa mara tumesikia ndoa za mastaa ambazo zimedumu kwa muda mfupi lakini itakuwa vizuri tukitaja ndoa za mastaa ambazo zimedumu kwa muda mrefu, unaweza ukasema ni za watu wa zamani yote kwa yote tunahitaji kuona ndoa ambazo ni mfano na watu hao kweli wamezitendea haki ndoa zao. Mastaa hawa… Read More →
Wiz Kid Ashambuliwa na Mashabiki Wake Kwa Kutumia Wasichana Weupe Tu Katika Video Yake Mpya
Msanii mwenye mafanikio sana nchini Nigeri na anayetajwa kuwa na Bif na msanii mwenzake Davido ameshambuliwa na mashabiki zake kwa kuwatumia wasichana wenye rangi nyeupe tu katika video yake huku wakimlaumu na kutaka kujua ipo wapi asili ya Afrika ka wanawake weusi wakubwa wenye makalio makubwaaa? Wizkid alishambuliwa baada ya… Read More →
Brooklyn, Mtoto Wa Mwanasoka David Beckham Mwenye Umri Wa Miaka 13 Tu Azama Kwenye Penzi La Suger Mama
Brooklyn Na Mpenzi Wake Chloe Moretz Imeripotiwa kuwa mtoto wa kwanza wa mwanasoka David Beckham’s, Brooklyn Beckham mwenye umri wa mika 13 tu amezama katika penzi la mwanamke mwenye umri mkubwa zaidi yake Kama ulikuwa unadhani ya kuwa kijana huyo mdogo atadondokea katika penzi la msichana tu wakawaida kutoka underground… Read More →
New Video: Dayna-I Do
Hatimae Yule Mwanamke Aliyenusurika Kifo Kwa Kuasi Dini, Meriam Ibrahim Awasili Marekani
Mwanamke wa Sudan aliyetoroka kutoka nchini humo baada ya kunusurika hukumu ya kifo kwa kosa la ‘kuasi dini ya kiislamu’,Meriam Yahia Ibrahim Ishag, amewasili Marekani. Alihukumiwa kunyongwa mapema mwaka huu lakini baadaye akaachiliwa huru mwezi Juni baada ya ulimwengu mzima kukemea uamuzi huo uliotolewa na mahakama moja nchini humo. Taarifa… Read More →
Ndio Kusema Uganda Ushoga Ruksaaa Ni Baada Mahakama Ya Katiba Kufuta sheria Dhidi ya ushoga
Mahakama ya kikatiba nchini Uganda imefutilia mbali sheria dhidi ya wapenzi wa jinsia moja ambayo ilisababisha mataifa ya magharibi kuinyima msaada. Kadhalika sheria hiyo ilizua gumzo sana sio tu Uganda bali kote duniani ambapo mataifa ya Magharibi yalilazimika kuingilia kati. Mahakama ilisema kuwa mswada huo kabla ya kuidhinishwa kuwa sheria… Read More →
Hotuba Ya Mhe.Dkt.Jakaya Marisho Kikwete, Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Kwa Wananchi,31 July 2014
Taarifa Ya Jeshi La Polisi Na Majina Ya Watuhumiwa Wanaopandishwa Kizimbani
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI JESHI LA POLISI TANZANIA Ndugu Wanahabari, Mtakumbuka Kuwa Wiki Moja Iliyopita Jeshi La Polisi Lilitoa Taarifa Kwa Umma Juu Ya Watuhumiwa Sita Waliokamatwa Na Kufikishwa Mahakamani Kuhusiana Na Tukio La Mlipuko Wa Bomu Uliotokea Tarehe 07/07/2014 Katika Mgahawa… Read More →
Mchezaji Wazamani wa NFL, Afanya Kufuru Kwa Kutoa Ipad 4s Kama Kadi Za Mualiko Kwenye Harusi Yake
Du hizi ni kadi za mualiko za aina zake, kila mmoja anatamani kufanya tukio la peke yake kabisa katika siku yake kubwa na hivi ndivyo ilivyotokea kwa Mchezaji Wa Zamani wa team ya Mpira Wa soka Wa Marekani NFL Keyshawn Johnson, Ni baada ya kutoka Ipad 4s kama kadi ya… Read More →
Filamu Fupi Ya “Good kid m.A.A.d kid city” ya K.Dot Kutoka Agosti 9
Kendrick Lamar na Kahlil Joseph wameungana kwa ajili ya kufanya filamu fupi ya “m.A.A.d” ikiwa inazungumzia sana sana albamu ya kwanza ya K.Dot ya “good kid m.A.A.d city”. Filamu hiyo imepangwa kuwa ya dakika 14 na itafanywa kwenye tamasha linalokuja la Sundance taarifa za Fader zilieleza.Joseph ameshinda tuzo ya Sundance… Read More →
Cristiano Ronaldo Na Lil Wayne Uso Kwa Uso On “Weezy Wednesdays”
Ronaldo na Wayne walikutana na kurekodiwa ikiwa ni episode ya 22 ya “Weezy Wednesdays” wakiwa pamoja. Cristiano Ronaldo na Lil Wayne walikutana ndani ya Montage Hotel huko Beverly Hills California wiki hii TMZ walieleza. Wakali hao walikutana kwa muda wa saa zima,wakiwemo na wachezaji wengine wa Real Madrid Sergio Ramos… Read More →
Wakati Swizz Beatz Na Alicia Keys Wakitarajia Mtoto Wa Pili!! Kwa Future Na Ciara Kizungumkuti!!
Alicia Keys mkali wa ngoma kibao na mume wake ambae ni mtayarishaji wa mapigo ya muziki na repa wametanganza kwamba wantegemea mtoto wao wa pili, Hii story walitangaza kupitia instagram account ya Alicia Keys ikiwa na maneno yafuatayo: “Happy Anniversary to the love of my life @therealswizzz !! And to… Read More →
Tiny Asema Tumaini Lipo La Kumaliza Tofauti Zao Na Mayweather
Tiny aliulizwa kama akaipata nafasi ya kumaliza tofauti yake na Mayweather, Tiny alisema ndio kuna tumaini tarifa ya TMZ zimeeleza Tiny na T.I na Mayweather walihusishwa katika ugomvi unaoendelea ambao ulihusisha na Mayweather, baada ya Tiny kumtukana Floyd katika red carpet ya BET mwaka huu na baadae Mayweather akiongea na… Read More →
“Monster Tour” Ya Eminem Na Rihanna
Love the way you lie, nilitaka kufanya nae kazi tena na tulifanya “Love the way you lie part2, alafu nilitaka kufanya nae kazi , napenda kufanya kazi na Eminem, ni moja ya marepa ninaowapenda na mashairi yake, ni mwandishi wa kweli na nasikia raha kuhusu yeye, kwa wimbo huu, nilitaka… Read More →
Ndoa Ya Jay Z Na Beyonce Ni “Kipi Sijasikia Part 2” Sasa Hivi Eti Beyonce Atafuta Nyumba Bila Kumshirikisha Mume Wake
Kipi ni stories hapa kwa sababu hakuna mwanamke aliyeolewa anaweza kwenda kutafuta kitu bila maelekezo ya mpenzi wake, nani hapa anahusika ni Jay Z. Dunia imepasuka kwa uvumi kwamba Beyonce ameonekana akiangalia nyumba ya thamani ya dola 21.5, yenye eneo la mraba 4,054. Embu fahamu hili, nyumba hiyo iko… Read More →
Mtoto Wa Miaka 8 Auawa Kwa Kupigwa Risasi Akiwa Kitandani
Mtoto mwenye miaka 8 ameuawa kwa kupigwa risasi baada ya kupita dirishani ikitokea nje na kumpata kifuani akiwa amelala. Askari wa Detroit wanasema risasi hiyo iliyomuua Jakari Pearson, inaweza ikawa ni matokeo ya ugomvi wa nyumbani uliotokea majira ya saa 1:15 usiku Jumatano ambapo mtu asiyejulikana alitembea nyumba na kuanza… Read More →
Ludacris Kushinda Tuzo Ya BMI Ya Rais
Ludacriss amepangwa kupewa heshima kwa ajili ya kazi inayofanyawa na Ludacriss Foundation, Ludacris atapewa tuzo hiyo ya rais kutoka kwa BMI. “Tuzo ya BMI ya rais ni zawadi kubwa kwa watu ambao wamefanya vitu na kufanikiwa katika jamii pia kwa kuandika nyimbo zikiwa na mafundisho juu ya tamaduni ya mahali… Read More →
“My Beautiful Dark Twisted Fantasy” Ya Kanye West Albamu Namba 1 Ya Karne Ya 21
GQ pia wamewataja Outkast, Jay Z. J Dilla na Ghostface Killah kwenye list hiyo ambayo yuko Kanye West akishika namba 1 na “My Beautiful Dark Twisted Fantasy”. Kanye West ndo mwenye albamu bora ya karne ya 21 walitangaza GQ na alabmu yake ya 2010 ya My Beautiful Dark Twisted Fantasy,… Read More →
Iggy Azalea Kutokea Kwenye “Fast & The Furious 7”
Muigizaji maarufu wa filamu nyingi kali kma xXx, Pitch Black, Strays na ikiwemo yenyewe ya “fast & the furious” Vin Diesle amethibitisha kwamba mwanadada anayesumbua kwenye gemu la Hip Hop kutoka Austaralia mkali wa ngoma ya “Fancy” Iggy Azalea ataonekana kwenye filamu ya “Fast & Furious 7” filamu ambayo inasuburiwa… Read More →
Salmamsangi.com Inawatakia Eid El-Fitr Njema Yenye Amani Na Utulivu Mkubwa
Waislamu wote duniani leo wanaungana kwa pamoja kusherehekea siku kuu ya Eid baada ya kumalizika kwa mwezi mtukufu wa Ramadan ikiwa ni moja ya nguzo 5 muhimu katika Uislamu, takribani mwezi mzima umekuwa ni mwezi wa kumrejea muumba wetu na kuacha madhambi yote yasiyopendeza mbele zake Allah!! Na tuyaendeleze yale… Read More →
Davido Na Wizkid Wanabeef Kiukweli Au Stunt Tu!!
Ilianza kama hutani, lakini sasa imeonekana kama Davido na Wizkid kuna ugomvi mkubwa unaendelea kati yao na ugomvi usiojulikana chanzo chake, nadhani mashabiki wao ndio waliosababisha ugomvi huo na mwisho wake na hivyo limekuwa beef kubwa. Davido tayari ameshakuwa na mwaka wenye mafanikio , Wizkid hajawa na mafanikio sana lakini… Read More →
Kutunguliwa Kwa MH17 Huenda Ni Uhalifu Wa Kivita – UN
Afisa wa umoja wa mataifa anayesimamia haki za kibinaadamu Navi Pilay amesema kuwa kutunguliwa kwa ndege ya kampuni ya Malaysia Airline MH17 mashariki mwa Ukraine huenda ukawa uhalifu wa kivita. Ukraine pamoja na mataifa ya Magharibi wanaamini kuwa wapiganaji wanaoungwa mkono na Urusi waliiangusha ndege hiyo kwa kutumia makombora yanayotoka… Read More →
Papa Francis Aomba Amani
Papa Francis ameomba amani kwa dhati katika hotuba ya kila juma katika medani ya St Peter’s mjini Rome. Aliacha kusoma hotuba aliyoandika kuomba vita vimalizwe na hisia ikisikika kwenye sauti: “makaka na madada, hapana vita, hapana vita, nawafikiria hasa watoto ambao wananyimwa matumaini ya maisha ya maana, ya siku za… Read More →
Kama Ulikuwa Hujui Hii Ndo Sababu Ya Jay Z Na Beyonce Kutohudhuria Harusi Ya Kanye West Na Kim Kardashian
Mwanzoni watu walijiuliza inawezekanaje Jay Z na Beyonce marafiki wakubwa wa Kanye West kukosa harusi yake, sababu kubwa ya Jay Z na Beyonce kutohudhuria kwenye harusi ile rasmi ilianzia kwenye mapigano kwenye lifti, Ingawa Newyork post wanasema hii ndio sababu ya kweli:- “Waliepuka harusi ya Kanye West na Kim Kardashian… Read More →
Somali Nchi Mbaya Zaidi Kwa Kinamama – Save The Children
Shirika la Save the Children limeitaja Somalia kuwa nchi mbaya zaidi duniani kwa akina mama, na limetoa wito wa kuchukuliwa hatua zaidi kuwalinda kina mama na watoto katika maeneo yanayokabiliwa na migogoro. Shirika la Save the Children lenye makao yake jijini London Uingereza, linakadiria kuwa wanawake 800 na watoto wadogo… Read More →
Kundi La Wanamgambo Wa Kiislamu La Jihadi Limesema Mmoja Wa Makamanda Wake Ameuwawa Kusini Mwa Gaza
Kundi la wanamgambo wa Kiislamu la Jihadi limesema mmojawapo wa makamanda wake ameuwawa na shambulio la kifaru karibu na mji ulio kusini mwa Gaza wa Khan Younis. Hamas imekubali usitishaji wa mapigano wa saa 24 kwa misingi ya kibinaadamu muda mfupi baada ya Israel kutangaza kuanzisha tena mashambulizi yake katika… Read More →
Iggy Azalea, Nicki Minaj, Drake Ni Kati Ya Wasanii Wanaoshika Chart Ya Hip Hop Singles Wiki Ya 20 Julai 2014
Hizi ni nyimbo za Hip Hop ambazo zimeongoza katika chart Wiki ya kuanzia 20 Julai 14, akiwemo Drake, Eminem, Wiz Khalifa na wengine. Iggy Azalea na ngoma yake ya “Fancy” imeshika namba 1 kwa wiki 28. Drake na single yake ya Catch Up yuko namba 6 na kuuza copies 40,000… Read More →
Mtu Aliyemtishia Rihanna Kwa Kumuandikia Barua Atiwa Mbaroni
Mtu mwenye umri wa miaka 53 anayeitwa Mcglynn amemtishia Rihanna kwa kumtumia barua sehemu anayoishi.Mtu huyo kutoka New York alikamatwa Alhamisi 24 kwa kumsumbua mwanadada huyo, Kevin anahistoria hiyo na ameshawahi kukamatwa mara 12 taarifa za NY Daily News zilieleza. Barua zilitumwa kwa Rihanna kupitia sanduku lake la posta huko… Read More →
Wiz Khalifa Aita Sababu Za Tyga Kutokwepo Kwenye “Under The Influence Of Music Tour” Ni Ya Kijinga
Amber Rose hubby baba Seba anaseema Tyga mwenyewe hakumwambia kwamba hatakuwepo katika tour yake ya Under the influence of music, asema ilimuudhi sana lakini wapo poa hawana ugomvi. Kama unakumbuka kama wiki mbili tuliongea kwamba Tyga alijitoa kwenye tour lakini hatukujua sababu tukasema Wiz akitoa sababu tutakwambia, sasa sababu Wiz… Read More →
Nigeria Na Ghana Wakimbiza AFRIMMA, Tanzania Yanyakua Tuzo 2
Tuzo za AFRIMMA zilifanyika jana nchini Marekani huko Texas pale Eisemann center, this time around wasanii waliotuwakilisha Tanzania akiwemo Diamond na Lady Jay Dee wote hawakutoka kapa. Muigizaji Juliet Ibrahim na mchekeshaji kutoka Nigeria Basketmouth ndo walisimamia mpango mzima usiku ule…she looked incredible!!! Angali list nzima ya washindi chini pamoja… Read More →
Mariam Ibrahim Mwanamke Aliyewahi Kuhukumiwa Kifo Nchini Sudani, Apokelewa Italy Na Waziri Mkuu Wa Nchi Hiyo
Mariam Yahya Ibrahim Mwanamke wa kisudani aliyewahi kuhukumiwa kifo huko sudani kuwa kuasi dini yake baada ya kuolewa na mwanaume Mkiristo ametua katika uwanja wa ndege huko Italy jana 24july akiwa na watoto wake wawili pamoja na Naibu Waziri wa mambo ya nje wa Italy wa Italy Lapo Pisteli Akiongea… Read More →
Tazama Joka Aina Ya Chatu Lilivyommeza Swala Akamkwama Hatimae Kumtema
Tazama jinsi joka aina ya chatu lilivyommeza swala na kumtema inaonekana swala alikua mkubwa zaidi ya chatu huyo japo tayari alishammeza kwa asilimia 80% Tukio hilo limetokea Billa,Gujarat, India,na hapo ilikua baada ya wananchi kutaka kumuua Nyoka Huyo lakini Bwana misitu akawasihi wasimuue kwakua hana madhara yeyote baadae ndipo walipo mshuhudia… Read More →
Ndege Ya Algeria Iliyopoteza Mawasiliano Iliangukia Mali
Taarifa za CNN Ndege hiyo ya shirika la Algeria, vyombo vya usalama vimethibitisha kwamba ndege hiyo iliyokuwa na wati 116 iliyokuwa ikitokea Burkina Faso ilianguka kaskazini mwa Mali. Shirika hilo limesema iliangukia katika eneo la Tilemsi karibu kilmita 70 kutoka kusini mwa Gao. Uwanja wa ndege wa Ouagadougou umetoa maelezo… Read More →
“Tusingekuwa Na Muziki Wa Rap Bila James Brown” Afunguka Ice Cube
Ice Cube repa ambae alifanya vizuri sana katika siku za nyuma na kujizolea heshima kubwa na umaarufu mkubwa kwa ngoma zake kali kama “Bow Down” na nyingine amejitokeza na kusema bila mkali James Brown kusingekuwepo muziki wa rap. Ngoma nyingi za Ice Cube zilikuwa na sample na marehemu muimbaji wa… Read More →
Drake Asema Yeye Na J.Cole Ndo Wafalme Wa Rap Kwa Sasa
Mkali wa ngoma wa Started from the bottom Drake repa kutoka Toronto Canada amejiita yeye na J.Cole ndo wafalme wawili tu katika gemu la rap dunainia, na Kendrick akaungana na Cole kwa ajili ya show yake ya “Dolla & A Dream” huko Los Angeles Marekani. Ilikuwa Julai 23 wakati J.Cole… Read More →
Nas asema Sio Sawa Kwake Kulinganishwa Na Kendrick Lamar Pia Kulingana Na Wakati
Nas anaeleza kufananishwa kwa “good kid m.A.A.d na “Illmatic” asema sio sawa kwa Kendrick Lamar, kwa kuongeza alitoa maoni yake kuhusu repa huyo kutoka Compton Kendrick Lamar wakati akipiga stories na Complex pia alizungumza katika matoleo tofauti ya story iliyotolewa na Complex. Repa huyo kutoka Queens bridge aliulizwa kuhusu albamu… Read More →
Happy Birthday Salma Msangi A.k.a “Kimora Lee”
Iweje Raha kama hii siku yangu ya kuzaliwa kuiadhimisha mwezi mtukufu kama huu wa “Ramadhan” Nasema asante Allah!! kwa kunijalia maisha mema mimi, familia yangu, ndugu zangu, rafiki zangu na watu wote. Nasikia furaha sana kwangu leo Alhamisi 24 Julai……Ramadhan Kareem!! Comments
Air Algeria Yapoteza Mawasiliano Ikiwa Na Wato 110
Ndege ya Algeria imesemekana imepoteza mawasiliano leo Alhamisi karibu saa moja tu baada ya kuruka kutoka Bukina Faso kuelekea Algeria. Chanzo kutoka katika kampuni ya ndege hiyo kiliiambia AFP kwamba ndege hiyo iliyopotea ilikuwa na watu 110 wa kutoka mataifa tofauti tofauti wakiwemo wafanyakazi 6. Chanzo hicho kiliendelea kueleza kwamba… Read More →
Rais Jonathan Wa Nigeria Akutana Na Wazazi Wa Watoto Waliotekwa Nyara Na Boko Haram
Rais wa Naigeria Goodluck Jonathan amekutana kwa mara ya kwanza na wazazi wa wasichana zaidi ya 200 waliotekwa nyara na kundi la wanamgambo wa Boko Haram, na wasichana waliofanikiwa kukwepa kutekwa na wanamgambo hao. Akizungumza na waandishi habari baada ya mkutano na wazazi wa wasichana takriban 219 waliotekwa nyara Aprili… Read More →
Busta Rhymes Atoka Cash Maney, Novemba Kuachia Albamu Ya Extiction Level Event 2
Mkali wa ngoma ya “calm down” feat Eminem ikiwa ndo ngoma yake mpya iliyotoka mwishoni mwa mwezi uliopita, Busta Rhymes kutoka kwakE Aftermath na baadae kwenda Cash Money haikutokea kwa sababu kulikuwa na ugomvi. Ngoma ya calm down itapatikana kwenye albamu ya Busta inayokuja inayoitwa Extiction Level Event 2, amesema… Read More →
Snoopy Doggy Akubali Alivuta “Cha Arusha” Akiwa White House
Katika watu wanaovuta ukiweka top 20 ya best smokers in the world, Snoop Doggy hawezi kukosekana akifuatiwa na cousin yake Wiz Khalifa. Snoop Doogy kwa sasa anajiita Snoop Lion alifunguka khuhusu siku aliyovuta akiwa White House alifunguka hayo wakati Jimmy Kimmel. Aliulizwa umeshawahi kuvuta ndani ya White House. “Bafuni, sio… Read More →
Hutokea Mara Chache Kwa Mastaa Kusachiwa Uwanja Wa Ndege Kama Alivyosachiwa Bad Gal Riri “Rihanna”
Mara chache sana au huwa haitokei kabisa kwa mastaa, wanasiasa na watu wengine maarufu wanaposhuka katika viwanja vya ndege kuanza kusachiwa, mara nyingi hupatiwa VIP treatment au hutumia ndege zao binafsi Kibongo bongo pale uwanja wa ndege wa JK Nyerere kuna terminal A na B terminal B huwa wanapita watu… Read More →
Baada Ya Pete Ya Uchumba Na Mtoto,Mapenzi Ya Ciara Na Future Kizunguzungu
Ngoma imekua nzito kwa mapenzi ya rapper Future na Mpenzi Wake Ciara Hii na baada ya kuwa na tetesi kuwamba Future anamahusiano na moja kati ya wanawake aliozaa nao Hayo yamebainika baada tu ya Wachumba hao kupata mtoto wao wa kiume hivi karibuni, maskini Ciara alifikiri kuzaaa ndio kumkamata mwanaume… Read More →
Sabuni Kurudisha Bikra!! Ni Kweli?
Baadhi ya wanawake na wasichana huko nchini Kenya wanatumia sabuni inayodaiwa kurejesha usichana yaani ‘ubikra’,sabuni hizo zinadaiwa kukaza misuli ya sehemu za uke na hivyo kuimarisha raha wakati wa kushiriki tendo la ngono na mwanaume. Baadhi ya wasichana waliohijiwa mjini Nairobi wamekiri kutumia sababu hiyo na kusema kuwa imeweza kubana… Read More →
Juhudi Za Kupata Tiba Ya HIV Zaleta Matumaini
Juhudi ngumu za kutafuta tiba ya kirusi cha HIV zimeonekana kuimarika katika mkutano wa UKIMWI wakati wanasayansi wakisema kwamba wamekilazimisha kirusi hicho kutoka kwenye maficho yake baada ya kushambuliwa na madawa. Majaribio ya tiba hiyo yaliyofanywa kwa waathirika sita wenye virusi vya HIV waliojitolea ni hatua muhimu katika kile kinachojulikana… Read More →
T.I Avunja Uvumi Kama Huwa Anamuandikia Mashairi Iggy Azalea
Baada ya tuzo za BET alisikika Nick Minaj akiua mademu ambao ambao wanaandikiwa ngoma, akasema inatakiwa waandike wenyewe na vitu kama hivyo, kwani pia wanawake wanaweza kuandika na kutisha, akamsifu Miss Eliot, Lauryn Hill na wengine kwani wamekuwa wakiandika na wenyewe na ngoma kufanya fresh. Hili dongo ilionekana kama linakwenda… Read More →
Kanye West Azungumza Kuhusu Albamu Mpya Akiwa Na Jay z
Kama unakumbuka albamu ya Kanye West na Jay z ya “Watch The Throne” ilikuwa ni kati ya albamu bora ikiwa na ngoma kali kama “Nigaz in Paris” Watch The Throne” yenyewe na ngoma nyingine kali, kiukweli Kanye na Jay wanabongo moja la chemistry wakifanya ngoma inakuwa kali sana kwa sababu… Read More →
Asap Rock Ashtakiwa Kwa Kosa La Shambulizi
Repa anayetokea pande za Harlem ASAP ROCK amefunguliwa kesi kwa kumshambulia mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Lisamarie Wade, ambae anamshataki ASAP ROCK jina halisi Rakim Mayers memba wa ASAP MOB alimpiga kibao dada huyo kwenye tamasha la America Festival huko Philadelphia mwaka 2013. ASAP alisimama mbela ya dada huyo… Read More →
Memba Wa Zamani Wa Destiny Child Atiwa Mbaroni
Kipindi chao kama unakumbuka Destiny Child ilikuwa ikibadilika badilika sana mara kaingi huyu mara katoka huyu, katika hao kulikuwa kuna mwanadada mmoja anayeitwa Farrah Franklin ambae nae alikuwa pamoja na Beyonce Knowles, Kelly Rowland, Michelle Williams pamoja na mwenyewe Farrah ambae amekamatwa. Farrah alidumu ndani ya kundi la Destiny Child… Read More →
Steve Gerrard Atundika Daluga Kuichezea Timu Ya Taifa
Nahodha wa England na club ya Liverpool Steven Gerrard hatimaye ametundika daruga kuichezea timu ya taifa lake la Uingereza akiwa na miaka 34. Gerrard amejiimarisha kwenye kikosi cha Uingereza tangu mwaka 2000 walipoipiga Ukraine kwa mabao mawili kwa nunge. Kiungo huyo wa Liverpool amesema aliufurahia muda wote alipoichezea timu ya… Read More →
Ukraine Yaitaka Uholanzi Kuongoza Uchunguzi Wa Kubaini Aliyeilipua Ndege Ya Shirika Malaysia MH17
Waziri Mkuu wa Ukraine Arseniy Yatsenyuk amesema Uholanzi inapaswa kuongoza uchunguzi wa kubaini aliyeilipua ndege ya shirika la ndege la Malaysia MH17, amesema Kiev iko tayari kusafirisha miili yote nchini Uholanzi. Waziri Mkuu Yatsenyuk wa Ukraine amesema Uholanzi, nchi ilioathirika pakubwa kwa kuwapoteaza raia wake wengi katika ajali ya MH17… Read More →
Tukio La Kutisha Jijini Dar Es Salaam – Picha Zinatisha Kama Huwezi Kuangalia Usibonyeze “Read More’
JESHI la Polisi Wilaya ya Kinondoni jijini Dar limekamata viungo mbalimbali vya binadamu vilivyowekwa kwenye mifuko ya plastiki na kuhifadhiwa katika machimbo ya kokoto ya Bunju nje kidogo ya jiji la Dar es salaam. Taarifa za tukio hilo zimethibitishwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Camilius Wambura. Uchunguzi… Read More →
Hii Ndo Siri Ya Ndoa Ya Jada Pinkett Na Will Smith Kudumu Kwa Miaka 18
“Inatakiwa Uwe Mwanajeshi Kwenye Mapenzi” Jada Pinket Atoa Siri Iliyosababisha Kuwa Na Ndoa Kwa Miaka 18 Yenye Mafanikio Na Will Smith Jada Pinkett n Will Smith wameoana miaka 18 iliyopita ilikuwa Desemba 31 1997, Jada alipoulizwa siri ya kudumu na kuwa na mafanikio katika ndoa yao ingawa kulikuwa na uvumi… Read More →
“Kuwa Katika List Ya Forbes Ilikuwa Kitu Kibaya Kutokea Kwangu” Yung Joc
Mwaka 2006 repa Yung Joc ambae alikuwa na ngoma iliyofanya fresh ya “Tt,s going down” ilikuwa namba 20 katika list ya Forbes. Katika mahojiano aliyofanya jana amesema hicho kilikuwa kitu cha hatari sana kwake, lakini sababu yake aliyotoa inafurahisha kidogo. “Ile ilikuwa kitu kikubwa na kibaya ambacho kimewahi kunitokea… Read More →
Wapalestina Zaidi Ya 500 Wauawa
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetoa mwito wa kuyasimamisha mapigano mara moja wakati ambapo majeshi ya Israel yanaendelea na mashambulio katika Ukanda wa Gaza. Kwa mujibu wa taarifa mpaka sasa Wapalestina zaidi ya 500 wameshauawa. Askari 18 wa Israel pia wameuawa katika vita vinavyoendelea ndani ya Ukanda wa… Read More →
“Jay Z Na B.I.G Wataendelea Kuwa Wafalme Wa New York” – Kendrick Lamar
Mkali anayetokea Compton The baddest rapper Kendrick Lamar amewapa mashavu Jay Z, Nas,Dr. Dre kwa kuwa imara na bado kuendelea kuupenda muziki. Kendrick alisababisha maneno kibao baada ya kujitangaza kama Mfalme wa New York kwenye lines zake za wimbo wa “control” wa Big Sean karibu mwaka mmoja uliopita.. Kendrick aliongelea… Read More →
Dmx Afunguka Kuhusu Kula Chakula Cha Mbwa
Mtu yeyote huwa mazingira yanakushape, vitu vilivyokuzunguka unavyoishi navyo na wewe huweza kuchukua tabia za mazingira hayo ukaona fresh hakuna hatari wala usijali kwa sababu ndo maisha yako ya kila siku. DMX akiwa uwanja wa ndege alipiga stories na TMZ akaulizwa vipi ameshawahi kula chakula cha mbwa akajibu ndiyo. Wakati… Read More →
Twitter Account Ya Jeshi La Polisi Nchini Kenya Yaingiliwa
Twitter account ya jeshi la polisi nchini Kenya na ya msemaji wa polisi zimeingiliwa ikiaminika ni wanaharakati wale wanaopinga mambo mabaya yanayoendelea nchini humo. “Wote ambao mmeiba pea za Wakenya, tunawafuatilia” haya ndio maandsihi yaliyoandikwa kwenye account hiyo ya jeshi la polisi Kenya. Watu hao walioingilia mtandao huo wasiojulikana (Anonymous)… Read More →
Haya Ndio Makosa Yanayoharibia Watu Wengi maisha Katika kipindi Cha Umri Wa Miaka 20
Maisha ya kesho huanza leo, Hutengenezwa leo huandaliwa leo kwa hivyo leo ndio siku ya kuwa makini ili uishi vyema kesho Mbaya zaidi katika ule umri wa kuandaa maisha ya kesho ndio umri wa kujisahau na kuwa na ndoto za ajabu za kutathminika bila kufuta ndoto za ukweli na kuzifanyia… Read More →
Christina Millan Afunguka Kuhusu Mahusiano Yake Na Lil Wayne
Baada ya kuonekana mara nyingi sehemu mbalimbali ikiwemo usiku wa BET watu wengi wakawa wanajiuliza kuhusu Lil Wayne na Christina Millan, Je ni wapenzi? mambo yamekuwa wazi kwa sasa. Christina Millan anasema hatimaye yuko na lebo yake, akaongeza yeye na Lil Wayne wanamahusiano, Wanafanya muziki pamoja, alionekana akisema hayo katika… Read More →
Meek Mill Ataendelea Kubaki Mpaka Septemba
Mwanasheria wa Meek Mill anasema kwamba maombi mawili ya dharura ya kusikilizwa kesi ya Meek Mill yamekataliwa, kwa hiyo imeonekana kwamba repa huyo kutoka Philladelphia atabaki jela mpaka Septemba. Taarifa kupitia Philly.com ziliripoti kwamba maombi ya dharura ya mwanasheria wa Meek Mill Christopher Warren ya kusikilzwa tena kwa kesi hiyo… Read More →
T.I Na Tiny Wamjibu Flloyd Mayweather
T.I A.K.A the King of South na mke wake Tiny wamemjibu Flloyd kutokana na comment yake aliyoitoa wiki iliyopita kwamba alitembea na mke wa T.I. Flloyd alisema beef yao imekuja kwa sababu alitembea na mke wake. Tiny aliiambia TMZ kwamba hajawahi kutembea na Mayweather na anadhani anafanya hivyo ili kumlipizia… Read More →
Umewahi Kumuona Prince George Wa Uingereza? Hapa Anatimiza Mwaka Sasa
Prince George anaonyesha kwamba sasa anataka kutembea katika hiyo picha anayonekana hapo, picha hiyo ilipigwa mwezi Julai 2 na imetolewa na wazazi wake Prince William na Kate Julai 19 2014 ikiwa ni siku yake ya kuzaliwa akiwa anatimiza mwaka mmoja siku ya Jumanne. Prince Geroge akiwa amevalia dungaree fupi… Read More →
Flloyd Mayweather Asema Ali… Na Mke Wa T.I, Baadae Akakana Kupitia Instagram, Tumueleweje Sasa?
Hii ni noma kweli!! T.I na Flloyd Mayweather waliingia katika ugomvi wa mtaani baada ya T.I kuchukia kwamba mke wake alikuwa akitoka na Mayweather, Mayweathr alimuudhi zaidi T.I baada ya kumwambia “Mfunge malaya wako” Baadae Mayweather akakana kwamba ameshatembea na mke wa T.I Tiny lakini wakati wa tuzo za… Read More →
“Selfie” Ya Mwisho Kabla Ndege Ya MH17 Haijaruka
Mama na mtoto wa wake mwenye umri wa miaka 15 wakiwa katika pozi katika ndege ya Malaysia kabla ya kuruka, Walikuwa wakielekea Kuala Lumpur, Mtoto huyo anayeitw Gary Slok alipiga picha na mama yake anayeitwa Petra baada ya kuwa wameshakaa vizuri katika viti vyao wakati MH17 ilipokuwa ikijiandaa kuruka. Kama… Read More →
Ushauri Kutoka Kwa Carlos Slim Helu Tajiri Wa Kwanza Duniani”Tufanye Kazi Mara 3 Tu Kwa Wiki”
Utaanzaje kufanya kufanya siku 3 kwa wiki kazi ya nani? Kama ni yako stress ndo hadi Jumapili unafanya kazi, unajituma zaidi ya kawaida, Imezoeleka kawaida mtu anafanya kazi Jumatatu hadi Ijumaa ambazi ni siku 5. Lakini Mtu tajiri duniani anayefahamika kama Carlos Slim Helu ambae ni Mmexico aliyefanikiwa sana… Read More →
Jermaine Jackson Atua Lagos Kufanya Kazi Na P.square
P.Sqaure ambao wanatengeneza albamu yao ya 6 imeonekana katika albamu hiyo wanashirikiana na mastaa wa kimataifa, Kaka yake Michael Jackson Jermaine Jackson yuko Nigeria na amekuwa na P.square na kuna ngoma anafanyia kazi “Inaonekana kama amefika leo” alisema Peter Okeye. “Alishasema hatimaye yuko hapa……albamu ya 6….Squareville kazi inaendlea…isubirini @jermjackson5… Read More →
Picha: Huyu Ni Kijana Anayetaka Kuwa Mtu Maarufu Duniani Kupitia Kufanya Hivi!
Kijana mmoja wa Kicanada mwanamitindo mwenye umri wa miaka 24 anaeitwa Vin Los amechora tatoos 24 kwenye uso wake na maneno yanayojulikana duniani na kwa lugha zao, taarifa kutoka kwake zinasema anataka kuwa mtu anayejulikana zaidi duniani, aliiambia Vice. “Nataka kuwa kitu cha kuangaliwa na watu, kitu ambacho kitakuwa… Read More →
Lupita Nyong’o Azidi Kuua Kwenye Magazine Covers
Lupita Nyong’o mwanadada amabe ameendelea kuishi ndoto yake baada kushinda tuzo kibao, sasa ameendelea kufanya vizuri na kufanya magazeti mengi makubwa duniani kuvutiwa nae na kumuweka kwenye kurasa za mbele za magazeti hayo na kuvuta mkwanja mrefu. Hapa ametokea kwenye gazeti la Ufaransa linaitwa Elle France likiwa ni tolea la… Read More →
Kanye West Aripotiwa Kumfungia Kim K Kifaa Kitakachomfanya Ajue Popote Alipo (GPS) Kwenye Simu Yake
Kim na Kanye West wameingia kwenye headlines wikiendi hii, taarifa kupitia Intouch Weekly hiki ndicho walichoambiwa na chanzo cha story hii “Kanye West amemuwekea kifaa (GPS) Kim K kwenye simu yake kwa hiyo Kanye West anajua popote alipo mpenzi wake, Anampigia simu na Kim anatakiwa amjulishe Kanye popote alipo” Kim… Read More →
“Can’t No Body Hold Me Down” Ilikuwa Ngoma Ya Kwanza Kusikika Sauti Ya P.Diddy
‘ Kama unakumbuka ngoma ya kwanza aliyofanya P.Diddy na sauti yake kusikika ilikuwa ni “Cant No Body Hold Me Down” akiwa na Mase na ngoma hiyo aliisample kutoka ngoma ya “Check your self” ya Ice Cube. Baada ya kuwa P.Diddy ameshatengeneza hitz kibao akaona naye atishe kwa kuweka sauti kwenye… Read More →
Wanakijiji Wilayani Makete Mkoani Njombe Nchini Tanzania Wataka Bangi Ialalishwe
Huku harakati za kutaka matumizi ya Bangi kuhalalishwa zikishika kasi katika sehemu mbali mbali duniani, Tanzania haijaachwa nyuma. Wanakijiji katika wilaya ya Makete , mkoa wa Njombe Kusini Magharibi mwa Tanzania wanataka serikali iweke sheria ambayo itaweza kuhalalisha matumizi ya mmea huo. Wanakijiji hao zamani walikuwa wakitumia mbegu za mmea… Read More →
Picha: Huyu Ndio Mwanaume Anayetajwa Kuwa Na Mvuto Zaidi Duniani Kwa Sasa
Wiki kadhaa zilizopita paliibuka mwanakaka Mmarekani aliyetajwa kuwa ndio handsome kuliko wote duniani kwa wakati huo Aliyefahaminika kwa jina la Felon Jeremy Meeks Baada ya kisa chake cha kuwa mwanamme muhalifu handsome aliyezua gumzo mtandaoni Kwasasa Felon hana deal tena baada ya kijana mwingine mwanamitindo mswidish kuibuka na kuanza kuzua… Read More →
Watu 298 Wamekufa Baada Ya Ndege Ya Malaysia MH17 Kulipiliwa
Watu 298 wamefariki katika ajali iliyotokea jana Alhamisi 17 wakati ndege ya Malaysia MH17 ilipolipuliwa kwa bomu na magaidi. Kati ya watu waliokufa, watoto ni 80 wakiwemo watoto watatu Wakiaustarlia ambao walikuwa wakisafiri na babu yao Nick Morris. Taarifa za gazeti moja la Austarlia zinasema familia hiyo ilikuwa katika mapumziko… Read More →
Unajua Kuwa T.I Ndiye Alimgundua Iggy Azalea Demu Anayemnyima Usingizi Nick Minaj
Mkali T.I King of South amesema yeye ndiye aliyemgundua demu ambae kwa sasa ni bad news kwenye gemu la Hip Hop duniani, Iggy Azalea ambae anatisha na ngoma yake yake ya ”Fancy” kutoka katika albamu yake ya “The New Classic” albamu iliyotoka mapema mwaka jana ikiwa imemtangaza vizuri na kupata… Read More →
Uingereza Yaporomoka Kisoka Duniani
Uingereza imeshuka hadi nafasi ya 20 katika viwango vipya vya FIFA, wameshuka kwa nafasi 10 kutokana na kiwango kibovu walichokionyesha katika kombe la dunia 2014 Brazil, wako nyuma ya Brazil Bosnia _Hercegovina, Costa Rica na Marekani. Scotland imebaki nafasi ya 27 lakini Wales imeshuka nafasi 3 hadi nafasi ya 44,… Read More →
Amber Rose Afunguka Kuhusu Ushoga Kukubalika Ndani Ya Hip Hop
Amber Rose hana uhakika kama mashoga watawahi kukubalika au hawatakubalika ndani ya Hip Hop, Alitoa maoni hayo wakati akipiga stories na Vlad TV , Amber Amesema kwani hao ambao wameingia katika Hip Hop waliingia kama wasaidizi na kwa ajili ya kuwapangia nguo wasanii kuhakikisha wanakuwa na muonekano mzuri wanapokuwa mbele… Read More →
Watayarishaji Wakali Wa Mapigo Ya Muziki Ya Hip Hop Kwa Miaka 10 Iliyopita Waliotunza Utamaduni Wa Hip Hop
Kibongo bongo ukianza kutaja maproducers ingawa wameibuka wengine kibao siku za karibuni, huwezi kuacha kumtaja P.Funk, Master J, Enrico, Marko Chali, Q The Don, Dunga, Mika Mwamba, Ludigo na list ndeeefu inaendelea. Green Label nchini Marekani imewamulika maproducers wakali kwa miaka 10 iliyopita ambao wameendelea kuilea hip hop bila kupoteza… Read More →
Video Ya “Bum Bum” Ya Diamond Mwanzo Hakupanga Kuiachia Tanzania
Number One songstress, Wema hubby to be Diamond Platinum amesema hakupanga kuachia video ya wimbo wa “Bum Bum” ambayo amemshirikisha Iyanya hapa Tanzania, lengo lake lilikuwa kuachia nje ya nchi kwa ajili ya kumtangaza huko zaidi kwa sababu maadhi yake yamekaa Kiafrika magharibi zaidi, kwa kifupi ungeanzia nje ndo urudi… Read More →
Usicho Kijua Ni Kama Usiku Wa Giza!! Lol!! Rihanna
Usicho kijua ni kama usiku wa giza, ni sawa Kibongo bonge uje alafu uende beach ambayo maji machafu ya Dar yanaelekezewa hapo, mfano labda kama pale ocean road linapoonekana bomba ambalo linaingiza maji machafu baharini alafu kuwe na beach karibu. Wakati Rihanna akiwa Brazili katika kombe la dunia, alienda katika… Read More →
Namba Yako Ni Ipi Hapa?
Duniani kila mtu anarangi yake,Wazungu wana rangi yao ni weupe, Waafrika , Wahindi wapo weusi na weupe lakini kwa Afrika rangi zipo za aina tofauti tofauti zimetofautiana kuna weupe sana, weupe kidogo, weusi sana, weusi kidogo check hapo alafua chagua namba yako kwa jinsi ukijiangalia!! Comments
Watoto Wawili Waokolewa Kutoka Kwenye Gari Walilokuwa Wamefungiwa Ndani Mama Yao
Watoto wawili wameokolewa na wapiti njia kutoka kwenye gari waliyokuwa wamefungiwa ndani huku kukiwa na joto kali huko Houston Jumatatu, watoto hao walikuwa kwenye viti vya nyuma katika jeep nyeusi ikiwa imeapakiwa kwenye duka la kufanya manunuzi mbalimbali taarifa kupitia Houston TV KHOU zilieza. Gabriel Del Valle ambae alishuhudia tukio… Read More →
Matokea Ya Kidato Cha Sita 2014 Yatangazwa
Matokeo ya mtihani wa kidato cha 6 yaliyofanyika tarehe Mei 5 – 21, yametoka. Jumla ya watahiniwa 38,905 sawa na asilimia 95.98 ya watahiniwa waliofanya mtihani kidato cha 6 wamefaulu. Wasichana waliofaulu ni 12,080 na wavulana waliofaulu ni 26,825 Watahiniwa waliopata division IV ni 4,420 sawa na asilimia 12.54 Watahiniwa… Read More →
Izzo B Alijulikana Kama Msanii Tu, Sasa Kutoka Na Bidhaa Zake
Msanii mkali katika gemu la Hip Hop Ongea Na Mshua Songstress, repa kutoka Mbeya Izzo Biznezz amesema anatoka na bidhaa zake baada ya kuwa msanii tu kitu ambacho ndo alijulikana nacho bila kuwa na bidhaa. Izzo Akiwa Na Watangazaji Wa DalaDala Beats Tee Jay Na Jj Kwa sasa Izzo Biznezz… Read More →
Memba Wa Outlawz E.D.I Mean Asema Usiri Utafanya Tupac Aendelee Kuishi Milele
Baada ya kuwepo kwa uvumi kwamba memba wa Outlawz walichukua majivu ya mwili wa Tupac na kuvuta, mkali huyo ameibuka na kuvunja uvumi huo na kusema hawakufanya hivyo na Tupac yuko hai. Mapema mwezi huu kulikuwa na uvumi kwamba Tupac anadanganya kuhusu kifo chake , uvumi huo uliibuka tena baada… Read More →
Rihanna Afuta Tweet Ya FREEPALESTINE Dakika 8 Baada Ya Kupost
Ukiwa kama mtu maarufu unakuwa unatazamwa kama wewe ni kioo cha jamii, kitu utakachokisema au kufanya watu wataiga au laah!! The bad gal Riri ameendelea kushika headlines mbalimmbali duniani baada ya kupost tweet iliyoandikwa FREE PALESTINE na baada ya dakika nane baadae tweet hiyo ikawa imefutwa, ingawa Rihanna amesema hakutaka… Read More →
Video: Watch Terrence J, Chaka Zulu, David Banner And Ravi Interview With Tee Jay
Picha: Terrence J Aongoza Semina Ya Wasanii Wa Tanzania Ukumbi Wa Mikutano Wa B.O.T
Ikiwa ni Ahadi Ya Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Mh, Dr Jakaya Mrisho Kikwete Kwa Wasanii Wa Tanzania Kuwaletea wataalam wa mambo ya burudani Duniani Ili kutoa somo kwa wasanii waweze kujua namna wenzao walivypfika mbali Hatimae baada Ya Kukutana na waandishi wa habari, kuzindua kitabu chake pamoja… Read More →
Desmond Tutu Aunga Mkono Sheria Ya Kujitoa Uhai, Akikiita Ni Kitendo Cha Heshima
Aliyekuwa Askofu mkuu wa kanisa la kianglikana nchini Afrika kusini Desmond Tutu ameingilia kati mjadala kuhusu kuwasaidia wanaotaka kujitoa uhai,akisema kuwa anaunga mkono haki ya wale wanaougua kupitia kiasi kuamua kujitoa uhai kwa heshima. Amesema kuwa alihuzunishwa na vile rafikiye Nelson Mandela alivyoteseka siku za mwisho za maisha yake na… Read More →
Mabinti Wenye Ndoto Za Kuolewa Na Mume Tajiri, Hizi Ndio Changamoto Unazotakiwa Kujiandaa Kukabiliana Nazo Pia
Mabinti walio wengi hutamani sana kupata wenzi wao wa maishay aani waume wenye uwezo mkubwa kifedha,yaani mume ambaye ana nyumba nzuri tayari,gari la kutembelea na mazagazaga mengine kibao yanayoonyehsha maisha ya kifahari na starehe. Lakini nyuma ya pazia kuna mambo wasiyoyajua yanayowapata wake wa matajiri ambao kwa nje wanaonekana wenye… Read More →
Wendy William, Mtangazaji Mzee Aliyejiachia Na Kivazi Cha Ufukwe Bila Wasi Wasi
Mtangazaji Wa kipindi Cha Television Cha Wendy Williams Show, Wendy Williams Anayetarajia kufikisha Miaka 50 July 18, Bila Kujali Mmri wa ubibi aliofikia lakini naye ameonyesha bado anapambana na uzee kwa kutuvalia na kutuonyesha sehemu kubwa ya mwili wake baada ya kujiachia akiwa na kivazi cha kuogolea katika beach ya… Read More →
Rihanna Akutana Na Mwanasoka Mkongwe Wa Brazili Pele Nchini Humo Alipo Kushuhudia Fainali Za Kombe La Dunia
Mwanamuziki wa Marekani Mwenye asili ya Kisiwa cha Barbados Mpenda Kukaa Uchi Rihanna Amekutana Na mwanasoka mkongwe Wa nchini Brazili Pele Huko Brazili baada ya kutua nchini humo ijumaa ya 11july mjini Rio De Jeneiro kwa ajili ya kushuhudia fainali za kombe la dunila linalotarajia kufanyika leo nchii humo Shakira… Read More →
Picha:Terrence J, Mtangazaji Na Mcheza Filamu Wa HollyWood Ziarani Tanzania, Ikiwa Ni Ahadi Ya Rais Kikwete Kwa Wasanii
Mtangazaji Wa kituo kikubwa Cha Burudani E ENTERTAINMENT Kule HollyWood Nchini Marekani, Na Mcheza Sinema Terrence J Ametembelea Tanzania Ikiwa Ni ahadi Ya Ris Kikwete Kwa Wasanii Wa Tanzania kupata mgeni wa aina hiyo mwenye uzoefu katika ulimwengu wa burudani ili kuwasaidia wasanii kuwapa mbinu mbali mbali zitakazo wawezesha kusonga… Read More →
Historia Imeendelea Kuitesa Uholanzi Katika Kombe La Dunia
Historia imeendelea kuinnyong’onyeza Uholanzi, historia inaonyesha mara nyingi timu ya Uholanzi imekuwa ikifanya vizuri katika mechi zake za fainali za kombe la dunia na kufika mbali lakini haina bahati ya kulinyakuwa kombe hilo. Mwaka 2010 nchini Afrika kusini Uholanzi alifanikiwa kufika fainali dhidi ya Hispania lakini ilifungwa na kushindwa kutwaa… Read More →
Nyimbo Nyingi Zinafanana Siku “Busta Rhymes
YMCMB Signee Busta Rhymes amesema siku hizi kuna kitu kimekosekana katika nyimbo kwani nyingi zinafanana. “Kila mmoja anataka muziki wake ufanane na mwingine tofauti na miaka ya 1990 ulikuwa ukisikia ngoma Fulani moja kwa moja unajua huyu ni nani lakini sasa hivi muziki unafanana sana.Hata ukiingia club siku hizi ngoma… Read More →
Mike Tyson Afunguka Juu Ya Urafiki Wake Na Marehemu Tupac
Kama unakumbuka siku ambayo Tupac alishutiwa alikuwa akitoka kuangalia pambano la ngumi Las Vegas likiwa ni pambano lililomhusisha rafiki yake mkubwa Mike Tyson. “Mike Tyson amefunguka kuhusu kitu kikubwa anchokumbuka kuhus Tupac katika urafiki wao, Alifunguka kupitia AMA Ask Me Anything na Reddit “Alikuwa mshikaji mmoja fresh sana, rafiki yangu… Read More →
Ilikuwa Siri Hatimaye Yajulikana Ni Nani Anatoka Na Miley Cyrus!!
Mkali wa ngoma ya Wrecking Ball mwanadada ambaye anafuata nyayo za Riri imesemekana anatoka kisirisiri na producer wake aliyemtengenezea albamu zake zilizofanya vizuri kwa miezi nane sasa, mshikaji anafahamika kama Mike Will Made It, vyanzo vya stories hii vimetokea kupitia Us Weekly. “Kila mtu aliyekaribu naye anajua wamekuwa pamoja kipindi… Read More →
Mama Aliyemuacha Mtoto Kituo Cha Treni Akamatwa
Mwanamke ambaye ameshutumiwa kumtekeleza mtoto wake katika eneo lililo na watu wengi huko New York katika njia ya chini ya treni, hakuwa fresh toka alipoona boyfriend wake akiuliwa kwa kupigwa risasi yeye akiwa amejificha pembeni, baba wa binti huyo aliiambia ABC News leo. Binti huyo anayeitwa Frankea Dabbs mwenye umri… Read More →
Mama Amsukuma Mtoto Wa Miezi 7 Toka Kwenye Treni
Polisi wa New York wanamtafuta mwanamke Wakimarekani mwenye asili ya Afrika ambaye alionekana akimsukuma mtoto wake kutoka kwenye treni. Taarifa kutoka Daily Mail zinasema, shuhuda mmoja aliona mwanamke mmoja Mmarekani mwenye asili ya Afrika akikadiriwa kuwa na miaka 20 hadi 30 akisukuma basikeli cha watoto (Stroller) kutoka kwenye treni huko… Read More →
Oscar Pistorious Hatimaye Asamehewa Na Mama Yake Reeva Steenkamp
Katika watu waliokuwa wakimpa wakati mgumu Oscar Pistorious ni mama yake mzazi wa mpenzi wake Reeva Steenkamp, katika kesi moja iliyoitwa siku za nyuma Oscar Pistorious alilia lakini mama yake Reeva hakumuonea huruma zaidi ya kumwambia muone kwanza hata aibu hana analia unafki. Lakini hatimaye mama huyo amesema amemsamehe Oscar… Read More →
Huu Ubunifu Mwanamke Akiwa Uchi Akiwa Amepakwa Rangi!! Unaipenda Au Inakuudhi?
Wale Avunja Ukimya Ajibu Tweets Za Meek Mill
Au ndo zile mafahari wawili hawakai zizi moja, huwezi dhania ugomvi wao wangeweza kuuleta kwenye public au ni Meek Mill anatafuta kick wakati Dreams worth more than money inatoka Septemba 9, Wale anasema anajijua sana na amekuwa akimsupport Meek Mill. Wale amejibu Tweet ya Meek Mill aliyopost jana JUlai 8,… Read More →
Lil Wayne Kuja Na Tour Inayoitwa Drake Vs Lil Wayne
Lil Wayne amethibitisha kwamba Drake atakuwepo kwenye baadhi ya nyimbo za albam ya Tha Carter V, Nick Minaj pia yuko kwenye list ya wasanii watakaosikika kwenye The Carter V. Lil Wayne ambae amepanga kuwepo na Drake kwenye Tour yake mwaka huu, amefunguka na kuweka wazi mashabiki wategemee nini.kutoka kwa wasanii… Read More →
Jay Z, Roc –A-Fella Records Washtakiwa Kwa Mara Ya Pili Na Chauncey Mahan
Producer na Engeneer Chauncey Mahan amesema ni mmiliki wa albamu sita zilizotoka Roc-A-Fella Records., Jay Z na Roc-A-Fella wao ndo walengwa wakubwa katika kesi hii ya pili iliyofunguliwa na Chauncey Mahan imeripotiwa na TMZ. Mahan amesema katika kesi hiyo mpya kwamba alikuwa producer tegemezi na kutengeneza album sita zilizoachiwa kutoka… Read More →
Ujerumani Na Brazil Ndio Mechi Iliyojadiliwa Zaidi Kwenye Mtandao Wa Tweter Kuwahi Kutokea
CIA Watweet Kuhusu Tupac Wasema Hawajui Alipo
Ukurasa rasmi wa CIA umetweet jana Jumatatu 7 kuhusu alipo Tupac na kusema Hawajui Tupac alipo. Tupac aliuliwa kwa kupigwa risasi mwaka 1996 na kesi yake mpaka leo bado haijulikani ni nani alihusika na mauaji hayo. Mwezi Mei mmiliki wa Death Row Records Suge Knight sehemu ambayo Tupac alirekodi alisema… Read More →
Kanye West Azomewa “Vyombo Vya Habari Vinajaribu Kufanya Nionekane Kichaa, Lakini Mimi Na Aibu Sana”
Kanye West amezomewa kwa mara ya pili ndani ya siku mbili wakati akiperform kwenye tamasha linaloitwa Wireless Festival, West alizomewa Ijumaa baada ya kuimba sehemu ya Drake ambaye alikuwa akiumwa na aliendelea zaidi ya dakika 20 akiwa kwenye jukwaa na aliwafanya mashabiki wapige kelele huku wakisema tunamtaka Drake lakini muda… Read More →
Karrueche!! Kweli Haya Ndo Mapenzi Niuwe
Karrueche mpenzi wa Chriss Brown wanaoachana na kurudiana, yeye ameonekana akifurahia tukio hili akiwa mwenye furaha usoni yani haina tatizo, baada ya Chriss Brown kupost picha yake kwenye ukurasa wake wa instagram akionyesha makalio ya mrembo huyo pia ikionekana tattoo ya zip. Hii ni mara ya pili ndani ya wiki… Read More →
Diamond Kusherehekea Siku Ya kuzaliwa Ya Mama Yake Mzazi Kwa Kuzindua Video Mbili Siku Ya 77
Diamond Plats Msanii Anayeng’ara zaidi kwa wakati huu katika muziki Wa Tanzania (bongo Flavour) ameandika kupitia Ukurasa Wake Wa InstaGram Kuwa Atasherehekea Siku ya kuzaliwa ya mama yake mzazi tarehe 7/7 kwa kuzindua Video mbili kwa mpigo Diamond Hakutaja Ni Video Gani Atazindua lakini amatumia fursa hiyo kuwasihi mashabiki wake… Read More →
Brazil Yafanikiwa Kuifunga Colombia Nakutinga Nusu Fainali
Brazil imeingia nusu fainali ya kombe la dunia linalofanyika nchini kwao toka Juni 12 hadi Julai 13 2014, Brazil wamefanikiwa kusonga mbele baada ya kuifunga Colombia 2 – 1 katika mchezo mkali uliohusisha timu zinazojuana zote kutoka Marekani ya kusini. Historia inaoyesha Colombia haijawahi kuifunga Brazil nyumbani na katika michezo… Read More →
Oliver Mtukuzi Leo Ijumaa Anapewa Heshima Ya Dokta Huko Zimbabwe
Msanii mkubwa Afrika Oliver Rudaviro Mtukudzi amepewa heshima ya Dokta kutoka kwa kutangaza sanaa ya Zimbabwe na utu wake kwa jamii ya Zimbabwe na kutangaza amani pamoja kupigania maenedlep utu nchini huko. Mtukuzi pia ameongoza vizuri sanaa kwa ujumla ya Zimbabwe bila kupoteza uhalisia wake. Jina lingine wanalomuita huko Zimbabwe… Read More →
Mtoto Wa Reggie X-Girlfriend Wa Kanye West Afanana Na North
Baada Kim Kardashian kwenda kwa Kanye West, na mpenzi wake wa zamani Reggie Bush alikwenda kwa Lilit Avagyan. Wote sasa hivi wamepata watoto wa kike na watu wamekuwa wakiwa na hofu kwa jinsi watoto hao walivyofanana, sana sana North wa Kanye na mtoto w Reggie Briseis. Ukiwaangalia watoto wao wamefanana… Read More →
Miaka 15 Ya Ndoa Ya Victoria Na David Beckham
Alikuwa kundi la Spice Girl, Alikuwa soka star, pamoja wameweka historia kwa watu maarufu, wana watoto wanne, na wote kwa sasa ni wanamitindo, Leo wanasherekea miaka 15 baada ya kufunga ndoa yao. Ni vigumu sana usivutiwe na Victoria na David Beckham, Victoria ni msichana mzuri sana aliyekuwa kundi la Spice… Read More →
Hatimae Wazee Wa kanisa Kuuzika Mwili Wa Mchungaji Wao Baada Ya Mwaka Mmoja Wakiamini Angefufuka
Iretiola Ajanaku Muanzilishi wa kanisa la Christ Revival huko Lagos Nigeria Mtume Iretiola Ajanaku Aliyefariki Miezi 11 iliyopita , Aung 22nd 2013 Hatimae atazikwa mwaka huu 17th July 2014 Viongozi wengine wa kanisa hilo Prophet Ajanaku’s widow, Joy Ajanaku waligoma kumzika Muanzilishi Huyo Mtume Iretiola kwa muda wote… Read More →
Lil Wayne Amuita Jay Z “god”
Wakati Lil Wayne alipoachia preview ya “Dusse” mapema mwaka huu watu wengi walishangaa kwa nini alikuwa akimtaja Jay Z. Hov ni Mungu, Nitakuwa nikimpa sifa muda wote alisema hayo Lil Wayne wakati akipiga stories na MTV, Jay Z alichangia sehemu fulani katika kutengeneza hiyo ngoma alisema. Lil Wayne huwa aandiki… Read More →
Shakira Mwaka Wa 3 Mfululizo Anapata Nafasi Ya Kuperform Kwenye Kombe La Dunia
Shakira ni msanii ambae anazali sana na show za kombe la dunia, hakuperform kwenye ufunguzi watu wakaulizana mwaka huu hayupo? Lakini kwa sababu anazali sana kombe la dunia amepata shavu kuperform siku ya fainali itakayofanyika huo Rio De Jeneiro Brazili Julai 13 2014. Wengine waliokula mashavu ya kuperform siku hiyo… Read More →
Video:Tazama Mwanasiasa Wa Japan Aliyelia Kwenye Mkutano na Waandishi Wa Habari Baada Ya Kushutumiwa Kutumia Kiasi Kikubwa Cha Pesa Za Serekali Kwa Mambo Binafsi
Mwili Wa Rais Wa Philippines Ambae Haujazikwa Toka 1989 Watembelewa Na Mke Wake Siku Yake Ya Kuzaliwa Akitimiza Miaka 85
Kitu ambacho kimetazamwa kama ni cha kuogopesha kwa watu wengine, mke wa aliyekuwa rais wa Philippines Imelda Marcos amefikisha miaka 85 leo na ametembelea mwili wa rais huyo wa zamani wa Philippines Ferdinand Marcos huko Ilicos Norte. Alibusu jeneza lake hilo la kioo ambapo mwaili wa rais huyo ambao haukuzikwa… Read More →
Hali Ya Ulemavu Ya Mwanariadha Oscar Pistorious Inamuathiri
Oscar Pistorious ambaye anatuhumiwa kwa kumuua mpenzi wake mwanamitindo Reeva Steenkamp, baada ya kudhania ni mwizi aliingia ndani kwake mwaka jana 2013 huko Afrika kusini. Oscar Pistorious asiye na miguu ameathiriwa vibaya kutokana na ulemavu huo, dakatari wa michezo ameiambia mahakama inayosikiliza kesi hiyo ya mauaji inayomkabili mwanariadha huyo. Kitu… Read More →
Mayweather Amshukuru Justin Bieber Baada Ya Kuwasaidia Watoto Wake Kutoka Eneo La Jumapili
Bingwa wa dunia katika masumbwi mkali Mayweather amesema jinsi anavyompenda Justin Bieber haiwezi kuelezeka baada ya Bieber kuwasaidia watoto wa Mayweather katika ajali mbaya iliyotokea ikihusisha watoto wake. Akitoka kwenye duka la pombe huko Hollywood Jumatatu usiku hakusita kutoa ya moyoni juu ya Justin Bieber kwa ukarimu wake aliouonyesha… Read More →
Kifo Cha Tupac Kuongelewa Siku 3 Mfululizo National Geographical Channel
Tupac ni repa ambaye alikuwa na ushawishi mkubwa sana kwa vijana nchini Marekani na duniani kabla ya kifo chake mwaka 1996, Baada ya kifo cha Tupac, Repa kutoka Brooklyn, Beyonce hubby Jay Z yeye ndio amekuwa repa mwenye ushawishi kuliko dunaini hilo halina ubishi. Wikiendi hii kuanzia tarehe 6 Jumapili… Read More →
Wakati Wasanii Wengine Wa Afrika Wamekuwa Wakishindana Kufanya Kazi Na Wasanii Wa Marekani Mambo Ni Tofauti Kwa Msanii D’Banj.
D”Banj ni mwanamuziki kutoka nchini Nigeria ambaye amekuwa na mafanikio makubwa katika maisha yake, yupo katika top 10 ya wasanii wenye mkwanja Afrika pia ni balozi wa Afrika kuhimiza kilimo Afrika, kwa sababu kilimo ndo kila kitu duniani katika maisha ya watu wengi duniani. Kuna wimbo ambao ulitengenezwa ulioshirikisha wasanii… Read More →
Forbes List Ya Mastaa Wenye Mkwanja Mayweather Ashika Nafasi Ya 7
Floyd Mayweather Jr ni mwanamasumbwi asiyepigika kirahisi na pia anaongoza list ya wanamichezo wanaolipwa mkwanja mrefu zaidi duniani, pia anashikilia namba 7 katika list ya mastaa wenye ushawishi duniani. Nani staa gani anayeongoza list hiyo? “Nataka niwashukuru Forbes na pia kuwavulia kofia kila mmoja katika list hii, Nafurahia kwa kila… Read More →
“Dream Worth Than Money” Millard Ayo Hakukata Tamaa
Maisha ni njia iliyojawa na vikwazo na changamoto nyingi , lakini kama haupo imara unaweza ukaanguka, ni kama Sunami ilivyopiga na kulaza miti na majani yote yaliyokuwa ufukweni mwa bahari lakini baada ya siku chache mbele vitu vyote vilisimama.Hivyo ndivyo na sisi binadamu tunavyotakiwa tuwe kwa sababu hakuna mtu atakayekuja… Read More →
Dj Khaled Azindua Headphones Za “We The Best”
Dj Khaled kwa kushirikiana na Heads Audio na Olufsen kutengeneza headphones zinazoitwa “we the best”, Kama ilivyo kwa Dr. Dre kabla hajauza headphons zake zilizokuwa chini ya Dr Dre Beats Electronics Company na baadae kuziuza kwa kwa kampuni ya Apple dola bilioni 3 mwezi uliopita na kumfanya kuwa msanii… Read More →
Chriss Brown Abebwa After Party Ya BET 2014 Jumatatu
Mkali Chriss Brown jana Jumatatu asubuhi katika After Party ya BET 2014 alibebwa kutoka katika club ya Hollywood kuelekea kwenye gari ya mpenzi wake Karrueche Tran iliyokuwa ikimsubiri. Tran mpenzi wake wanaoachana na kurudiana alikuwa akimsubiri Chriss Brown katika gari ya Orange tayari kumuondoa katika eneo la club hiyo, na… Read More →
Mchezaji Wazamani wa NFL, Afanya Kufuru Kwa Kutoa Ipad 4s Kama Kadi Za Mualiko Kwenye Harusi Yake
Du hizi ni kadi za mualiko za aina zake, kila mmoja anatamani kufanya tukio la peke yake kabisa katika siku yake kubwa na hivi ndivyo ilivyotokea kwa Mchezaji Wa Zamani wa team ya Mpira Wa soka Wa Marekani NFL Keyshawn Johnson, Ni baada ya kutoka Ipad 4s kama kadi ya… Read More →
Check Davido Hadhihirisha Hazikuwa Picha Tu Mipango Iliendelea
Baada ya baadhi ya mashabiki kumchana Davido kwamba anashindana na Wizkid kwa kupiga picha na Jennifer Hudson na Meek Mill hakuna cha maana kwamba ni selfie kibao ambazi hazina maana, Davido ameamua kudhihirisha kuwa haikuwa picha tu ni kwamba amefanya ngoma na Meek Mill.Check hiyo tweet hapo chini….. Comments
Arjen Robben Aomba Msamaha Kwa Kujitupa Wakati Wa Mechi Na Mexico
Arjen Robben ameomba msamaha baada ya kujirusha katika mechi ambayo Uholanzi ilishinda 2 – 1 katika mzunguko wa 16 wa mwisho lakini amesema haikuwa kwa lengo baya ili apate penati. Kocha wa Mexico Miguel Herrera amemshutumu Robben kwa kujirusha mara tatu katika mchezo ule lakini mchezaji huyo wa Uholanzi kupitia… Read More →
Rais Wa Uruguay Atoa Matusi Kwa FIFA
Rais wa Uruguay Jose Mujica ameitukana FIFA kutokana na kumfungia miezi minne Luiz Suarez baada ya tukio la kumng’ata mchezaji wa Italia Giorgio Chiellin. Rais huyo mwenye miaka 79 ameelezea adhabu hiyo ni ya kikatili. Rais huyo anajulikana kwa kuongea wazi bila kuficha vitu, alitoa comment hiyo kwenye Televisheni ya… Read More →
Oscar Pistorious Hakuwa Na Matatizo Ya Akili Alipomuuwa Mpenzi Wake
Mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius hakuwa na tatizo lolote la kiakili wakati alipomuua mpenzi wake mwaka jana. Haya ni matokeo ya uchunguzi wa kiakili aliofanyiwa Oscar Pistorius huku kesi yae ikianza kusikilizwa tena nchini Afrika Kusini. Ripoti hiyo iliwasilishwa baada ya uchunguzi kufanywa kuhusu hali yake ya kiakili wakati… Read More →
Mipango Ya Meek Mill Kufanya Ngoma Na Nas Na Pharell
Msanii kutoka May Bach Music, Meek Mill amesema anamipango ya kufanya kazi na Nas na Pharell na wengine katika albam yake inayokuja ya “Dream Worth More Than Money”, Meek Mill aliweka wazi hayo wakati akipiga stories na Miss Info katika tuzo za BET Juni 29, 2014. Katika albamu hiyo… Read More →
The Game Na Lil Durk Beef Lazidi Kuongezeka
Kama kawa msanii ambaye mara kwa mara amekuwa katika headlines kwa sababu ya beef kibao, beef zake bado hajazila akazimiliza mkali anayewakilisha Compton, The Game amekutana na mshikaji ambae hazipandi kabisa huko California katika klabu ya usiku taarifa kutoka MTV zimeripoti, Game na Lil Durk walirushiana maneno. The Game alikuwa… Read More →
Hawa Ndo Washindi Wa Tuzo Za BET 2014
Tuzo za BET 2014 zimefanyika usiku wa kuamkia leo Juni 29 pale Nokia Theatre huko Los Angeles, usiku huo ulihusisha prerecorded show kutoka kwa mkali Jay Z na Beyonce na live show ilitoka kwa mkali kama Lil Wayne, Nick Minaj, Usher, Drake, Jhene Aiko na August Alsina, huku mchekeshaji maarufu… Read More →
Davido Ndio Mshindi Wa Tuzo Ya Best African Act BET 2014
Mkali Wa wa ngoma inayotamba kwa sasa Ayee Kutoka Nigeria Davido Ndio Mshindi wa Tuzo Ya Best African act BET 2014 Kwa Mujibu Wa Official Account ya BET Instagram wameweka picha inayompongeza Msanii Huyo Wa Nigeria Anayekuja juu kwa sasa kwa ushindi wa Tuzo Hiyo Davido Akiwa Na Tuzo Yake… Read More →
Hii Ndio Jumla Ya Washindi “Tuzo Za Watu”
Picha ya Pamoja Ya Washindi Wa tuzo Za Watu Tuzo zilizokuwa zikisubiriwa kwa hamu kubwa Tuzo za watu ziilizoandaliwa na mtandao wa Bongo 5 zilifanyika usiku wa Ijumaa 27 Juni katika hoteli ya Serena hoteli zikihusisha watu maarufu. Tuzo hizo zilihusisha vipengale mbali mbali kama ifuatavyo: Lady Jay Dee Commando… Read More →
Red Carpet: Tuzo Za Watu
Jana Ijumaa June 27 pale Serena Hotel Dare Salaam Ndipo Zilipofanyika Tuzo Za Watu Zilizokuwa zimeandaliwa na Mtandao Wa Bongo Five Na kushirikisha Wananchi katika swala la upigaji kura kwa vipengele vilivyokuwa vimeandaliwa Tuzo Hizo Ambazo zilitoa mualiko kwa watu maalum kutoka katika media, wasanii, wadau wa sanaa kwa ujumla… Read More →
Daktari wa Akili Wa Mwanariadha Pistorius Apata Mshtuki Wa Moyo
Mwanariadha Pistorius akiwa mahakamani Daktari wa akili anayetathmini hali ya mwanariadha Oscar Pistorius katika kesi ya mauaji ya mpenziwe Reeva Steenkamp amepatwa na mshtuko wa moyo. Hatahivyo swala hilo halitarajiwi kucheleweshwa kusikizwa kwa kesi hiyo ambayo itaendelea siku ya jumatatu,upande wa mashtaka umesema. Bwana Pistorius anatarajiwa kukamilisha siku thelathini za… Read More →
Video:Inasikitisha Kisa Cha Flora Na Mbasha, Kuna Siri kubwa Ndani Yake, Maisha Yamenifunza Kutohukumu,Hatuwezi jua Ila Inatia Huruma Sana
J.Cole Amsaini Cozz Dreamville Label Imprint
Cozz ametoa stories hizo kupitia ukurasa wake wa instagram aliandika Beginning of a new life Dreamville Committee Interscope Signed na J. Cole aliandika Welcome to Dreamville @cody_macc May all your Dreams come true, work hard stay hungry make classics. Msanii mwenzake kutoka label hiyo ya Dreamville Bas alimpongeza Cozz kupitia… Read More →
BET Experience Parties Zaanza Leo
Ikiwa imebaki siku moja kufanyika tuzo kubwa duniani zinazoandaliwa na BET Black Entertainment Television, Afrika Mashariki na Tanzania tunawakilishwa na Diamond katika kipengele cha Best International Act Africa akichuana vikali na Davido wa Nigeria, Mafikizolo Afrika kusini, Sarkodie Ghana, Tiwa Savage Nigeria na Toofan kutoka Togo. Jinsi siku zilivyokuwa zikienda… Read More →
Big Sean Asifia Harusi Ya Kanye West Na Kim Ilikuwa Noma Sana
Watu wengi hawakupata nafasi ya kuona jinsi ilivyokuwa katika harusi ya Kanye West na Kim Kardashian, ni kama Jay Z na Beyonce ambao kwa mara ya kwanza juzi wakiwa Miami katika tamasha la On run tour ndo walionyesha picha za harusi yao, Kwa Kanye West picha zimeonekana lakini kilichotokea pale… Read More →
Mliosema Beyonce Alibeba Mimba Fake, Kaweka Mambo Hadharani
Watu wengi walisema si kweli kwamba Beyonce alibeba mimba ya mtoto wao Ivy Blue, sasa kulidhihirisha hilo Queen Bey jana katika tour yao huko miami katika tamasha lao la ON THE RUN TOUR Queen Bey akionyesha mimba yake huku Kind Jay Z akiwa kamkumbatia kwa nyuma Zaidi ya kuonyesha… Read More →
Picha: Utengenezaji Wa Video Ya Wimbo Wa P’Square Na Rapper TI
Yeah Ni ngoma Yao mpya na hapa wakiwa katika utengenezaji wa Video Na Rapper TI huko Atlanta Nchini Marekani Huu Ni ujio wa Albam Yao ya ya sita kama Moja wa mapacha hao alivyoandika katika post zake mtandaoni #6thalbum #Freshsound #Freshstyle we r on it again! #teampsquare Comments
P’Square Wafanya Colabo Na Rapa TI wa Marekani
Hawajazungumza Lolote Kuhusiana na ujio wowote wa ngoma na msanii TI wa marekani ambaye wameonekana naye sana lakini chanzo cha karibu na wasanii hapo kimesema wana ngoma wamefanya na Rapa Huyo TI na video iliyofanyika Atlanta Marekani Mapacha Hao Pamoja Na TI Wakati Wa utengenezaji video Hiyo… Read More →
ha!ha!ha! Hiki Nacho kituko
Wakazi wa sinza uzuri jijini Dar es salaam wamepigwa na butwaa baada ya kuona nyoka aina ya chatu anayedaiwa kutupwa katika daraja,baada ya kusemekana kuwa kuna watu walioiba sanduku wakidhani lina fedha ndani yake na walipofungua wakakutana na joka aina ya chatu ndani yake na kutelekeza sanduku hilo na kukimbia… Read More →
Ghana Yawafukuza Kambini Kevin Boateng Na Sulley Muntari
Sulley Muntari na Kevin Prince Boateng wamefukuzwa kwenye kikosi cha timu ya Ghana kwa utomvu wa nidhamu. Taarifa kupitia mtandao wa Chama cha mpira nchini Ghana kimesema wachezaji hao wamefukuzwa. Iliongeza kwamba Boateng alitumia lugha chafu akimlenga kocha wa timu hiyo Kwesi Appiah na mtandao ulisema Muntari yeye walishikana na… Read More →
Chris Brown Huenda Akarudi Tena Jela Kwa Kosa La Kuwatolea Maneno Machafu Washabiki wake
Chriss Brown na mwanasheria wake ambae anashughulikia kesi yake ya Octoba ya shambulio nje ya hoteli huko Washington D.C walikuwa wakiomba kesi hiyo itupiliwe mbali lakini ombi lao halijaafikiwa. Chriss Brown anaweza kwenda jela kwa sababu watetezi wake na waendesha mashataka kutokukubaliana kutokana na kile Chriss Brown atakachokisema kilitokea 2013… Read More →
Baada Ya Kumng’ata Mchezaji Mwenzie Uwanjani, Hii Ndio Adhabu Aliyopewa Luis Suarez
Mchezaji wa Uruguay Luiz Suarez amefungiwa miezi minne kutojihusisha na shughuli zote za mpira kwa miezi minne kwa kumng’ata beki wa timu ya Italia Georgia Chiellin. Mchezaji huyo wa Liverpool mwenye miaka 27 pia amefungiwa miezi nane katika mechi za kimataifa, ikianzia katika mechi zote zilizobaki za Kombe la dunia… Read More →
Fifa Inamchunguza Mchezaji Wa Brazil Neyma Kama Hakuvaa Boxer Yenye Nembo Ya Fifa
Tukio baya sana lililotokea katika Kombe la dunia 2014 nchini Brazil ni lile la Suarez kumng’ata mchezaji wa timu ya Italia Giorgio Chiellin, lakini tukio linguine ambalo FIFA wanalifanyia uchunguzi ni lile la nguo ya ndani ya Neymar kitu ambacho FIFA wamekataza unaweza ukachukulia ni utani lakini hapana. Huwezoi ukawa… Read More →
Eminem Amsifia Kendrick lamar Asema Ana Rap Kuwa Repa Bora Duniani
Ukikubalika na repa kama Eminem basi wewe ni noma na inadhihirisha kwamba zile stories za siku za nyuma zilizosababisha maneno mengi baada ya Kendrick Lamar kuonekana kama ndo King of New York basi inaweza ikawa kweli kwa sababu mkali anayewakilisha Detroit Eminem kumkubali sana songstress wa wimbo wa Swimming pool…. Read More →
Kwa Mara Ya Kwanza Jay Z Na Beyonce Waonyesha Picha Zao Za Harusi Waliyoifunga kwa Siri Miaka 6 Iliyopita
Kwa mara ya kwanza jana Jumatano June 25 Couple yenye nguvu zaidi duniani Jay Z na Beyonce wameonyesha picha zao za harusi waliyoifunga kwa siri mwezi april 2008 katika screen zilizopo uwanjani huko Miami wakati wa tamasha lao la “On The Run” Kipande hicho cha picha ambacho kinaonekana kilichukuliwa na… Read More →
G Unit Kuachia Mix Tape Kabla ya Albam
Mshabiki wa G.Unit kabla ya kuenjoy albam yao baadae mwaka huu wataenjoy mixtape kwanza kabla ya albam kutoka kundi hilo liloungana wiki chache zilizopita na kuachia ngoma inayoitwa They talked about Jesus, 50 cent aliongelea albam na mixtape wakati akipiga stories na Hot 93.7 na Jenny Boom Boom. Kuhusu filamu… Read More →
Trey Songz Ataja Siku Ya Kuachia Albamu Yake, Aonyesha Majina Ya Nyimbo Na Cover Yake
Mkali ambae alitangazwa na Rais Jakaya Kikwete anatarajiwa kuja bonge Mwezi Julai mkali wa song ya Heat Attack Trey Songz ametangaza siku ya kuachia albam yake ambayo watakuwepo wakali kama Justi Bieber, Ty Dolla Sign, Juicy J na Nick Minaj. Albam yake inaitwa Trigga na inatarajiwa kuingia sokoni Julai 1… Read More →
Mdogo wa Beyonce, Solange Knowles Amevishwa Pete Na Sugar Dad Wake Alan (51)
Kwa mujibu wa habari ambazo hazijathibitishwa na muhusika ni kwamba mdogo wa Mwanamuziki Beyonce Solange Knowles ’28’ Amevishwa pete ya uchumba na mpenzi wake wa siku nyingi Alan Ferguson ‘ 51’ jumatatu June wakati anasherehekea Sikukuu Yake Ya kuzaliwa Beyonce ambaye alipost Picha Ya Wawili hao katika ukurasa wake wa… Read More →
Lupita Nyong’o Aanza Rasmi Kazi Yake Na Vipodozi Vya Lancome’s
Mshindi wa Tuzo Ya Osca Lupita Nyong’o ameanza kazi yake ya kuwa balozi wa kampuni ya vipodozi vya Lancome ya nchini ufaransa baada ya kutambulishwa Rasmi mwezi April Mwaka Huu Japo kampuni hiyo ilitangaza lupita kuanza kutokea kwenye matangazo ya vipodozi hivyo mwezi September lakini inaonekana ubora na uhitajika wa… Read More →
Mwaka Wa Fedha Wa 2013/04 Serekali Imetenga Shilingi Bilioni Moja Kwa Ajili Ya Chanjo ya Homa Ya Ini
Katika mwaka wa fedha wa 2013/14 serikali imetenga Shilingi bilioni 1 kwa ajili ya chanjo ya homa ya ini pamoja na huduma za uzazi wa mpango, kiwango ambacho kinatajwa kutokidhi mahitaji ya huduma hizo. Hali hiyo inawafanya wadau wa uzazi wa mpango kuamini kuwa Serikali bado haijaweka kipaumbele kwa suala… Read More →
Sio Mtoto Wangu Tena, R Kelly Amkana Mtoto Wake Baada ya Kubadilisha Jinsia
Jaya Akiwa Na Baba Yake Alipokuwa Mdogo Kama hauna habari kwamba mkongwe wa R&B duniani R. Kelly anabinti ambae alibadilisha jinsia ambae alizaa na mke wake aliyeachana nae nyota wa Hollywood Axes, Andrea Kelly . Mtoto huyo mwenye miaka 14 Jaya Kelly kwa sasa anaitwa Jay baada ya kuweka… Read More →
Mchezaji Wa Uruguay Suarez Kwa Mara Nyingine Amng’amta Mchezaji Wa Italy Giorgio Begani Katika Mechi Ya Jana
Huwenda jana sakata la umeme kukatika nchi nzima lilikufanya ukose kuona kituko kilichotokea uwanjani wakati ya mechi ya Uruguay na Italy zikichuwana katika mtanange wa kombe la dunia linaloendelea sasa nchini Italy Baada Ya Kufanya Tukio Kama Hilo Tena Hapo Awali Mchezaji na mshambuliaji wa Uruguay na Liverpool Luiz… Read More →
Mume Wa Mwanamitindo Katie Ajipiga Risasi Baada Ya Tetesi Kuwa Mkewe Anatoka na Mcheza Movie Leonardo DiCaprio
Taarifa kupitia TMZ zinasema Bwana wa mwamitindo anahusika na Deal Or No Deal amejiua kwa kujipiga risasi wiki chache baada ya kuona picha mke wake akila uroda na muigizaji Leornado DiCaprio na Adrian Grenier. Picha Za Utata Za Katie akiwa na Leornado DiCaprio Vyombo vya kisheria vimeiambia TMZ Andrew Stern… Read More →
NEW VIDEO: Davido, Micasa, Tiwa Savage, Sarkodie, Diamond Platinumz & Lola Rae – Africa Rising Music
Ndege Nyingine Imepotea, Ilikuwa Inatoka Nigeria Kwenda Gabon
Ndege nyingine iliyokuwa inasafiri kutoka Nigeria Kwenda Gabon ikipitia Cameroon Imeripotiwa kupotea Ndege hiyo inayomilikiwa na kampuni moja ya KiMarekani, Global Aviation iliondoka Uwanja Wa ndege wa Kano Huko Nigeria mida ya Saa 12 jioni Jumatatu ya may 23 na ilitarajiwa kutua uwanja wa ndege wa Doyla Cameroon kabla haijaendelea… Read More →
Meriam Ibrahim Aliyeachiwa Huru Baada Ya Kuhukumiwa Kifo Kwa Kuasi Dini Aondoka Sudan
Meriam Ibrahim yule mwanamke wa Kisudani aliyenusurika kifo baada ya kuhukumiwa kunyongwa kwa kosa la kuiasi dini yake ya kiislam nchini sudan ameachiwa huru na sasa ameshaondoka Nchini Sudan baada ya kuhifadhiwa eneo ambalo lilikuwa ni siri kwa usalama wake U.S State Department Ilisema wakati wa taarifa yake mjini washington DC… Read More →
Watu Wadaku Jamanii, Da Check Insta Ilivyomuumbua Criss Brown Baada Ya Kulike Picha Ya Rihanna
Jamaa pamoja na kupost mapicha kibao ya demu wake wa sasa Karrueche katika mtandao wake wa instagram, lakini bado anaonekana kuendelea kuvutiwa na Ex Girl Wake Rihanna baada ya kulike picha za Rihanna akiwa na vich** “Bikini” tu katika ukurasa wa Rihanna Baada Ya watu kumstukia Criss Alitoa fasta LIKE… Read More →
Instagram Yafunia Ukurasa Wa Mama Aliyepost Picha Ya Mtoto Wake Akiwa Kifua Wazi
Kushoto ni picha hiyo iliyomponza na kulia ndio mwanamke mwenyewe akiwa na mwanae Mama mwenye watoto wanne amefungiwa ukurasa wake wa instagram baada kupost picha ya mtoto wake baada ya kuvunja sheria za mtandao huo kwa kuonyesha kifua cha mtoto wake mwenye miezi 19, mama huyo alikuwa na Followers 40,000… Read More →
Baba Wa Mtoto Aliyebakwa Nigeria Aambiwa Na Polisi Mtoto Wake Alifurahiya Kitendo Hicho
Baba wa mtoto aliyebakwa miaka mitano iliyopita nchini Nigeria, ameambiwa na DPO kwamba binti yake alifurahia kitrndo hicho, Juni 19, 2014 Bwana Danwamu Moses baba wa mtoto huyo amabe kwa sasa anamiaka 16 alibakwa akiwa na miaka 11 lakini malalamiko yake yalikebehiwa. Sasa ameandika barua kwa Kamishna wa Elimu… Read More →
Tazama Picha Ya Kwanza Ya Mwanamke Msusad Aliyekuwa Amehukumiwa Kifo Baada Ya Kuachiwa Huru
Hii ni picha ya kwanza ya mwanamke wa Ki sudani Aliyekuwa amehukumiwa kifo baada ya kuihasi dini yake Ya kiislam baada ya kuachiwa huru Mwanamke huyo aliachiwa huru Jumatatu June 23 baada ya Mahakama nchini sudan kuamuru kuachiwa huru Meriam Ibrahim akiwa na nyuso ya furaha baada ya kunusurika kifo… Read More →
Kama Ulikuwa Hujui, Dr, Dre Ndio Aliyemfundisha Warren G Ku Produce Music
Katika maisha unapoamua kufanya kitu inatakiwa ukifanye na kama unakipenda basi ndo ukifanye kwa bidii iko siku mambo yatakuwa fresh never give up. Ni miaka 20 toka mkali Warren G alipotoa albamu yake ya kwanza inayokwenda kwa jina la Regulate, unaweza ukapiga hesabu 20 years back ulikuwa wapi ni siku… Read More →
Mauaji Mengine Yawakuta Wakenya, Watano Wapoteza Maisha
Takriban watu watano wameuawa katika shambulizi lengine katika eneo la pwani ya Kenya. Mauaji hayo yametokea karibu na eneo ambako mashambulizi mengine yalifanyika wiki jana na kusababisha vifo vya watu zaidi ya sitini. Maafisa wanasema kuwa kundi la watu waliokuwa wamejihami walivamia kijiji cha Watu ambacho kiko umbali wa kilomita… Read More →
Robbin Thicke Kurudiana Na Mkewe??? Aonyesha Dalili Za Dhahiri Kabisa
Mkali wa Blurred line anajiribu kumrudisha mke wake Paula Patton, Alionyesha wazi kabisa Jumatatu wakati Tour yake ya ikiendelea ya Mea Culpa Tour na pia ameachia video ya wimbo unaitwa “Get Here Back” na akama kulikuwa na maswali yeyote yale kuhusu ngoma hiyo basi zimeonekana clips mtu ambae amewekwa amefanana… Read More →
Picha: Chris Brown Amsaidia Karrueche Kupost Picha Zinazomuonyesha Michirizi Kwenye Makalio Yake Kuwatia Mpyo Wengine Wenye Hali Kama Yake
Mpenzi wa Chriss Brown ambae alimuandalia (Chriss Brown) Breezy surprise party baada ya kutoka jela, mwanadada Karrueche amepost picha akionyesha makalio yake jana kuwapa moyo wasichana wengine wasijisikie vibaya kuhusu michirizi katika miili yao, Post yake hiyo ilionekana na watu wengi sana duniani na wengine wakisema anajaribu sana kuwa kama… Read More →
Bow Wow Kukacha Nick Name yake Baada ya Tuzo Za BET, Asema Sio Hadhi Yake Tena
Msanii wa kufoka foka wa nchini marekani aliyeanza usanii akiwa bado mtoto mdogo kabisa Aliyewahi kutambulika na jina la Lil Bow wow na Abaye Ni Mtangazaji wa HOT 97 Shad moss, Amesema ni muda wa kubadilisha jina sasa na kutumia real name yake ambayo ni Shad moss kutokana na jina… Read More →
Mastar Wa Marekani Washindana Kwa Picha Za Utupu, Baada ya Rihanna, Kim Kardashian Sasa Ni Zamu Ya Venus William
Nina Wasi Wasi na haya majarida ya nje kwasasa, nahisi biashara yao ipo kwenye picha za utupu za mastar kwa sasa Majarida haya yamekuwa yakiwalipa Mastar hawa mapesa mengi sana ilimradi tu wakubali kupiga picha za utupu na kutokea katika majarida yao baada ya rihanna kuwa gumzo katika majarida kadhaa… Read More →
Kulingana Na Maelezo Ya Shirika La Afya Duniani Mama Mwenye Virusi Vya Ukimwi Anashauriwa Kuto Mnyonyesha Mtoto
Kulingana na maelezo ya shirika la afya duniani mama mwenye virusi vya ukimwi kwa nchi zilizo endelea na zenye upatikanaji mzuri wa maji safi na salama anashauriwa kutomnyonyesha mtoto ili kumkinga na uwezekano wa kumuambukiza virusi vya ukimwi. Huku kwa nchi maskini na zisizo na upatikanaji mzuri wa maji safi… Read More →
Rick Rose Alivyozuiwa Kuingia Kufanya Show Ukumbini Na Mashabiki Katika Tamasha La Kiangazi Hot 107.5
Boss wa May Bach Music Jumamosi usiku pale Dtroit alizuiliwa na kundi la watu kuingia kuperform katika HOT 107.5 SUMMER Lengo la washkaji hao lilifanikiwa baada Rick Ross kutokuperform, stories zinasema kwamba ni ktokana na ngoma iliachiwa na mkali Trick Trick ngoma inayoitwa No fly zone featuring Royce Da 5,9… Read More →
Mwanamke Aliyehukumiwa Kunyongwa Kwa Kuasi Dini ya Kiislam Nchini Sudan Aachiwa Huru
Meriam alihukumiwa akiwa mjamzito na kujifungulia gerezani Mwanamke aliyehukumiwa kifo nchini Sudan kwa kuasi dini ameachiliwa huru. Wakili wake ameambia BBC kuwa mwanamke huyo aliyekiuka dini kwa kwa kuolewa na mwanamume mkristo aliachiliwa huru Jumatatu Hukumu ya kifo iliyotolewa dhidi ya Meriam Ibrahim,ilibatilishwa na mahakama ya rufaa, kwa mujibu wa… Read More →
A Moment With Mad Ice, Launch Party At Club Rouge Hyatt Regency (Kempisk)
Ice Prince, Mafikizolo, Tiwa Savage Kutumbuiza Usiku Wa Tuzo Za BET June 29th
Rapper Ice Prince amethibitisha ku perform kwenye Tuzo Za BET zinazotarajiwa kufanyika June 29th katika ukumbi wa Nokia Theater Huko Los Angles Marekani Ice Prince ambaye ameshachaguliwa mara mbili kuwania tuzo katika kipengele hicho cha Best International Act Africa, Ambapo aliwahi kuwa mshindi katika kipengele hicho mwaka uliopita Ice Amethibitisha… Read More →
Mtoto Wa Kanye Na Kim ,North Asafiri Mwenyewe Kwa Mara Ya Kwanza Kutoka NYC kwenda LA
Mtoto Mdogo wa Kim kardashian na kanye West North Ambaye Ametimiza mwaka mmoja majuzi tu hapa, Amesafiri katika khadhi ya 1st Class peke yake bila wazazi wake kwa mara ya kwanza akitokea NYC kwenda LA, Akiwa na mlezi, muuguzi na mlinzi wake mtoto North alionekana wakishuka Kutoka Kwenye ndege na… Read More →
Suarez Adui Namba Moja Kwa Mashabiki Uingereza, Awa Shujaa Wa Uruguay
Mchezaji ambae ilibidi aingie tu ingawa hali yake haikuwa nzuri sana na baada ya kuwachimbia kaburi timu ya Uingereza akatoka mshambuliaji hatari wa Liverpool na timu ya taifa ya Uruguay Luiz Surarez jana amedhihirisha kwamba kweli yeye ni jembe baada ya kufunga magoli mawili dhidi ya mechi kali kati ya… Read More →
Lil Wayne Kuachia Albamu 7 Mwaka Ujao (Atakuwa ameweka rekodi?
Mkali wa ngoma nyingi ambazo zimempa umaarufu mfano Lol Pop, Drop the world, How to love na nyinginezo the Young Money Boss Lil Wayne anajiandaa kutoa albam 7 mwakani, Wayne ana nia ya kuwa msanii wa hip hop ambae atakuwa ameachia albamu nyingi kwa mwaka mmoja. Rapa huyo kutoka Young… Read More →
Wiz Kid Kutoa Albam Mbili Kwa Mpigo, Ngoma yake Na Cris Brown Imekamilika
Msanii Wa Nigeria anayeonekana kutumia muda wake mwingi zaidi na wasanii wakali na wakubwa wa marekani Wiz Kid Ameendelea Kuonekana Na Watu Maarufu Wa Hollywood ikiwa ni kikazi zaidi Wakati huu anasema yupo tayari kutoa Albam Mbili Kwa Mpigo anasema tayari Albam Ya Pili Imeshakamilika na sasa anafanyiaa kazi albam… Read More →
Baada Ya kujitangaza Kwamba Ni Mjamzito, Kelly Rowland Aonyesha Kitumbo Chake Kwa Mara Ya Kwanza Kumaliza Utata
Baaada ya kujitangaza kuwa Ni mjamzito kwa style ya aina yake Msanii Kutoka Kundi La Destiny’s Child Kelly Rowland (33)sasa ameonyesha Rasmi kitumbo chake chenye mtoto Ndani Hapo Awal msanii huyo alitumia njia ya kipekee sana kujitangaza kuwa sasa ni mjamzito kwa kuweka viatu (raba) kubwa na ndogo za kiume… Read More →
Chris Brown Adhihirisha Upendo Wake Kwa Karrueche, Angalia Tweet Yake Alivyosema
Katika maisha ya mapenzi mtu unaweza ukajikuta unahangaika huku na huko katika kupata upendo wa kweli na muda mwungine unakuta umepata mpenzi ila haujui kama yeye ndo wa ukweli. Hicho ndicho kilicho mtokea mkali wa ngoma ya Loyal muite Chriss Brown, Chriss Breezy alisema kwamba tokea Karrueche awe mpenzi… Read More →
Matokeo Ya Kombe La Dunia Brazil Jana Jumatano 18 Juni 2014 Na Mechi Za Leo Alhamisi 19 Juni 2014
Ikiwa imesalia timu moja tu ya Afrika ambayo angalau inaleta tumaini kwa kushinda mchezo wake wa ufunguzi, Ivory Coast ambayo inashuka leo uwanjani kuivaa timu kutoka bara la Marekani ya kusini Colombia, timu nyingine za Afrika imekuwa ni kilio ambapo jana tulishuhudia Cameroon akichakazwa 4 akichakazwa 4 – 0 na… Read More →
Kweli Uzee Mwisho Chalinze, Tazama Jinsi Mama Wa Kim Kardashian (59) Alivyoachia Chuchu Zake Nje Nje
Mama yake Kim Kardashian anaitwa Kriss J Swag sasa hivi kwa mastaa na hata watu wasio mastaa kukaa uchi imekuwa fresh tu, Riri amekaa uchi sana mpaka instagram wakaamua kumfungia account yake, Nchini Nigeria siku za nyuma alishajitokeza dada mmoja akasema Rihanna ndo amemuiga kukaa uchi baada ya watu… Read More →
Lupita Nyong’o, Kutokea Katika Jarida La US Vogue La Mwezi July, Ilimchukua Miaka KimKardashia.
Ilimchukua Miaka Kim Kardashian Kuota Ndoto Ya kuuza juu ya Cover La Jarida La US Vogue Laki ndio ujue mungu akitaka kukupa ahakuandikii Barua Ikiwa ni kipindi cha muda mchache tangu aingie na kujulikana katika ulimwengu wa filamu duniani, Mshindi Wa Tuzo ya Oscar mwaka huu kutoka katika Movie… Read More →
Hii Ndio List Ya Timu Zinazoshiriki Kombe La Dunia Brazili Zilozoruhusiwa Kufanya Mapenzi, Angalia Zilizokatazwa
Swala la mapenzi na kucheza mpira imekuwa ni vitu ambavyo vinaleta utata, Timu nyingi katika kombe la dunia zimekataza timu zao kufanya mapenzi inaaminika kwamba wakifanya itapunguza uwezo wa mchezaji wengine wakikubali wakiamini kwamba inamfanya mchezaji asikie vizuri akili inatulia kwa hiyo inamfanya afanye vizuri. Wengine wamekubali lakini kwa masharti… Read More →
Mtangazaji Wa ‘DalaDalaBeats’ Ya Magic FM Tee Jay Amerudi Baada Ya Kuwa Nnje Ya Game Kwa Mwaka Mzima
Hii inaitwa Welcome back TJ, Kwa pamoja mimi na nyie tunasema “Welcome back TJ”, baada ya mwaka mmoja kula pose lazima ulimmiss sana sauti ya mtoto mzuri TJ kwenye show kali kupitia Magic FM saa 7 mchana hadi saa 10 jioni on Dala DalaBeats . Kuanzia Jumatatu 23 Juni 2014… Read More →
Wanawake Wawili Wasababisha Ajali Wakati Wakiota Jua Wakiwa Utupu (sunbathing)
Wanawake wawili wamesababisha mshangao na ajali walipokuwa wakiota jua wakiwa uchi kabisa kwenye dirisha, Wa kwanza alipigwa picha ilikuwa ni nchini Brazil akiwa kwenye balcony ya hotel ya Rio ambapo kuna kundi kubwa la Waingereza wamefikia hapo. Alishtua watu wengi alipoonekana uchi kabisa akiwa aamesimama kwenye chuma za uzio wa… Read More →
Mtangazaji Mkongwe Wa Hot97 Angie Martines Aacha Kazi Baada Ya Kutuitumikia Kwa Zaidi ya miaka 20
“Huu ulikuwa uamuzi mgumu sana ambao nimeshawahi kuufanya, lakini ndo muda wa kuendelea mambo mengine, ni muda wa kukua na kukutana na changamoto nyingine katika njia nyingine” Aliandika Angie Martinez kwenye ukurasa wake wa Instagram jana Juni 18, 2014 “Nashukuru sana kwa muda wote niliokuwa na familia ya Emmis na… Read More →
Muigizaji Melanie Afuta Tattoo Ya Jina La Mume Wake Baada Ya Kutangaza kutalakiana Kwa Ndoa Iliyodumu kwa miaka 18
Melanie Akiwa Kaifuta Tattoo Aliyokua Kachora Jina la Mumewe Baada Ya kutalakiana Ikiwa Ni Wiki mbili Baada ya Muigizaji Melanie Griffith kutangaza kutalakiana na mumewe kwa ndoa iliyodumu kwa miaka 18 Kabla na Baada Jana Juma nne june 16 Muigizaji Huyo Alionekana kwenye tamasha la filamu la Taormina huko… Read More →
Mwanamke Mwenye Miaka 60 Amejifungua Mtoto Wake Wa Kwanza Baada Ya Kumsaka Kwa Miaka 30
Mwanamke Mmoja Wa Kinaijeria Omolara Irurhe mwenye umri wa miaka 60 amepata mtotowake wa kwanza baada ya kuhangaika kupata mtoto kwa zaidi ya miaka 30 Mama Huyo Amejifungu Mtoto wake wa kike siku ya juma tatu june 16 huko Lagos Taarifa zinasema Mwanamke Huyo Aliyekuwa Ndoani kwatakribani miaka 31 Na… Read More →
Wiz Kid Msanii Wa Nigeria Anaye Hang Out Zaidi Na Wasanii Wa HollyWood
Hapa Wiz Akiwa Na Tyrese Na Akon NY Hivi Karibuni Msanii anayekubalika zaidi nchini Nigeria Wiz Kid Amekuwa Akihangout na wasanii mbali mbali wakali wa nchini Marekani kama vile Justin Bieber, Chriss Brown, Bu Thian, Mara Hii Ameonekana Akiwa Na Msanii Tyrese pamoja na Akon kitaa cha LA Jamaa anaonekana… Read More →
Achinja Mke Na Watoto Kabla Hajaenda Kuangalia Mechi Ya Kombe La Dunia
Shabiki mmoja wa mpira ameshtakiwa kwa kosa la kumchinja mke wake na watoto wawili kabla hajaelekea kuangalia mechi ya kombe la dunia katika bar wakati ilipocheza mechi ya kati ya Uingereza dhidi ya Italia. Raia huyo wa Italia mwenye umri wa miaka 31 anaeitwa Carlo Lissi kwa sasa anatuhumiwa kwa… Read More →
Hizi Ndizo Siku Zilizobaki Kabla Diamond Hajajinyakulia Tuzo Yake Ya BET
Zikiwa zimebaki siku 11 kufanyika tuzo za BET mwaka 2014 Chriss Rock akiwa host, tiketi zinapatikana kuanzia sasa, Gold tiketi, Diamond tickets na mkali kutoka Afrika Mashariki anaetuwakilisha sio Tanzania ni Afrika mashariki atakuwepo kama akiwakilisha this time around tuombe Mungu achukue ili apeperushe vyema bendera ya nchi yetu Tanzani… Read More →
Rihanna Ashindwa Kuficha Hisia Zake Kwa Mchezaji Wa Ghana Kevin Prince Boateng, Ajikuta Akianika Hisia Zake Wakati Wa Mechi Ya Ghana Dhidi Ya USA Mtandaoni, Ghafla Awa Team Ghana.
Rihanna macho yake yote yako kwa kijana wa Kiafrika na anajivunia kuwa Muafrika, Wakati wa mechi ya Ghana dhidi ya Marekani usiku wa kuamkia leo, mechi iliyomalizika kwa Ghana kufungwa 2 – 1, Rihanna alikuwa team Ghana baada ya kumuona kijana mwenye miaka 27 uwanjani mchezaji wa Ghan Kevin… Read More →
Miongoni Mwa Waliofanyonshwa Ngono Na Waganga Feki Ili Wapate Watoto, Wake Za Vigogo Nao Wamo
Kamanda Kiondo akizidi kuonyesha vifaa vilivyokuwa vikitumiwa na waganga hao wa kienyeji. IMEBAINIKA kuwa miongoni mwa wale wanawake 20 waliodai kufanyishwa ngono na waganga wa kienyeji ‘sangoma’ ili kupata ujauzito baada ya kukaa muda mrefu bila watoto, wamo wake wa vigogo Bongo, Uwazi limechimba. Uchunguzi uliofanywa na waandishi wetu kwa baadhi… Read More →
Takriban watu 20 wameuawa katika shambulizi la pili la usiku katika pwani ya kenya .
Kundi la wapiganaji la Alshabaab limekiri kutekeleza shambulizi hilo la pili katika vijiji viwili zaidi na kusema kuwa wengi ya waliouwa ni maafisa wa polisi. Wapiganaji hao walivamia vijiji viwili karibu na mji wa Mpeketoni ,ambao ni eneo la mashambulizi ya kwanza ambayo yalisababisha mauaji ya wau 48. Hii… Read More →
Kim Kardashian Mwanadada Asiyeisha Vituko,Mara Hii Akiwa Kitaa Bila Sidilia
Mama Wa Mtoto North na Reality Star Kim Kardashian ameonekana kitaa akiwa mtupu kifuani bila top wala sidilia akiwa anasukuma kitoroli cha mwanae Kim Alikua Anarejea Nyumbani kwakwe New York City Na mwanae North Jana Jumatatu June 16, Inaonekana alikua anatoka kwenye photo shoot Comments
Kama Wewe Ni Mtoto Wa Kike Picha Hii Ya Utupu Ya Mr Flavor Inakuhusu
Kisa Cha Mtoto Aliyelipwa Fidia Ya Dola 30,000 Na Mgahawa KFC Baada Ya Kumnyanyapaa Kutokana Na Majeraha Aliyokuwa Nayo Usoni kwa Kujeruhiwa Na Mbwa
KFC ni moja ya migahawa mikubwa sana duniani, KFC imesema itachangia dola 30,000 kwa ajili ya matibabu ya mtoto mwenye miaka 3 ambae aliombwa atoke nje ya mgahawa huo kutokana na jeraha alilokuwa nalo kuwa linawaogopesha wateja. Pesa hiyo iliyotolewa na Mgahawa huo kwa ajili ya matibabu ya mtoto… Read More →
Mtoto Kwa Mwenzako, Eti Mtoto Wa Mr&Mrs West, North Katimiza Mwaka Mmoja Tayari
kuna ile kauli huwa wanasema Mtoto Kwa Mwenzio, Tazama jindi Muda unavyokwenda jamani, ni juzi juzi tu hapa habari za Kim kardashia Kubeba mimba mpaka kujifungua hatimae ndoa zilitawala katika masikio ya wapenda burudani. Mara tu jana hatimae mtoto huyo aliyepata kuwa gumzo baada yakuzaliwa kwake na kupewa jina la… Read More →
Picha: Hatimae JayZ Na Beyonce Wamchana Nywele Mtoto Wao Ivy Blue Baada Ya Kejeli Iliyowahuzi Juu Ya Kumchana Nywele Mtoto
Ikiwa ni siku chache tu zimepita tangu baadhi ya watu waliojiita wazazi kuanzisha mjadala na kampeni ya kuwataka wazazi wa Mtoto Blue Ivy Beyonce na Jay Z kumchana Nywele Mtoto wao katika mitandao ya kijamii hasa Tweeter Hatimae kilio hicho kimesikika na kwamba wazazi hao wamemchana mtoto wao nywele Blue… Read More →
Baada Ya miezi Sita Ya Kuwa Katika Hali Ya Maututi, Michael Schumacher Atoka Hospitalini
Hospitali ya Grenoble na meneja wa Michael Schumacher Sabaine Kehm wamethibitisha kuwa bingwa wa dunia mara 7 katika mashindano ya Formula 1, Schumacher ametoka katika hali ya mahututi, hali aliyokaa nayo kwa miezi sita na ametoka hospitali na amewasiliana na mke wake na watoto. Michael Schumacher alikuwa akitibiwa majeraha mabaya… Read More →
Leo Ni Siku Ya Mtoto Wa Afrika, Je? Unazijua Haki Za Mtoto?
Leo Juni 16 2014 kila mwaka huadhimishwa siku ya mtoto wa Afrika, Baadhi ya watoto nchini Tanzania wameitumia siku ya mtoto wa Afrika kuiambia jamii kwamba ihakikishe inawapa nafasi ya kusikilizwa ma kushirikishwa katika mambo mbalimbali. Katika haki ambazo mtoto amekuwa akidhulumiwa na haki ya kusoma, kucheza, kusikilizwa na kuishi,… Read More →
Sitoki Na Geneviev Wala Sijawahi Kufikiria – D’Banj Afunguka
Mkali kutoka Nigeria D’Banj ukiacha kukiri kwake siku za nyuma, D”Banj ambae ana miaka 34 amezungumza na kufunguka kila kitu kuhusu Genevive wakati akipiga stories na Vanguard. Aliulizwa anasemaje kuhusu uvumi wa siku nyingi kwamba anatoka na muigizaji kutoka nollwood Genevive Nnaji, D’Banj alijibu kwamba kumekuwa na uvumi mingi kuhusu… Read More →
Kundi La G Unit Larudi Tena, Laahidi Kuachia Kazi Mpya Wiki Hii
50 Cent amepiga picha akiwa na kundi la G-Unit ikidhibitisha kuungana kwa kundi hilo tena baada ya kutengana kwa muda mrefu kutokana na mizozo mingi iliyokuwa ikiendelea katika kundi hilo. 50 Cent akiwa na memba wa G-Unit walipiga show Jumamosi Juni 14 kwenye New York Mets Game, baadae akapost kwenye… Read More →
Sababu Tano Zinazokufanya Usikose Kombe La Dunia 2014 Nchini Brazil
Hizi Ndio Sababu Tano ambazo zinatoa msisimko na kufanya usikose Kombe la dunia 2014 nchini Brazil, sababu ya kwanza kabisa ni timu ya Brazil na mashindano yanafanyika nyumbani kwake yeye ndo mwenyeji mbele ya mashabiki wake atakubali kuachia ubingwa? Sababu ya pili ambayo inasabbaisha usikose kombe la dunia 2014 ni… Read More →
Tee-Y Mix Azindua Lebo Ili Kusaidia Vipaji Vilivyojificha
Tee-Y Mix amezindua lebo yake ya muziki ambayo inaitwa Vivace Records inatamkwa Vi-Vah Chey Records. Tee – Y Mix ameshatengeza ngoma nyingi za mastaa wa Nigeria zilizohit sana kwa zaidi ya miaka 10 na kwa sasa amepiga hatua nyingine katika muziki wa town wa Kinigeria. Tee Y Akiongea katika… Read More →
Ufunguzi Wa Kombe La Dunia Brazil 2014 Ulivyofana Brazil
Katika ufunguzi wa kombe la dunia Alhamisi 12 Juni 2014 nchini Brazil Jlo na Pitbull waliperform wakiwa na mrembo mwingine ambae watu wengi hawakujua ni nani, akiwa na nywele ndeefu nzuri, akionekana akishindana vikali na Jlo na kabla ya kumaliza kuimba wimbo maalum wa kombe la dunia 2014 tayari kwenye… Read More →
AFRIMMA pre-party Kufanyika Kesho Ijumaa 13.June Dallas, Texas
Tuzo za AFRIMMA zimepangwa kufanyika Julai 26 2014 na siku ndo hizo zishakwisha ni kesho kutwa tu, na katika shamra shamra za tuzo hizo kutakuwa na matukio ya utangulizi , kutakuwa na pre-party itakayofanyika Dallas Texas Ijumaa 13 Juni 2014 ndani ya Nai Lounge. Katika party hiyo kutakuwa na burudani… Read More →
E Wametoa Picha Nyingine Zaidi Za Harusi Ya Kanye West na Kim kardashian
Mtandao Wa E Umetoa picha nyingine kiasi za Ndoa ya KanyeWest Na Kim Kardashian Iliyofungwa Huko Italy Mtandao huo umekua ukitoa picha hizo kidogo kidogo kila mara tofauti na kutoa picha zote kwa pamoja kwa wakati mmoja Hizi Hapa Za Awamu Hii hii ni wakiwa kwenye Reception Comments
Kelly Rowland Anategemea Mtoto Siku Za Usoni
Ikiwa Ni siku kadhaa tu tangu Member wa kundi la Destiny Child Kelly Rowland afunge ndoa na Manager Wake hatimae ndoa hiyo inaonekana kujibu baada ya msanii huyo kushare picha inayoashiria kuwamba yeye ni mama mtarajiwa Kelly Rowland Ameshare Picha ya aina yake kama ishara ya kuutarifu uma kwamba yeye… Read More →
Justine Bieber Aomba Radhi Baada Ya Kutoa Lugha Ya Ubaguzi Wa Rangi
Mwanamuziki mwenye umri wa miaka 21 kutoka Canada mwenye matukio kibao, kipenzi cha wakinadada Justin Bieber ameomba msamaha na kujutia baada ya kutumia lugha iliyoonyesha ubaguzi wa Rangi, Mwanamuziki huyo sio mgeni katika kuomba msamaha, alishaomba msamaha kwa kupiga teke bendera ya Agentina na alisema ilikuwa ni bahati mbaya. Pia… Read More →
Binadamu Aliyeweka Rekodi ya Guinness kwa Kuishi Muda Mrefu Zaidi Afariki Dunia
Siku moja wakati akipiga stories na Mtandao wa Times alitania kutokuwa na mtoto inaweza ikawa sababu ambayo ilimsababisha aishi muda mrefu kutokana na kutopoteza nguvu nyingi. Mzee huyo aliyekuwa na umri wa miaka 111 alizaliwa Februari 4 mwaka 1903 nchini Poland, alikulia Czestochowa huko kaskazini mwa Poland, yeye na mke… Read More →
Rihanna Atajuta, Bifu Lake Na Kundi La TLC Laendelea Kwa Style Hii
Ule Mzimu unaomuandama Msanii Rihanna Baada ya kupost picha zake za utupu mitandaoni sasa unaonekana kuchkua sura nyingine baada ya hata vijana nao kujitokeza kumdiss kwa namna moja ama nyingine Mara hii mtoto Wa moja ya msanii wa kundi la TLC, T.Boz Ameibuka na mumstop Rihanna kwa kile alichoita ni… Read More →
Baada Ya Miaka 19 Ya Ndoa Yao, Will Smith Na Jada Ndio Kama Wameoana Jana
Baada ya miaka 19 ya ndoa yao Will Simth Na Jada Pinkett wameonekana kuwa mapenzini Zaidi mara hii wanandoa hao wameonekana katika ufukwe wa bahari ya Hawaii pamoja na mtoto wao Willow katika mapumziko ya familia ya mwisho wa wiki wanandoa hao walishare picha za mahaba mahabani makiss hugs and… Read More →
Sakata La Kusambazwa Kwa Picha Chafu Mitandaoni Limeibuka Tena Bungeni.
Sakata la kusambazwa kwa picha chafu kwenye mitandao mbalimbali limeibuka tena Bungeni Mjini Dodoma baada ya Mbunge wa Mkanyageni HABIBU MOHAMED MNYAA kuhoji kitendo cha Serikali kushindwa kudhibiti vitendo hivyo. Katika swali lake la nyongeza MNYAA amesema licha ya Serikali kuipatia Mamlaka ya Mawasiliano nchini TCRA mitambo ya kubaini chanzo… Read More →
Picha: Rais Kikwete Alivyoshiriki Msiba Wa Marehemu Mzee Small
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini katika kitabu cha maombolezo wakati alipokwenda kuhani msiba wa msanii maarufu wa filamu vichekesho Marehemu Saidi Ngamba “Mzee Small” nyumbani kwa marehemu Tabata Kimanga jijini Dar es salaam jana Juni 9, 2014 Kulia ni Bw. Mahmoud Saidi, Mtoto wa Marehemu “Mzee Small”. Rais… Read More →
Kama Ulikua Humjui, Huyu Ndio Demu Wa Davido
ikiwa ni mwezi mmoja tu umepita tangu msanii wa Nigeria mshindi wa tuzo mbili za mtv mama kukana katika mahojiano kuwa hana mpenzi hatimae leo shetani kataja jina baada ya mrembo wake huyo aliyekuwa akimficha ficha kuwa ni siku yake ya kuzaliwa na kumfanya kutokuwa na jinsi zaidi ya kumuwishi… Read More →
Christina Aguilera Hakuna Ubishi Juu Ya Uhauzito Wake…hongera Matt Rutler
Hatujapata nafasi ya kumuona mara nyingi Christina Aguilera kwa kipindi hiki akiwa na mimba lakini kila tunapopata nafasi ya kumuona anakuwa mwenye furaha akienjoy maisha. Safari yake ndogo aliyotoka kwenda kufanya manunuzi ya vitu akiwa na mchumba wake Matt Rutler alionekana akiwa amevalia nguo nyeusi iliyombana ikionesha mimba yake vizuri… Read More →
Huu Ndio Ujumbe Kim K Alomuambia Mumewe Kanye Katika Siku Yake Ya kuzaliwa
Kim kardashian Ameamua kutumia siku ya kuzaliwa ya Mume wake Kanye West Kumshukuru kwa kuweza kumbadilisha maisha yake tangu walipoanza kuwa na uhusiano Kim Ameandika Ujumbe mzuri wa kushukuru ambao ni mara chache sana binadamu kukubali na kuonyesha shukrani kama alivyofanya kim Kim Ameandika kupitia ukurasa wake wa Tweeter kama… Read More →
Hii Hapa List Nzima Ya Washindi Wa Tuzo Za MTV Mama
Best Male: Anselmo Ralph (Angola) * Davido (Nigeria) WINNER Diamond (Tanzania) Donald (South Africa) Wizkid (Nigeria) Best Female: Arielle T (Gabon) Chidinma (Nigeria) DJ C’ndo (South Africa) Efya (Ghana) * Tiwa Savage (Nigeria) WINNER Best Group: Big Nuz (South Africa) * Mafikizolo (South Africa) WINNER Mi Casa (South Africa) P Square (Nigeria) Sauti Sol… Read More →
Video: Rihanna Ajibu mashambulizi Ya Kundi La TLC Kuhusu Kumsema Na Picha Zake Za Utupu
Rihanna hajawahi kuwa na aibu juu ya kuonyesha maumbile yake lakini kwa kipindi hiki amekuwa kwenye midomo ya watu wengi duniani pale alipotokea kwenye red carpet ya Council of Fashion Designers Awards Jumatatuiliopita. Nguo aliyokuwa amevaa unaona kila kitu , nguo hiyo ilikuwa ni noma sana . Rihanna pia alionekana… Read More →
Mkuu Wa Polisi Kanda Maalum Kwa Kushirikiana Na Wadau Mbalimbali Kupambana Na Uhalifu
Kikundi cha Mbwa Mwitu ambacho awali kilisambaratishwa na Jeshi la Polisi kiliibuka tena Mei 19 mwaka huu katika eneo la Kigogo safari hii kikijipachika jina la Panya Road na kuanza kufanya uhalifu katika maeneo ya Jangwani, Ilala, Karume na kuleta hofu miongoni mwa jamii. Jeshi la Polisi Kanda Maalum kwa… Read More →
Waziri Mkuu Mizengo Pinda Aagiza Kufanywa Kwa Ukaguzi Wa Kina Kwa Magari Yote Yanayoingizwa Nchini.
Waziri Mkuu MIZENGO PINDA ameagiza kufanywa kwa ukaguzi wa kina kwa magari yote yanayoingizwa nchini kutoka nje, ili magari yenye Ubora yaweze kuingia kwa ajili ya matumizi ya Serikali na watu binafsi, kwa lengo la kupunguza ajali za barabarani ambazo husababisha vifo na majeruhi. Akijibu swali la mbunge wa Kilwa… Read More →
Picha: Chriss Brown Afanyiwa Surprise Party Baada Ya Kutokea Jela.
Tangu Chriss Brown atoke jela alikuwa hajaonekana kabisa, lakini alivyonekana alionekana mtu aliyependeza sana mwenye afya nzuri huwezi kudhania alikuwa jela. Demu wake ambae wamekuwa wakibreak up and make up Karrauche akiwa na marafiki na familia walimuandalia Breezy surprise party juzi ya kumkaribisha nyumbani baada ya kutoka jela na kusherekea… Read More →
Maheeda Asema Rihanna Ndiye Aliyemuiga Sio Yeye Aliyemuiga Rihanna.
Baada ya Bad girl Riri Rihanna kuonekana akiwa amevalia nguo inayoonyesha maungo yake (Transparent) kitamba chake ni cha net ile ya kuzuia mmbu, mashabiki wengi walimrudia mwanadada anaefahamika kama Maheeda na kuanza kumwambia anataka kuwa Rihanna wa Nigeria kwa hiyo ikabidi ajibu na kusema yeye ndie wa kwanza alivaa nguo… Read More →
Video: Music Express Interview With Chikuzee-Kenya
Video: Tazama Joka Kubwa Aina Ya Chatu Lilitoka ndani ya nyumba Huku Mwenye Nyumba Akisema ni Mtoto Wake Wa Kwanza
Tazama jinsi bonge ya joka aina ya chatu lilivyouwawa na wananchi wenye hasira baada ya kuliona likiwa limetoka ndani ya ngumba ya mtu huku likiwa na kipande cha kaatasi kinachosemakana kina maandishi ya Kitabu Kitakatifu Cha Quraan Mashuhuda wanasema baada ya mwenye nyumba kupigiwa sim na kuhabarishwa juu ya kilichotokea… Read More →
Pamoja Na Mipango Ya Kuongeza mtoto Wa Tatu Dada Wa Kim Kardashia, Kourtny Kardasian Amesema Hana Mpango Wa Ndoa Kwasababu Haamini Swala La Ndoa
Kwamujibu wa mtandao wa Us Weekly, Reality Star Kourtney Kardashian na mpenzi wake wa siku nyingi Scott Disick wanatarajia ujio wa mtoto mwingine ambaye atakuwa ni watatu kwenye uzao wao Hii itakuwa ni chini ya miaka miwili tangu wapate mtoto wao wa pili “Anaonekana kuwa na miezi michache ijayo kabla… Read More →
Lupita Nyong’o Na Familia Yake Wageni Pia Tamasha La 17 La Ziff Zanzibar
Mkurugenzi Mkuu wa ZIFF, Profesa Martin Mhando (wa pili kulia) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kuzindua rasmi Tamasha la Filamu la nchi za Majahazi la 17 maarufu kama Zanzibar International Film Festival (ZIFF). Kulia Msaidizi wa Kitengo cha habari ZIFF, Lara Prieston, Kushoto ni Meneja wa… Read More →
Picha:Kutana Na Watu Nane Muhimu Zaidi Duniani, Yupo Mwanamke Mmoja
Hao wanaume saba na mwanamke mmoja unaowaona pichani ni moja ya watu muhimu zaidi Duniani, Sita kati yao ni viongozi wa nchi zenye nguvu zaidi Duniani wakati wawili wakiwa ni viongozi bara la ulaya Maarufu kama G7 Hao kwa sasa wpte wapo Brussels kwa ajili ya mazungumzu ya kile kinachoendelea… Read More →
Mtoto Wa Miaka Mitatu Anusurika Kuanguka Kutoka Ghorofa Ya Tano
Ilikuwa ni kitu cha kutisha wakati umati uliokuwa chini ya ghorofa walipomuona mtoto akiwa sehemu ya hatari katika ghorofa ya tano akining’inia katika kibaraza (balcony) cha ghorofa hiyo huko nchini Brazil. Mhudumu mmoja alikuwa akipita akasikia mtoto analia ndipo alipowaita wateja waje waone nao wakaanza kutafuta msaada. Taarifa kupitia… Read More →
Picha: Wanahabari, Wasanii Wamuaga Marehemu Marehemu George Tyson Leaders D’salaam
Wanahabari Wasanii na wananchi kwa ujumla jana wameuwaga mwili wa marehemu aliyewahi kuwa muongozaji wa vipindi vya Television na Filamu nchini Tanzania George Tyson katika viwanja Vya Leaders Jijini Dar Es Salaam Marehemu George Tyson Alifariki Dunia kwa ajali ya gari iliyotokea mkoani morogoro may 30 wakati anatokea Dodoma Kikazi… Read More →
Picha: Yanayojiri Kigoma Katika Msiba Wa Mama Yake Zito Kabwe (Shida Salum)
Marehemu George Tyson Kuagwa Jumatano Na Si Jumanne Kama Ilivyojulikana Hapo Awal
Kutokana na taratibu za uhamiaji , marehemu George Tyson Muongozaji wa filamu Tanzania aliyefariki kwa ajali ya Gari siku ya ijumaa alipokua anatoka Dodoma na kupata ajali Maeneo ya Morogoro Utaagwa Jumatano katika viwanja vya Leaders kabla ya mwili wake kusafirishwa kwenda Kisumu Jijini Nairobo Kwa Mazishi Sisi sote Ni… Read More →
Story Iliyoniuma Zaidi Msimu Huu
Ni Kuhusu MTOTO Nasra Said aliyekuwa akiishi kwenye box kwa miaka minne akidaiwa kuteswa na mama yake mkubwa baada ya mama yake kufariki, huku akikosa uangalizi wa karibu, chakula, tiba na huduma nyingine muhimu. Nasra AMEFARIKI DUNIA katika Hospitali ya Taifa MUHIMBILI usiku wa kuamkia Jana majira ya saa saba,… Read More →
Pole Sana Mh.Zito Kabwe Na Familia Kwa Kuondokewa Na Mama
Picha Hii Ilipigwa Mwezi May 25 2014 wakati Rais Kikwete alipomtembelea Mama wa Mbunge Zitto Kabwe ICU kwenye hospital ya AMI Dar Es Salaam Zitto Kabwe Alishare Ujumbe Huu Mara baada ya kupata taarifa za kuondokewa na kipenzi mama yake Mungu Aipumzishe Roho ya Marehemu Mahali Pema Peponi Comments
Mtoto Wa Mwanasoka Wa Zamani Pele Ahukumiwa Kwenda Jela Miaka 33,
Edinho, mtoto wa Pele amehukumiwa kifungo cha miaka 33 jela. Kwa mujibu wa BBC, Edinho mwenye umri wa miaka 43, amepewa hukumu hiyo kwa kosa la ulanguzi wa fedha kwa ajili ya kusafirisha dawa za kulevya. Alikamatwa kwa mara ya kwanza mwaka 2005 na kutumikia kifungo jela kwa kosa la… Read More →
Mwanamke Aliyehukumiwa Kifo Ajifungua Huku Miguu Yake Ikiwa Imefungwa Chein
Mwanamke Aliyehukumuiwa Kifo Meriam Ibrahim Akiwa Na Kichanga Chake Baada ya kujifungua Tazama Picha Ya Awali kabisa kutoka kwa mwanamke Meriam Ibrahim aliyehukumiwa kifo Baaada Ya Kubadili Dini na Kuolewa Na mwanaume wa dini ya kikiristo mwanamke huyo ambaye yupo jela kwa miezi minane sasa akisubiria hukumu yake ya… Read More →
Wasichana Wawili Wabakwa Na Wanaume Watano Na Kunyongwa Mtini India
Wasichana wawili ambao ni ndugu mmoja akiwa na umri wa miaka 14 na mwingine miaka 15 wamekutwa wamekufa kwa kuning’inizwa mtini Polisi wamesema Wasichana hao wadogo wanaotokea katika jamii ya kawaida vijijini walipotea ghafla mara baada ya kutoka kwenda maliwatoni huko kijijini kwao Uttar Pradesh may 27 kwa mujibu wa… Read More →
Mashabiki Wamshambulia Davido Wakimuita Muongo
Davido alishare picha yake na aliandakika miaka mitatu iliyopita hawakuwa na magari… katika picha hiyo wanaonekana wamezungukwa na magari kama manne hivi ya kifahari, mashabiki wengine walijikuta wakiona ni ngumu kuamini kuwa mtoto wa Omo Baba Olowo na miaka mitatu iliyopita haukuwa na gari wanaona kama anadanganya wakati inafahamika kwamba… Read More →
Beyonce Aweka Wazi Maisha Yake Halisi Nje Ya Muziki
sBeyonce ameshare picha akiwa na familia yake kwenye website ya beyonce.com picha hizo zinaonekana zilichukuliwa siku za karibuni wakiwa mapumzikoni Hamptons wakati Kim na Kanye walipokuwa wakifunga ndoa. What a beautiful family? Hawana utani na mapumziko na nywele mpya za Beyonce zinapendeza sana. Check picha nyingine chini……. Comments
Jay Z Amwaga Rafiki Yake Wa Siku Nyingi Walio Hustle Nae.
Rafiki wa siku nyingi katika biashara Bey’s na husband C.E.O Jay Z anaitwa John Menelly wamemwagana, Menelly ndo alisaidia kuikuza Roc Nation ambayo ilianza kama record label hadi kuwa wakala wa kuinua vipaji, Menelly pia alisaidia katika kuiinua Rocawear clothing line kabla haijauzwa. Kwa zaidi ya miaka 10 Menelly amekuwa… Read More →
Picha: Mtangazaji Dennis Ssebo Ziarani Spain
Mtangazaji Wa Radio Magic Fm Dennis Ssebo WeekEnd Iliyopita amefanya Ziara Nchini Uhispania ambapo alipata nafasi ya kutembelea uwanja wa mpira wa Real Madrid pamoja na kupiga picha na baadhi ya wachezaji wakubwa wa soka Duniani, Pamoja na jambo muhimu lililompeleka huko pia alipata kuona baadha ya kumbu kumbu za… Read More →
Hiki Ndicho Kilichokuwa Kinasubiriwa Zaidi kutoka Kwa Kim Kardashian Na Kanye West
Katika Vitu vilikuwa vinasubiriwa Zaidi Msimu Huu kutoka kwa washabiki wa couple ya Kanye Na Kim Basi Ni Picha za Harusi yao iliyofanyika Jumamosi 24th May Kim Alivalia Gaunin Zuri Toka kwa mbunifu Givenchy Sasa Kanye na Kim Ni Official Mr & Mrs West Tazama Picha Zaidi Ikiwa ni ndoa… Read More →
Picha: Tazama Harusi Ya Muandishi, Muandaaji Na Matangazaji Wa Dawati La Michezo Channel Ten Na Magic Fm Baraka Ngemba
Juma mosi ya tarehe 23 May katika ukumbi wa Kualalumpa Sinza jijini Da Es Salaam ni siku ambayo Muandishi, Muandaaji na Mtangazaji wa dawati la michezo Channel Ten Na Magic fm Baraka Ngemba Hataisahau Kwa kuwa ilikuwa ni siku yake muhimu sana ya sherehe yake baada ya kufunga Ndoa Na… Read More →
Ndoa Ya Jay Z Na Beyonce Chali?! Nothing Last Forever
Beyonce na Jay-Z wanadaiwa kuelekea kupeana talaka itakayogharimu dola bilioni 1. Kwa mujibu wa jarida la Marekani la wanandoa hao wanakabiliwa na talaka yenye gharama kubwa zaidi kuwahi kutokea kwa mastaa. Inadaiwa kuwa Jay amekuwa akitembea na wanawake wengine. Jarida hilo limesema wapenzi hao wenye nguvu wamekuwa wakigombana mara kwa… Read More →
Hii Ndio Gharama Ya Gauni La Kim K Alilovaa Kwenye Bachelorette Party Yake, Sijui La Harusi Itakuaje
Kama ilivyo kwa harusi za huku kwetu kutanguliwa na sherehe mbali mbali kama vile Kitchen Party, Send Off Part, Bridel Shower an so kabla ya ile siku kubwa maalum ya kufunga ndoa hivyo ndivyo pia ilivyokuwa kwa Mwanamke mwenye ushawishi zaidi duniani Kim kardashian anayetarajiwa kufunga ndoa na rapper Kanye… Read More →
Harusi ya Kanye West na Kim Kardashian kesho , Hizi Ndio Rasha Rasha Tazama Picha Hapa Leo Wakiwa Branch
Familia ya Kardashian Leo Imeungana na Mgeni wao ambaye ataungana nao kesho Rasmi Baada Ya Kufunga Ndoa na Kanye West wakati wa Branch sasa sijui niiteje kiswahili hapo walikuwa pamoja na Mbunifu Wa Zamani Wa Mavazi Valentino huko Crespières/Davron, Hebu Jionee mbwembwe hapa katika Picha Kim, Kanye pamoja na mbunifu wa… Read More →
Rapper 50cent Asema Mama Wa Mtoto Wake Ndio Chanzo Cha Habari Za Yeye Kutohudhuria Mahafali Ya Mwanae Kusambaa…. Aleza Sababu
Wiki Moja bada Ya Rapper 50 cent kulaumiwa kwa kutohudhuria Sherehe Za Mahalafali Ya Kuhitimu masomo ya high School ya kijana wake Rapper Huyo Amezungumza 50Cent amesems yote yasingetokea kama si mama wa mtoto wake kupeleka habari hizo katika mtanzao wa TMZ Hata hivyo Rapper Huyo Amesema anasababu za muhimu… Read More →
Mshindi Wa BBA Star Game Kareen Igho Aolewa Kimya Kimya
Mshindi Wa Big Brother Star Game Karen Igho ame share picha inayomuonyesha na pete za harusi kupitia ukurasa wake wa isnta Gram jambo ambalo limestua wengi kutokana na ndoa hiyo kutowahi kusikika popote kwamba imefungwa lini na nani ndio bwana harusi Japo Kareen mwenyewe hakuzungumzi ndoa japo ishara ya pichq… Read More →
Picha: Maandalizi Ya Harusi Ya Rapper Kanye West Na Kim kardashia
Kahaba Kikongwe Anayejisifu Kuwa Bado Anamvuto, Akiwa Na Umri Wa Miaka 85 Bado Anauwezo Wa Kutengeneza Pauni 250 Kwa Saa Moja
Bi Vogel-Couple kahaba mkongwe zaidi nchini Uingereza Katika Umri wa miaka 85, Sheila Vogel-Coupe ni kahaba mkongwe zaidi nchini Uingereza na kwa umri huo bado anaweza kutengeneza Pauni 250 kwa saa moja kwa kazi yake. Miaka minne baada ya kifo cha mume wake wa pili , Vogel-Coupe aliingia katika ukahaba… Read More →
Hosni Mubarak Ahukumiwa Kwenda Jela Miaka Mitatu, Wanae Wahukumiwa Zaidi
Rais aliyeondolewa madarakani nchini Misri, Hosni Mubarak amehukumiwa jela miaka mitatu. Wanawe wawili Alaa na Gamal wamepata kifungo cha miaka minne kila mmoja. Wendesha mashitaka walisema kuwa wanawe Mubarak waliponda mamilioni ya dola pesa za umma zilizotengewa kukarabati ikulu ya Rais na badala yake wakafanyia ukarabati nyumba zao za kifahari…. Read More →
Ya Ngoswe Muachie Ngoswe, JayZ, Solange & Beyonce Lafamilia
baada ya ule mtiti wa mangumi na mateke ya Solange kwa shemeji yake Jay Z katika Lift wakati wanatoka kwenye Part , Dada Mtu Ameshare Picha Ya Pamoja kuonyesha Familia Yao ipo strong na kwamba yale yalikua mambo ya kupita tu Beyonce anaonekana kujitahidi sana kuuonyesha uma kuwa hakunakubwa kama… Read More →
Wasanii Wa Filamu Wamlilia Adam Kuambiana, Azikwa Leo
Wasanii wa filamu nchini wameonekana kuguswa sana na kifo cha Msanii mwenzao na Muongozaji Filamu Adam Kuambiana Aliyefariki ghafla kwa matatizo ya vidonda vya Tumbo Adam Kuambiana Amezikwa Leo Juma Nne Katika Makaburi ya kinondoni Jijini Dar Es Salaam ikiwa ni wasia wakutaka azikwe Hapa Dar Es Salaam Pindi Atakapofariki… Read More →
Rapper 50Cent Asusia Graduation Ya Mtoto Wake Mkubwa Wa Kiume, Hiki Ndicho Alichokiandika Mwanae
Rapper 50 Cent Week End Iliyopita Alisusia Graduation Ya mtoto Wake Mkubwa Wa Kiume Marquise Jackson wakati anasherehekea kuhitimu masomo yake ya High School Hiki ndicho alichokiandika Mtoto Huyo katika ukurasa wake wa Facebook Mtoto huyo aliyeonyesha kuvunjika moyo alionekana akilia mabegani kwa mama yake jambo ambalo mtoto huyo aliamua kuuelezea… Read More →
Mwanamuziki Ciara Ajifungua Mtoto Wa Kiume
Mwanamuziki Ciara Na Mchumba Wake Future wamepata mtoto wa kiume Habari zinasema Ciara Alijifungua Jana Jumatatu Asubuhi May 19n Huko Los Angeles , Mtoto huyo anakuwa ni uzao wa kwanza kwa msanii Ciara Ambaye ni mchumba wa Rapper Future anayetarajia kumuoa miezi michache ijayo Kwa upande wa Future yeye ana… Read More →
Wanawake Wataka Mapadre Waruhusiwe Kuoa
Kundi moja la wanawake walio na hisia za kimapenzi na mapadre wa kikatoliki wamemuandikia barua kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis ya kumtaka kubadilisha sheria za kanisa hilo zinazowazuia viongozi hao wa dini kuoa. Wanawake hao 26 kutoka Italy na maeneo mengine wanasema kwamba wamekuwa wakishiriki ama wanataka kushiriki… Read More →
Ray Jay Kumpa Kim Kardashian Kiasi Cha $46.840 Ikiwa Ni Faida Iliyopatikana Katika Tape Yao Ya Ngono Kama Zawadi Siku Ya Harusi Yake
Mwanamuziki Ray J Na Mdogo Wa Mwanamuziki Brand ameuambia mtandao wa TMZ kuwa zawadi anayotarajia kumpa aliyewahi kuwa mpenzi Wake Kim Kardashia katika Harusi Yake Na Mwana hip Hop Kanye West Ni Faida ya pesa kiasi cha dola 46.840 kama faida ya mauzo yaliopatikana katika mkanda wao wa ngono waliowahi… Read More →
Cristiano Ronald Atokea Uchi Katika kava La Jarida La Vogue Spain La Mwezia june
Imezoeleka mauzo zaidi huwa yanakuwa kwa watoto wa kike hasa wawapo nusu utupu mara hii ni tofauti katika jarida la Vogue Spain ambapo Mwana soka bora wa mwaka Cristiano Ronald ametokea katika kava ya jarida la Vogue Spain la Mwezi June akiwa Uchi wa mnyama pamoja na mpenzi wake Model… Read More →
Red Carpet: Tuzo Za Billboard Na List Nzima Ya Washindi
Tuzo hizo zilifanyika jana usiku huko Las vegas MGM Grand Na hii Ndio List Ya Wahindi Wa Tuzo Hizo Full list of winners Top Artist Justin Timberlake Top New Artist Lorde Top Male Artist Justin Timberlake Top Female Artist Katy Perry Top Duo/Group Imagine Dragons Top Billboard 200… Read More →
Picha: kundi La P Square Lipo Studio Kutengeneza Albam yao Ya 6
Picha: Road To Mama Press Conference Na Matukio Katika Picha bilicanas Dar Es Salaam
Ijumaa iliyopita ndio Ile safari ya kuelekea tuzo za mtv Music Award “mama” ikijulikana kama Road To mama ilifanyika pale katika ukumbi wa Bilicanas Jijini Dar Es Salaam Kwanza palikuwa na mkutano na waandishi wa habari ambao walielezewa kwa vizuri hukusiana na tuzo hizo na waandishi kupata nafasi ya… Read More →
Eti Hiki Ndio Kisa Cha Mdogo Wa Beyonce Solange Kumpiga Makonde Shemeji Yake Jay Z (hainiingii Akilini)
Baada ya lile sakata la mdogo wake Beyonce Solange kumpiga mateke na mangumi shemeji yake Jay Z walipokuwa ndani ya lifti wakitokea kunako party Eti habari NY Daily news zindai chanzo cha ugomvi huo ni baada ya Solange kutaka kujua kwanini Jay Z Lipanga kwenda kwenye after Party ya Rihanna Met… Read More →
Kelly Rowland Aolewa Na Manager Wake Hizi Hapa Picha Za Harusi Yake
Baada ya kusikia Kelly Rowland kafunga ndoa nikatamani sana kujua ilivyokuwa natumai hata wee ulitamani kwa jinsi dada huyu alivyo mtulivyo asiyekuwa na makeke wala kashfa Radar Online ni mtandao uliotoa picha za harusi yao ndogo kwa watu maalum iliyofungwa kwa siri huko Costa Rica May 9 Kelly mwenye umri… Read More →
Diamond Carpet Moja Na Jay Z, Beyonce,Rihanna,Floyd MayweatherJR,Lupita Nyong’o Tuzo Za BET, Angalia List Nzima Hapa Na Alichosema Davido Na Diamond
Story kubwa kwa Tanzania kwa sasa na Afrika Mashariki ni juu ya kutajwa katika tuzo za BET kwa msanii Diamond Platinum katika kipengele cha BEST INTERNATIONAL ACT:AFRICA Amekuwa msanii pekee wa Muziki Africa mashariki kutajwa katika tuzo hizo mwaka huu zitakazofanyika June 29 Nokia Theater L.A, Los Angeles,CA Marekani Kwa… Read More →
Hivi Kuna Msanii Mwingine Kutoka tanzania Ashawahi Tangazwa Kuwania Tuzo BET? Natumai Diamond Anaweka Historia Kuwa Msanii Wa Kwanza Tanzania
Tanzania inaandika historia kupitia msanii Diamond Ambaye amechaguliwa katika tuzo za BET 2014 za huko marekani ikiwa ni mara ya kwanza kwa mtanzania kuwakilisha na msanii pekee kwa afrika Mashariki kuwepo kwa mwaka huu Diamond Amechaguliwa katika kipengele cha BEST INTERNATIONAL ACT AFRICA na hapo anashindania na wasanii Davido wa Nigeria, Mafikizolo… Read More →
Ile Video Ya Jay Z Akipigwa Makonde Na Shemeji Yake Solange Kumbe TMZ Waliinunua Bei Mbaya Hivi
kumbe ile video iliyomuonyesha Jay Z akishambuliwa na shemeji yake Solange ilinunuliwa bei kiasi hiki? unaambiwa ilikuwa kwenye mnada wa nani ataweza kuinunua lakini mtandao wa TMZ ukashinda kwa kuinunua kwa kiasi cha kama ml.400 kwa video ya sukunde ambazo hazijazidi 58 tu hapa ndio uone kuna watu wanaushawishi jamani… Read More →
Video: Jay Z Alivyodundwa na Shemeji Yake Solange Ndani Ya Lifti Huku Bey Akitazama Bila Kutia Neno
Habari ya Dunia kwa sasa ni juu ya swala la mdogo kipenzi wa Beyonce , Solange kumdunda mateke kwa magumi shemeji yake JayZ Hapa mtu na shemejiye mapenzi teleee sakata hilo lilianza baada tu ya watatu hao wakiwa na mabaunsa wao walipoingia ndani ya lifi mara baada ya kumaliza… Read More →
Daktari Bingwa wa magonjwa ya akili nchini afariki dunia kwa ugonjwa wa Dengue
DAKTARI wa Hospitali ya Temeke, jijini Dar es Salaam, Dk. Gilbert Bubelwa, amefariki dunia juzi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) baada ya kuugua ugonjwa wa homa ya Dengue. Akithibitisha kutokea kwa kifo hicho jana kwa njia ya simu, Msemaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Aminiel Algaeshi, alisema daktari… Read More →
Boko Haramu Wawaonyesha Wasichana Waliowateka Nyara Kwa Mara Ya Kwanza
Wasichana waliotekwa Nyara Na Boko Haramu Kiongozi wa kundi la Boko Haram Abubakar Shekahu amesema kuwa atawaachilia huru wasichana waliotekwa nyara iwapo tu wapiganaji wa kundi hilo wanaozuiliwa na serikali ya Nigeria wataachiliwa huru. Katika kanda mpya iliyotolewa na kundi hilo, kiongozi huyo, amesema kuwa wasichana hao waliweza kusilimu katika… Read More →
Mwanamke Huyu Bila Haya Akajifungua Mtoto Salama Kisha Akamtupa Chooni, Soma Kisa Chake Kama Kilikupita
MWANAMKE aliyejulikana kwa jina la Hadija Mohammed, mkazi wa Mchikichini, Ilala jijini Dar es Salaam amekumbana na mkono wa sheria baada ya kufanya kitendo cha kinyama kufuatia kujifungulia kwenye ndoo kisha kichanga kukitupa chooni. Kwa mujibu wa chanzo, mwanamke huyo alikuwa na ujauzito uliotimiza miezi tisa na kila mtu alikuwa akiuona,… Read More →
Kim Kardashi Akanusha Tetesi Zilizoenea kuwa Wameshafunga Ndoa Na Kanye
Kumekuwa na tetesi kuwa Kanye West Na kim Kardashian Wamefunga ndoa yao ya kwanza kimya kimy huko parasi Ufaransa na maneno mengine kama hayo, Ahsante kwa mitandao ya kijamii iliyotuweka karibu zaidi na hawa watu ambao sasa wanaweza kuzungumza nasi moja kwa moja kwa kuweka maujumbe yao hayo Kupitia Tweeter… Read More →
Michelle Obama Oangoza Mastar Wengine Katika Campagin Ya Bring Back Our Girls
Ikiwa Ni katika zile harakati za kumkuhamasisha Raisi GoodLuck Jonathan Wa Nigeria kufanya lolote ilimradi kuokoa maisha ya watoto wa kike 234 waliotekwa nyara na wanamgambo wa boko haramu Mke Wa Raisi Wa marekani Michelle Obama ameongoza mastar wengine wakubwa duniani katika kumuhamasisha Raisi Huyo kufanya lolote ili kurejeha nyumbani… Read More →
Story Ni Lupita Kupiga makelele Baaada Ya Kukutana Na Beyonce Au Story Ni Beyonce Kupost Picha Instagram Akiwa Na Lupita Nyong’o?
Ameshakutana na mastaa wakubwa sana mpaka sasa akiwemo Malkia wa watangazaji Duniani Oprah Winfrey tangu awe mshindi wa tuzo kubwa yenye heshma duniani Oscar, Lakini Kukutana Na mwanamuziki Beyonce Muigizaji wa holiwood mkenya lupita nyong’o ndio kama ndoto yake imetimia zaidi Anasema alikua haishi kupiga kelele kimoyo moyo na bado… Read More →
Rihhana Na Beyonce Wanamashindano ya kutafuta Kick Au Ni Nini? Hebu Watizame Hapa, Mistari Ya Makalio Yao Hadharani
Kwa Rihanna tunaweza mvumilia kwasababu ya umri japo nae anajitoa tu akili maana hata hana umri mdogo wa hivyo(follishage) lakini pia labda twaweza sema anajifanya hajali baada ya kusemwa sana hadi kufikia hatua ya kuonywa na kuondolewa katika mtandao wa instagram kwa kupost picha zinazomuonyesha chuchu zake, picha zilizotumika katika… Read More →
Check Jumba La Mbunifu Wa Mavazi Kutoka Nigeria, Hawa Jamaa Kila Sekta Wapo Poa.
Huyu jamaaa ni mbunifu wa mavazi nchini Nigeria anaitwa Omoniyi Makun, lakini zaidi jina maarufu anajulikana kama Yomi Casual lakini pia ni mdogo wa mchekeshaji maarufu nchini humo AY, Mbunifu huyo alifanya party ya kuzindua mjengo wake jumapili ya may 4 ambapo yeye mwenyewe ameshare picha hizi zinazomuonyesha… Read More →
Baada Ya Ile Best Selfie Aliyopiga Ellen Stages Kwenye Tuzo Za Oscar, Hii Ndio Inayofuata Kwa Ukali Niliyoipiga Mimi Kwenye Tuzo Za KTMA 2014, Diamond, Wema Na Jokate Wamo
Nilijaribu kutafuta Best Selfie kama ile ya Ellen Stages katika tuzo za Oscar, u best ukapotea baada ya picha kushake kama uionavyo ipo out of focus Hapo Kuna Mimi, Diamond Mshindi wa tuzo saba KTMA2014, wema Sepetu mpenzi Wa Diamond, Sam Misago Mtangazaji, Millad Ayo Mtangazaji Na Jokate Mtangazaji Na Ex… Read More →
Tuzo Za Muziki Tanzania Matukio Kiasi Kutoka Kwenye Camera Ya Simu Yangu
Jana nilikua Busy Kidogo kwa hivyo muda niliokuwa napata kidogo nilikuwa natumia kuchkua matukio yalio karibu na mimi mengine ya kinihusisha mwenyewe kwa Selfie (picha za kujipiga) mwenyewe kwasababu uapnde niliokuwa kila mtu alikuwa busy Bahati mbaya sana jana nilifanyakazi BackStage so hata vilivyokua vinaendelea huko mbele hata na mie… Read More →
Hawa Ndioa Washindi Tuzo Za Muziki Tanzania, Diamond Avunja Rekodi Ka Kupata Tuzo Saba
1.Tuzo ya Wimbo bora wenye vionjo vya asili ya Tanzania ilichukuliwa na wimbo wa Bora Mchawi ya Dar Bongo Massive. 2.Tuzo ya msanii Bora chipukizi anayeibukia ilichukuliwa na Young Killer. 3.Tuzo ya wimbo bora wa Zouk imechukuliwa na wimbo wa Yahaya wa Lady Jay Dee. 4.Tuzo ya wimbo wa Afropop… Read More →
Mshiriki Wa Big Brother the Chase Elikem Amuomba Uchumba Mpenzi Wake katika Jukwaa La Tuzo Za Muziki Jana
Waakati Kilimanjar music Award Jana Ilikua Inatowa tuzo kwa wanamuziki waliofanya vizuri Tanzania Hivyo Ndivyo Ilivokuwa nchini Ghana Pia, Ambapo nao walikuwa wakitoa Tuzo kwa Wasanii wa Ghana Waliofanya Vizuri Hapo Ndipo Tukio La mshiriki Muwakilishi kutoka ghana katika shindano la big brother The Chase Elikem Alipotumia mwanya wa… Read More →
Kilimanjaro Tanzania Music Awards 2014 live
Peter Okoye Amethibitisha Kuwa Na Ugomvi Na Ndugu Zake, Lakina Wameyamaliza
Peter Okoye Amethibitisha Kuwa ni kweli alikuwa na matatizo na na Ndugu zake lakini sasa yamekwisha Peter anayeunda kundi la P squar na pacha mwenzake Paul ametumia ukurasa wa Tweeter Kuthibitisha hilo na kwamba hiyo ilikua ni hali ya kawaida tu kama ambavyo inaweza kujitokeza kwa mtu mwingne yoyote na… Read More →
Kanye West Na Kim Kardashia Wavunja Rekodi Ya Mauzo Ya Jarida La Voque Na Kumpiku Beyonce Na Michelle Obama
Hatimae Ile Couple Yenye nguvu zaidi imejidhihirisha baada Jarida La Vogue la marekana kuuza copy nyingi baada ya kuwatumia kama cover Story. Jarida hilo limeuza zaidi ya copy laki tano 500,000 mpaka sasa japo matarajio ni kuuza copy Milioni moja laki mbili, Idadi ya mauzo mpaka sasa inampiku Beyonce ambaye… Read More →
NBA Yamfungia Mmiliki Wa Timu Ya Mpira Wa Kikapu Ya L.A Clippers, Donald Sterling Maisha Baada Ya Kutoa Maneno ya Kibaguzi
Chama Cha Mapira Wa kikapu Nchini Marekani NBA kimemfungia Maisha Na Faini Ya Dola Za Kimarekani Milioni $2.5 Mmiliki wa Wa Timu ya L.A Clippers Donald Sterling baada ya kutoa maneno ya kibaguzi kwa watu weusi wakati anazungumza na mpenzi wake katika simu , Maongezi Yaliorekodiwa na kusambazwa na mtandao… Read More →
Baada Ya Mchezaji Wa Barcelona Dani Alves Kula Ndizi Aliyotupiwa Uwanjani Kama Ishara Ya Ubaguzi Wa Rangi, Hawa Ndio Mastar Walioungana Nae Kula Ndizi Kama Ishara Ya Kupinga Vitendo Hivyo
Baada ya Tukio la la kula ndizi aliyorushiwa uwanjani na shabiki wa timu pinzani ya villarial kama ishara ya ubaguzi wa rangi Mchezaji wa Barcelona Dani Elvice Ameungwa mkono na wachezaji wengine mbali mbali wazungu kwa wafrika katika swala la ulaji ndizi kama ishara ya kupinga vitendo hivyo katika soka… Read More →
Riahhana Sasa?? Mara Hii Kwenye Lui Magazine La Ufaransa….Chuchu Nje
Noana Kwa sasa Binti Rihanna Ameamua Kugonga Matokea mbali mbali ya majarida makubwa Duniani Mara Hii Rihanna Yupo kwenye cover ya jarida la Ufaransa la Lui Picha Za Jarida hilo zilichukuliwa na Mario Sorrenti mwanzoni mwa mwezi huu wa Nne Huko Los Angeles Kwa Picha zaidi waweza… Read More →
Rais Wa Kenya Uhuru Kenyata Ametia Saini Kupitisha Sheria Ya Ndoa Ya Mwanamke Zaidi ya Mmoja
Sheria inayoruhusu wanaume kuoa wake zaidi ya mmoja, imepitishwa nchini Kenya. Rais Uhuru Kenyatta ametia saini sheria hio licha ya malalamiko kutoka kwa vikundi vya wanawake nchini humo. Taarifa kutoka katika ofisi ya Rais ilisema kuwa mswada huo ambao unaojumuisha vipengee kadhaa kuhusu ndoa , imekuwa sheria sasa. Mswada huo… Read More →
Wachezaji Wa Mpira Wa Kikapu Marekani Wasusa Kufuatia Matamshi Yakibaguzi Toka Kwa Mmilikwa Wa Timu Ya L.A Clippers, Donald Starling
Shirikisho la mchezo wa vikapu nchini Marekani, linachunguza madai kuwa mmiliki wa klabu ya Los Angeles Clippers, Donald Sterling, alitoa matamshi ya kibaguzi . Katika kanda iliyowekwa kwenye mtandao na sauti inayodaiwa kuwa ya bwana Sterling, anasikika akimwambaia mwanamke mzungu kutojionyesha hadharani na wenzake wamarekani weusi. Shirikisho la NBA lilitaja… Read More →
Picha:Rihanna Katika Pozi Za Utupu Kwa Ajili Ya Jarida La Vogue Brazil
Rihanna Afurahia Picha za utupu Alizopiga kwa ajili ya ku Cover jarida la Vogue Brazil, Rihanna amesema hajawahi ku enyoy uchukuaji picha kama huu kabla. Amefurahia sana na amependa zoezi zima la uchukuaji picha lilivyokwenda na kwamba ali enjoy than ever Rihanna Amashare Picha Hizi Kwenye ukurasa wake wa Instagram… Read More →
Askari Mwanamke Aliyeponzeka Na Shepu Yake Iliyomsababishia Kuhatarisha Kibarua Chake
Askari mmoja wa kike Raia wa Kenya ‘Linda Okello’ amenusurika kupoteza kibarua chake kufuatia kivazi cha kubana alichokuwa amevaa wakati yupo kwenye majukumu ya kikazi kumchora sehemu kubwa ya maungo yake ikiwemo makalio kitendo kilichopelekea picha yake kusambaa kwa kasi kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii ikiwemo Facebook na Twitter. Baada… Read More →
Baada Ya Ugomvi Na Ndugu Zake, Peter Okoye Aonyesha Ndinga Yake Mpya
Kumekuwa na ugomvi wa kifamilia hivi karibuni kwa famalia ya mapacha wa P square Peter Na Paul, sababu kuu ikielezwa ni familia kutomkubali mke wa Peter Lola kwasababu wanazodai ni mkubwa kwa Peter na zaidi ametoka kabila ambalo kwa kina peter hawalikubali lakini zaidi inasemekana Lola Amekua na matumizi makubwa… Read More →
Video:Tazama Na Skiliza Maongezi Ya Kibaguzi Ya Mmiliki Wa Timu Ya Mpira Ya Kikapu Ya L.A Clippers, Donald Sterling Kwa Mpenzi Wake
“Don’t Bring Black People To My Games” ndio neno lililokaririwa kati ya yale aliyoyazungumza mmiliki huyu wa timu ya mpira wa kikapu ya L.A Clippers, Donald Starling kwa mpenzi wake V.Steviano Ambayo Yamevuja na amesikika akitoa maneno ya kibaguzi kwa Wamarekani Weusi Tatizo hilo limeibuka baada ya mrembo huyo kuonekana… Read More →
Hii Ndio Idadi Kamili Ya Watoto Waliolawitiwa Tanzania Mwaka 2013
Kituo cha sheria na haki za binadamu nchini Tanzania Kimeripoti kuwa Idadi ya watoto wapatao 800 walilawitiwa mwaka 2013. Ripoti ya shirika hilo inasema kwamba kumekuwa na ongezeko kubwa la vitendo vya ukatili kwa wanawake na watoto nchini Tanzania ambapo kumi kati yao wakiwa wamefanyiwa ukatili huo na wazazi wao… Read More →
Ajali Ya Meli Korea Kusini, Waziri Mkuu Ajiuzuli. Wenzetu Wapo Makini Zaidi1
Ukomavu wa kiuongozi huonekana wakati kama huu Kutokana na kutoridhiswa kwa wananchi wa Korea Ya Kusini kwa jinsi serekali ilivyoshiriki baada ya tukio la kuzama kwa meli na kusababisha Vifo Wanafunzi na watu wengie waliokuwemo ndani ya meli hiyo Waziri Mkuu Wa Nchi Hiyo Chung Hong-Won Amewajibika kwa kujiudhulu… Read More →
Kama Ilivyo Kwa Tanzania, Makalio Madogo Kikwazo Venezuela, Watumia Sindano Za Sumu Kuyaongeza
Wanawake nchini Venezuela wanatumia kemikali haramu kuongeza ukubwa wa makalioyao na kujiletea madhara makubwa ya kiafya Hii ni kutokana na mtindo ambao unaonekana na wengi nchini humo kwamba mwanamke mwenye makalio makubwa ndiye anayependeza zaidi Wanawake wengi sasa wanahatarisha afya zao kwa kutaka kuwa ‘warembo’ Akiwa anabubujikwa na machozi ,… Read More →
Rihanna Bila Brazia Uwanjani, Mashabiki WahamishA Macho kwake Badala Ya Kutazama Mchezo
Oh Riri… Hakutaka kujisumbua na Ma Bra wakati hali ya hewa inaruhusu ati, Mwanamuziki Rihanna alijiamulia kwenda kuangalia Mechi ya mpira wa kikapu Huko Barclays Center New York Ijumaa huku akiwa amevalia kiguo cha mitego mitupu Babe Ririi Alikua Amevalia kivest cheupe kilichokuwa kinaonyesha hasa matiti yake yalivyojichora maana yake hakuwa… Read More →
Picha: Tazama Jinsi Harusi Ya Mwanamuziki Tiwa Savage Wa Nigeria Ilivyofana
Mwanamuziki Wa Nchini Nigeria Tiwa Savage Anayetamba na vibao vingi kikiwemo Eminado alichofanya na Don Jazzy amefanya harusi kubwa na Mumewe Tunji Teebillz Balogun’s aka T-billz katika hotel ya Armani Hotel, Burj Khalifa, Dubai jana Sherehe iliyoandaliwa na kampuni ya kuandaa sherehe ya Prive Events – Elohor Aisien Huku Bibi Harusi Akiwa amevalia nguo iliyobuniwa na mwanamitindo Vera… Read More →
Umoja Wa Katiba Ya Wananchi Bungeni (UKAWA) Wasusia Bunge Na Kutoka Nje
Umoja wa katiba ya wananchi bungeni [UKAWA] wametoka nje ya ukumbi wa bunge na kuacha mkutano wa bunge maalum ukiendelea kwa madai ya kutoridhika na uendeshaji wa bunge hilo pamoja na baadhi ya viongozi kutoa vitisho kwa wajumbe vinavyolenga kuleta ubaguzi kwa watanzania. Baadhi ya wajumbe hao wakitoka nje ya… Read More →
Manusura Wa Ajali Ya Meli Korea Kusini Wasimulia Jinsi Ilivyotokea
Watu walionusurika kifo katika ajali ya meli nchini Korea Kusini wamekuwa wakielezea hali ilivyokuwa ya kutisha ndani ya meli ya Korea Kusini ilipoanza kusimama kwa kuyumba, ikiegemea upande mmoja na haraka kuanza kuzama. “Kwa kweli kulikuwa na sauti kubwa na meli ghafla ikanza kuegemea upande mmoja,” amesema abiria aliyeokolewa, Kim… Read More →